Kitu kimoja ninachompendea huyu mzee,sijawahi kumsikia akiongelea siasa hasa za kina tundu Lissu yeye anafanya kazi yake ya ukuu wa mkoa. Hongera sana mshua,piga kazi 👍
@bedakisaka6634
5 жыл бұрын
sasa mkuu wa mkoa ni meanasiasa?
@charlesased
5 жыл бұрын
@@bedakisaka6634 Sijui,labda unaweza kunijuza.
@mlumbarajabu9242
5 жыл бұрын
Ni kweli huyu c sawa na makonda, anapiga kazi yake ndani ya mipaka yake.
@felistakalindima8239
5 жыл бұрын
Charles Ased
@sungitatv9887
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😣 😣
@abuuda4754
5 жыл бұрын
Hivi huyu mzee ana familia kweli... Nyumbani si full comedy 😂 🤣
@ananiamaswi7204
4 жыл бұрын
Anayo tena kubwa yenye furaha
@joelkamau4265
3 жыл бұрын
Namuenzi Sana Mzee mwanri. Even in retirement, I watch his videos... I wish I'd get his contact... I salute you from Nairobi sir💂
@dahilicharlesi642
5 жыл бұрын
Tunaongozwa na mlenda au Bamia Kama umemuelewa mkuu piga like Kama zote hivi😃😃😃
@joelkamau4265
3 жыл бұрын
😂😂😂
@bundaboymararyhmesking8463
2 жыл бұрын
Mtu wa kwenda na kurudi no one like this man
@bengallettv6568
5 жыл бұрын
Yep yep geuka na like zangu twende sawaaaaa na mlenda + bamia
@modestaabeli3389
5 жыл бұрын
Mbavu zangu mie 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@geoffreytwazihirwa2992
5 жыл бұрын
Huyu anafaa awe comedian sijui wanaomskiliza.
@geoffreytwazihirwa2992
5 жыл бұрын
Akiwa kiongozi wangu na hama nchi....sikubali kuongozwa na kichaa
@yohannajimson2790
5 жыл бұрын
a
@godfreyndossi8565
5 жыл бұрын
Hahaaaa
@noahdaud8400
5 жыл бұрын
Angekua ndio mkuu wa mkoa wa mbeya nazan tungekua vizur sana ... big up sana mzee we piga kazi achana na hao wanao gombania siasa
@masoudyrashidy9041
5 жыл бұрын
Mwanri heshma kwako baba ww ndio mkuu wa mkoa kweli baba huo ni wajibu wako mungu akujaalie uendelee mwakani baba
@kelvinkway8606
5 жыл бұрын
Namkubali sana huyu kiongoz .....kazi njema kwake
@barackdizo7113
5 жыл бұрын
Naombeni like hata mbili
@mohamedrajabu524
5 жыл бұрын
Basiee nawaombaee like kamaumesikia
@yohanaelenesti741
4 жыл бұрын
sudan tanzaniai
@tabithachacha6361
5 жыл бұрын
Kama umesikia mrenda na bamia naomba like na mm jaman,,basii eee nawaomba😂😂
@mwanatalenttv
5 жыл бұрын
#mwanri ha! wewe sasa nouma kama unaamin atakuwa rais miaka ijayo gonga like twende sawa
@juniortonny6920
5 жыл бұрын
Mwana Talent #@@ kweliii ase me nampenda awe rais tuy
@mamavero4004
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mama nakufa mheshimiwa nakukubali sana baadaye wataanza mkuu tunaonewa
@calvinntinder3722
5 жыл бұрын
Ww utakuw makamu wake
@mwanatalenttv
5 жыл бұрын
@@calvinntinder3722 😂😂 saw bhan
