Daaaaah damu yngu unsjuwa pacha daaaah umemfunika mudy
@qualitymoran6660
4 жыл бұрын
Weeee muddy ni noma sanaaaaaa ila meja amejua watu wanataka nn na ana uandishi mzurii ila muddy ni muasisi wa hii style na meja kapita kwake sema kismart hana yule mwamba na sio mbunifu
@leederealy8568
5 жыл бұрын
Kama unamkubali meja kunta tujuane hapa
@kondeboyajika932
5 жыл бұрын
unajua mzee baba kunta
@nehemiahkasike7599
4 жыл бұрын
Namkubal sn Meja kaz zke
@shedracksanga2095
4 жыл бұрын
Hapingwi huyooo
@michaelkadyo2256
4 жыл бұрын
Lee derealy .
@lamodomahiza2146
4 жыл бұрын
Lee derealy meja una hatariii
@allthebestdigital323
5 жыл бұрын
#Salute...mzee wa kaz@MejA kuntA
@sharifumauridi5466
4 жыл бұрын
Unajuaaaaa like zangu kamaunamkubali meja kunta
@mohamedabdallah7526
5 жыл бұрын
Bro ww unajua zaidi mana si kwa ladha hio tofauti uliokujanayo... Kma umemkubali kama mm like hapa tujuane +254 ❤ +255
@mwanahawashabani9237
4 жыл бұрын
Meja ni kabaliyao
@allychombo4282
4 жыл бұрын
Meja anatishaa
@swaumuhussein6280
4 жыл бұрын
Hello
@jannetreby8664
4 жыл бұрын
Naqubl bro
@jannetreby8664
4 жыл бұрын
Bro unajua
@saidymkomwa2380
5 жыл бұрын
Oyaa kaz nzur babaa chama l wana Big salute meja
@mhanjegodfrey8288
4 жыл бұрын
Kama una kubali kazi za meja gonga like zakutosha hapa
@binofredy1680
5 жыл бұрын
Sema nn unayeucka na uyu kijana fanya nyimbo ziwe audio mack cunajua tena iphone user alafu kijana tunamuelewa uyo
@kichekochekanasisi3550
5 жыл бұрын
hatali sijawaipenda singeli ila nimependa uimbaji wako
@daimasaimon9913
4 жыл бұрын
Kabisaaa iyaaani ana radha nzuri saaana tofauti na wale mashairi hayana ukakasi kabisa
@lameckditto3820
4 жыл бұрын
Mm pia sijawai penda singer lakini hii imenikosha
@dullaskwerimakororo1859
4 жыл бұрын
kakameja
@dullaskwerimakororo1859
4 жыл бұрын
kimbiza kaka
@dullaskwerimakororo1859
4 жыл бұрын
@@lameckditto3820 hatarijama
@charlesjohn4182
5 жыл бұрын
kuanzia leo nasema mim ni mfuasi wako rasmi nipo popote ulipo
@barakaramadhani4813
5 жыл бұрын
nouuma sana wadau muangalieni kijan yupo vizur
@husnamubarack7644
5 жыл бұрын
You so smart unajielewa tofaut na waimba sngel wengne keep it up
@bakarmsingwa6211
5 жыл бұрын
Meja we nishida
@binofredy1680
5 жыл бұрын
Na mpira anaujua kweli ni talented atakuja toka badae atupe radha kwanza za kushangilia
@ashaabdallah1718
4 жыл бұрын
Kipaji unacho saaana❤️... kujieleza bado kdg
@NonoNono-qp3zu
4 жыл бұрын
Ila jaribu kubadilisha ladha yaani tune au sijui beat ili nyimbo ionekane ni tofauti maana nyimbo zako zote zinaonekana kama ni nyimbo moja
@mudinamata2969
4 жыл бұрын
Shida ni watu wanao tengeneza biti ila ye yupo vizur na mistar tofaut na nyimbo zengine kampan kwa mashabik mkali sanaaaa
@danyakala
4 жыл бұрын
Sikiliza Ngoma zake utaliona hilo
@maryambakari9670
5 жыл бұрын
We mkaliii mejaa
@allymkamba1115
4 жыл бұрын
Dogie upo vizuri sna Sauvie Safiii mejae karibu tena lkwiriri rufiji ujetena kutowa shoo
@jumakibuyu593
5 жыл бұрын
Mejaaaa hatariii
@shalokatoto2924
4 жыл бұрын
Dah asant sana meja kunta unaweza na kipaji unacho kizur xn 💯 kukupend mwambaaa...😘😘😘
