Muhadhara huu ilitolewa na Sheikh Nurdeen Katika viwanja vya Masjis Sunnah Kyaka Wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera , 4/6/2014, Mada ikielezea utukufu wa mwezi wa Ramadhan, je ni utufu upi huo Inshaallah ? fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika, pia tunaomba msambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni InshaAllah.
Негізгі бет UTUKUFU WA MWEZI WA RAMADHAN, MUHADHARA SHEIKH KISHK.
Пікірлер: 74