Qur'an inataka heshima na kuizingatia, na sio kuisoma tu kama mnavyoimba mziki.. Allaah awaongoze nyinyi na mimi pia tuwe wenye kufuata sheria zake.. Hii Dunia ni fupi sana na inahadaisha sana.. Sijawadharau ila nawaombea Dua nyie nami na Waislaamu wote tumtwii Mola wetu..
@elallymoussa2980
10 ай бұрын
Kwanza hapo wamesoma makosa kibao kwnye matamshi
@shamsajuma
10 ай бұрын
Kama konde ndo amezidi kusoma gani qur'ani huku jmn khaa!
@cactuswest271
10 ай бұрын
damn true
@toomaaloufi6221
10 ай бұрын
Subhanna Llah... Ameen yaarabb
@Jowelia
10 ай бұрын
Ameen🤲🏼🤲🏼🤲🏼
@humphreymtowela6293
10 ай бұрын
Hussein machozi You killed it man🙌🙌🙌🙌
@rukaka_jr4514
10 ай бұрын
Husen machozi jenifa na lavalava ndo 3 bora wengine wamepuyanga wajifunje kuisoma quran na sote tuisome na tuizingatie InshaAllah ❤❤❤
@habibuhabibu9728
10 ай бұрын
Kabisa
@fathiyamohamed7919
10 ай бұрын
Na uyo machozi pia co sauti yke hpo ni lavalava na Jenifer tu
@komboally3499
10 ай бұрын
Lavalava ndio hayumo kabisa anasoma ndivyo sivyo, sauti ndio yawakoroga
@ramasarai7875
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@barakathdthekinda3722
8 ай бұрын
@@fathiyamohamed7919lava lava kasoma nn wakat anakosea kusoma ana makosa kibao
@kuvadorothy1636
Жыл бұрын
i admire Lava Lava recitation of Qur'an. It 💪really touches my heart... I wish he could continue reciting more of it. Big up bro✌✌
@abdulmohd6880
11 ай бұрын
It seems like you don't know Qur'an as Lavalava, coz he recites wrong but you have been just impressed by his voice without knowing that he is reciting wrong😢
@user-wk4kr8id6u
11 ай бұрын
@@abdulmohd6880sure once I heard people said, he recite well I was so interesting to hear what he recite but, I could realize that he recite wrong
@khatijakhatija3481
10 ай бұрын
Mashaallah lavalava anasaut nzur yakusoma Qur an kuliko kuimba
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
10 ай бұрын
Allah awaongoze kuifuata haki
@mohamedabdullahi8874
10 ай бұрын
Wote ni mahafidh Quran
@abbasnguma6646
9 ай бұрын
Hussein jazzakallahu hairan.Allah awafanyie wepesi ya dunia yatapita muda mfupi sana.
@Storeman7thFloor
9 ай бұрын
Hussen machozi ndo ameua sana❤🎉🎉🎉
@user-jk3cp6mr6n
10 ай бұрын
Hakika huseni machozi allah kakujalia sauti yan unapo isoma quran inakuwa niyenye kupendeza sana.tumuombe Allah atusamehe makosa yetu tuwe niwenye kulejea kwake tukiwa tufitiwa madhambi yetu Ameen.
@user-si8sw3eo6d
7 ай бұрын
Nakusuport wallah yan nimependa usomaji wa Husseni
@zassyhushy4640
9 ай бұрын
Mashaallah! Achaneni na muziki wa duniya murudi kwa Allah
@papaismael397
8 ай бұрын
Harmonize arudi madrasa ajui inakaa iko na mda mrefu asomi quran penye surat fatiah inamtatiza hali ningumu kwake alhamdulillah naona wengine wamejitahidi
@Officiallmyra
10 ай бұрын
Hossein machozi, lavalava, Jenifer 👏👏👏👏👏 🔥🔥🔥
@hawwaachitale1882
10 ай бұрын
Naam
@davidkg2909
10 ай бұрын
Hussein machozi upo vizuli ningekushauli uludi hapo ndio sehem sahihi kwako Allah akufanyie wepesi inshallah
@mamuamtoto
11 ай бұрын
MASHA ALLAH ❤,Kipindi kiendelee,Jambo la kheir haliwachwi.Allah atuongoze sisi na nyinyi.Muwache kuvaa Herini,Vidani wanaume,sio mapambo yenu ni ameumbiwa Mwanamke.
