❤❤❤ asante jehovah, ata kama na omboleza mama yangu, hu wimbo ina ni pea nguvu
@samuellamayan9103
5 ай бұрын
Kweli kabisaa Yesu anatutetea nice song 🔥🔥🔥🔥🔥 nimebarikiwa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@beniquebwoy
2 ай бұрын
Katika Jina la yesu upige injili Adi kwa mataifa ZA mbali
@nvisionke
2 ай бұрын
I don’t know why I play this song more than 6 times every day
@MonicaMbula-xp5fr
4 ай бұрын
Kabisaa yesu anakutetea kwenye kila jambo ukimwamini 🙏🙏
@geofreymwakabejela3314
5 ай бұрын
Very powerful message be blessed na Mungu akutumie zaidi kupitia nyimbo
@eunicekiilu7485
5 ай бұрын
Wanao mukubal wekeni like s zenu tukisonga mbele👍👍👍👍👍🙏🙏🙏
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@angelMadege
5 ай бұрын
Ameen
@AronChidzukwa
4 ай бұрын
Its now 2 days listening to this song iam repeating time and again please keep on releasing some
@MUSAJALINDA-yh2bh
3 ай бұрын
Nimekubali🎉
@estherpilanoi1061
5 ай бұрын
Kenyans let's gather here❤❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@Leilamarcusy
5 ай бұрын
🎉🎉🎉Amina barikiwa dada
@EsterMolla-m5b
5 ай бұрын
Mungu anitetee katika hili mm siwezi peke yangu
@molokomaenetja8227
3 ай бұрын
Am South africa....I Really Enjoying Queen Vicky 👸 music.......
@JunitaMwasambungu-zm8sl
5 ай бұрын
Nimebarikiwa wimbo mzuri sana
@raphaelkiema4710
5 ай бұрын
very nice song 🎵 hakika utabiri wengi
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@joansore2405
5 ай бұрын
From tiktok landing here
@AdelinaLusekelo-xl4bm
5 ай бұрын
Dada ake mm love my dear Asante Mungu kwa kumuinua huyu dada Mungu ni maombi yangu kwa Mungu akuinue zaidi,tusikate tamaa jaman hata kama umeanguka inuka jifute vumbi kisha songa mbele🎉🎉🎉🎉💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen ameen
@IbrahimOsca
Ай бұрын
Barikiwa sana dada angu mungu azidi kukuinuwa ufike mbaliii kwa huduma yako
@MariaElias-re2dc
5 ай бұрын
Wewe vicktoria nakupenda sana Mungu akuinue zaid
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@antoniojoaoaugusto7227
Ай бұрын
Ouvindo sua música a partir de Angola desejando sucesso na parte do senhor Jesus Cristo, o senhor abençoe muito 🎉🎉🎉❤❤❤
@patrickmusembi8467
2 ай бұрын
duh! dada kaiva huyu atesa anga kwelikweli....utukufu kwa Bwana
@beatricemwakiposa4011
4 ай бұрын
Umebarikiwa..nakupenda❤️
@nicemsokwa9774
5 ай бұрын
Barikiwa sana my Dada kwa kutuhudumia
@JulianaNzumi-hk7rc
3 ай бұрын
Amina mtumishi Kwa ujumbe mzuri
@mercywacharo583
5 ай бұрын
Amenitetea kwa kwelii 🙌
@shallomvenance5848
Ай бұрын
unajua Sana huwa unanibariki Sana ufike mbali
@Liliemugisho
5 ай бұрын
Wimbo mzuri...ubarikiwe dada kwa ujumbe mzuri.
@joelymwakabanje2902
5 ай бұрын
Kazi nzuri dd barikiwa
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@EvaSanga-hd6wi
4 ай бұрын
Hongera sana kwa huduma nzuri nakuelewa sana Victoria
@DarleineKavira-jn7eh
5 ай бұрын
Amen amen Mungu apewe sifa ❤❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@samuelmwanaaaningu
5 ай бұрын
Amina. hata nami Mungu nishike mkono
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@joyceseguni2038
5 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi mdogo wangu,nyimbo zako zinaniinua,sifa kwa Bwana.
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen ameen
@JoseeSarakikya
5 ай бұрын
Natamani uendelee zaidi na Zaid ufike mbali Cha muhimu uendelee kuwa mnyenyekevu
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@estermachea3373
5 ай бұрын
. hongera sana nakupenda sana
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@BwikemoMwamgunda
5 ай бұрын
Halafu huringi my dear Nazah
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@dorothymiroyo6454
5 ай бұрын
Amenitetea kweli huyu Mungu
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@bayastephen3856
5 ай бұрын
Amen barikiwa dada
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@merymbithe9026
4 ай бұрын
Kweli mungu amenitetea....Nice song
@mwendejohn5983
5 ай бұрын
Barikiwa Sana unapozidi kimutumikia Mungu
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@JaphetAlex-mc5qj
5 ай бұрын
Ubarikiwe kwakazi njema
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@jasirimjasirimedia7940
5 ай бұрын
Hongera sana sister 💪💪💪
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@EsauTosh
5 ай бұрын
Barikiwa sana dadangu ❤❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@MeridaChawe-kd9is
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana, endelea kunyenyekea zaidi huduma ya uimbaji inavita sana. Mungu akupiganie.
