@zeelamaokoto001 ya ndalo ukikaa na wenye hela like diamond harmonize alaf na ww simu ikipotea nan mwiz kua muwaz nan mwiz
@nicholausmbilinyi3587
3 ай бұрын
Sio kweli..anarudia sana tu..ila ni bingwa wa kuwasilisha vichekesho vyake..ndio maana unaweza usijue kama karudia...
@uwezokinahi7870
3 ай бұрын
Hakika
@DrMbonea
3 ай бұрын
Stand-up comedian mwenye maadili vichekesho vyake vina nidhamu
@katabaroonlinetv9688
3 ай бұрын
Hanaga matusi Jamaa kapoa sana
@KhamisAli-fx6wk
2 ай бұрын
Sw Sw mm buku @@katabaroonlinetv9688
@benchalamila4970
3 ай бұрын
Poleni sana kwa mlopoteza watoto, Pia pole kwa mdogo wetu dereva pamoja na wote wanaokutegemea, Tukumbuke tangu mvua zianze kunyesha tumepoteza ndugu pamoja na mali hivyo basi tuzidi kuliombea taifa letu mvua zinazonyesha zikawe za baraka.
@daniel.shao.9028
3 ай бұрын
Jamaa kichwa sana...hii inaitwa papo kwa hapo comedy...sio zile za copy n paste.
@Captain_film
3 ай бұрын
Big talent anajua kupangilia content
@ilomogold1715
3 ай бұрын
Like kwa eliud
@israeluronu9958
3 ай бұрын
Mchekeshaji wa taifa😂😂😂
@peterjohn8405
3 ай бұрын
Endelea hivyohivyo kujibrand kwa uchekeshaji usio na matusi . Utaalikwa sana kwenye matukio ya ki serikali
@mafioso1_.
3 ай бұрын
Kipajiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥
@IsaacLaizer-um9qw
3 ай бұрын
Eliud ❤ respect you never disappoint
@kingswebe3251
3 ай бұрын
Pamoja na elimu yako ya kidato cha nne lkn umewakalisha maprofesa wanakusikiliza, Kweli Mungu fundi.
@mr.nyoradonald7241
3 ай бұрын
Huyu kweli talented 😅
@Echital
3 ай бұрын
Blessed formal comedian ❤
@shedrackmnzava6532
3 ай бұрын
Hiii ni more than Talent
@meshackjackson3262
3 ай бұрын
Kijana mpambanaji unapambana nanan?😅😅
@ilomogold1715
3 ай бұрын
Jamaa anajua zana
@deniskaguo4698
3 ай бұрын
Huyu mwana ukimfatilia haandiki huwa anapata tukio hapo hapo ukumbini ndiyo maana harudi vichekesho vyake kongole kwake
@robertpaul3625
3 ай бұрын
Eliud yuko smart sana😅
@Meddinhoiman
3 ай бұрын
😂😂😂Mwanang fundi sanaaa an
@francismngumi5125
3 ай бұрын
Namuona profesa Mwatawala wa SUA
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Mnaomba like ni Mahira
@barakamwamtenga2448
3 ай бұрын
Eliudi Mungu amfikishe mbali zaidi
@henockmzilo6446
3 ай бұрын
Wale tulokua hatujui Master of Ceremony ni MC tujuane😂
@nancywanjiku1554
3 ай бұрын
Much love eliud from Kenya
@scratcharico6223
3 ай бұрын
unawamrisha wanajeshi wakupigie bendi
@karibunyumbani3824
3 ай бұрын
Anajua pa kuwaamrishia hapo anajua hawamfanyi kitu😅😅😅😅😅
@peacekahemela8676
3 ай бұрын
Eliud ni neema ambayo haina madoadoa kwakweli😂😂😂😂
@ntullyjanga33
3 ай бұрын
Nmekuwa mtu wa buku ku like
@kingcole60
3 ай бұрын
Jamaa anajua
@officialdinaize
3 ай бұрын
Muziki ndio huo
@jaizathabeid2092
3 ай бұрын
My lecture..prof mwatawala
@EstherEdimund-go1uh
2 ай бұрын
Alikuepo kwani
@MELALYLUVANDA-ir8dm
3 ай бұрын
Mungu mbariki Eliud😊
@lucaskichunju5039
3 ай бұрын
Nashukuru kumwona ndugu Omar Babusa.
