Bwana alli masubu ni mchambuzi mzuri sna sns mnatupa habari ambazo hazina shida 👍👍👍
@Raboudiblaq
3 ай бұрын
Kiukwel mimi ni rai wa Burundi 🇧🇮 huwa nafatilia sana habari zenu kiukwl huwa mnanifungua akili na kujuwa badhi ya vitu sawa sawa na wasomi asante sana wajomba 😂❣️🙏
@ChachaRichad
3 ай бұрын
Mm niko bongo napenda kuona dugu zetu mnatufatilia
@Hillary_Daudi_Mrema
3 ай бұрын
Team Russia, China, Iran, North Korea na Cuba moto uwake liwalo na liwe mpaka Marekani ateme ulimi. Big up kwa Simulizi na Sauti kwa wachambuzi bora wa Geo Politics kuanzia kwa Dj Smaa, Ally Masubi na Mwinuka.
@damianlyimo1011
3 ай бұрын
Hawaiwezi Marekani,huyu Putin angekuwa na uwezo angeisambaratisha Marekani Muda mrefu sana,Lakini huo uwezo hawana, Changamoto ya Marekani kwenye Serikali Yako watu unaowaamini sanaaa wakiwa watatu Mmoja kibaraka wa Marekani.
@msafirimaulidi5054
3 ай бұрын
Ata marekani angesha isambalatisha URUSI kwaiy ao wote ni ma giant na usisahau mpk ss URUSI anapigana na NATO
@DodomaTanzania-r5z
3 ай бұрын
Ha ha ha kwahy yeye marekani kama anauwezo nae ilipaswa awe ameshaifuta urusi ktk ramani ya dunia,,, swali mbn hafanyi hvyo?
@davismuzahula907
3 ай бұрын
@@damianlyimo1011 kama Marekani ana uwezo si asambaratishe Urusi kuliko kutoa milio😂😂 Acheni ushamba wa kuami katika movie na propaganda za Marekani front hawezi na hajawahi shinda hata vita na magenge ya wahuni😂😂 sembuse jeshi kubwa la Urusi
@kdloon2030
3 ай бұрын
Unamegwa@@damianlyimo1011
@brianbaltazar6198
3 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana... Hongera sana sky na SNS kwa kutuletea vitu vya tofauti,, hakika utofauti wenu ndio utakao waweka juu..
@YusuphLutandula-qq8yf
3 ай бұрын
Hujazungumzia Pantsir Air Defence system ya Urusi
@Gambasingu_Gilitu
3 ай бұрын
Namba 4 hapa, Like za Putin please.
@luqmanrajab952
3 ай бұрын
Mnatisha sana Tz kwa uchambuzi bora nawenye kueleweka pongezi nying san Alliy Masubi Dj Smaa na sky
@mohamedmarijani
3 ай бұрын
Mungu wape ulinzi na ushindi warusi.
@madaiincubationcenter4947
3 ай бұрын
Asante sana mtaalamu wa habari, hivi kwenye tuzo za online TV hamjanyakua sifa kweli maana mko vizuri sana, hongereni
@reubensimon7015
3 ай бұрын
Duuh wenzetu wametizid sana ki elim.. hebu angalia wanavosuka mifumo ya kuilinda nchi yao.. pamoja na kibiashara pia. Kombora linatoka USA kwenda Russia.. lakini tayari limeshabainika..😱 Huku kwetu African tutangoja sana aisee.
@ngoyaboy1590
3 ай бұрын
Sisi anga letu wachawi wanajimwaga tuu 😂😂
@BilaliNuhu
3 ай бұрын
😂😂😂
@msukumamnywamaziwa2785
3 ай бұрын
❤❤❤pongenzi kwa mwambA PUTIN/RUSSIA
@MwalamiMngombe
3 ай бұрын
Asante kaka nakubari habari zako
@DodomaTanzania-r5z
3 ай бұрын
Hapa kazi tu
@MirajiMiraji-v2j
3 ай бұрын
Safi sna
@luqmanrajab952
3 ай бұрын
Muwe mna tuletea mara kwa mara hiz chambuzi na tarifa za uhakika kwa mim hapa ndio sehemu yaku aminika big up sana
@ezekiambise2595
3 ай бұрын
Godbless russia 🇷🇺
@ramadhanimtozeni8030
2 ай бұрын
Hongera sana kwa uchambuzi mzuri.
