This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤
@mkongomanidrc849
Жыл бұрын
Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam
@mohamedramadhani2868
Жыл бұрын
Dunia ina maajab
@uledimtumwa2406
Жыл бұрын
Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.
@saidimbinga6543
Жыл бұрын
Ahahahahahahaha
@SheikhNassorMuhammad
Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@lucymoris1707
Жыл бұрын
Hahahahahh
@hawaoo3130
Жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂
@mtabiriwanyotashekhadinans7494
Жыл бұрын
Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana
@Johny255Official
Жыл бұрын
Love this from kenya
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂
@Willem_Mah
Жыл бұрын
Mandishi be like; jina lako nani? Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika. Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅 Mwandishi; de ka brrizz!!! 😁😆😆😆
@kachubemaulid717
Жыл бұрын
Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee
@uledimtumwa2406
Жыл бұрын
Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.
@palokuthereza2555
Жыл бұрын
Mtuache wachagga
@ahz6907
Жыл бұрын
Wachaga zero kabisa na wezi haoooo
@palokuthereza2555
Жыл бұрын
@@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani
@emmanuelzani2889
Жыл бұрын
@@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.
@pus.4506
Жыл бұрын
Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea
@hamidaalhabsi8568
Жыл бұрын
Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi
@uledimtumwa2406
Жыл бұрын
@@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.
@manyaraboy
Жыл бұрын
MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@manyaraboy nakubali
@aishawhite1107
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe
@neemaruhembe6360
Жыл бұрын
Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee
@vibetz9991
Жыл бұрын
Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍
@kreamagdfsa1697
Жыл бұрын
😀😀😀
@mwaneyseifseif3059
Жыл бұрын
Dudu kwaya
@maigecharles301
Жыл бұрын
Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
@saidymatejoe2212
Жыл бұрын
😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo
@mohamedabdullahi8874
Жыл бұрын
They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication
@faithjonathan3845
Жыл бұрын
Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣
@mariamomar1735
Жыл бұрын
Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond
@anordjoseph6644
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe
@faustinewilliam4908
Жыл бұрын
Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥
@mwaneyseifseif3059
Жыл бұрын
Watajidownlod
@peninamsuko4858
Жыл бұрын
Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli
@mosesg.pendael8381
Жыл бұрын
Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?
@hadeeegahalmawali504
Жыл бұрын
Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌
@ignaszyinzile5094
Жыл бұрын
Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna
@eliassteven5575
Жыл бұрын
Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥
@majaliwajohn481
Жыл бұрын
Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.
@magidalenarauya4286
Жыл бұрын
Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi
@teychriss3248
Жыл бұрын
Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu
@teychriss3248
Жыл бұрын
Makarani wa sensa kazi mnayo!!
@neemazee1864
Жыл бұрын
Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣
@uledimtumwa2406
Жыл бұрын
Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.
@Masai_kifimbo
Жыл бұрын
💚 TANZANIA
@salumjrsaidjr7150
Жыл бұрын
Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!
@rich.kizza10
Жыл бұрын
Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥
@charlesmangwe7510
Жыл бұрын
Hakika Kaka
@eliaspeter4017
8 ай бұрын
Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo
@chanjamtagwa8565
Жыл бұрын
Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu
@stinaismail846
Жыл бұрын
😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣
@highmedland9280
Жыл бұрын
Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.
@kreamagdfsa1697
Жыл бұрын
Allahu Akbar Allah tabaraq rahman
@sheikhsharifmaduatz2871
Жыл бұрын
*INATISHA NA INAUMIZA JINSI WACHAWI NA MAJINI WALIVYOMSHAMBULIA HUYU MTU DAH😭😭😭 INAUMA SANA TAZAMA HAPO CHINI UKAONE 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽**kzitem.info/rock/Fe4_eicCAHCXppuPY3_9xw** 👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾 WANGA NA WACHAWI WAONEKANA LIVE* 😔😔😔😔
@ruu6592
Жыл бұрын
Mungu isaidie Africa
@yanickmustafa7221
Жыл бұрын
Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁
@telaamtauta2227
Жыл бұрын
Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
@tumaliciou8889
Жыл бұрын
Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂
@kelvinjustin8168
Жыл бұрын
Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia
@mmn7480
Жыл бұрын
@@kelvinjustin8168 dododonkoteaj
@bujimucharles153
Жыл бұрын
Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu
@khalidngwembele9075
Жыл бұрын
Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂
@uledimtumwa2406
Жыл бұрын
Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.
@kasukukasuku3896
Жыл бұрын
Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri
@mariammkwabi7101
Жыл бұрын
😂😂
@hijazhija316
Жыл бұрын
Oya kausha
@estermathias8354
Жыл бұрын
Hahaaaa umetishaaq
@shyfettymtunda4619
Жыл бұрын
Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣
@gakatheboy4494
Жыл бұрын
Mamb mtoto mzur
@professorbenjamin1027
Жыл бұрын
Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂
@mwaneyseifseif3059
Жыл бұрын
Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂
@nemesapollo4846
Жыл бұрын
Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani
@leahally4618
Жыл бұрын
Chibuu km chibuuu 💪💪💪
@zainakibiki3489
Жыл бұрын
Atarii sana kitoweo nyani!!!!
