Upishi wa Mkate wa Kituruki
Plan flour (Unga wa Ngano) vikombe 3 (360g)
Hamira (Yeast) 2tbs
Mafuta ya kupikia (Oil) Vijiko 3 vikubwa
Asali (Honey) 2tbs
Maji ya vugu vugu (Warm Water) Kikombe 1 (1 cup)
Chumvi (Salt) kijiko kikubwa 1 na robo (1 1/4 tbs)
Негізгі бет Upishi wa Mkate wa Kituruki
Пікірлер: 10