@HumoudSeifSuqry
4 ай бұрын
Alie soma Qur'an vizuri kabisa lava lava Pamojaa Hussein machozi Masha Allah
@masoudhamoud9381
9 ай бұрын
Laiti wangelijifunza qur - an kama wanavopigania mziki basi wangepata faida kubwa Sana, Allah awaongoze wote
@SharifaSeif-i6k
9 ай бұрын
Hakika
@Kisra-yw3qz
8 ай бұрын
ameen
@raphaeljeremiah8161
11 ай бұрын
mashaalllah ila namuomba alllah atulinganie kweli kweli tuachane na mahaba ya dunia . amen
@user-lf6kn7xc3u
9 ай бұрын
Zuchu jamani hat amma lavalava good na jeniferchukua maua yako🎉 but all in all mashallah❤❤
@user-dx3in3cq2p
11 ай бұрын
Mashaallah kaka hussen Allah akuzidishie
@mwartoumyusuf4009
9 ай бұрын
MashaAllah lava lava Allah akuongoze kwenye dini
@hamiduibrahim7092
6 ай бұрын
Mashallah Hussein machozi, Jennifer kanumba na Bi zuhra
@zoab2699
10 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله lavalava na huyo bint alie vaa hijabu ya kijivu allah awabarik mnasoma vizuri
@G.r.e.a.t.I.Q
11 ай бұрын
"Inna shaytwana ala l-insani a'duwan mubin(Hakika ya Shaytwani kwa binaadamu ni adui mkubwa/ aliye wazi)." Lakini nyote nyie mlio jinafikisha kusoma Qur'an ndiyo wafuasi wakubwa wa shetwani. Mumekatazwa kuimba, mnaimba na kutunga tungo zenye kumomg'onyoa maadili mema kwa makusudi.. Huku viongozi wa nchi wakikuangalieni. Ni kama wanakuogopeni. Au sijui mmewazidi ukubwa kivipi?
@kassimiddi5294
10 ай бұрын
Allah awaongowe awajazie nuru icho kidgo walichonacho kiwe ni ukombozi kutoka kwenye giza la sheitwani hadi kwenye Qur ani ya Rahmani
@SirajuMsolokelo-ic6zd
10 ай бұрын
@@kassimiddi5294amiin😂
@fellixgakwandi2885
7 ай бұрын
Awa ni manafiki majubwa wanajifabya wayisaramu kumbi madui ya uwuyisaramu
@Jamila-cz5ge
7 ай бұрын
MASHALLAH . ILA HASARA YAKO UNGEKUA UNASOMA QRUANI KULIKO KUIMBA NAUNAJUA YAKUA KUIMBA NAUNAVO VAA NIKINYUME NA DINI. MNADANGANYIKA NA DUNIA MNASAHAU AKHERA. ALLA AWAONGOZENI
@user-pp5lz9qs9k
11 ай бұрын
SUBHANALLAH HAWA WTE N WAISILAMU KISHA WANAIMBA NYIMBO WALLAH TUNAITHALILISHA DINI YETU TWAMUOMBA ALLAH ATUJAALIE TUWE WENYE KUFUATA MAADILI Y DINI YETU
@mamawamoya3344
11 ай бұрын
Àmiiin
@BadruddinJuma-vz1hh
11 ай бұрын
Hawa watoto wote llaana tu lwa
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
waaache wamdhahaki Allah ipo siku yao
@aishadanda1787
11 ай бұрын
Bas kazi
@ukhtyrayyan7884
11 ай бұрын
Omba mwisho mwema hujui mwisho wako vipi nawao vipi
@SirajuMsolokelo-ic6zd
10 ай бұрын
Inshallah Allah awaongoze zaidi ili mzid kujifunz qur,an na kuzid kufa yaloo mazur
@mashakalonka7767
7 ай бұрын
Lava lava,Hussain Machozi, Jennifer Kanumba&Zuchu mnajua kusoma Qur'an kwa ahkami zake,naomba Allah awaongozeni inshaAllah !.