@pauldotto7868
3 ай бұрын
Nooo Kuna tochika, pensa m, Uitaje wasikilizaji wajue
@FrancisDonald-go9cs
3 ай бұрын
Sns itakuja kuwa bora sana apo baadae
@MichaelMathew-j3f
3 ай бұрын
Kama marekani ana uwezo kweli, aamue kuishambulia Urusi. Afanye hivo. Marekani ni mtoto tu wa hapa manyara. Wameshindwa kumtoa Urusi pale ukrein. Oky?
@AmosMarwa-b9q
3 ай бұрын
Ubarkiwe sana kaka masubi
@AbisaiHangi-y7n
2 ай бұрын
Aksante sana kwakutudjuza
@MouriceNdomba-tt6do
3 ай бұрын
Naipenda urusi yeye sio mkorofi ila wanamchokoza
@daxenkiller6274
3 ай бұрын
Asa hivi sio Ukraine now wapo na nato intelligent ,weapon, na kila kitu Ukraine n uwanja tyu kama kwa mkapa
@edoedwine5913
3 ай бұрын
watu hawaelewiii sijui vichwa vyao wanaviwekaga wapii😂😂..mtu anasema kma Russia anauwez amsambaratishe Ukraine yn mtu haoni hata ukraine anasaidiwa na 46 countries vs Russia
@pascalmanyama2304
3 ай бұрын
Safii.Vipi kuhusu GIBKA S,inafanyaje kazi.
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
Ni mfumo wa kujilinda pia ila huu upo kwenye majaribio kwa hyo details zake halisi na ubora bado sio za uhakika boss.
@starguyclassic8338
3 ай бұрын
Likes zangu jameni @starguy
@ngendakumanajeanmarrie7490
3 ай бұрын
Asante kwatalifa
@deogratiusyudatadei5658
3 ай бұрын
Huyu mmarekani wakati wake umesha pita na maandiko ya anguko ladoll unaelekea kutimia awapishe na wengine watawale😂😂
@dominicksangu8934
3 ай бұрын
Good urus ❤❤❤
@asingizibwejacobkalokola7351
3 ай бұрын
Uchambuzi wa kitaalamu!
@PUTINN365
3 ай бұрын
Upo vzuri kaka unaelimu yakutosha putin hapa nakukubali kaka
@imanuelnguya9277
3 ай бұрын
Asante sana mchambuzi kunywa soda Kwa mangi nakuja kulipa
@PatrickJulius-uy3yb
3 ай бұрын
Masubi ndan sns kwenye ubora wake fuse ime shiba good news
@brianbaltazar6198
3 ай бұрын
Uraaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@ChachaRichad
3 ай бұрын
Uraaaaaaaaaa uraaaaaaaaa uraaaaaaaa
@abdulrazack9577
3 ай бұрын
Nooma sana
@sebastienkatwali5603
3 ай бұрын
Tuko pamoja kutoka zambia from DRC
@bigchancesmallchance1958
3 ай бұрын
R.I.P Millard Ayo 😂😂
@Brunotarimo10
3 ай бұрын
Pongesi kwa mwamba putin
@aronindibalema4964
3 ай бұрын
Habari kama izi uwezi pata bbc
@ibrahimaziz7158
3 ай бұрын
Cc tz cjui ata km tuna mfumo wa ulinzi wwte labda mfumo wa kupambana na wachawi
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
SNS siku zote naipenda ❤❤
@kenochieng3098
3 ай бұрын
Ongera sana
@godefroidniyonkuru7332
3 ай бұрын
Hey am number1 leo jamani naombeni likes zangu
@kdloon2030
3 ай бұрын
Waswahili tuendelee tuu,kuzilinda nyumba zenu kwa zindiko la nyumba tuu,maana hayo mengine tumuachie mrusi!Tanzania sijui tuna mifumo mingapi yakujilinda na kombora hata moja?
@alexmwingira7267
3 ай бұрын
Volenez ndio mfumo upi maana Wana S300,S400 ndio yazamani na ilipigwa cremea na kombola la Atcmas kwa hiyo hii imefeli ndio maana wamepeleka S500 haraka ambao bado haijakamilika.
