Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤ japo hua anachelewesha 😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂❤❤❤
@bramwelsimiyu4211
4 ай бұрын
Uyu si n kipara...ameleta uku umbeya baada ya kutukejeli..😂😂..team steve tujuane kwa likes
@matesoismaili4969
4 ай бұрын
Wakwanza naomba like zangu
@ke1shavohbryo
4 ай бұрын
Mm wa kwanza afan from Kenya likes zangu pia
@philipmutua6643
4 ай бұрын
Unanunua shii ngapi?😂
@user-ky2uh2jd4j
4 ай бұрын
Steve utabak mfalme 2 kwny mziki wa comedian,,Kam team Steve shuxha like Zak hapa
@ISHOWLUC
4 ай бұрын
Kama unakubali steve mweusi like apa okay
@rohosafichumot4842
4 ай бұрын
Fast came fast save hebu mnipe like from Nairobi kenya
@fatumajuma9388
4 ай бұрын
Ongeren kw funzo lenu😢😢Much love frm 🇰🇪🇰🇪 Kwel akna anae weza au kutatua matatizo isipokuwa mungu pkee
@KareemKamota-ck7uy
4 ай бұрын
Wa kwanza like zenu kwa kipara mana wani
@malkiamommy293
4 ай бұрын
Kaz nzur san natokea kenya 🇰🇪 😊😊😊😊
@gladysosoro8963
4 ай бұрын
Kenyans mpo kweli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 👍👍
@user-eo5rh2od6i
4 ай бұрын
Bana mnachukua muda kuachilia movie please next jaribu❤❤
@Damagemweusi274
4 ай бұрын
Kama wa kwanza kukoment nipeeni like zangu
@hamzaali288
4 ай бұрын
Bana! Movie enyewe kali ndo kachukua muda kutumba, kazi mzuri sana nawapongeza nyote kwa muda wenu sana sana.
@SalmaPurity
4 ай бұрын
Yaan mimi navutiw, n madevu, aki ❤❤❤n kupend bure
@ValentineIteriteka-mp9qk
4 ай бұрын
Wa kwanz mimi leo
@PoliceNdizeye-rt2ml
4 ай бұрын
Ulikuwa wapi we stive
@Juma-nh8sy
4 ай бұрын
Ao sio kipala
@IbrahimJasco-om8tk
4 ай бұрын
Seleman dogo noumaaa
@hafsahmassemoh3598
4 ай бұрын
ALLAHUAKBR kila cku na hashindw na llte ❤❤❤❤❤Tumuamin ALLAH kuliko chht Ma sha ALLAH 🎉🎉 shukran kw mafunzo mazr Team Steve
@RizikiZiki
4 ай бұрын
Finale Steve mbona mapema ilikua nzuri kweli lakini umetusondeka🎉🎉🎉🎉
@user-nk3dp9cv9c
4 ай бұрын
Mnhh,madevu imekula kwakoo😂,Kila kitu umepoteza❤ kaz nzur
@HappyMastiff-yl8zj
4 ай бұрын
Good job steve nazikubali kazi zako bro japo jutahid kidog kuwahixha bro
@user-ir9xj5yt5p
4 ай бұрын
Mungu awaongoze inshaallah, kweli mungu hakuzaa wala hakuzaliwa,n hana mfano wke duniani ❤❤❤❤
@maalimali5513
4 ай бұрын
Hongera Steve na kikosi chako japo imekawia sana ila tumefarijika kwa kazi yako nzuri 😂😅😊
@amadimbappe5376
4 ай бұрын
Jamani mbn mnakawiza kutowa urusithi
@paulomudang7285
4 ай бұрын
Unatuweka sana Steve hadi nasahau penye uliachia
@engineerismael2186
4 ай бұрын
Aziza unajua had unajua ten ❤❤❤
@husseinmohamed1380
4 ай бұрын
Steve you are the best,nangoja zawadi yangu nimekufatilia saana.
