Kila ujumbe napata ,,kujifunza jambo jipya,,, Asante BWANA YESU KRISTO Kwa Mjakazi wako huyu..
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
4 ай бұрын
Amen amen mjakazi wa Bwana
@InjiliyaUfalmetv
4 ай бұрын
Ameen nakupenda
@Annamubalama
5 ай бұрын
Asante saana Nabii wa Bwana kwa ushuhuda nimejifunza mengi Sifa kwa Bwana Amen Amen
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen mjakazi wa Bwana ubarikiwe pia
@emilyngandu7999
5 ай бұрын
Ubarikiwe mjakazi wa Bwana
@mmm4199
5 ай бұрын
Mariam musa sauti iko sawa dd
@carolinemwanziajustoh8334
5 ай бұрын
Amen, mafunzo mazuri kweli lakini sauti iko chini
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
4 ай бұрын
Oh pole sana sister
@MarcelinaKashindi
23 күн бұрын
Amen ubarikiwe Sana
@paulmwati7539
5 ай бұрын
Amina mjakazi wa bwana
@user-bg4uw3gr3u
4 ай бұрын
Amen
@adylineamutamwa959
5 ай бұрын
Mm huko kusoma neno nashindwa madeni yananipa mawazo naeza saidika vipi naomba kujua nichukue hatua maombi yananishinda kufunga naeza lakini huko kusoma neno nashindwa naomba maombi ya Imani Sana nipo uarabuni
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Oh pole sana na Bwana wetu Yesu Kristo akutie nguvu ya kushinda majaribu
@suvenkanyolo6104
5 ай бұрын
Amen umetunjenga sana Mungu akubariki 🎉❤❤❤❤❤Munjakazi ❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen and amen mjakazi wa Bwana ubarikiwe pia
@Deboraclementgm
5 ай бұрын
Amen ubarikiwe sister Karen mm huwa Niko na ndoto nyingi ila maana yake nakosa dadangu naomba kama uko na group ya wastap basi naomba tuwe pamoja ili nizidi kupata mafundisho
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Shalom shalom mjakazi wa Bwana ubarikiwe sana na karibu kwenye ibox
@marymwombe-pwonde1442
5 ай бұрын
Inbox kwa no.ipi
@user-ye1dt2eb8u
4 ай бұрын
,....tuungeni directly juu wengine atujii inbox, naa tunatamani mtusaidie@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
@user-ye1dt2eb8u
4 ай бұрын
Hatujui inbox ni wapi, tuhurumie
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
4 ай бұрын
Tuma kwa Keren Neema Mausa
@mmm4199
5 ай бұрын
Mariam musa Amen Amen
@Nabatabita6873
5 ай бұрын
Yes namimi nitumikishe kama dada uyu
@daudsimon1488
5 ай бұрын
Amen mjakazi wa YESU, BWANA azidi kukujaza hekima na maarifa juu ya ukuu wake, na upate kibari daima mbele za BWANA na kwa watu wote.
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa Mungu aliye hai ubarikiwe sana
@daudsimon1488
5 ай бұрын
@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU Ameen
@user-bt1hc6px1q
5 ай бұрын
Amen Amen Amen 🙏 God is Good all the time...I love you dada
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Aww amen amen I love you too
@user-bo2ol7bh2r
5 ай бұрын
Amen Amen MJAKAZI WA BWANA
@dayemukalai3427
5 ай бұрын
Napokeya unabii kwa imani
@humbreske3997
5 ай бұрын
Amen amen amen asanti Kwa mafundisho mazuri mjakazi WA BWANA
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen shalom
@vumiliawambula1716
5 ай бұрын
Amina Amina Sana mjakazi wa Mungu
@user-ck2gl7zc2w
5 ай бұрын
Amen 🙏 amen
@Kambili13th
5 ай бұрын
Ubarikiwe sanadada
@violetnyondo8055
5 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe, nina swali jje ni sahihi kubatizwa wakati upo period (hedhi)
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen , sio tatizo Kabisa wakati huko kwenye hedhi ila inakupasa umwambie mtumishi atakaye kubatiza mapema ili uwe wa mwisho kubatizwa
@dionisiamlowe2772
5 ай бұрын
Hallelujah sauti ipo vizuri oh kwa kweli mi nilkuwa nahangaika kukupata
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen
@AzAz-sy6zp
5 ай бұрын
Amen ubarikiwe san dadangu kwa mafundisho mazuri
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe pia
@Mjakazisara55
5 ай бұрын
Amen Amen utukufu kwa BWANA
@Kambili13th
5 ай бұрын
Ubarikiwa Sana
@JustineIlembo
5 ай бұрын
Amen hiyo nikweli kbs ubarikiwe
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen na wewe pia sister
@user-mv5vo8qs3v
5 ай бұрын
Amen sana 🙏🏾
@Jonathankaghese
5 ай бұрын
Amina
@AntoineKasukulu
4 ай бұрын
Nasisi ambaohatuhoti dodotufanyaje.
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
4 ай бұрын
Mara nyingi ukiona aotagi ujuwe ni tatizo ya kutokulala Vizuri au kuna vifungo vya kiroho ndani yako omba Mungu nae atakusaidia
@zipporahmibei9007
5 ай бұрын
Ubarikiwe sana dada
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe pia na Bwana
@user-cr8cd9dm2t
4 ай бұрын
@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFUDada sija zipata mbona
@dayemukalai3427
5 ай бұрын
Ameeen Amen Bwana YESU Kristo asifiwe
@marymwombe-pwonde1442
5 ай бұрын
Amina nimepata la kwangu kutoka Kenya
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
4 ай бұрын
Amen amen
@JustineIlembo
5 ай бұрын
Kuna kitu nimehongeza hapo na kujifunza
@user-cr8cd9dm2t
4 ай бұрын
Dada sija zipata mbona
@AnethMinja
4 ай бұрын
Samahani naomba number zako
@dayemukalai3427
5 ай бұрын
Nitajuwaje mimi ni naziri?
@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU
5 ай бұрын
Ukimuliza Bwana Yesu Kristo atakujibu pia watumishi wa Mungu uwa wanafunuliwa
Пікірлер: 73