@yusrashabani2983
Жыл бұрын
Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@makereziron2918
Жыл бұрын
Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....
@jumakibe5032
Жыл бұрын
Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁
@janetdaniely7945
Жыл бұрын
Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu
@aboubaqarally9834
Жыл бұрын
Hilo jina sasa mamae😁😁😁
@mariambwambo9885
Жыл бұрын
Jamn...nimewapenda🙈
@lucyjeremia1381
Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo
@tumainimtingitingi4883
Жыл бұрын
Mwenyewe nimechoka iyo lugha
@barakamwita1506
Жыл бұрын
Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe
@johnbernad3990
Жыл бұрын
Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv
@mkobaofficial8037
Жыл бұрын
Diamond Platinum
@kilimohub580
Жыл бұрын
Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni
@athumanisalimu7771
Жыл бұрын
Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba
@AbuubakarJuma-se9cp
8 ай бұрын
Dah ndoa
@pilabiliani9394
Жыл бұрын
Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa
@wajawemaonlineTv
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/pJCOxX-sramGdZg MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
@modysultan6170
Жыл бұрын
nilitamani kuiyona ndefu hii
@mcback4384
Жыл бұрын
Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂
@anuarinyangasa9414
Жыл бұрын
Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani
@rashidmhenga285
Жыл бұрын
Hiii ni TANZANIA
@abbymkombozi4382
Жыл бұрын
Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic
@zikirination6769
Жыл бұрын
Duduke ndo mayele wa apo kati😁
@ommythetruth5449
Жыл бұрын
MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋
@sayeedbinazan
Жыл бұрын
Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂
@ananiamaduke2655
Жыл бұрын
Wapo nchi gan
@ummuhafswa8980
Жыл бұрын
Subuhanallah..!!
@shabanitetema3020
Жыл бұрын
Duh!¡! Atari sana dudu kweeee
@husseinguyo4929
Жыл бұрын
Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu
@allyiddi9682
Жыл бұрын
Duuuu Dada ukovizuri Unaonekana bongeya fundi
@rehemamayende552
Жыл бұрын
Uyu mwanahabari wa mchongo amalize jina vipi😃😃😃😃😃
@modysultan6170
Жыл бұрын
sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zaituniselemani3247
Жыл бұрын
Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa
@yolenimocheng8745
Жыл бұрын
Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..
@leokamil6284
Жыл бұрын
😂😂😂
@mariammkwabi7101
Жыл бұрын
Haki😂😂😂
@zulfahamissi9266
Жыл бұрын
Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣
@tedyokachu5013
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆
@benjamininyambaso5041
Жыл бұрын
Mpaka ulimi unalia dodod
@vanessahappy954
Жыл бұрын
Duh kweli lugha zipo kitoe nyani na asali
@saketnicholaus9962
Жыл бұрын
Mahali ni dume 2 za nyani 😀😀😀😀😀😀😀
@kasukukasuku3896
Жыл бұрын
Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana
@erastomkulu6829
Жыл бұрын
Kwahyo wapo inch gan xx
@mwanziadavid5570
Жыл бұрын
Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣
@nkelamei2870
Жыл бұрын
😂😂😂kidogo nicheke
@leokamil6284
Жыл бұрын
😂😂
@leokamil6284
Жыл бұрын
@@nkelamei2870 😂😂
@kreamagdfsa1697
Жыл бұрын
Duh.......
@ahmadsayyeed7910
Жыл бұрын
Duh😀😃😄😁😆😅🤣😂 hayo majina
@athumanfuko199
Жыл бұрын
wanavitambulisho vya NIDA hao Millard Ayo hujauliza hilo swali
@mohamedimalesa2995
Жыл бұрын
Dudukwe noma sana
@eriminewilsonpjo9540
Жыл бұрын
Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond
@mariamramadhani3860
Жыл бұрын
Jamani naomba watuonyeshe vitabu majina yao walivyoandika 😄 🤣 😂 😆 msitupige watu wa sensa
@vincentmokenye4465
Жыл бұрын
Dudukwe
@mariammkwabi7101
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@saimonijonas4356
Жыл бұрын
Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.
@halimahalima8818
Жыл бұрын
😀😀😀 ii ni Tanzania kwel
@issaladi1928
11 ай бұрын
Dudu khweeee😂😂
@leahmollel6589
Жыл бұрын
Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
😂😂😂😂ni balaaa
@mrmhenipm
Жыл бұрын
Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda
@chawawaally2020
Жыл бұрын
Unaoji watoto
@mwajumahamisi2006
Жыл бұрын
Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz
@haniiniramzan9989
Жыл бұрын
Ili kabila limenivunja mbavu majina Yao nimecheka kwasauti Yani ila nimeipenda sana
Пікірлер: 453