@mcbsb8742
3 ай бұрын
Unajua kaka endelea kuwanyoosha wacheke had wakae chini
@AdolpheBahininwa
2 ай бұрын
I apreciate you and your ayo tv all the best my brother
@alfonsimwalongo942
3 ай бұрын
Yuko vizuri sana jamaaa
@lucasbatano333
3 ай бұрын
Eliud unajua mpaka basi😅
@NebartWilliam
3 ай бұрын
Mim nimekuw wa kwanza kuw comment naomben likes zenu
@user-op2dh3ym6o
3 ай бұрын
Umetishaaa kk
@AdolpheBahininwa
2 ай бұрын
Elisamuel big up bro ❤😊
@PanchoValentino-wh7wt
3 ай бұрын
Eliud Balaaa Ziiitooo aiseee unawezA saanA 😂😅😁😂🤣
@pauloclemence5307
3 ай бұрын
Ata wakiimba vibaaya uwez kulalamika
@tukuyufm
3 ай бұрын
Eliud na Unyakyusa utamtenga kweliii?....
@ElizabethZacharia-bf3ol
3 ай бұрын
Ngumu 😂
@touches4lifeonlinetv46
3 ай бұрын
😂😂😅huuyu fala huyu,,ishi miaka mingi Mwamba
@ntullyjanga33
3 ай бұрын
Nnapambna na maisha😅😅 mwanang eliud
@frankhoffa8356
3 ай бұрын
Jinga hili kha!
@godlistenmuro9313
2 ай бұрын
Jamaa ni next level
@malaika1tz601
3 ай бұрын
🔥
@jmlaytv6961
2 ай бұрын
Eti katoe vitz wasije wakaikanyaga
@donaldmwahalende4841
3 ай бұрын
Mmh
@MwikonziGodfrey
3 ай бұрын
Jina la nyimbo hiii
@emmanuelnkwabi8610
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jamaa kichwa sana
@moonpicturestanzania65
3 ай бұрын
Good
@benOfficial36
3 ай бұрын
😂😂😂 kwamba hata wakiimba vibaya 😂😂
@Joery-pb5tz
Ай бұрын
Harafu huyu jamaa walitakaga kumwacha
@samwelmatemu8873
3 ай бұрын
Tunaomba serekali iwaondoe walimu wote vihiyo
@neemamasimba2981
2 ай бұрын
Yaani nimecheka mpaka
@joshygeorgee
2 ай бұрын
Talented 😅
@cliffordmwangosi426
3 ай бұрын
😂😂😂😂Master Eliud
@cristaezekiel1036
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Anakuja tu eliud 😁😁😁😁
@mohamedally6390
Ай бұрын
Jaman hii kokoriko nyimbo hii inaitwaje??
@ISACISAC-mc9ex
3 ай бұрын
So good😂
@lubeadamas7287
2 ай бұрын
Naam hii ndiyo maana halisa ya kipawa
@Captain_film
2 ай бұрын
Haini chosh8i kutizama hii😂😂
@AsselaRevelian
2 ай бұрын
mwamba anajua mpaka anakela comedy zake ni kam freestyle yani
@officialdesiderius
3 ай бұрын
Mimi wa 8
@user-pg4fw3rt7f
3 ай бұрын
😅😅😅
@user-pg4fw3rt7f
3 ай бұрын
😅😅😅😅
@saidamour6938
2 ай бұрын
TID hiki kitengo kinamfaa
@matukutajuma156
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂duh!
@augustinenjesi3215
3 ай бұрын
🤣🤣🤣 ila Eliud
@BestLooz_Chance
3 ай бұрын
Amepiga piga Poa Sana Jamaa Eliud Mc
@glorynjovu2483
2 ай бұрын
😂😂😂huo ndo mzik sasa
@ommyraida1996
3 ай бұрын
😅
@maryammwinyimkuu3008
3 ай бұрын
Mimi wa tatu jmn
@imanuelnguya9277
3 ай бұрын
Mimi wa kwanza like nyingi sana kwa eliud
@emmanuellyatuu4103
2 ай бұрын
Muhalifuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
@daviddonatus8121
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@mcpwanako9091
3 ай бұрын
😂😂
@ChochoteTv
3 ай бұрын
Mm wa pili😂
@ShishiRamadhani-iq4ze
3 ай бұрын
🎉😂❤
@oscarpatrick3820
3 ай бұрын
Jamaa anajua sana.
@fettymilly7664
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Ila eliud
@jamiinaafyanjema2966
3 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉🎉😂😂
@jofreymwampamba1236
3 ай бұрын
😊l😅😅😅😊
@2pacFreeStyle96
3 ай бұрын
Me wa tano
@givenessdavid3743
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@reymahandrew2564
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@audaxbizimana8084
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@byaombemloko8470
3 ай бұрын
😂😂😂😂lol
@marthageorge5043
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@sottithomas9443
3 ай бұрын
Nawashangaa wale wajinga walikuwa wanambeza eliud😅😅kama ni kwenye hip hop tunasemaje vile
Пікірлер: 146