MUNGU amsaidie apone na afya yake iwe njema inshallah
@muhammedwakif6216
Ай бұрын
Amin Yaraby
@user-qb4cv7hs1o
Ай бұрын
Amiina rabi
@saeedmassoud256
28 күн бұрын
Amin yaarabbi
@ramillywood909
Ай бұрын
Mnajipendekeza tu ndugu Lakini hakuna watu wenye chuki dhidi ya waislam kama mayahudi, wanadhihirisha chuki live,
@omarmohammed5157
Ай бұрын
Acha choyo na roho mbaya wewe na uisilam halaf ikiwa unefanyiwa tukio na watu wachache usijumuoshe waislam woote uwe na heshima kwenye kauli zako
@mwambamkombozi4672
Ай бұрын
@@omarmohammed5157huku mfahamu huyo jamaa hasemi waislamu anasema hao wasiokuwa waislamu juu ya chuki zao.
@user-dx6dm6lh1i
Ай бұрын
@@omarmohammed5157Basi ww ndio roho mbaya maaan mwezkao kasema kweli
@tekashisixtynin9threewithd727
Ай бұрын
Asa apo DINI imeingiaje tumia akili kwa uko saudi arabia video mbaya za watu wanapigwa utasema udini unaingia apo elimu ikukomboe boss kwanza lazima kuna shida ilikuwa na sio DINI apo
@@user-kp7co8je3lwewe clown 🤡🤡 kweli yaani Wameshtuka kitu gani sasa tumia akili
@user-kp7co8je3l
Ай бұрын
@@saleemsuleiman2220 Bado hujaelewa tu.... Rudini mkazijenge nchi zenu...kama vile msivyowata wao kwenye nchi zenu na wao hawawataki sasa hapo nitumie akili ipi Tena ndugu ????
@Theman-dn8vo
Ай бұрын
Ni sawa kulipiza ila pia uwe na ubavu
@user-kp7co8je3l
Ай бұрын
@@Theman-dn8vo Dunia Haina sehemu salama kwa sasa ila ni Bora ukae kwako nyumba za watu hazina Amani Tena hakuna anaemwamini mwenzake kwa sasa unaweza kumkaribisha mtu kwa Amani badae akakugeuka ndicho kinachoendeleakwa waarabu na wazungu Kila mmoja anauona mwenzake adui....kibaya zaidi na sisi ngozi nyeusi tumeshaambukizwa ugomvi huu....Ee Mungu tusaidie waafrika
@user-lt9yx2mh9k
Ай бұрын
Allah akbar
@user-jo5ig8ww1b
Ай бұрын
Mashallah mashallah haki itendeke inasikitisha mama alivyo na taharuki masikini
@bintqassimidarous1636
Ай бұрын
Hata muufanyie njama uislam ila katu uislam utasimama daima dawamu kwasababu ndo dini pekee iliotajwa katika vitabu vya dini uislam utabaki kua strong 💪 na allah atatulinda dhidi ya maadui zetu ALLAHU AQBAR
@lakasid3860
Ай бұрын
Ila nyie huwa wajinga kwaiyo maadui zenu nikina nani? Kwaiyo hili swala umerihusisha na udini sio muwe mnatumia akili nyie jamaa 🤔
@aminasittusaid3830
Ай бұрын
@@lakasid3860 wewe ukitumia akili inatosha 🤔😏
@hanifa9153
Ай бұрын
Allahu akbar❤
@hanifa9153
Ай бұрын
Allahu akbar❤
@omarmohammed5157
Ай бұрын
@@lakasid3860 sijui nyny munatatizo gan naona kila jmbo utaskia Udini udini acha ujinga
@rizikimohamed2449
Ай бұрын
Allah ndio muamuzi wa haki hao mapolisi watalipwa inshallah
@barakamwamasage-hy2jo
Ай бұрын
Haiko poa kabisa
@shyfettymtunda4619
