Waziri unakosea kusema msako ni wa miezi mitatu! Watajua kwamba ikiisha miezi mitatu wako salama. Ungesema kwamba zoezi hilo ni endelevu na halipoi.
@morandraymond8602
3 жыл бұрын
Hawa wapelekwe kufanya kazi za kilimo katika mashamba ya magereza ili wazalishe huko siyo kurudi baada siku kazaa yani bora jambazi kuliko vibaka tunashi kwa wasiwasi naomba bunge lipitishe sheria hakuna zamana kwenye kesi hizi ili wakae huko
@reginaldmsofe2437
3 жыл бұрын
aiseeee
@mwigakatumpula9817
3 жыл бұрын
Eeeeee mnyanyue harafu tumshughulikie 🤔🙆😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dn.n4983
3 жыл бұрын
Kazi inaendelea mama kasema viboko hakuna wakurumia majambazi wote kata mikono au wafe yaani wakosesha amani nchi hii mwisho habari kabisa
@malamlaaj9852
3 жыл бұрын
Hii Ni Habari ya kweli kuliko zile Wana Uhondo.
@mwesigamukusinimukusini2278
3 жыл бұрын
Waziri tusaidie ata sisi madereva tunaondesha marori tunaibiwa sana mizigo na maturubari asa kuanzia runzewe npaka igunga ni hatari majambazi wanakua pikipiki na mapanga wanakata Bert wanachukua mizigo
@umranim5854
3 жыл бұрын
Wafanyisheni kazi wasile chakula bure na ndio watajua maisha kitu gani
@kiatu
3 жыл бұрын
Na wale walioiba mamilioni huko wizara ya fedha? Ni wahalifu kama hawa tu. Hebu tuwaone pia na suti na tai zao.
@seleseleli6239
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hildantandu5909
3 жыл бұрын
Hapo umenena
@zwinaalhabsi664
3 жыл бұрын
Hao wafanyishwe kazi za kulima kila siku jela
@yusufubashiriyusufubashiri2849
3 жыл бұрын
Hi
@prettyh7509
3 жыл бұрын
Hawana faida hata kama ni ndugu yangu
@sumaidgasto4721
3 жыл бұрын
Nchi ya ulaya na America mtu akifungwa na akashindikana anapotea
@mayrfrimi4759
3 жыл бұрын
Jama huko mkoani kilimanjaro hayo majamaa yanachafua hali ya hewa, wanaiba hadi kuku.
@humphreyswai1458
3 жыл бұрын
Unaona makovu yote hya
@eliankya3272
3 жыл бұрын
Sio miezi mitatu waziri mpaka waishe
@fadhilarashidi5184
3 жыл бұрын
Sio kuwarundika gerezani tu wakalime ili serikali isingie hasala ya kuwalisha
@abdallahbakari6154
3 жыл бұрын
Misamaha ya maraisi inamazala nchi haikaliki kwa wizi kila kona
@yohanabundala9162
3 жыл бұрын
Hii ni ya lini? Huyu RPC si hayupo dodoma cku izi,
Пікірлер: 29