Wimbo: Utukufu Misa ya Mt Anna
Mtunzi: Fr. Gregory Kayetta
Organist: George Bingi
Kanisa/Location: Parokia ya Bikira Maria Mkingiwa Dhambiya Asili, Mavurunza
MANENO YA WIMBO
utukufu kwa Mungu mbinguni,
Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
(pokea) pokea ombi letu
(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
(Yesu) Yesu Kristu,
Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu wa Mungu Baba
(katika) Utukufu wa Mungu amina amina
Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
Негізгі бет UTUKUFU MISA YA MT. ANNA - FR G. KAYETTA |TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS)
Пікірлер: 42