Ай бұрын
Wakianza kulipa mnawaita magaidi.Hayaaa mweeeeee
@sonnyr1899
Ай бұрын
Huyu ni mwaka wa haya mataifa yanayo jifanya wanajuwa haki za binaadam kuaibika
@ayshasaid1547
Ай бұрын
Kila kukicha wanasema waislam magaidi
@charlesmakuri792
Ай бұрын
@@sonnyr1899 waislam ni magaidi kila kukicha tunaona nchi zenye mifumo ya Islamic ni magaidi tu yanaua kuchinja
@sonnyr1899
Ай бұрын
@@charlesmakuri792 Rudi shule
@charlesmakuri792
Ай бұрын
@@sonnyr1899 utanisomesha mavi ya kuku we Elimu yako iko chini yangu
@charlesmakuri792
Ай бұрын
@@sonnyr1899 ukweli usemwe hata ukatae kataa msikitini ila huku duniani uislam ni dini inayo elekeza ugaidi na Muhammad alikuwa kibentene wa hadija
@salumft661
Ай бұрын
Wazungu wenyewe hawatak wahamiaji
@saidympoyoka7632
Ай бұрын
Apo aki ya binadam aionekani, mungu yu pamoja nasi na tazidi ongezeka na aibu nyingi ztajionyesha japo amtasema
@blackyoungmaestro
Ай бұрын
Allah's deen shall prevail wa law karihal kaafirun! Stay strong yaa ikhwaan
@DoiYasin
Ай бұрын
Really kabisaa hii imeniumaa kiukwelii but for real nawachukiaa wazungu acha tyu
@mrheripoza3553
Ай бұрын
Wote nawaarabu niwamoja so acha wadunguwa wao kwa wao
@paulntalima6998
Ай бұрын
Waulizie waislamu weusi wanaofanya kazi uarabuni wanavyouliwa ndio ujue roho za waarabu
@mobutu3884
Ай бұрын
Halafu unawakubali waarabu kisa mohamad😂, ila Waafrika 😂, hivi unajua waarabu walivyo wabuguzi kuliko hata hao wazungu? Kama unabisha nenda kaoe mwarabu kama unaweza yani wanawaona Waafrika kama nuksi kwenye koo zao ndio maana huwezi kuta wamechanganyana nao katika ndoa. Halafu nyie kutwa shobo tu yani miafrika mda mwingine kama mifala..
@FreeGod368
Ай бұрын
Meifatilia kumbe alimvunja askar miguu na kumkata pua askari mwanamke sasa mlitegemea asilambe kichapo cha mbwa mwizi kisa dini yake ...mandondocha yakidni yako apa yanabwata tu
@user-dx6dm6lh1i
Ай бұрын
@@mobutu3884we huna akili kwanza ujue muarabu rangi yke si mweupe. La pili katika dunia muarabu ndio wa kwanza kuoa muafrika tena akiwa mfalme tatizo hamufuatilii history ndio mnakurupuka tu
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Hatariii😭
@hamzafishten9560
Ай бұрын
Allah ampe shifa
@HamzaMbasha-xs2ky
Ай бұрын
Mtu mweusi na mwaarabu Hawatakiwi kabisa nchi za magharibi ni basi tuu tunaforce
@charlesboniphace2249
Ай бұрын
Waarabu wajinga mno wanarazimishaga tabia zao kwenye nchi za watu waende uarabuni kwao shenzi kbx
@mwawekomiuda9779
Ай бұрын
@@charlesboniphace2249wewe shika Adabu yako na ukome kutukana watu kama umelishwa mavi. Nchi zao si wameziharibu kwa sababu ya kuwaibia na kuwauwa wazi kabisa. Kwa taarifa yako mwisho wao umefika.