@NdovuDentalClinic_
3 ай бұрын
Kenya wanategemea anga ya TANZANIA 😂😂😂
@thesunafrican
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@msodokidasilva6739
3 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah wanataka kutuponza awaa
@deogratiusyudatadei5658
3 ай бұрын
Alafu ndiyo wanataka kwenda kukiwasha huko watajua hawajui😂😂
@jumamaswe4963
3 ай бұрын
Mfumo wenyeqe umegongwa nda drone siku chache zilizopita sasa una faida gani
@micheekasiwa3706
3 ай бұрын
Tunakufuata 5/5 kutoka Bukavu /DRCongo. Ongera sana kwa habari nono.
@IshipalemyPasko
3 ай бұрын
Marekani kama anammudu urrusi si aende peke yake mbona anabeba mimtu kibaaaaaao
@HusseinSaguti-sj9nh
3 ай бұрын
Wao walishndwa toka zaman Ndio maana wakaamua waungane waunde nato.wt ni woga baada ya kujua hawaiwez urusi Umoja wakuujihami unakusudia mrusi
@PeterMchomvu-gv1bq
3 ай бұрын
Kushambuliwa kwa Ukraine ni andiko la mungu maana wote ni ndugu
@peteremanuel2367
3 ай бұрын
Hivi huyu Ruto anaakili za kivipi? Ni kibaraka wa magharibi Kwa nini? Huyu Ruto anataka kutuletea balaa África mashariki
@MwimjumaBakari
3 ай бұрын
Mungu yup O ipo siku ataamua
@EmmanuelSima-qz1gd
3 ай бұрын
S waliamshe tu kila sku mitekenyo ya nn fumua tufe wote tuzaliwe upya
@NdovuDentalClinic_
3 ай бұрын
Pale ukitoa vifaa vya vita unategemea vita itaishia huko mara game inageuka inakuja kwako moja kwa moja
@Grataaaaa
3 ай бұрын
Mjomb mix ally na smaa mmoja peke yake inachosha maaana kila mmoja na utam wake apo na kila mmoja anasifa yake
@lionroot4073
3 ай бұрын
Niko sweden nakusomeni 100 chini ya 100 SNS habari nyengine
@tekashisixtynin9threewithd727
3 ай бұрын
Rusia hana tofauti na 🦬 anayejipishia kwenye mto wa mamba alafu ajui mamba gan atamdaka 😂😂😂😂achana na wazungu yani marekani na washirika wake G7 wale watu balaaa sana
@graysonpastory1918
3 ай бұрын
We ni shoga usie jua lolote unafata mikumbo tu
@majimbeTV
3 ай бұрын
Wa tatu leo
@jumandangu9909
3 ай бұрын
Haya yote ni kwa ajili ya Binaadam?
@HajiKlein-so1rk
3 ай бұрын
🇹🇿❣️🇷🇺👏
@jumaseif4263
3 ай бұрын
Gu awe basi sisi tuluo tim russia ili hao manyabga'au wa magharibi washindwe wanaharam wamebeba dhahabu alimasi pembe za ndovu kutoka afrika wametajirika lakin eti sisi wanatupa vyandalua wanagalamia vita ukrain kwa mabilion ya dola lakin sisi wanatupabdikizia magonjwa
@SwedyMohamed-vt5zm
3 ай бұрын
Tatizo letu elimu yetu ni ya kinadharia sana.Halafu uwekezaji wetu mkubwa wa pesa ni ktk siasa.Hatutoboi.Siku tukibadilika tukawekeza vizuri kwenye elimu,tutatoboa na kuwakaribia kama si kuwafikia.
@YusuphMchomvu
3 ай бұрын
Hiyo wanayoitoa watupe sisi tutambe nayo huku kwetu.
