KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Mkuu wa Idara ya Hamasa na Uhamasishaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia CHADEMA, Upendo Peneza akielezea madudu kibao yanayofanywa na CHADEMA wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM mjini Karagwe Agosti 8, 2024. Peneza amehamia CCM kuanzia Januari mwaka huu.
Негізгі бет UPENDO PENEZA AZIDI KUISASAMBUA CHADEMA
Пікірлер: 2