Kaka mimi niko Namibia 🇳🇦 karibu saana nitakua mwenyeji wako
@mohammeddabwara6220
2 ай бұрын
Mungu. Akulinde. Kea. Juhudi
@fidelfidel-jz4iw
2 ай бұрын
Kweli kabisa Africa ipo ktk ya sayari ukiwa juu unaona Africa vizuri tofauti ya nchi zingine hazionekani
@kelvinmboya5846
2 ай бұрын
Bro sky huyo bro anatufaa sana kwenye kuelezea mambo ya kisayanisi. Hata za kivita tulete mezani
@rashidyunus1835
2 ай бұрын
Brother Sky nina ombi anda interview ya huyu jamaa pamoja na Benjami mzee wa "NALA" TAFADHALI ANDAA HYO INTERVIEW
@linusrichard4450
2 ай бұрын
Jamaa analijua anga kisawasawa 👍👍
@directortwicep3028
2 ай бұрын
Huyu jamaa yuko poa sana nchi yetu itoe sapoti basi
@AhmedHamed-r5i
Ай бұрын
Wako busy na mambo chaguzi! Hawana muda!!
@michaeljuma254
2 ай бұрын
Aaiiiseee very impressive
@paulhema5713
2 ай бұрын
Mama Samia chukua huyu mtu....turushe satellite yetu
@brianbaltazar6198
2 ай бұрын
SNS mpo juu sana
@star_wizard2792
2 ай бұрын
Brother sky chukua hi sns NI kisima cha maarifa hyuu Jamaa mpe kipindi awe anaelezea mambo ya masatelite na Habar za mambo ya Angani Huko kwa lugha yetu ya Kiswahili itakuwa nzuri Sana
@kakawamashariki8978
2 ай бұрын
Hakika inaburudisha.
@jacksonngusi4122
2 ай бұрын
Na anajua huyu jamaa isee
@FrancisDonald-go9cs
2 ай бұрын
Anamambo mengi sana ya kufanya
@directorimmah_vfx3043
2 ай бұрын
umeongea kit mze
@mfupakhamis9751
2 ай бұрын
M/Mungu atupe wepesi nimependa kiswahili kwenda sayasi nimependa Alaahu akbar
@eliudkazoba5170
2 ай бұрын
Safi sana Ndugu yetu, pambana ndoto yako itimie.
@StanleyJohn-c1u
2 ай бұрын
Waislam wamekwazika kusikia Marekani ni balaa kwa anga ila ukweli utabaki kuwa huo na Mungu awajalie wasitoke hapo
@AlexNswila-g1q
2 ай бұрын
Ukija kuelewa kuusu ao wamarekani bc utaacha kuwashadadia
@noahkamendu9081
2 ай бұрын
Kweli kaka ilo jiwe (KIMONDO) liko mkoa wa SONGWE , wilaya ya MBOZI , Kijiji Cha NDOLEZI
@MahmudHakizimana
2 ай бұрын
Uyo jamaa aalikwe sana ALLAH azidi kumfulia iyo elimu
@mwajomberobert
2 ай бұрын
Mwana Anga mzuri sana kutoka Tanzania Na pia ni mwalimu mzuri sana
@officiallugano8991
2 ай бұрын
marekani Baba wa TECNOLOGY
@hamadiselemani8665
2 ай бұрын
Good Idea Bro, Nakuombea Sana Iwe Ivyo
@RichWise671
2 ай бұрын
#Chief_Godlove Mwezeshe Huyu Jamaa Aikombowe Africa kupitia #Tanzania🇹🇿
@luganomunuwavanu9369
2 ай бұрын
😅😅😅
@emaneez
2 ай бұрын
Huyo jamaaa. Yupo chini ya azam . Na ndio fundi mkuu mitambo ya azam media . So hayupo kinyonge hata robo . Nenda azam utamuona .
