Rais Magufuli amekemea vitendo vya uvuvi haramu katika Ziwa Victoria huku akiunga mkono jitihada ambazo zimekuwa zikifanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina katika kukabiliana na tatizo hilo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kwenye viwanja vya Ukuta mmoja Mjini Nansio, wilayani Ukerewe, Rais Magufuli ameeleza kwa kina madhara ya uvuvi huo huku afichua kuhusu kilichofanya meli ya uvuvi iliyowahi kukamatwa katika Bahari ya Hindi, izame.
Hiyo ni sehemu ya ziara ya Rais Magufuli katika mkoa wa Mwanza
Негізгі бет Uvuvi haramu Kanda ya Ziwa 'wamchefua' Rais Magufuli, amkingia kifua Waziri Mpina
Пікірлер: 18