Unaweza kujiuliza maswali mengi kuhusu Uyoga na pengine ulishawahi kusadiki kwamba unaogopa kula kwa sababu unaweza ukawa na sumu.
Hapa nakukutanisha na Watanzania waliojitolea kuwa wabobezi katika utumiaji wa Uyoga na kuufanya utumike katika nyanja mbalimbali za vyakula.
Негізгі бет UYOGA UNA SUMU ? MKULIMA WA KITANZANIA AFUNGUKA "TULITEGEMEA WACHINA, TUNAPIKA BUGGER, PIZZA"
Пікірлер: 5