@festorymlekwas4050
5 жыл бұрын
Kazi IPO heshima yako Mzee,
@godfreymushi5125
5 жыл бұрын
Htr
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Uyu mzee anaweza kuwa padri shehe mwalimu
@engribertinnocent7536
5 жыл бұрын
Nashika msitari nasoma nasema mungu... Nakwepa hapo.. Like tuondoke
@razakjuma9140
5 жыл бұрын
Ila huyu jamaa ana akili nyingi, sijui alisomea taaluma gani ni philosopher kabisa yaani
@AhmedMohamed-vo9nk
4 жыл бұрын
razak juma Alikua mkufunzi wa Jeshi huyo
@yohanachristopha4251
5 жыл бұрын
boge la mkuu kama wamkubali huyu Jamaaa like bas
@cnchogondizi666
5 жыл бұрын
kama namuona Captaiiiiiiin Gardner na yep yep yep geuka ktk matangazo
@augustinokileo7076
5 жыл бұрын
Hahahahahhaha asant sana mkuu wa mkoa Mungu akubariki sana kwa uongozi safi
@mohammedshabani8702
5 жыл бұрын
Sema uyujamaa anaongeaga mambo muhimu sana
@ramadhanisakalani8372
5 жыл бұрын
Hahahahaha haha weweeeee CCM oyeeeeeee mwariiii una tuvunjaaa mbavuuu
@richyangatzyangatz2819
5 жыл бұрын
Ccm inakujaje hapo ww fisiem
@juvenaliludani994
5 жыл бұрын
kama unamkubali atakuja kuwa rais gonga like
@jabarmalid5393
5 жыл бұрын
Huyu ni Mwalim for sure😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naanza kuona kumbe walimu ni viongozi Bora somehow
@fortunathafortunatus4954
5 жыл бұрын
Tunaoongozwa na mlenda na bamia 😂😂
@abednegomichael-c1n
18 күн бұрын
Come with me watching this beautiful speech 2024
@twilakambangwa5952
5 жыл бұрын
Unaongoza mpaka vichaaaa da MH upo vizuri
@damariszuckschwert9489
5 жыл бұрын
Mzee wa busara asiyepungukiwa maneno🤣🤣
@nevermgawe2802
4 жыл бұрын
Jamani namkubali Sana mkuu
@adventlema6389
5 жыл бұрын
The best RC in the world Tanzanians RC icon
@abuusufian6506
5 жыл бұрын
Jamaniiii eeee nakufaaaa
@emeldamkumbwa2817
5 жыл бұрын
Abuu sufian kufaaaa
@shabanabdallah2213
5 жыл бұрын
Nipe nipeeee nipe 😂😂😂😂😂😂 kama unamkubali mkuu wetu wa mkoa like hapa
@christinanoah3887
5 жыл бұрын
et tunaongozwa na mlenda au bamia uwii kama umeakia mlenda na bamia gonga like
@salumomary5307
5 жыл бұрын
Jmaa ana manen meng huyu
@naymakitchen5933
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂yepyepyep geuka yeeeeeep 😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
@philipongenzatv
5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa rahaaaaa natamani nikafanye kazi furu motivation
@Fefetubes
4 ай бұрын
❤❤❤❤ this Guy was a leader
@abdulkillya2655
5 жыл бұрын
😂😂😂, Mkuu tunaonewa,
@shyfettymtunda4619
2 жыл бұрын
Mie nimemmiss sana huyu mzee.😂😂😂😂
@nyakungukimakon1883
Жыл бұрын
Tuko wengi
@babusadala5732
5 жыл бұрын
Vitumbua vyao vimemwagwa kule .....hahahaa jamaa namsoma sana !