@namisgiggah1571
Ай бұрын
@@charlesboniphace2249Nanyi mbaki kwenu afrika maana Bora ya hata wao kuliko sis baadhi ya wengi wwafrika hufanya vitu vya ajabu
@aishabakari8040
Ай бұрын
Hakika tunashobokea tu 😢
@user-kp7co8je3l
Ай бұрын
Turudini makwetu
@user-to4jw7tm1j
Ай бұрын
Dhulma haiwezi kuwa haki iko siku itaonekana hata ukiificha
Mimi ni mkristo nimeokoka kabisa sikubaliani na jambo hilo la hao maaskari kumpiga huyo kijana kama amefanya kosa hatua za kisheria zingefuatwa
@AusiMohammed
Ай бұрын
Nchi za ulaya hatutakiwi na hawatupendi waislam na ma black halafu haohao ndio wanajifanya wana tetea haki za binadam 😫
@mwawekomiuda9779
Ай бұрын
Waafrika wakiwa strict watakuja kutupigia magoti hawa
@CrissDaudi
Ай бұрын
Sasa Baki kwako mbona wakimbizi wote dunian wanatamani kwenda huko Kuna nini
@DouglasMassop
Ай бұрын
Kuna hela😂@@CrissDaudi
@mobutu3884
Ай бұрын
@@mwawekomiuda9779Halafu unawakubali waarabu kisa mohamad😂, ila Waafrika 😂, hivi unajua waarabu walivyo wabaguzi kuliko hata hao wazungu? Kama unabisha nenda kaoe mwarabu kama unaweza yani wanawaona Waafrika kama nuksi kwenye koo zao ndio maana huwezi kuta wamechanganyana nao katika ndoa. Halafu nyie kutwa shobo tu yani miafrika mda mwingine kama mifala.
@yassinhamza1969
Ай бұрын
@@CrissDaudiwao ndio huchonganisha hivyo Vita pia Mali zao zinaibwa na wazungu Sasa ulitaka waende wapi
@user-wd2bc7bf5x
Ай бұрын
jamani nililia sanaa kuon hii video jana😭😭
@Chamandaayolaiza
26 күн бұрын
ALLAH YUPO NAWATAKWENDA KULIPWA NAWATAJUTA KWALILO LITENDA LABDA WATUBIE
@SalehSonda-bz3hl
Ай бұрын
Dua,
@saiddimarley8445
Ай бұрын
Wazungu ni nguruwe tu.Hawapendi watu weussi waafrika pia nawatu kutoka Asia.Makafiri hao
@khurlainashly5686
Ай бұрын
Subhanallah 😢
@Chakol123-k7s
Ай бұрын
Ndio wa kislam kwani Palestine asilimia nyingi ni dini ipi..mungu amsaidie
@-magicstory
Ай бұрын
Sad story😢
@mwanakhamisimwinyimatano1185
Ай бұрын
Subhana Allah
@amimaawazi6643
Ай бұрын
Yani mngejuwa Wartburg wana roo mbaya atari
@HanifaOman-oo4pl
Ай бұрын
Allahnamponye kwahurumawake na hao mazwalim. Allah utawali0a juu ya dhulmazao kwa waislam
@binseif2216
28 күн бұрын
Mimi naomba tusibaguane kwa Dini hapa Tz maumivu yawe yakwetu sote,tumeishi kwa miaka bila kugombana wala kuchukiana
@prettynayally2177
Ай бұрын
So sad kwq mama yao 😢😢
@mustamimmushajara8992
Ай бұрын
Inna lillah wainna ilaihi rajioun
@RamadhaniAbdllah-qu7cy
Ай бұрын
Allah Akbar
@Stevekapugi
Ай бұрын
Daaah kwanini jamani
@OctavianiRongino
Ай бұрын
Sasa mambo ya kusema nimtoto wa kislamu yametokea wapi acheni uchochezi
@CrissDaudi
Ай бұрын
Sana kaka huyu naye amekuwa mchonganishi sana sio lazima aseme kijana wa kislam
@namisgiggah1571
Ай бұрын
Coz waislam huwa wanalengwa Kwa namana nyingi mlioaminishwa ktk ubaya
Laana ya Allah iwe juu yao na Awadhakilishe duniani hadi Akhera
@gloriamichael7935
Ай бұрын
Hiidunia imechafuka sasa tuone km kila mtu akikaa bara Lake itakuwaje its too shame
@JosephBalebanga
Ай бұрын
Wa bonga bana daah kazi ipo mtu ana toka dubai kuja kutengeneza mahusiano mazuri ya kidoplmasia lkn pia na biashara yasiokua na dhulma ndani yake bado una muita gaidi ila mmagharibi kuaribu system zako na kukuwekea mikataba ya dhulma huku ikijifanya anakusidia huyo ndiye anaoneka baba bora duuh tunaitajia :UKOMBOZI WA FIKRA
