Konk sasa nakuona uko vizur, kwan hata voice yko iko napawa kama zamn nmeopnda xna,big up bro, kwa afy njma, nakufatilia xna kaka kwa speech zako nzur za mafundixho ,jpo juz kuna speech yko mja unaongea vzr kama umetoa matuc, ucwe hvyo bhna
@ASTONVILLA_254
6 күн бұрын
Hapo kwa damu ya Yesu Kristo ndio ujumbe mkuu ,damu inafanya kazi kuliko mitambo
@LutenganoCharles-d7t
10 күн бұрын
Chid benzi afate ushauri wa tunda man, aandae tamasha wale wasani8 wate aliowasaidia watakuja kwenye shaw azunguke mikoa yte atapata ata million 500
@Sean1877
4 күн бұрын
Sio gazeti la double XXL ni Source magazine kaka
@shukranikayange2275
10 күн бұрын
Amuache jaydee wangu ❤
@warakawayohana2896
8 күн бұрын
Kweli kabisa kuwa omba omba ni matusi kwa waliokuzaa
@antonykomba6631
10 күн бұрын
Mbona sasa unatukana kule tik tok!!
@AmidouButoyi
10 күн бұрын
Utaoba nini sasa auna music wowote
@davidibrahim9138
7 күн бұрын
Konki hajawahi kukosa madini alafu hana fake life huyu mwamba yupo real na anajuwa vitu vingi sana
@FredrickMatiku-xf2uk
9 күн бұрын
Kamsomesha hadi darasa la 7 ndio elimu kubwa eti mbona ajawa waziri wa fedhaaa angemmalizia adi chuo
Пікірлер: 13