@ManusuraWalumona
2 ай бұрын
Kilicho nifurahisha zaidi kwa ndugu yetu kuto kutumia so!so!na viingereza vingi vingi ktk maelezo yake tunamuomba atueleze kidogo kuhusu hao viumbe wenye vichwa na miili ya ajabu eti (alliens)wapo kweli na km wapo wapo wapi?nk
@danielsostenes1640
2 ай бұрын
Marekan ajawai peleka mtu mwezin. But mambo ya anga mrusi alkuaga hatua mbele kwa marekan alkuaga mbali sema mpasuko tu
@DavidThadeo
2 ай бұрын
Mwamba yupo vizuri sana🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯
@40kstore
2 ай бұрын
Majamaa kama haya ndo usalama wa taifa wanatakiwa wawatafute na kuwapeleka mbele huko wakaibe tech
@alexanderhaule7667
2 ай бұрын
Marekani kwenye space hana mpinzani. 1. Project Mercury. 2. Project Gemini. 3. Apollo program. 4. International space station. 5. Space shuttle program. Manuva yote ya orbital mechanics aligundua mmarekani kupitia hizo program. They learned how to live , eat , fly and longer stays in space . Dangerous mission zote za space kafanya mmarekani ( Apollo 13 nk ) HAKUNA NCHI IMEFANYA MANNED MISSION TO THE MOON ZAIDI YA MAREKANI . Na sasa wako na ARTEMIS PROGRAM with ARTEMIS II incoming.
@magorymara5515
2 ай бұрын
Jaribu kufanya utafit kwanza kabla hujataja majina hebu nenda google tuone nchi ya kwanza kurusha chombo cha mawasiliano angani ni ipi
@danieltelesphory
2 ай бұрын
Nchi za ujamaa hazina tabia ya kufanya matangazo mengi nakijisifia sana kuwa wao ndio wanaweza,tumeshuhudia sana mengi waliyokuwa wakijitapa kuwa wako juu kumbe Russia anawapita kitambo
@alexanderhaule7667
2 ай бұрын
@@magorymara5515 hujaelewa swali nenda kajielimishe kwanza bwana mdogo.
@Mtumishi755
2 ай бұрын
Naiomba Serikali ya Tanzania mumuangalie huyu Kijana Leonard Shayo kwa jicho la pekee kwa kumsupport kufikia malengo yake kwa Taifa. Mama Samia nakuomba umuite na kuongea nae yale anayohitaji ili kufikisha malengo yake kwa Taifa.
@ce-08
2 ай бұрын
Umeongea vizur sana ila serikali yetu Bado upo nyuma kusuport wazawa
@francomwacha2262
2 ай бұрын
Huyu mangi ana uthubutu sanaa... inabid mawazo yake yafanyiwe kazi Ata kwa faida ya kizqzi kijacho
@JamesJastin-bg1rx
2 ай бұрын
Sasa kwani wew utakuwepo? 😊😊😊
@JustineWangi-j2t
2 ай бұрын
Dah!uyu mwamba yupo vzr namfatiliaga sana.
@Del_busi5
2 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 inawatu muhim sana, serikali iwalinde kwa gharama yeyote ile
@boaziamos1224
2 ай бұрын
Haiwezi
@ramamabinda5063
2 ай бұрын
Daah aisee nmefrah sana
@danvannyzawad6452
2 ай бұрын
Nasema huyu jamaaa ndio mkombozi wetu
@muhammadmbaraka4515
2 ай бұрын
Urusi kinachomuangusha ni uchumi
@StanleyJohn-c1u
2 ай бұрын
Kama unataka kukataaa vile
@Mtumishi755
2 ай бұрын
Serikali ya Tanzania huyu Leonard Shayo ni Mzalendo wa kweli ninawaomba apewe support yoyote anayohitaji ili kufikia malengo yake kwa Taifa.
@deodathsilayo3639
2 ай бұрын
Utashangaa huyu jamaa hataitwa hata itv😢
@SaraphinaKidoti-qe7gi
2 ай бұрын
Sky bn acha uwongo hujawai skia kimondo mbeya 😊
@brianbaltazar6198
2 ай бұрын
Hiyo telescope inaitwa james web telescope
@jacksonngusi4122
2 ай бұрын
Dah story ua huyu mwamba ni nzuri yaani haichoshi inazid kukolea
@JamesJastin-bg1rx
2 ай бұрын
Sasa hapa unamwambia nani mpuuzi wew😅😅😅
@bonifasiemanueli21
Ай бұрын
Mzuri ni mk3 Wako
@BimkubwaMohd-ef6hr
2 ай бұрын
Revolution
@geraldluiso6792
2 ай бұрын
Sacred Geometry. US,get high tech Israel and Russia then China. So that Israel continues to lead in technology.