@MkonoZacharia
3 ай бұрын
Nazidi kuipenda urusi
@ngoyaboy1590
3 ай бұрын
😢😂😂😂ety Africa kaipiga russia mfano impossible
@YothamAlex
2 ай бұрын
Wanajeshi wa jeshi la Tz wanajua kama wanaasset kama wewe blza Ally au ndo nchi yetu hatuna haja ya kujilinda na makombora🤣
@tekashisixtynin9threewithd727
3 ай бұрын
Yani mifumo yote ya teknologia imeanzia kwa hao marekani na washirika wake G7 asa rusia anakiwa kama copy asa marekani walishajua yote hayo wataiga mofumo lazima watengeneze mofumo ambayo haionekani ya makombora
@husseinmgoo3074
3 ай бұрын
Ok
@King_Of_Everything
3 ай бұрын
👍👊✌️.
@worldelectro2787
Ай бұрын
Russia ni inchi yenye nguvu sana, marekani pasipo naton ni bure
@mchjohnmasegese8193
3 ай бұрын
Nyinyi SNS kazi yenu kuwasifia urusi na kuwaponda USA.
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
Sns huripoti kila kinachoendelea hamna sehemu katika hyo video imeiponda US.
@ebengapierre8826
3 ай бұрын
Kwaiyo marekani yy anapenda amiliki dunia ? anakwenda kuanguka marekani mwisho wake unafika bilashaka
@tyivbra
3 ай бұрын
Ally masubi ur Kikuyu bro😂 In Kenya
@toymadebho7048
3 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@josepheriah5977
3 ай бұрын
Urus zaif
@GoodchanceVioleth
3 ай бұрын
Asate kwa madini hadimu
@ekimnkande2873
3 ай бұрын
Kwani mifumo ya wengine ni miĺaini wanaume wenzako usiwatishe kwani wengine hawawezi kupiga wote wanayo nionavyo mimi wote wanaweza kufanya chochote vita usimtishe mtu wajerumano wafaransa waingereza urusi hawa wote lazima waogopwe hakuna mtu wa mkumtisha yeyote ma usa
@HusseinSaguti-sj9nh
3 ай бұрын
Ukiona mtu anakuambia tuungane dukapgane na flan na ukakubali jua ww na yy ni dhaifu kwa huyu mtu Nato iliundwa kukabiliana na urusi Nikua hawamuwez
@colmanlesulie250
3 ай бұрын
Why urusi tu
@azizihfarijala5307
3 ай бұрын
kuna silaha za mionzi mbona ujataja nataka kujua hatari zake
@emanuelidamiani2943
3 ай бұрын
Maengineer wa kisoviet wapewe maua yao, hawa jamaa sio poa aiseee
@donaldmgunda4970
3 ай бұрын
Ingekuwa uingerezaa mngetangaza dk 3
@emiliankomba5217
3 ай бұрын
😂😂😂Wao utafikir wamezaliwa Russia
@josepheriah5977
3 ай бұрын
Kalipuliwa Crimea SAS
@dullah-f7p
3 ай бұрын
kwann urusi isipige nyuklia ukrain mambo yakaisha
@majutomusegu
3 ай бұрын
Vita ni hatari akipiga nyukilia Yani vita itakua ya dunia ndio maana anahofia
@amonezekiel4893
3 ай бұрын
Marekani hana inshu ndo maana, anatafuta wa kumsaidia
@chirezaasende4247
3 ай бұрын
Hihi sns ni channel ya Urusi kabisa duuuuuh walahi
@edoedwine5913
3 ай бұрын
maana CNN,BBC na zingine ni channel za Marekani walahi
@emiliankomba5217
3 ай бұрын
Yaan wanajua taarifa za urus kulilo hata jesh la urus lenyewe😂😂
@dominic4727
3 ай бұрын
Amesahau s- 550
@HusseinSaguti-sj9nh
3 ай бұрын
Nato walishndwa toka zaman Mashoga hata wawe elf clolote
@Shafikimanga7
3 ай бұрын
Hawa jamaa waki mbali, na wanaijua vita . Inabidi wengine wajipange
@madjidfine4295
3 ай бұрын
Sawa urusi media tunawapata 😂😂😂 inabidi mbadili Jina la media yenu kwamana sio kwa sifa izo kwa urusi
@emiliankomba5217
3 ай бұрын
Daaah jamaa umeona mbali saana,😂😂 nilikuwa natafuta sana hii coment,, yaan jamaa wanazingua maana wameingiza udini na uteam,, kilz siku ni mambo ya urus urus wao wamebase na team Urus,, hivi wanahis kitu chepes mrus apigane na nato nch wanachama 30+
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
Hamfatilii tu ndugu zangu sns inariport taarifa zote iwe za marekani iwe au urusi fuatilia.