@hawa6052
Ай бұрын
Allah awaponye wote
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
Kuna haja gani ya kusema muislamu si ungesema tu mpakistani
@omarhababuu3159
Ай бұрын
Mbona nanyinyi munasema waislamu nimagaidi wakati magaidi nimakafiri. Wanaotoa silaha nakupiganisha nchi ambazo haziwafati matakwa yao
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
@@omarhababuu3159 kuna haja gani ya kuita binadamu mwenzako kafiri, unajihesabia haki ni kama vile usha kutana na Mungu akakuambia Imani yako ndio ipo sawa
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@omarhababuu3159 Polisi hawajahusisha tukio hilo na dini ya mtu. Tukio limehusisha uvunjifu wa sheria lakini nyie mnaanza kuhusianisha na dini. Stupid. Ina maana kila mtu akiadhibiwa sababu inakuwa ni dini yake?
@swalehemusa4546
Ай бұрын
Ni muislam muislam
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
Ndio mkajaribu kwenda kuoa kwao nyie mnaosema hawa ni waislam wenzetu ndugu zetu ndio mtajua kama na nyie ni waislamu au makafiri
Tukipendwa na Allah inatosha ndugu, cha msingi tusiende sehemu ambazo hatutakiwi basi. Duniani sote ni wasafiri tunapita tu hapa.
@FreeGod368
Ай бұрын
@@aminasittusaid3830Meifatilia kumbe alimvunja askar miguu na kumkata pua askari mwanamke sasa mlitegemea asilambe kichapo cha mbwa mwizi kisa dini yake ...mandondocha yakidni yako apa yanabwata tu
@daudinyello4033
Ай бұрын
BRITISH GAYS AT WORK
@user-et9je5vw3l
Ай бұрын
Siyo kijana wa kislam sema jina la inchi anayo toka bro
@kalimayasinahmadi7225
Ай бұрын
😢😢
@najmahhassan7853
Ай бұрын
So sad 😭😭 why
@Urembomileleofficial
Ай бұрын
Duuuh
@BallackEnock-p1e
Ай бұрын
Sasa hayo na Imani vina uhusiano Gani?
@milamila8653
Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@AliNassor-qt6fm
27 күн бұрын
Kiufupi watu weupe ni wabaguzi sana wawe wazungu au waarabu wote ni wabaguzi wa rangi
@CrissDaudi
Ай бұрын
Kwani sns lazima useme kijana wa kislamu mbona kama unachonganisha nimekufatilia sana unapenda kulipoti habali za kislamu kama habali za watu ambao wanaonewa sana katkia hii Dunia. wakati watu ambao tunafanyiwa vibaya ni sisi waafrica lakini hulipoti sana yakwetu
@namisgiggah1571
Ай бұрын
Kwani wwafrika hakuna waislamu? Hujui unachoongea au kuandika!!
Mm siendi kutalii,, wakinunua v8 wanafaidika wao cc chumvi kwa jirani
@labunaabouna6122
Ай бұрын
Kosa kumpiga na huyu pilisi kachukuliwa hatua off all his duty km polisi na ataenda mahakamani.lkn pia hii hakupibwa bure walipigana car park ndio chanzo
@zakayodismas251
Ай бұрын
Kwanini asitwe kijana …. Je angekuwa mkristo amuandiki kijana mkristo ,Akiwa muislam ndo lazima muwekee dini yakee 😢
@CrissDaudi
Ай бұрын
Sns udini umekuwa mwingi akiamini atapata wafwasi wengi
@spreadlove5300
Ай бұрын
Hawajasema kwa umakini tatizo lilikuwa nini ila immigrants wa UK huwa wanapenda kujisahau sana 😮😮 maana hata haya mambo ya Israel na Palestinian walionywa kuhusu kuandamana wakakaidi matokeo yake wakawa deported 😮
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@CrissDaudi wapuuzi sana hawa siku hizi wana udini hadi umepitiliza. Naona iwe media ya dini tu tujue moja.