@msaniikanal2843
5 жыл бұрын
Nakubal Sana Msanii Wang
@nehemiahkasike7599
4 жыл бұрын
Nakubal sn kazi za Meja kunta
@rehemamuhengi7101
4 жыл бұрын
Safi Sana nakupenda Bure tumezaliw cku moja my
@cartoonommycomedian7787
5 жыл бұрын
BigTalent🔥
@etoojanja5377
4 жыл бұрын
Tz kipaji kipo Unajua xan broo UHAKIKA ATUKWAMI BY ETOO APA like kama una mkubl
@pendobaharia6922
4 жыл бұрын
Kuimba singel inataka pumzi uko vizur mwambaa
@rehemaathuman8143
3 жыл бұрын
No makelele Yani taratibu ,,sio wengne wanaimba Kama wana kimbizwa bwana
@jacksonchristopher3617
5 жыл бұрын
Dogo Kama unatungaga wewe mwenyewe basi unatisha
@pauljordan9044
4 жыл бұрын
meja GOD BLESS YOU
@makobatv5188
5 жыл бұрын
Big up broh eddo mob
@zuberyhamisi1751
5 жыл бұрын
Unaweza sana
@rukiayusufu5439
5 жыл бұрын
Nouma sanaaaaaa nakukubali
@islamshabani8571
5 жыл бұрын
umetisha sana mejaaaa
@nyikimohamed9872
4 жыл бұрын
acha nikubali tu nibishe nini sasa
@zaitunihamisi8857
4 жыл бұрын
kiukwer meja napenda xan xauti yako
@rajabuhamisi1104
4 жыл бұрын
Huyu dogo anabalaa sio Siri kuimba anajua
@leoaquilline3464
5 жыл бұрын
unajuaaa mdogo
@ashachambuso8713
4 жыл бұрын
Weeee dogo fundiii
@nurdinmoto8242
4 жыл бұрын
Daaaah Baba Nimekukbal Mnoooo
@fadhilamtwale5836
4 жыл бұрын
Nimekuelewa Mme wangu
@harunimfaume6280
4 жыл бұрын
mudy msanii na meja kunta wanatuwakilisha vizir saana pande za buza wako vizur saanaaa vpaji vya hatalii
@ahmedmahmudu1046
4 жыл бұрын
love him from Mozambique
@stennsteven7441
5 жыл бұрын
Umetixha xana meja kunta
@abubakarrashid86
4 жыл бұрын
Nimeinama nimeinuka nimeokota kidude 👍👍👍👍👍👍👍👍
@abusalman5139
4 жыл бұрын
Dina uwe na heshima kidogo unapowahoji Underground
@naamohamed9964
4 жыл бұрын
Anakuaga na dharau sana
@thomasmathias7237
4 жыл бұрын
Nakubali dogo anajua
@ramadhaniswalhe5402
5 жыл бұрын
Woyoooooooooooooooo mwangu cn
@rickjohn7520
5 жыл бұрын
Nice dozee nakukubar san msaidie dogo
@rosemalisa3354
4 жыл бұрын
Big up sana mkali meja junta you the best bro dah wewe ndo mwenye singeli brother hongera sana sana sana
@lightnessntaganyila8272
4 жыл бұрын
Meja ani me nachukiaga Sana mziki wa singeli ila we umenibaba kwelkwel....aiseee Kaka unaweza ...Mungu akuzidishie ufike mbali zaidi......🙏🙏🙏👉👉
@phideaurassa9246
4 жыл бұрын
Ulipo nipo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@alfeoubamba5388
5 жыл бұрын
Unajuaa mzeee
@nadhifajuma6485
4 жыл бұрын
Jamani naskia skia tuu ety Mamu c nkafatilia aiseee amenipa hamassa ya kufatlia nyimbo zako💞💞💞💞💞
@semenitheclassic
4 жыл бұрын
Meja Ana juwa sana!! Wenzake nima kelele tu uko mbele!! We love you!!
@saidmaziku9357
3 жыл бұрын
Unajuwa Sana brooo❤️❤️❤️
@harunimfaume6280
4 жыл бұрын
kweli kabisa kila kitu kipo vile vile ufanyaji wako wa kazi na kitumiz chako ndo kitakufanya ule na kufanya unacho kitaka
@shufaahalifa2947
4 жыл бұрын
Daha raha raha sana nampenda sana meja kunta
@juniornamao527
4 жыл бұрын
Leo nakupa jina la rasmi la Meja mavoko
@kakaaignas3675
4 жыл бұрын
Hatar sana unajua SNA dogo
@reybabu2467
4 жыл бұрын
Dahaaa hatariii
@Genius27.