@mohamedmahmudali9346
11 ай бұрын
Surah ya 2 Aya ya286 inasema ""Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyho. Faida ya iliyo yachuma ni yake, na khasara ya iliyo yachuma ni juu yake pia. (Ombeni:) Mola wetu Mlezi! Usituchukulie tukisahau au tukikosea. Mola wetu Mlezi! Usitubebeshe mzigo kama ulio wabebesha wale walio kuwa kabla yetu. Mola wetu Mlezi Usitutwike tusiyo yaweza, na utusamehe, na utughufirie, na uturehemu. Wewe ndiye Mlinzi wetu. Basi tupe ushindi tuwashinde kaumu ya makafiri."" 🙏
@siti3197
11 ай бұрын
Mtu hnapokosea. Uomba msamaha kwa Allah n usirudie... Tena Allah umsamehee mtu uyo ss Kuna mwengine waomba msamaha leo kesho wamevaa uchi. Wamerudi kule kule uko n kumchezea Allah ndugu zangu.... Km Kuna mahali nimesem vipaya anhaswifaah. Waislam wenzangu
Yaani hapo jenifa walau mashallah husein kama sio ulikua unafata record pia mashallah ila shost zuchu mmmmh na wewe harmonize qurani inasomwa hivyo wallah mtihani na kuna aya umeiruka basi sijui ndio umesahau kwa mbwembwe..... na kama suratul fatiha tu ambayo ni sura muhimu kuihifadhi mana haikamiliki swala yako bila ya suratul fatiha hali ni hiyo si mtihani huu eeh Allah tuongoze waja wako
@jaliabahat1520
11 ай бұрын
allahuakibar nyie watoto huyu Alie fata baada ya lavalava subhanallah
@hawamatuta1905
11 ай бұрын
Hussein machozi uyo kama cjakosea
@hawamohammed9740
8 ай бұрын
Lavalava na jinifa kanumba mumewaoiga pin wenzenu wote akifatia zuchu jitahidini sana kukumbuka na ya akhera allah akusimamieni❤❤❤❤nimeshindwa kuzuia chozi langu nilipowasikia munavyosoma
Moment soma vzr mashaallha Mungu awazidishiee amini
@salimanguzo5553
11 ай бұрын
Naelenizako kma jagwa Masha allah mnasoma vzr atamicjui allah awajalie mtoke mlipo
@Moregun619
10 ай бұрын
Hussein machoze all the way🙌🏽❤️
@christinemwita2079
10 ай бұрын
@Hussein Machozi, Rudi mtumikie Mungu!
@user-us7to2np8m
8 ай бұрын
Husein machoz ameisoma qur ani kwaunyenyekevu sana mungu atuongoze katka njia ilonyooka tusiwemiongoni mwa waliopotea
@user-mt4sd6cj5y
10 ай бұрын
Subhanah Allah ....kumbe wote ni waislam hawa...doh kesho kuna kazi..mbele y Allah.hujafa hujaumbika Allah awaongoze njia iliyonyooka.yarab haki muifuate...batili muiepuke.