@aliabdallah8456
Ай бұрын
Mtu yoyote yule ambaye si muislamu ni mtu kafri ambaye hamjui mungu
@user-cv4jb1bm6i
Ай бұрын
Huna akili
@vincentcharles4385
Ай бұрын
Kumamako shoga mmoja wewe,umezaliwa kwenye dangulo na mamaako kahaba,hanisi
@maidimples8236
Ай бұрын
Hii haikubaliki
@bushbabytz
Ай бұрын
wapigwe tu hapo sio Iran...unajua waislamu wanadhani UK ni huko saudi Arabia .. mbona kule Iran watu wa dini zingine wanateswa na hamsemi Alahu Akbar!?
@hassansaul7098
Ай бұрын
Sasa hapo Uislam Unaingia Unaingia aje?! Mbona wanasema kua ni wahindi haijuhusishw hata dini ya Islamu
@MamodelPark
Ай бұрын
Wewe una akili ndogo kama ndugu zako. Apo Uislamu umeingiane ? Get a life bruh🙄🙄Wtf
@omarzinga7046
Ай бұрын
You are sick and mad this is about humanity not religious
@eddiemohamed9003
Ай бұрын
PINGA UKATILI WORLD WIDE
@TellaaxisTz
Ай бұрын
😮
@hezronjoseph405
Ай бұрын
Kijana wakialabu? au wakislam? ,mwandishi mchochezi🙏
@saleemsuleiman2220
Ай бұрын
Akiongelea Waarabu unaongelea uislamu usimkosoe Mwandishi wakati wewe ndio hujui kitu😂
@hezronjoseph405
Ай бұрын
@@saleemsuleiman2220 we ndo hujui,,kwani waarabu wote Ni waislam ??au umekalili😂😂
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@hezronjoseph405 sky walker ni mdini sana we fatilia utagundua. Fatilia mada za Israel na Palestina,Urusi na Ukraine utaelewa ninachosema. Hii ya leo ndo kali badala ya kusema kijana mpakistani wao wanasema kijana muislam. Yaani Sky leo nimemshusha sana viwango.
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@saleemsuleiman2220 so waislam ni waarabu tu ila waislam wa Kiafrika sio waislam na hawapaswi kuongelewa kama waislam?
@Rose-ue2ho
Ай бұрын
Si mwarabu ni Mpakistani.
@raymrash
Ай бұрын
Sijaelewa uislamu umeingiaje kwenye hii taarifa... kwani wangesema mgeni kutoka Pakistani kapigwa wangepungukiwa nn!??
@josepheriah5977
Ай бұрын
Kaiba
@ericksonmuhulo1570
Ай бұрын
Ila huo ni uchochezi why title useme kijana wa kiislam. Even if its true Bt usiseme dini
@ImanSaid-ox3po
Ай бұрын
Wanachuoni wametoa FATAWA chungu mzima kukataza WAISLAMU Kwenda nchi za kikafiri NYINYI MLIFATA NINI HUKO KWENYE NCHI HIZO?? TOSHEKA NA NCHI YAKO AU NCHI MLIO FUNGAMANA NAYO KIITIKADI NA MAADILI.