@MoisesafariClenton
4 ай бұрын
Steven we kiboko Gonga like kwa mukongo jamani '' fimbu''
@Mrsanthony-ys4ot
4 ай бұрын
Majuto ya ushirikina kumkataa mwenyezi mungu ni lazima ulipie tu. Thanks Allah
@user-sv3gc2pm3b
4 ай бұрын
Hakika imeisha vzur 🌹🌹. Napenda kaz ya dogo sele na wenzake
@hamzaali288
4 ай бұрын
ZOYE BAHARI KUTOKA MOYELE ETHIOPIA. Kama kawa salamu ziwaendee nyote❤❤❤
@FelistusMbithe-qg1ox
4 ай бұрын
Dogo sele kazi njema
@zuhurasumba5683
4 ай бұрын
Nmekuwa naisubiri kwa hamu na ghamu🎉🎉🎉
@AshuraAmisi-ey4mj
4 ай бұрын
Sele Masha Allah nakupenda bure mdogo wangu
@user-lb9pp8yh3n
4 ай бұрын
Ukweli useme nimewahi mapema sana nimeipenda sana hongereni guys🥰🥰🥰
@Jkromeo-if5ke
4 ай бұрын
Ku chart lkn Ku watch bado😂😂
@user-lb9pp8yh3n
4 ай бұрын
@@Jkromeo-if5ke umejuaje
@afandemoturi
4 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@UwimanaZainabu
4 ай бұрын
Bongo juu kbxaa
@user-fn6tb3si7m
4 ай бұрын
Stiv muvi zako nzuri sana lakini unaiacha nusu babantili ,hausboy iko wapi nanitamuu kweliii❤❤🎉🎉🎉
@francinGerome
26 күн бұрын
Niricerewa jamenie mwisho waubaa nikifo😢😢😢😢😢😢😢😢
@HaririMasitanya-zm3oq
4 ай бұрын
Nawakubali sana famille steve respect sana kbx❤
@madahaisack1268
4 ай бұрын
Jitaidii bana kua unatoa miendelezoo
@KhamisHaji-pw4jo
4 ай бұрын
Sele,,,, Masha Allah,,,,
@karembo7082
4 ай бұрын
Mwisho ubaya aibu kumbukeni hapo mama sele usijali mungu yuko nawewe
@mariamomary7758
4 ай бұрын
😂😂nimechek jmn màdevu anavyoongea na MWanae kwa ishar Kam bubu
@rishedynassor6170
4 ай бұрын
Kazi nzur 🙏🙏🙏
@Fm-MornStar2014
4 ай бұрын
STEVE Naomba Namba ya mama Selle please.
@Preetievee
4 ай бұрын
😂😂😂
@user-ef1xp6sj8k
4 ай бұрын
Uyo mama namkubal sana 😂😂😂
@EliVanie
4 ай бұрын
Asante sana lakini munachelewesha kazi sana hii nilikuwa nimesahau kabiisa❤
@user-ul8bt6yi8f
4 ай бұрын
Pia mm notification ndo imenikumbusha
@saumbliz8983
4 ай бұрын
Mimi notification ndio imenikumbusha
@fouzfouzz1137
4 ай бұрын
Stive mweusii anajua ilaa hana mpangilio kwan prt 6 ndyoo finally n miezi tatuu juuu😅😅😅afadhali vivo
@KARRIMACTOROFFICIAL
4 ай бұрын
Kumbe bado unawaza✅✅
@1czay
4 ай бұрын
Kweli mganga ni mungu mitishamba ni imani❤💯💯💯🇰🇪
@fadhilisikawa2186
4 ай бұрын
Mwanamke akijistiri anakuwa mrembo sanaa mashallarh🔥🔥🔥🔥🔥
@FatimaFatima-bx8ez
4 ай бұрын
Mwanzo wa ubaya ni aibu. Mm sele nimependa ulivyo mlea mwana wetu hivyo ndio inatakiwa kulea watto wetu nakukubali good 👍 👍 👍 ❤❤❤❤nice 👌
@lilinalamri7643
4 ай бұрын
Mandevu feel loved 😍
@yussufkashasha2250
4 ай бұрын
Asante kwa kunipenda namm nakupenda pia. Tubadikishane namba za simu @lilinalamri7643
@user-ec6ow2cx7c
4 ай бұрын
Sele pongezi sanaaaaaaaa Kwa kusimama na mungu baba Sele na mamasele pia pongezi kwenyu guys mbona imeisha Steve pull up bro kengeleza huelewi aky unacheza kama wewe
@lightnesslyson693
4 ай бұрын
Mama sele na baba sele wanajua kutumia uhusika wapewe mauwa jmn
@user-mk3zl3yr3m
4 ай бұрын
Safi ilaimechelewa sana
@user-dj4vq4ry6z
4 ай бұрын
Ndani team fulus piteni na like
@user-jg8zz6el8k
4 ай бұрын
Tupo hapaa❤❤❤❤
@Mummyr_j
4 ай бұрын
Aziza na Hans nawapendeni bure❤❤
@AmaniAndrea-ck5zz
3 ай бұрын
Mbona mtoa kipande kimoja kimoja hii Move ni nzuri sana