@athumanramadhan4042
2 ай бұрын
Uyu jamaa awe gps tuh yuko vizur kk
@Youngchimodzi823
2 ай бұрын
Nilimsikia Benjamin Netanyahu,Warusi wako vizuri na mbali zaidi anga za juu kuliko wamarekani. Kuna wkt wamarekani walishawahi kufake wamefika mwezini kumbe sio.warusi na wachina wasiri sana wamarekani wawazi zaidi na hawachi kujisifu kuliko warusi na wachina zaidi
@essaongongolowo2400
2 ай бұрын
Simuamini anavyosema kuwa wamarekani wapo mbali sana lakini hana facts, vita pale Ukrein imetawaliwa na tech za anga lakini U.S anakubali kushindwa how comes anasema U.S IPO juu?
@husseinbunu8581
2 ай бұрын
Wa kwanza kuangalia like
@RAMAMOHA-vn9xv
2 ай бұрын
huo uchambuzi mnaanza saa ngapi tafadhali naomba kujua
@mndambokilavo2502
2 ай бұрын
Kama waafrika tumeanza kufikiria ant gravity technologies tunapoelekea ni pazuri sana ila kijana angalia hiyo technologies imepeleka watu pabaya maana unazuia ugali wa watu
@PaulMasega-yy3sz
2 ай бұрын
Kama universe Ina expand kwanini Dunia isemekane inajaa.
@ce-08
2 ай бұрын
Bundara kwenye mahojiano wewe ni level nyingine kabisa🎉🎉🎉
@jamilaathumani5481
2 ай бұрын
Kiufupi kaka sky sayansi yote ipo kwenye Quran..ukisoma kitabu Cha Quran inakwambia Kila kitu...na mwanasayansi wakwanza dunian na wamwisho ni mtume wetu Muhammad s.w..ukisoma kitabu Cha mungu Quran ndo itakwambia Kila kitu
@DodomaTanzania-r5z
2 ай бұрын
Muhammad aligundua nini mzee😂😂
@FrankKashamakula-xb1pc
2 ай бұрын
Uongo tuu
@Aladeide
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Mohammad alifanya nini katika sayansi?
@FreeGod368
2 ай бұрын
@@DodomaTanzania-r5z hata mfuasi wake ajawai gundua kitu..wafuasi wake ndo watu wakwanza kugundua Biriani..izo bla blaah za kuran mbona hawajawai kugundua hata kufuli
@yusuphkidoto6766
2 ай бұрын
😂😂😂😂eti wafuasi wake waligundua bilian duuu@@FreeGod368
@JoesB-i5i
2 ай бұрын
Wachina wanacopy balaa shida yao ni ranks za quality za bidhaa zao tu.
@eliasaNgahehwa-l2f
2 ай бұрын
Alieanza kaanza tu
@youngbona3804
2 ай бұрын
Next time aje pia atoe mawazo yake kuhusu uwepo wa aliens
@ajsmainde5138
2 ай бұрын
sky unawatoa wapi hawa watalaamu 🎉🎉🎉
@EmmanuelKibaja
2 ай бұрын
unafaida kubwa kwangu na kwa familia yangu tutainuka kwa faida zaidi
@africanmandetraveler2847
2 ай бұрын
Akipata nafasi ya kwenda mambele bora asaini mkataba na NASA au kitivo chochote Sayansi nchi yeyote ile bongo watamchukulia poa tu na kumpa masifa ya uongo au hata kumuondoa kwenye sayari ya dunia kisa tu anakipaji.
@mtoramazani9641
2 ай бұрын
Mwambie huyo jamaha vitu vyote vyaku peleka vyombo vyote ewani vinatoka urusi huyo asome vizuri mwenyewe Elon aja fanakiwa pamoja na kampuni yake kupeleka chombo angani nipo marekani mimi sihitaji kudanganywa na mtu kuwadanganya wengine!
@lourykibudu
2 ай бұрын
Sky tunaomba muengeze huyu jamaa akipata mda kwenye GPS tafadhali tunajua Yuko busy but akipata mda
@DjskillsTboiyprincess
2 ай бұрын
Gps mnaweza kumuongeza jama apo
@mazindehashimu4430
2 ай бұрын
Ni kweli kwenye teknolojia ya anga Sasahivi anayeongoza ni marekani. Urusi kwa Sasa kawekeza zaidi kwenye silaha, mambo ya anga aliachana nayo kwasababu aliona hayana umuhimu nayo kwasababu alishawekeza hapo mwanzo.