@Ryannkae
Ай бұрын
Kisheria kabisa wapo kwenye makosa. Jana kuna mama aliuwawa kwasa bb kukataa kutii abri. Police wa american sio wambaya kama mnavyo fikiria no tatinzo ni sisi wangeni. Unakuta mtoto wanchi anatii abri wewe unakataa tena unajubuzana nao. Unazani hawa police wa african wanaweza kuacha. Tuwe wakweli mbele za Mungu. Hawa jama wamekosea mimi mwenyewe nishawayi kukamatwa nao ukiwa wakike atakaye kusopa ni wakike mwezako ukiwa wakiume unasopwa na mwezako mwanaume. Mimi mwenyewe wali wayi nikamata, baba yangu, kaka zangu wote tushapita apa watu ahawa wakikusimamisha na wakikuambia weka mikono juu unawoka , wakikuambia keuka uso kule, after hapo unawangeuzia back, tena wanakwambia ulale chini na uweke mikono nyuma au juu ya back yako. Hishara hiyo inawamanisha kama wewe sio mkorofu, au mwalifu apo wanakuwa rahisi ku close to you . Wao awakutiii abri
@DuckVlogq
27 күн бұрын
Bado Dunia haijachafuka itachafuka mpaka mtashangaa wenyewe mpaka Al mahdi aje kufanya uadilifu kote duniani
@dannysengata2298
Ай бұрын
Mimi sijaelewa neno "kijana wa kiislamu"....
@Bariadi-ug8ve
Ай бұрын
Huku bongo piano wanapigwa wabongo most piano siyo ulaya tu
@majidikhatibu7479
Ай бұрын
Wazungu hawatutaki kabisa watu weusi na waarabu tunabaguliwa sana na hawa watu
@EmmanuelChrispin-bo5xh
Ай бұрын
Du!
@stonetown578
Ай бұрын
Mungu atamlipa huyo polisi ni mshenzi tu.
@deusijohny2556
Ай бұрын
Rudini kwenu
@SMG109L
28 күн бұрын
Hao makafiri ipo siku yao, na ndio maana hata jana nilikua upande wa timu ya uhispania, wale ufaransa supporters wa mazayuni walikipata
@HusseinSaguti-sj9nh
Ай бұрын
Watetez wa ushoga Alaf wanajifanya wao wanatetea haki na kwao wanafuata sheria Jambo hilo lingefanyka urusi Bbc cju dw cnn Ingekua hapatoshi Nato yao
@hidayahidaya-vd3ze
Ай бұрын
Wazungu migaidi basi wanapewa tuu
@EnikoSanga
Ай бұрын
Wamezidi ukorofi
@19ddr
Ай бұрын
Wakristo na wayahudi hawatupendi halafu wanatusingizia ugaidi. Matukio kama hayo yapo zaidi ya mamilioni huko Israel
@ExaveryNgonji-hl6ym
Ай бұрын
Acha udini ww
@19ddr
Ай бұрын
@@ExaveryNgonji-hl6ym udini wanao hao wakina marekani, Israel uingereza ndo wanaudini waislamu wanabaguliwa sana huko acha ubishi, marekani kashawahi kizuia waislamu wasiingie marekani. Asa huko sio kukandamizwa
@skeletontv3425
Ай бұрын
Kulikuwa na haja gani kuandika kijana wa Kiislamu hapo bro?
@user-eq9pw6cu5e
Ай бұрын
Hii midia yenyewe inaonyesha ya kidini kwa sababu, kwa nini muandike kijana wa Kislamu akipigwa, mbona hata Wakristo wanapigwa mbona hamusemi kijana wa Kikristo kapigwa. Mbona Ndugu zake hawajapigwa kwani siyo wa Islam. Lazima watoa habari kuwa makini mnapanda chuki uenda aliulizwa Akawajibu anavyojua Yeye, maana huwa watu wa kidini wa upande wa pili wanamajibu mara kafiri mara nguruwe mara mashoga, ukimjibu askari waliofunzwa kuadabisha watu wasio heshimu watakufanyaje, si tunawaona kwenye Coment, wewe Sema kupigwa vile kichwani labda si sawa na anaweza akafanya jambo lisilo sahihi Ndugu wanaficha, kuna nchi gani hawapigi?.