@theme-sk7zc
9 ай бұрын
We ndo mtu
@alimuhamed1830
11 ай бұрын
Mtihani ila binaadam chakuomba ni mwisho mwema Allah atujalie mwisho mwema sisi navizazi vyetu amn
@user-er2cy2yh3u
8 ай бұрын
Lava lava umetisha san saut pia mashaallah ushaur achen mizik mrudien mola, allah awafanyie wepes inshaallah Amiin 🙏🙏🙏
@user-gs9pp8gv9g
8 ай бұрын
ivi mkisoma kur an na kuimba ipi bora msipende sana dunia mukumbuke alla.anawasubiri ishallah mungu akushushieni neema zake
@RahimaMct-ik8mr
8 ай бұрын
Lavalava hosen machozi mashallah 🎉🎉🎉
@hadijamtambo5290
10 ай бұрын
Hussein machozi Jennifer na lavalava Allah azid kuwabless ❤
@mjaweathman6519
11 ай бұрын
Lavalava ,,husein machozi ,, Jennifer Mashallah ❤❤❤
@maryamhawai4287
11 ай бұрын
Wapo vizuri hao uliowatag ila huyu wa mwisho na harmonize ni msiba mzito kwa kweli
@mjaweathman6519
11 ай бұрын
@@maryamhawai4287 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MwajumaMapemba
10 ай бұрын
Lava lava na jenifer kiboko❤
@rosemuhandoofficial5676
11 ай бұрын
Lavalava ❤❤❤
@hassaniulende-sp6io
10 ай бұрын
Huyu ni UJINGA nyie mashekh mko WAPI ?
@ZubeirAbdallah
10 ай бұрын
Hussen machoz Mashallah 😮
@user-ou3bo2wk7c
10 ай бұрын
Mashaallah ninawaombea muachane na mbo ya kishetwani muwe wenyekukisona kitabu Cha allah
@SaumuRuwa
10 ай бұрын
Lavalava killed it ❤❤❤🎉🎉🎉 wengn wanaimba
@yogwemwakulola1634
10 ай бұрын
We ata hujui skiza Hussein machozi
@stablehech
10 ай бұрын
@@yogwemwakulola1634Hussein Machozi alisoma vizuri kisha kwa umakini
@allymwachuma3132
9 ай бұрын
Huyo lava kaharibu zaidi ya kuharibu konde ndo mpk aya anasahau ktk sura ambayo ni nguzo ktk swala vp akitaka kuswali swala itakuwaje?HUSSEYN MACHOZI NDIE ALIESOMA PMJ NA MDADA MMJ
@oku4900
9 ай бұрын
Mashaallah Allah atuhidi kwa sote yaa raab Amiin
@maryammtumwa8278
10 ай бұрын
Subhana Allah akuongoze Rrabbi sisi nasi na akutoeni huko mliko si kwema njooni huku ktk kheri mtajuta mkiwa huko hadi umauti ukikufikeni
@user-dw7bs1ho9w
11 ай бұрын
Jeniffa mashaAlah
@MwanaidiSalehe
10 ай бұрын
Kwan huyu Jennifer wa kanumba
@itaso-he5se
10 ай бұрын
Subhanallah nyie watoto nimekwambua na nini na sauti zeñu nzuri kusoma Quran kuliko hayo mashetàni ya nyimbo hebu Rudi kwa mola wetu I'll nipate raha ya akhera
@kiddybrown7154
10 ай бұрын
Lavalava killed it😂😂😂🤞
@hassanissah7141
8 ай бұрын
Hapana kama unaijua qur an ni Jennifer na hussein
@hamidaawadh9024
8 ай бұрын
@@hassanissah7141kweli
@Rukaiya-lt3hm
5 ай бұрын
Kwa usomaji huu wa maneno ya allah mumetukosea sana waislam ila wapo baadhi wana muelekeo allah awaongoze inshallah
@Kabeya410
10 ай бұрын
Mashaallah ila kijana TOA HIYO HERENI UNASOMA QUR AN AN HAIFAI UNAJIPA LAANA
@elsabio11
9 ай бұрын
Lavalava hussein machozi na zuchu wameenda vzr msodoki kuna namna herufi anazikosa kidogo harmo anafanya kama anaimba na ameruka aya moja
@user-jj3tq1rh4p
8 ай бұрын