@allykwaya
2 ай бұрын
Kabisa. Waende warudi Urusi mbele ya Muda kitambo
@georgekimasa7393
2 ай бұрын
Yaani nyie bhana 😂😂😂 lakini tunajuwa mnavyosema hivyo mnamaana Gani kulingana na majina yenu pia mnacho takiwa kujuwa hata hizo Silaa za kivita zinategemea teknorojia ya anga na Marekani ndiyo anamiliki hiyo anga Kwa kuwa na teknorojia ya hali ya juu hivyo hata kwenye mambo ya utengenezaji wa vifaa vya kivita Bado Marekani Yuko juu na huwezi kumfananisha na huyo mrusi.
@essaongongolowo2400
2 ай бұрын
Anga ndo kila kitu Urusi hawezi achana na mpango Huo.
@JamesIbrahim-el4zw
2 ай бұрын
Tata,nipo tarime,tata soma bibilia ivi Mungu ni muongo,hakuna mtu anaeweza kutoka inche ya dunia,ukiitaji nikupe vifungu vya bibilia,wanasayasi ni waongo,kama wanasema mtu alitokana na nyani,je?hilo nalo unalikubali,nakwambia ikijikita kwenye bibilia utaelewa,ila kwenye sayasi utajidangana,na kudanganya,shetan ni muongo na ataendela kundanganya,
@StevenTaylorx
2 ай бұрын
America wakipata mtu Kama huyu ni dili..
@benedictinelusambo069
2 ай бұрын
Sasa hao roboti wa marekani wanafanya kazi kwenye sayari ya mars usiku na mchana wanafanya kazi gani huko??
@Olaiserriomunyak1059
2 ай бұрын
Swali zuri sana hili? ... Au wanalima?😂😂
@benedictinelusambo069
2 ай бұрын
@@Olaiserriomunyak1059 ilibidi mtangazaji aelezeee hicho kipengele wanafaje huko
@kilogreekachananawatuwasio4054
2 ай бұрын
HILO JIWE LA MBEYA SIUTARI MZURI KWETU TANZANIA NDUGU YANGU???? AWATAKUJA KULICHUKUA WAZUNGU HILO JIWE ????
@mkulimatanzania
2 ай бұрын
Nimewahi mapema kaka Sky tupe elimu hii inatusaidia kujua dunia na wenzetu walioendelea
@greyuhagile5051
2 ай бұрын
Jamaa hachoshi kumskiliza ...arudi tena
@salumyussuf2140
2 ай бұрын
Katika uislam imeelezwa Kwa kina hiyo habar kuwa chuma kilishushwa kutoka juu hakikuumbwa pamoja na ardhi Kwa hiyo Hilo ni jambo limeshazungumzwa na uislam
@salimali-rf9er
2 ай бұрын
Hakka hizo galaxy na vitu vyote hivyo vishatajwa ktk Quraan
@salimali-rf9er
2 ай бұрын
Binaadam wa mwanzo ni nabii Adam, vitabu vyote Quraan na Taurat na vitabu vingine vinakubali hivyo
@muhammadmbaraka4515
2 ай бұрын
Hio rocket ya Tanzania mbona sjawahi iona
@eliasaNgahehwa-l2f
2 ай бұрын
Mi ni urusi bana
@MussaRobart-w2y
2 ай бұрын
Amerca mjanja wengine watakuja
@Olaiserriomunyak1059
2 ай бұрын
Jiwe la chuma? Kwa hiyo kule Mars kila kitu ni chuma? Mimi sielewi?