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@user-eq9pw6cu5e nashangaa pakistan kwenyewe wanauana wenyewe kwa wenyewe tena wengi waislam kwa waislam halaf polisi kumdhibiti mhalifu wa kipakistan inakuwa kijana wa kiislam upumbavu kabisa huu na chuki binafsi. Huu ni uchochozi wa kidini wa wazi. Mpakistani na mwislam ni vitu tofauti kabisa. Polis hawajapambana na dini ya mtu wao wamepambana na mhalifu mwenye dini ya kiislam. Unaweza kuta hata hao polis wazungu mmoja wapo ni muislam who knows.
@user-yr3yi2yr6i
Ай бұрын
Mngeandika kijana wa kiarabu si kijana wa kiislamu
@abdallahsaid1713
Ай бұрын
Sasa hawa c warabu au hujasikia majina yao na hi video ndivyo inavyo tambulika duniani kote kwa hilo jina
@chizcom4229
Ай бұрын
acha kuchochea kama umekosa kontet polisi kama yupo kwenye majukumu yake usiweke dini
@PrinceHendry-hp8vv
Ай бұрын
Hamas walipovamia Israel na kuua mpaka watanzania wenzetu waloenda kusoma mbona hamkubweka nyie wenye dini yenu au ile ilikua sawa kwa hili la polisi kukosea kwa watu wawili ndo imekua udini
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@PrinceHendry-hp8vv sns leo wamenikera sana. Kuna yule kijana mtanzania wa kilimanjaro aliuwawa na hams mbona hawa sns hawakuwahi kuripoti kuwa kijana mkristo kutoka Tz ameuawa na vikundi vya Hamas? Leo Wanapata wapi ujasiri kusema kijana wa kiislam. Uchochozi unaanzaga hivi hivi mwisho inaleta madhara makubwa.
@PrinceHendry-hp8vv
Ай бұрын
@@josephjohn2114 ndo hapo sasa
@shaban6644
Ай бұрын
Hilo tukio wangefanyiwa Wakiristo Katika Nchi za Kiislamu, Dunia Nzima Ulimwenguni Ingepiga Kelele Kwa Kuwaita Waislamu Magaidi, Lakini Kwa Kuwa Kafanyiwa Muislam Media za CNN, SKy news Zimekaa Kimya. The Western Hypocrisy.
@florencemeza6540
Ай бұрын
Mbona hata weusi hufanyiwa mara kwa mara??
@kamalmukaddam1521
Ай бұрын
Very sad inhuman
@ahmedymahmudu9532
Ай бұрын
Halikama hii itaisha lini
@user-nv6wt3nx5h
Ай бұрын
Waislamu wengi wanakimbia nchi zao za kitabu kutokana na mbinyo wa shària..wanatamani uhuru ,elimu bora,uchumi.wakifika wanale5a ideology za kidini.sasa nchi za ulaya zitakaza mpaka washangae
@yassinhamza1969
Ай бұрын
Hata hao wazungu wapo ktk nchi za kiislamu wamewekeza
@PrinceHendry-hp8vv
Ай бұрын
Mwingine anaandika ubaguzi wa rangi wakati wote ni weupe
@ElijahOwino-xe2cd
Ай бұрын
Warudi kwao... wanakuja nchi za Ulaya halafu wanataka sheria zao za kiislamu ndo zitumike... ni wazi kuwa waislamu huwa wanawachukia wazungu na kuwaita mashoga... Sasa kama ni mashoga Mbona mnajazana kwa nchi zao...? Tabia za waislamu ndio chanzo cha haya yote
@yassinhamza1969
Ай бұрын
Kwan wazungu hawapo kwenye nchi za kiarabu?huwa husikii Vita vikianza mfano Lebanon nchi za ulaya zinasema raia wake waondoke?