Waliotenda haki kuisoma vzr 1 Hussein machoz na jenifa k
@tigejuma9865
10 ай бұрын
Hussein machozi ....you have made it bro...nice tone 😅😅
@prezgal8869
10 ай бұрын
Lavalava na Hussein wanasoma vizuri na kwa kutulia sio harmo anasoma kama anaimba bongo fleva. Allah atunusuru
@idyjumanne9796
8 ай бұрын
Huseni lava lava jenifa wamesoma kama inavyo takiwa bt wote wamepata thawabu hata walio kosea Bora zaidi kuwarekebihsa Allah Atuonge wote mm na nyinyi Amn
@aminasaid4174
10 ай бұрын
Hussen machozi lavalava jenifa Mashaallah nyieee mumejuwa kuitendea haki quran
@MharramyMwadin-qu5nv
10 ай бұрын
Lava lava masha Allah, Allah amjaalie katk kher
@seuodaziz2433
10 ай бұрын
Jenifa kanumba na Hussein machoz ndo wamesoma hao wengine mwenyez mungu awalainishie ndimi zao wawe ni wenye kuisoma Quran kwa ufasaha zaidi
@hassanikombe9053
10 ай бұрын
Hussein machoz, lava lava, Jennifer na young kila kdgo❤❤❤❤ mnaisoma qur an Mara kwa mara, inaonekana
@rasheedmackenzie547
8 ай бұрын
Harmonize babake shekhe na karuka hapo Ayah moja 😢😢🥺🥺
@muhammedameena7688
9 ай бұрын
Allah guides whom he wheels may Allah guide us all ❤
@yusuphally5201
8 ай бұрын
Asalam Alykum
@ZakariahakimuZakariahakimu
7 ай бұрын
Husen machoz good
@tabuabdallah7980
11 ай бұрын
Masha Allah jeniffa masha Allah hussein machozi masha Allah love lave
@binseif2216
9 ай бұрын
Hatuwakatii tamaaa InshaAllah siku moja kabla ya kifo mtarudi katika njia sahihi
@salmaali-v9e
11 ай бұрын
Mashallah khaniffa❤❤❤jami wafwasi wa Jennifer tukusanyike apa kma mwampenda
@AssinaMsafiri-ud5so
11 ай бұрын
Uyo Amonize hajuwi kusoma Qur Ani mtoto wakiislam
@salmaali-v9e
11 ай бұрын
Lava lava ameweza ❤❤❤❤ love it
@HassanNtunda
8 ай бұрын
Ustaa wa Akhera ni Bora kwenu kuliko mnachokifanya Duniani. Mcheni ALLAH.
@user-vj3kg2gu5c
8 ай бұрын
Hamonaze jitathimini,hata Alhamdulilah haujui kusoma,hii ndio sura ya msingi ktk kusali,bado hujachelewa,Allah atakuongoza,Amin
@user-yb6wh1bk9d
10 ай бұрын
Wauuu mashallah mungu awazidishie mumkumbuke mungu hvyo hvyo
@sudymohamedy9717
11 ай бұрын
Killa,lava lava, Hussein 👍👍👍🙏
@user-nz6og1cy6v
11 ай бұрын
Safi sana hussein mungu akupe umri kaka❤❤❤❤❤❤
@user-kf4mj3ss2f
7 ай бұрын
Una sema mashallah ume msikiliza vzr lkn hvo anavo soma hizo ayya
@MwajumaMapemba
10 ай бұрын
Nimependa sana inxhaallah mungu awe nas amina
@ZahraJongo-th8pq
8 ай бұрын
Wallah machozi yamenitoka nikiskiliza qur an roho yangu inaskkia raha adi natokwa na machoz
@user-tu9xk6ty8f
8 ай бұрын
Hayuko siriazi kusoma harmonize wengine good
@SleimanFaki-r2e
9 ай бұрын
Lava lava masha allah
@habibasungur9375
11 ай бұрын
Subhanallah Jennifer na lava2 mmenitoa machozi tokeni huko mliko jamani
@AshmaOthumani
11 ай бұрын
Hussein machozi mashaallah
@aishaali7018
10 ай бұрын
Nimependa,ana sauti nzuri kwa kweli
@AshmaOthumani
10 ай бұрын
@@aishaali7018 sana mashaallah
@masoudalriyamy6298
11 ай бұрын