@fidelfidel-jz4iw
2 ай бұрын
Kweli kabisa wachina wamesambaa kote wapo kama siafu Sisi waafrica wavivu Sanaa kufikili na kujaribu.sisi tunakimbia pesa Tu hii ndio akili yetu watu wenye kufikili hawasaidiwi na jamii wala serikali wanaangalia tu serikali inaangalia udalali kuuza Mali za nchi mikataba mwisho baadae hao wanakuja kudai mabilioni wananchi tupo tunaangalia akili za kinyama
@danvannyzawad6452
2 ай бұрын
Mwite huyu na benjamin wa nala
@lovenessvisent9408
2 ай бұрын
Sisi tukisomesha wanafunzi nje wakirudi wanakuja kutuchapa kuingia mikataba mibovu ya matumbo yao kuongeza kodi kwa masikini na matajiri kusamehewa kodi
@mussamkanga3329
2 ай бұрын
Sky kaka Wewe unajuwa
@DM_15
2 ай бұрын
Kama wameanza ku mong'onyoa hiomiamba huko angani tumekwisha kunasiku tutashuhudia juatuu usiku na mchana haitakuwepo tutachomwatuuu na jua
@mtoramazani9641
2 ай бұрын
Hajui chochote huyo mpumbafu!
@barrynzeyimana6270
2 ай бұрын
Science haijaanzia Misri. Science imeanza na viumbe Wa Kwanza kuumbwa. Mbingu ni viumbe, sayari ni viumbe, watu ni viumbe. Kwahio ndani mwetu ndo kuna science.
@salimali-rf9er
2 ай бұрын
Hilo nalikubali, viumbe wa mwanzo jamii, BIN, MIN, NA MAJINI walkuwa na sayansi ya hali ya juu kanisa
@MichaelMathew-j3f
2 ай бұрын
Ila Russia iko juu sana, usije ukajaribu kumpuuza huyu jamaa. Yuko mbaliii sana!!
@AlexNswila-g1q
2 ай бұрын
Kipo mpaka leo
@JohnLyakurwa-v8y
2 ай бұрын
Mangi mangi
@krisantmwaipungu1434
2 ай бұрын
Ungesema ni south Africa kwa sababu uraia wa Elon musk ni wa nchi mbili. South Africa and USA
@issakawaya8315
2 ай бұрын
Yes
@duasaidi6676
2 ай бұрын
❤
@josephkostans9128
2 ай бұрын
Kwa tecnolojia ya anga na kijeshi Russia yuko mbele milele daima. Bado hamjasema meusi amewekeza angani katika engle muhimu tu hivyo mrusi anaweza kulitawala anga tofauti na marekani soon mtajuwa Putin aliposema anaweza kushusha fatalities za marekani zote alikuwa anamaanisha nini. Russia Ndio dola kubwa zaidi kuwahi kutokea dunia. Bado hamjasema vizuli
@africanmandetraveler2847
2 ай бұрын
Juzi kati walilalamika sana Mrusi ana nuclear weapons kwenye anga za juu
Ongera xna kwa wote, Mwanasayansi wetu anaitaji saport kubwa xna, aya yote Quran imemaliza kuyaelezea japo kwa ufupi, na ili tufanikiwe lazima tuludi kwenye maandiko zipo Aya za sayansi ya anga ktk Qur zitamfaa xna ktk juhudi zake ili aweze kufanikiwa kwa wepesi, luksa ipo wazungu wanazitumia na wanaweza kufanikiwa,
@FrankKashamakula-xb1pc
2 ай бұрын
Acha uongo
@FreeGod368
2 ай бұрын
Hakuna muislam aliwai gundua hata kufuli broo..waislam mmegundua biriani pekee..ingekua kuran ina maarifa ugunduz ungeanza uarabuni..
@josephwilliam5813
2 ай бұрын
Waarabu wenyewe na kusoma KWAO iyo sayansi ya Quran LKN wana hire wazungu ku develop vyombo vyao vya anga,,,SASA iyo Quran inamsaada Gani ikiwa HATA mbudha WA china anawachapa waarabu
@goodluckmsoka3660
2 ай бұрын
Ilo swali kamuulize Dj pia tuone naye atajibu nn
@jacksonmsendo3478
2 ай бұрын
Kichwa sana uyu jamaa
@mohamisi1308
Ай бұрын
GPS ni ya mama mua Africa. Wacheni kumuangusha . Fanyeni reaserch vizuri.
@zigzag4487
2 ай бұрын
Kweli quran ipo sahihi kabisa
@RamadhanMbwana-o1j
2 ай бұрын
Angani hawatumii kilometa wanatumia light-year
@iam_sami
2 ай бұрын
Kama jiwe aliligundua mwanakijiji kwa mgunduzi awekwe mzungu …???
Пікірлер: 181