#LIVE|| SHEREHE YA SOMO WA KIGANGO PAMOJA NA WAWATA PAROKIA ZINGIZIWA, JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM.
Karibu katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Somo wa Kigango Cha Bikira Maria Immaculate Homboza pamoja na Sherehe ya WAWATA Parokia ya Watakatifu Yoakim na Anna Zingiziwa, Misa inafanyika katika Viwanja vya Kigango Cha Bikira Maria Immaculate Homboza, Jimbo Kuu Dar es Salaam.
Misa inaadhimishwa na Padre Joseph Musyoki wa Shirika la Vincent wa PAROT, ambae pia Paroko wa Parokia ya Zingiziwa Raha ya Utume kushirikiana 💒🙏🏾♥️
Негізгі бет UTAPENDA WANAKIGANGO CHA HOMBOZA WALIVYO SINDIKIZA MASOMO MISA WAKATI WA MISA YA SHEREHE YA SOMO.
Пікірлер: 1