Ally kamwe sawa sawa na Waziri wa habari Haji semaji kama kama msemaji mkuu wa Serikali
@BarakaKangalo-gn8cp
Ай бұрын
Well said kaka Mboto, wasiokuelewa basi wanalijambo wanalitaka la uchonganishi
@BensonMpomo
Ай бұрын
kumbe kisugu na gb 64 ni mapunguhani
@GeradinaJohn-xh8pw
Ай бұрын
Mmmm we mtangazaji mtu ata asidanganye😂😂😂 kwani wewe hujawahi kudanganya😅😅😅😅
@Zaynab-ny6gr
Ай бұрын
Watangazaji walazimisha Ally na Haji wagombane ndio furaha yao
@Zaynab-ny6gr
Ай бұрын
Walazinisha kutangazwa Ally kuna wengi hawajatangazwa km kindoki wale wadada Ibrahim na wengineo twawaona ofisini hatujui nafasi zao na sio lazima kujua na haikua cku ya kutambulisha wafanya kazi wa yanga acheni uchchezi
@AndrewSilas-yb7ur
Ай бұрын
Hujielew wew mtangazaji
@lewismpangala927
Ай бұрын
Kwenye ngumi kaweza mno
@mussandikumana3561
Ай бұрын
Kwa nini Ally akumtaja Manara siku alikuwa Meja Kunte
@user-vy5qv1si9l
Ай бұрын
Mboto huyo mtangazaji haelewi, Haji Manara ni msemaji, na huyu msemaji yupo idara ya habari, na mkuu wa idara ya habari ni Ally Kamwe, Kwa hiyo Haji Manara boss wake ni Ally Kamwe. Huyu mwandishi asichoelewa ni nini?
Пікірлер: 10