unatunza sana kumbumbukumbu kaka issa mungu akulinde bloo
@amosimussa3360
2 ай бұрын
Bro Dotto Allah awape maisha marefu ww na boss wako mnaishi vizur see you when you see me bro
@abdulthabit_
2 ай бұрын
3:33 Simba Anavaa Kiflana Kimeandikwa Kondom😂😂😂😂🙌
@user-lk9ld5zo6u
Ай бұрын
Ukikutana na isa tambuu road huez dhania mi fogo coz ni mtu amani kinom yaan
@user-mu1uf2rl4x
2 ай бұрын
Issa ni mtu mmoja humble Sana hana majivuna afu ana mawe ya kutosha aisee
@saidkanji9882
2 ай бұрын
Saizi tena
@manfredgeorge4865
25 күн бұрын
ila doto we comedy sana blees my brother
@DarliotonTumaini
6 күн бұрын
Maneno ya doto yaligeuzwa hela😂😂😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
2 ай бұрын
Ila dotto wewe kiboko uwiiii 😂😂😂 sio kwa kuongea hivyo ila raha sana kuwa kalibu na boss ivyo alafu wala anuni
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Dotto noma aseee😂😂
@daudichoghoghwe5035
2 ай бұрын
Wivuwann watz wanemtambua kwa kazizake
@petercharles3787
2 ай бұрын
So hiyo ndiyo Habari kweli bongo nyoso
@mitv90
2 ай бұрын
😂😂😂 Doto Fala sana
@TALLUBOY
2 ай бұрын
Sasa mwaka 2017 mbona Diamond Ella anayo
@user-to6cg8uf3f
2 ай бұрын
Uongo mno eti 2018 uongo tu
@PatrickMsaki
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 ila doto......
@nkunzurwandakatibu9694
2 ай бұрын
DOTTO ANACEKESHA SANA
@user-rf7ni6tr2o
2 ай бұрын
Msukumaaa mtaniwakeee
@user-zr5rg5ul3q
2 ай бұрын
Ilaaa dotto😂😂😂
@kamalmreh8473
2 ай бұрын
Now doto
@nourlaboratory
2 ай бұрын
😢😢😂😂😂😂
@SilasChitui-xk2sw
2 ай бұрын
Kwani Tanzania watu wanauza Gari kama maembe pembeni mwa barabara. Hapa Kenya hamna Tajiri ambaye utamuona akisifiwa, na pia hawapendi kuonekana. Utapigwa risasi 🔫🔫🚔
@mussaabdul3527
Ай бұрын
Ni huko kweny
@SilasChitui-xk2sw
Ай бұрын
@@mussaabdul3527washamba nyinyi magari yenyu ni bei ya baiskeli hapa Kenya
@DanielLaurent-pl4rg
2 ай бұрын
+254 chorodo
@amirisaid6341
2 ай бұрын
Hivi jamaa ni kweli hajui kusoma?
@westcijosh
2 ай бұрын
Anajua
@user-hi8le2vb7z
2 ай бұрын
ULIPATA CHANS NZURI YA WA TZ KUKUTAMBUA,,KOMAA NA MAGARI ACHA POROJO,,,MAGARI YENYEWE MNAPIGA WATU TABU TUPU AH😊
@kakaaignas3675
2 ай бұрын
Kapige na wewe
@user-hi8le2vb7z
2 ай бұрын
@@kakaaignas3675 DAWA KAMA INAKUINGIA UNASOMA UNAUGULIA TU,,ACHA KUPANUA PANUA 😊
@allahisone6386
2 ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mohammadfahad3186
2 ай бұрын
Acha chuki ww MGANGA MUNGU MITISHAMBA IMANI kwenda na kichogo chako na meno yako ya kunguwa njaa tuu 😂😂
@Official83640
2 ай бұрын
Acha makasiriko km hujui Issa na Doto ni watani Shinyanga, Mwanza,Tabora ni watani wa Wazalamo km hujui sasa ndy maana unaona utani upo sana hawakasirikiani ss ww mwenye kisirani chako peleka huko kwa watani zako 😂😂
@user-ne3ev7qo9i
Ай бұрын
Ni 2008 huko sio 2018 hapana
@ramadhanomar6805
Ай бұрын
2008 mondi alikua Bado hajatok maan ngoma yake yakwanza kumleta mjini ilitok 2010
@JacquelineMmari
2 ай бұрын
Mnipe pesa yangu
@josephguerino7416
2 ай бұрын
Wamekutapeli dada?
@JacquelineMmari
2 ай бұрын
@@josephguerino7416 ndio Nina mdai make waki pesa yangu hawanipi Mimi ninafanya biashara ya vitenge nilimpati make wake na sasa wamenibock kwanye simu
@JacquelineMmari
2 ай бұрын
@@josephguerino7416 make wake na yy mwenyewe nilikutana naye nikamwambia shemej unaniju naomba umwambie mkeo mbona nampingia simu yangu hapokei ndio nikabock kabisa
Пікірлер: 53