@BenyDaniel
5 ай бұрын
Amen amen mtumishi
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@atuswegemposi1668
5 ай бұрын
Hakika amenitetea ubarikiwe Mtumishi ❤❤
@DorothyOmino
10 күн бұрын
Umeniweza
@Beviy
4 ай бұрын
Asante eeh Mungu wangu kwa kunitetea na kunipigania,isingekuwa n ww singefika mahali nimefika😭😭🤣🤣.sina cha kukulipa ila tu n kusema asante😭😭.i will praise n thank u until my last breath🙏🙏🙏🙏
@gabrieisaiso6167
4 ай бұрын
Nice one sister in Christ ❤
@KennedyMusyoki-nf9pn
4 ай бұрын
May God bless you ubandantly.... keep it up sister!
@DaniMgaji
4 ай бұрын
Blessing music! Very nice song!
@DeboraSiraji
6 ай бұрын
Mungu akubatiki sana mtumishi wa bwana Yesu mim huwa nakufatilia sana napenda nyimbo zako sana
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen ameen
@mamapraise9382
5 ай бұрын
Hongera sana Dada Victoria. Good job. God bless 🙏❤️
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@duncanmulu2450
5 ай бұрын
Kazi yako ni njemaaa
@issamalankari6956
5 ай бұрын
Penda sana mdogo angu
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@onesmusmusau2451
5 ай бұрын
Kweli amenitetea🙏
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@rehemachristopher5254
5 ай бұрын
Good work wii❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@JaphethLGabby
5 ай бұрын
Vizuri sana, ubarikiwe.
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@desaumwaweza
5 ай бұрын
Nc sanaaa😊
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@davidmutemi7511
5 ай бұрын
Sister Victor hii imenibariki Mungu akupandishe zaidi na zaidi
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@EllyNacy
5 ай бұрын
I love you mungu akuinue
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@alikomwandoto1258
5 ай бұрын
Ujawahi kunifelisha Dada yangu wimbo mzuri sana Nakuona mbali sana Cha msingi ni uvumilivu tu mungu akubariki sana kipaji chako
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@NeckMiner-mv4kq
3 ай бұрын
Barikiwa sana kipenzi.
@DeboraNeno-s5o
5 ай бұрын
Sana tena Mtumishi
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@johnmshan4017
5 ай бұрын
Ubalikiwe sana dada angu kweli Mungu amenitetea 🔥🔥🔥🥰
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@GraceMjwanga
5 ай бұрын
Yan nakupenda xana ww dada Vick nakufatilia xana tang mgogo ninamjua mpaka Sasa loveee xanaaaaa❤❤❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@jacklinechobo
5 ай бұрын
Hongera sana mamy, MUNGU anatetea sana!!!
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@Godfrey_lusekelo
5 ай бұрын
Barikiwa sanaaa my dada kazi yako si Bure
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@vivavioletokelo4264
5 ай бұрын
Nyimbo zako hunipa baraka 🙏 keep going beautiful 🥰
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@mouna6920
5 ай бұрын
Nampenda sana Victoria nyimbo zake zinanigusa keep going sister ❤❤❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@ZawadiNikorasi
5 ай бұрын
Aminaa Sana mungu mwemaa san
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@RoseAnthony-ic2on
5 ай бұрын
Nakupenda Sana dada mungu akubariki mno
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@carolinelinda3559
5 ай бұрын
Great song, Nazah ..More blessings
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@lindamadgwa-vm9wu
5 ай бұрын
Kazi nzuri Asante kwa kututua moyo dada.
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@DennisO.W
5 ай бұрын
Yes yes 🔥😭😭🙏
@victorianazah
5 ай бұрын
🙌
@juliethnjau6050
5 ай бұрын
Nice song🥂🥂
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@raciale6323
5 ай бұрын
Wow I always love Ur songs❤ they give me strength 😊😊am grateful
@atonemusicstudio9155
5 ай бұрын
❤Amenn
@victorianazah
5 ай бұрын
Amen
@FaithMumbe-x5m
5 ай бұрын
Powerful more grace ❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@gracelupindu8656
5 ай бұрын
Ameeen
@JacklineRotiken
5 ай бұрын
🔥🔥🔥🙌
@victorianazah
5 ай бұрын
🙏🙏
@elishalameck4829
5 ай бұрын
Kazi nzuri Nazah
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@Augustinojohn-pf3pg
5 ай бұрын
🎉🎉Amina Dada angu from Mbalizi nikusiiiliza
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@GladysMokoro-ep1op
5 ай бұрын
be blessed mummy 🙏🙏❤❤
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@DestinyShallina-wb9nq
5 ай бұрын
Amina🙏🙏🙏🙏
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@patrickkatana8823
5 ай бұрын
It's my 1st time to hear this beautiful voice.. So talented..barikiwa sana Mama
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@NsajigwaAsumwisye
5 ай бұрын
Dada Victoria uzid kubarikiwa kwa viwango vingine ili niendelee kubarikiwa kwa kazi zako
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@Victoria-bv6xu
5 ай бұрын
SoMo wangu vicky God bless you 💝
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@SamwelMwinyi
5 ай бұрын
DADA VICTORIA N mie nazid kubarkiwa nkiwa TEKU-Mbeya! Nyimbo zako zanbark kupta niwezavyo kuandka! Acha niandke Naisubr kwa vdeo ya hii nyimbo aiseeee!
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@nyamburagachagu8317
5 ай бұрын
Amen
@victorianazah
5 ай бұрын
Ameen
@SekelaSambo
5 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi na zaidi, nyimbo zako nzuri mno
@rizikishokaulaya8811
5 ай бұрын
Riziki mwakwenda Nafurahi sana kusikia ujumbe mzuri kutoka Kwa ndugu yangu kweri mungu ametutetea
Пікірлер: 197