Mtamuona mnae mtania na laana zenu
@User7700
8 ай бұрын
Mungu awasamehe make ni uzunii mnatia huruma amna hata eshima kwa mwenyezi mungu😢😢😢
@SalmaMsikiti-lu5eb
10 ай бұрын
Maashallaah mbona Hussein na lavalava mnajua kingine nawausia Nafsi zenu na kuiusia Nafsi yangu kumuogopa allaah maisha ya dunia yasiwatoe Iman zenu kwasababu dunia nistarehe kidoogo naniyenye kuisha kunamaisha yaakhera hayahitajii pesa ispokuwa amali njemapale kaburini kunamaswali hautoulizwa uliimba nyimbo ngap wala nyimbo gani Bali utaulizwa tofauti na hayo
@أمطارقالبحرية
10 ай бұрын
Msi.tanie Allah Na kuisoma ovyo qur an Pamoja na kufanya riyaa
@bosskaree49
11 ай бұрын
Assallam alaikum warahmatullah wabarakatu wakati munasoma Quran katika mitandao kuweni makini na kusoma mana munakoseya sana au mutafute mtu anaejuwa awasomeshe
@abukheri2054
11 ай бұрын
Wallah mtihan mkubwa sanaa wao wanadhan ni zile nyimbo wanazo tunga.
@faithmapondo7370
10 ай бұрын
Yaan waislam haya somen nyiny mnaojua
@abukheri2054
10 ай бұрын
@@faithmapondo7370 qur an in utaratibu wake wa kuisoma na hilo halina mjuzi zaidi ya kujifunza ukikosea lazima uambiwe hautaonewa aibu kama fasheni za nyimbo zao.
@maftahmusa9513
10 ай бұрын
Subhana Allah mmedhihirisha sababu tosha mbela ya Allah kukutieni jahanama milele kama mtakufa bila kutubu mkafaia huko katika ibada yashetani miziki nini mtakacho jitetea nacho mbele ya Allah Wakati mmeuonesha ulimwengu kua mwajua kusoma quran ingawaje mnachapia chapia ila mume soma na mmesikilzika.kazi kwenu fanyeni hima kabla pumzi zenu hazijakata.
@HassanHassan-sn5cj
10 ай бұрын
Na maheni masikioni mh sawa bwana ipo siku mtaiheshimu Qur an mkitaka msitake.
@FatmaJuma-w6g
10 ай бұрын
Qur an inasomwa bila kuzingatiwa huku kwa maan inabadilika maana jifunzeni vizur ili mysitukufurie ktk qur an Ayo ni maneno ya Allah sio nyimbo munazotunga hakikishen munalitendea haki neno la Allah musituborongee
@ZakariahakimuZakariahakimu
7 ай бұрын
Mna zani nimijimbo 2 kuna mungu mm nawaombeni mungu awaongo namipia
@superauto445
10 ай бұрын
Lavalava is the best of any way mungu Adele kuakumbusha wutukufi wa koraan
@ZaituniRashidi-ry9vz
10 ай бұрын
Youngkiller anajua wallah maskin af nlijuaga youngkiller mkristo duh kumbe muslim
@khadijayusuph2634
10 ай бұрын
Hapo mi walofanya vizuri nii husen"jenifa"zichu"kwa maoni yangu
@ramahaji2395
10 ай бұрын
Lavalava pia
@dearmama7865
10 ай бұрын
allah awape mwanga awatoe katika makatazo yake
@affaanothmaan6287
10 ай бұрын
Subhana Allaah Kweli ni dhahiri kuwa qur'an na miziki havikai sehemu moja.
@SaydAliy-uy7wo
10 ай бұрын
Alhamdullah
@TwariqJamilu-jf4bd
11 ай бұрын
Jiwaz sasa kwasabab amezowey kuyimb mizik mpak Koran inamushind anayisom kam muzki Allah akuongoz harmonaiz nawenzak
@abdularuffin9308
7 ай бұрын
Mungu awajaalie khaki kuwa ni khaki uifwata namebatwili kuwani jambo baya muweze kuepuka
Пікірлер: 670