@SamEducationFoundation
3 ай бұрын
Leta na makomboro ya marekani pia sio tu urusi
@mustafamasudi8093
3 ай бұрын
Marekan makombora yake ya kipuuzi tu hana maajabu kwa sasa
@aidenlazaro3054
3 ай бұрын
Urusi inashindwa kudungua makombora ya ATACMS ya marekani
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Yameharibu mifumo yote ya ulinzi ikiwemo S300 na S400.Bado mfumo mmoja tu wa S 500 na Urusi akiuleta nao ukipigwa atakuwa mweupe manake hayo makombora ya Marekani ya ATACMS mifumo ya ulinzi ya urusi imeshindwa kupangua.
@ErickKente-s9g
3 ай бұрын
Makuma nyie. Atacams nyingi zimepigwa na Mrusi. Ni moja tu ndio imefanikiwa kufika Urusi tena kwa bahati mbaya
@ErickKente-s9g
3 ай бұрын
Nyie acheni ufala. Urusi amelipua hizo Atacams za kutosha. Ni hako kamoja tu ndio kalifika kwa bahati.
@MichaelMathew-j3f
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzmarekani alipiga maputo yanayofanana na hiyo mfumo wa anga
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
@@MichaelMathew-j3f putin asingeleta s500 kama america kapiga maputo.Acha kujidanganya ww.
@pambamachibya3965
3 ай бұрын
Hu
@djmaxbeatztz
3 ай бұрын
Marekani watatupia ugonjwa hatari urusi
@mustafamasudi8093
3 ай бұрын
kwan wew marekan unaiona Kama nn unadhan Urusi ni wajinga Kama wew?
@emanuelmaraki9758
3 ай бұрын
Yani nyie wachambuzi mnataka kudanga watu kwamba urusi ndio mwenye akili tuu duniani hao wengine awana silaha acheni kupotosha watuu. Vita inamazara pande zoteee akuna mbabee wanapata hasaraa na pili nyie waandishi mnajua kwenye magala ya majeshi yote dunia au nyie ongeeni mnayojua tuuu msituone ss kengee😂😂😂
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Wanaipendelea urusi na wakati ukweli unajulikana kuwa Marekani ndio baba la teknolojia duniani.sasa kama juzi makombora yake ya ATACMS yaliharibu na kuteketeza kabisa mifumo ya ulinzi ya S300 na S400 ndani ya urusi na crimea kiasi kwamba mifumo hiyo ilishindwa kabisa kupangua kombora hata moja la ATACMS na kupelekea kuharibiwa urusi ina nini tena?
@Uwezohussein-me2gp
3 ай бұрын
Nikujuze tu hilo unaloota likitokea, Russia atanyanyua nyulia hapo hapo.
@frankmichael1307
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzhata wewe pia unajipotosha ivi unazan kabla ya marekan kuitawala dunia alie kuwa anaitawala dunia ni nan
@frankmichael1307
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzkalia hayo hayo ukwel huwa aujifich mdogo wangu kama unamacho unaona na kama unamasikio utasikia tuu
@MichaelMathew-j3f
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzsio kweli. Ww hujui kitu.
@FadhilliIddy
3 ай бұрын
Kam rassia atakuw anaxhambuliw, je yeye hatashambulia na kama ataxhambulia ukrein ye kajipangaje
@LesingoBaraka
3 ай бұрын
Wewe usitupotishe wewe mshabiki wa urusi alafu huendani na utangazaji waachie wakina bundala
@HappyBirds-fx6vi
3 ай бұрын
Sasa ukiletewa stori ya silaha za marekani utazimia. Watu wengi wanadhani ni urusi tu ndo ana silaha nzito
@mustwafathabiti2978
3 ай бұрын
Letewew unaejua
@rajabmartojr3302
3 ай бұрын
Haileee putin❤
@andrewsifuna5673
3 ай бұрын
Nyinyi watu leteni habari za muhimu za kutujenga kama jamii za afrika mashariki
Пікірлер: 195