5 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaaaaaa
@abdulbushil8668
4 жыл бұрын
Unajua mpaka unakela
@ramadhaniswalhe5402
5 жыл бұрын
Kaza utatoka
@falajislam8071
4 жыл бұрын
anajua sana na anakipenda anachokifanya
@hanifakinongo6642
5 жыл бұрын
Uiuuwiiii noma
@adrofdaniel4936
4 жыл бұрын
Naelewa kiongoz Saf Meja
@jerdasonyo6667
5 жыл бұрын
no comment jaman nice song
@vndondendondev6531
4 жыл бұрын
Nimetamani kumkamua chunusi jaman uwiiiiii😂😂😂😂😂
@adefunmioluwadamilola605
4 жыл бұрын
Na mimi ivoivo
@nafigasper9476
4 жыл бұрын
Naomba mfute hiz RIP meja hajafa
@zakariakuyonza4021
4 жыл бұрын
Nomaa Sana uko vizur kijana
@bakarijr721
4 жыл бұрын
tunaoangalia 2020
@zaitunihamisi8857
4 жыл бұрын
Yan mm nakupa buleeeee meja ww jaman
@ramadhanijumbe3228
4 жыл бұрын
Mpe
@hussenramadhan4186
4 жыл бұрын
Muache Mtoto Wawatu Uko Nenda Kasambaze Mbele Ukimwi Wako Uko!
@samirahassan9906
4 жыл бұрын
Y
@deoginawe2759
4 жыл бұрын
😂
@deoginawe2759
4 жыл бұрын
@@hussenramadhan4186 Dah 🤣
@mubahkilangilo4082
4 жыл бұрын
Duh! Huyu mwamba MI sisemi yuko pow atar #anasauti alafu mashair very thinking capaste
@ramadhanshenko3666
4 жыл бұрын
Nakubal nyimbo zake
@anohmusic2520
5 жыл бұрын
Pamoja,
@edotallent4464
5 жыл бұрын
Oya weeee meja natamani nkutukane kwafuraa dam yang unajua mpaka keroo man
@hajisambo3997
5 жыл бұрын
Broo respect
@zsmart946
5 жыл бұрын
Haji Sambo g
@josephshija8477
5 жыл бұрын
Kaza chafu
@jumakibuyu593
5 жыл бұрын
Talented
@mijuakalinaitakiasumbapapa5797
5 жыл бұрын
Meja fundiiii
@maryammashaka1866
5 жыл бұрын
San
@ndayishimiyecynthia4990
4 жыл бұрын
Jaman pumuzika kwa Amani mdogo wangu 😭😭😭
@secyjohn6572
5 жыл бұрын
Unaitwaje huu
@swakhalaamana2565
4 жыл бұрын
Secy John oy wweja ana mpinzani huyo dogo
@shukurujustin5258
4 жыл бұрын
Safi meja kunta umetisha kijana
@agathakijalo7777
4 жыл бұрын
Oyooooo mej jaman adilaha nachez mwenyewe
@mudinamata2969
4 жыл бұрын
Uwiiiii tupo weng
@tausikawarika8274
4 жыл бұрын
Nakubal meja by ruty de queen
@rajabmkuya9023
4 жыл бұрын
Thanks God ur alive
@frankmsambwa3320
4 жыл бұрын
Allah amlazee pema peponi
@fatumasalmini2241
4 жыл бұрын
Upo vizuri san
@pendobaharia6922
4 жыл бұрын
We unaimbaaa mzee baba wengine wanaongeaaa
@lastman7713
4 жыл бұрын
Sema halooohoooo cjackia haloooo hahahaha wap meja kunta
@bizzosela6186
4 жыл бұрын
Salute maom RAST 1
@mashmash2826
4 жыл бұрын
Woooow yuko poa sana🔥🔥🔥
@jacksonchristopher3617
5 жыл бұрын
Jaribu hata bongo fraviur
@youngrefugesmohd6011
4 жыл бұрын
Uhkk broooo
@mudinamata2969
4 жыл бұрын
Ata alibu labda nyimbo za din mana ana aidia nazo
@yuleboymsafi5018
4 жыл бұрын
Mzee baba wew ni noma sana damu yangu hakuna zaidi ya mwanao wafaida hapa ally marocho
@phideaurassa9246
4 жыл бұрын
Napendaga sana hyo mamu pia unajua kujieleza BG up mejaaaaaa
Пікірлер: 337