Ni huko kupiga kazi Kwa huyo boss aliyekuwa na utajiri wa Kafara Hivyo basi Kijana baada ya Kuajiriwa alikuwa akijipanga Kwa kukumbuka Maendeleo yampasayo mara baada ya kupewa ujirwa wake na ndio maana alipopata matatizo amekuwa akiishi katika sehemu Salam Boss wake ndiye aliyekuwa akiua na kutoa Kafara ili utajiri uongezeke Mer Fred Endelea Kusikiliza Simulizi nyingine Subscribe na Kubonyeza alama ya Kengele ili uweze kupata Simulizi Kwa wakati sahihi pia Like Comment na Ku-Share Kwa Kadamnasi nipate nguvu hata ya kuongeza familia ya EMOTION WALLS SIMULIZI ZA SAUTI
Пікірлер: 11