@genovievkisaka1860
5 жыл бұрын
Huo mziki anaocheza ambao sio unaopigwa mm hoi
@chriskalega5708
5 жыл бұрын
Mi nawaza tu kuwa angeku rais uyu maisha yangekuwa poa sana
@zainabhamad1471
5 жыл бұрын
Yani huyu jamaa namkubali hadi mawazo yanaondka akiamungu dah huyu bora awe raisi wtu Tanzania 2020
@SHOLLAH804
5 жыл бұрын
Huyu jamaaa na namkubali sana big up
@magynzioka1122
5 жыл бұрын
siachi kukupenda wa ninenepesa bure ungekua aujaoa ni ngeolewa na wewe na ni mahari wasichukue sio kwa comed hiii jamani hadii rahaaa msio sikia mkuu uyu wa mkoa na kuteda basi kweli sijui nanai atawambia haaaaaaa💘
@pascalstaharabu4124
5 жыл бұрын
Magy Nzioka hahaa weka mazngir ya kupigwa flat
@magynzioka1122
5 жыл бұрын
Pascal Staharabu 😂😂😂😂
@rubenymkama1317
5 жыл бұрын
Mm bado njoo kwang
@sir_ENOCKMACHA
5 жыл бұрын
@Ali Ali we huna akili shenz
@jetimba-programinglanguage8308
5 жыл бұрын
Chumban ungeambiwa yaaap!! Yaaap!! Geuka ndipo ungejua kwamba umeolewa na mlenda au bamia
@nkungujackson7092
Жыл бұрын
Huyu jamaa ana point sana😂😂
@bernardchibwana1907
5 жыл бұрын
mzeee ananifurahisha sanaaa, mungu akueke sana mzeeee
@clementgerald2988
5 жыл бұрын
Dingi Uko Vzr hunaga Siasa kazi kazi tu
@davidcurtis8556
5 жыл бұрын
Aaahahahaaaaa!! Anaesikia njaa amsikilize tu huyu mzee atashiba.
@imakulatakomba7644
5 жыл бұрын
David curtis
@davidcurtis8556
5 жыл бұрын
@@imakulatakomba7644 huyu mzee kama hayupo Tanzania vile hajui chochote yeye anajua kuwapigania watu wake tu wa jimboni kwake basi usidhani ni kitu cha kawaida upendwe na watu wa aina zote mpaka machizi, hembu msikilize anachokiongea mpaka mwisho utaelewa tu
@bzablonsenior9368
5 жыл бұрын
Wa kina meku kama umeskia nipe like
@ramfightertz7431
5 жыл бұрын
Mrenda + bamia ngonga like #mwaly
@maombitv4118
5 жыл бұрын
MIMI NAMTAZAMA MKUU WA MKOA KWA JICHO LA UCHUNGAJI NA ANGELIFITI SANA KWENYE UTUMISHI WA MUNGU
@yazidu_tz
5 жыл бұрын
ndani yake kunq chizi kuna mwehu kuna asie jielewa yeep yeep yeeeep Geuka ... ANAEBISHA ANYOSHE MKONO 😂😂😂😂
@mpelienock
5 жыл бұрын
Namkubali sana kwa post nilizomsikiliza He is doing better na ameamua kua mkweli na akikuhukumu utaiona hatia pia.
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Uyu baba anatakiwa awe mkuu wa mkoa wa dar essalaam kwasababu dar kuna watu vichwa ngumu
@Bigfmedia
5 жыл бұрын
kama unamkubal huyu mzee kama mimi Gonga like hapa twende sawa
@alicebahadia5529
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uyu baba ataniua
@pilikhamis2924
5 жыл бұрын
hahaha baba hongera yako duuh
@mohammedabdallah6390
5 жыл бұрын
Yaani mie huwa nachrka sana
@melikiorimunisi6142
5 жыл бұрын
Kodi ya kichwa hahahahahahaha
@elizabethjoseph2116
5 жыл бұрын
Mi mshacheka mpaka baaaac
@mpapakatani5264
5 жыл бұрын
Alice Bahadia 0765273892 nichek
@brianadolfbabat1180
5 жыл бұрын
Mzee nakukubalii wew njoo mbeyaa
@petromakala3061
5 жыл бұрын
huyu jamaa ni comedian sana aseeeeee, injinia soma hioooo
@sonbray4104
5 жыл бұрын
mzee yuko vizuri
@samsonlutogisha3525
4 жыл бұрын
Nakukubali xn
@subrynerysegerow1323
5 жыл бұрын
Kuna mwehu kuna chizi kuna taira kuna kichaa 😂😂😂😂😂😂
@alexkikoti1222
5 жыл бұрын
Namkubali sana
@mrinjimndambi2874
5 жыл бұрын
Wewe ni yupi Kati ya hao uliowataja?
@westonmbuba6421
5 жыл бұрын
Mwanry ukistaafu ukuu wa mkoa kawe mchungaji. Utapata thawabu. Utaokoa wengi.
@monicamwaisaka3484
5 жыл бұрын
Nilitaka kusema hvyohvyo
@westonmbuba6421
5 жыл бұрын
@@monicamwaisaka3484 hahaha. Umeona Monie! Huyu ni mtumishi wa Mungu.
