Zanziba sio masikini zanziba ni nzuri Ina vivutio vingi ila hatuwezi kua tajiri sababu tumetawaliwa Kila tunalotaka kufanya lazima tuombe ruhusa Kwa tanganyika walojificha kwenye kivuli Cha Tanzania zanziba tungekua na uraiya na pasipoti tungeweza kuitangaza kiurahisi hata mapato ya anga bahari tungefaidika
@goromamussatvonline
2 күн бұрын
lakini umekielewa ulichokiongea mpka ukaamua kukomenti...?🤔
@Mwanza2000
2 күн бұрын
Unatafta bwana
@mclee493
2 күн бұрын
@@goromamussatvonline hufai kuwa mtanzania unahc kuwa na uzur ndo kila kitu ooho ...ungenyang'anyw hicho kisiwa kikaitwa tanganyik
Пікірлер: 15