@HappynesJames
4 ай бұрын
Uuuuuwiiiii ❤❤❤mnachelewesha sana jamani from 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲
@user-io5np6rd1r
3 ай бұрын
Nyimbo itoeni n nzur sana nimesubiri sana
@user-eh2jz8rw3o
4 ай бұрын
Good job steve mozes kua kazi nzuri lkn umetukawiza kbsaa lkn njo ivo tna tuandalie kingin kitu kipya love it from Qatar #Burundi🎉🎉🎉
@user-hv4et9fx7t
4 ай бұрын
Mm mucongoni napenda kazi zako steve mweusi
@claudiayohana6576
4 ай бұрын
Mashariti ya mganga magumu 😂😂😂😂
@DiyanaSimkoko
4 ай бұрын
Hongeren sana kwa movie zenu
@azaliasigirukwishaka4540
4 ай бұрын
Mimi wamwisho❤❤❤❤
@RosemaryWilbard
4 ай бұрын
Wa nane leo
@OmarAli-vj9kg
4 ай бұрын
Wakwanza kukomet
@marymuasa1251
4 ай бұрын
Ndo nmeamini heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo,,nmeipenda❤❤🇰🇪🇰🇪
@OwenKawogo
4 ай бұрын
Jmn mnazingua adi tunasahau tulipo ishia mnafeli kabisa kabisa
@user-xk5rt9pl2x
4 ай бұрын
Iyo nyimbo ya sele kaimba nani jaman inanifariji moyo Wang na inafundisha kua mung ndio kila kitu
@user-wu3tb2ic8r
4 ай бұрын
Forom 🇹🇿 big AP sana 🎉🎉🎉
@missIsaiah
4 ай бұрын
Wamamavyaa wachawi nipeni mimi niwakumute hata mtoto wake akija hana lakueleza
@ramadhanihoti2376
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤ stivu umetisha sana
@wesleykabugi112
4 ай бұрын
Kipara radar ni gani juzi ulikuwa unamchana Steve Leo uko uku ,ama umekujia umbea simuamini ama watanzania na kiki
@benox5062
4 ай бұрын
Huyu kipara alimdish Steve juzi😂😂
@RukiyaButoyi-sk5nm
4 ай бұрын
Safi saaana mmeceza vizuri saana
@francismuthiani349
4 ай бұрын
Katambeeeee Kenya one
@MellanierChristian-wn9mw
4 ай бұрын
steve ur the one ❤❤
@ALIMOHD-bk9lr
4 ай бұрын
Series nzuri sanaaaaaaaa hiii Steve but unapochelewa kuleta tunakosa nguvu na hamu ya kukuunga mkono ktk subscribe, likes na comment. So pls uwahi kaka. NI ushauri tuu from Zanzibar TANZANIA.
@Sayd-pi5lq
4 ай бұрын
Nime ikubali kaz bg up sana
@zainaabdallah809
4 ай бұрын
Mpaka nilisahau jamani usiwe unachelewa sana
@mwanaidihaji-up1rt
4 ай бұрын
Movie nzur lakin mnachelewa sana
@ashaamour1537
4 ай бұрын
Sele jamani nitafute nikupatie zawadi napenda sana unavo igiza
@KARRIMACTOROFFICIAL
4 ай бұрын
alafu Steve tayari ushakua mchawi sasa maana unaturoga na episode moja moja.. sasa kama sio ushamba. Huu n nn sasa😭😭😭
@lilianmaggy
4 ай бұрын
😂😂😂😅
@thentuzumusic
4 ай бұрын
Tumefika mwisho
@Mrsanthony-ys4ot
4 ай бұрын
Ni kweli kabisa Mungu ni mkubwa kuliko wote kwenye Dunia hii❤
@user-mh1uf8oq6t
4 ай бұрын
Mbona mnachelew saan
@user-lo8vo4tl4f
4 ай бұрын
Madevu Bana kaw bubu kwa mda
@DishaniDisha-zm2gm
4 ай бұрын
Kazinzuri sana kabisa 👍👍 👍
@Bigchong00
4 ай бұрын
Mnazinguwa kidogo mnaacha kutotoa vipande mpka mtu anasahau😊
@EsterSaidi
4 ай бұрын
Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KoreanDramaMoviesKiswahili
4 ай бұрын
❤❤❤
@AmeenaMOHD-es7uv
4 ай бұрын
From burundi on love😂
@princessdahlia
4 ай бұрын
Watching from lebapain gonga like tukisonga😊😊
@MondesWilson-jr7rr
4 ай бұрын
Mmmmmh jamani mbona kama mnatupg kwaiyo selle hawez kukataa hivyo viuchawi si akiona mazira ya bibi kafaa kama mganga ana sisi duuuuuu 🤩🤩🤩🤩🤫 hmmm
Пікірлер: 279