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Ndugu zangu watanzania kitambulisho ni muhimu
@amanimnyanga2002
5 жыл бұрын
Safi sana baba unabali kama wote niwanao machizi na walemavu ukukwetu kiwa mnywaji unatwa mtu wa ovyoo nabaguliwa na kiongozi wako piers anajua
@TRAVELANDTASTETANZANIA
5 жыл бұрын
Hapo kwenye kupindua VITUMBUA vikiingia Mchanga ndio basi Tena......
baba magu tuletee uyu mzee morogoro....uyu ni kamanda asee
@mpogomimussa2368
5 жыл бұрын
Sukuma ndaniiiiiiiiiiiii,
@bensonlameck6348
Жыл бұрын
IGEmbensabo cooperative union limited..
@nashonnahumu12
4 жыл бұрын
kubali sana mkuu wang
@kulwaabdulrahman6196
4 жыл бұрын
yepu yepu yepu.......
@annyrutty657
5 жыл бұрын
Tunaongozwa na mlenda au na bamia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dah!
@ndessaabdul7012
5 жыл бұрын
unaongozwa n mlenda au bamia
@ostenandson157
5 жыл бұрын
Hatari sanaaaa
@richardherman2959
5 жыл бұрын
Yep yep yep geuka na like😁😁😁😁😁😁😂
@maximusjackson6842
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👐👐🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Salute mzee
@mgendimussa7224
5 жыл бұрын
Haaaaahaaaaa kama umesikia mwehu au chiz tahila weka like moja hapo haaaaah au ni masikio yangu.
@clementbabuu4811
3 жыл бұрын
Mwanrii🔥🔥🔥🔥
@hamisimarandu5627
5 жыл бұрын
Noma sana
@mtambocomedy7053
5 жыл бұрын
Yeep yeep yeep geuka. Jamaa ameamua kuwa katuni mwanzo mwisho
@evaristmandilindi6147
5 жыл бұрын
Mpaka wrote waseme SHIKAMOO BABAA
@minaside6717
5 жыл бұрын
Unawaongoza wehu, machiz 😂😂
@paulofaustini4623
2 жыл бұрын
Natamn kumuona huyu mezee kua raisi wetu wa tanzania hakika anafaa
@amosimazengo3815
5 жыл бұрын
Mmmh mi nimegundua kitu kimoja kwa huy kiongoz anapenda San watu wake na yuko pic na watu wake serious kidgo kicheko kidgo ili hat kam umesahau maagizo ulopewa utakumbuka pindi ukikumbuka alivyokua anachekesha kwahyo utatekeleza Hongeren kwa kupata kiongoz ambay hapend kujipraud mbele za watu wake
@asteriambwei95
5 жыл бұрын
Nipe nipe indemoni mchezo wake utaipenda
@user-zz9js7te8e
7 ай бұрын
MZEE SMART SANA
@edwinhotay4227
5 жыл бұрын
Eti volkswagon mbovu watoto wanachezea😂
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Huyu mzee nampenda sana kwanza anajua hesabu na yuko makini uwezi kumtiabox
@fadhilplatnumz6209
4 жыл бұрын
Dah- hanaga Mpinzani
@rasulisaloom1421
3 жыл бұрын
😂🤣😃😁 namkubali Sana Mwanri........
@faithaction2505
5 жыл бұрын
Nmecheka sana asee pale iv tunaongozwaa na mrendaaa au hahahaahh
@peteradeteacher1380
4 жыл бұрын
Uyu anaweza uyu
@herberthkavishe2983
5 жыл бұрын
Huo mkwara ni mzito sana. Ila nikiangalia mzee alivyolegea mkono na jinsi mic ilivyoshikwa kama inadondoka ndo hapo napochokaaaàa
@noxiousneck8828
5 жыл бұрын
nice
@evancemnyiliki4132
2 жыл бұрын
Jamn sanam lake lijengwe 🙏 please
@liberatusulaya2269
5 жыл бұрын
Ukifk majengo ya igembe NSABO, hahahhhhhh!!!!! Nipeni like za kutoshaaa!!
Пікірлер: 400