@ElijahOwino-xe2cd
Ай бұрын
@@yassinhamza1969 wazungu huwa wanaenda kule kama watalii tu ama kikazi na wala sio kuchukua uraia wa nchi za kiarabu
@JamalKanani
Ай бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd na wao mashoga wenzako mbona wanejazana nchi za kiarabu,Dubai Qatar wanafanya nini juzi tu Eid walijazana Misri kwenda matembezi kwanini wasiende ulaya mashoga wenzako
@JamalKanani
Ай бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd wakristo papa amewabariki ndoa za jinsia moja imekaaje kwa kiongozi mkubwa wa dini yenu anasapoti ushoga
@khalidmdotta3843
Ай бұрын
Hawa wahuni sio watu ni mashetani ni kudili nao tu nasisi
@PrinceHendry-hp8vv
Ай бұрын
Kuna watu huku siwaelewi kwamba mwislam akikosea asiwajibishwe kwan ni swahaba au malaika ni vema mtu ukafatilia ujue chanzo cha hao polisi kufanya hivyo ndo ubwatuke vinginevyo nikuchochea chuki isiyo na maana ya dini ambayo haimsaidii yeyote zaidi ya ww ulieamini
@mchjohnmasegese8193
Ай бұрын
Haka kachaneli kenu kana kazi ya uchonganishi wa udini.kwani lazina mseme kijana wa kiislam.
@karimjuma4019
Ай бұрын
Choko ww ulitaka asemeje
@CrissDaudi
Ай бұрын
@@karimjuma4019alipoti tu kwani lazima aseme mwislam 😅😅
@hamadsheni8997
Ай бұрын
Itakuwa unachuki na uislam.
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@mchjohnmasegese8193 sina hakika ila nataka kuamini kuwa Sky ni muislam na anatumia channel yake kueneza chuki za kidini. Nimefatilia muda mrefu hili nimejiridhisha. Kwa mwandishi kama yeye ni ujuha kuandika alichoandika. Ni dhahiri kueneza chuki za kidini.
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@hamadsheni8997 kwani we ukionewa na polisi hapa bongo unakuwa umeonewa kwa sababu ya dini yako? Hakuna sehem yoyote hao polisi wametumia dini kama sababu ya kuwapiga hao wageni. Nyie ndio mnataka dini itumike kama sababu sio sawa hata kidogo.
@Mumewangu
Ай бұрын
Apo ningalikufa nao ningalikuwepo baada ya kijuwa hana makosa
@user-ww5iu4gz4b
Ай бұрын
Ikitokea anaekukosesha raha humuezi basi unachofanya ni kumuonea asie nanguvu wamevurugwa na putine hawa basi wanakereka sannaaaaa
@AzizSeleman
Ай бұрын
kwaiyo kama ni muislamu ndo asipigiwe
@abdallahsaid1713
Ай бұрын
We uislam wako wa mashaka huwezi kusema hvyo kwa ndugu zako
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@abdallahsaid1713 wajinga kama wewe ndio chanzo cha kuleta habari hii. Hivi ww ukivunja sheria ukapigwa na polisi inakuwa imepigwa dini yako au wewe kwa uhalifu wako? Unataka kusema kuwa ni muislam ni haki ya kufanya uhalifu bila kuchukuliwa hatua? So unataka kusema uislam ndio unafundisha waislam kufanya uhalifu kwa jinala dini yao na hawapaswi kudhitiwa kisa dini?
@KhamisiHilali
21 күн бұрын
Wew naamin simu umenunua mkononi sio jina lako Aziz na Kama ndie ndo wale walolefti kiiman
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Sisi hatujui,,pengne ni wahadifuu
@NurudinZuberi
Ай бұрын
Akili ndogo km wahalifu mbona wapo huru
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
@@NurudinZuberi huwez jua,,,
@mobutu3884
Ай бұрын
@@NurudinZuberihaya wewe mwenye akili kubwa chanzo cha kupigwa kwao ni nini? Au ndio shobo kwa waarabu
@AbdalaMbaraua
Ай бұрын
Huo nibaguzi warangi
@josephjohn2114
Ай бұрын
Kwa hiyo kijana wa kiarabu akishambuliwa na polisi story inakuwa kijana wa kiislam ashambuliwa na polisi ? Kwa hiyo kijana wa kiafrika akishambuliwa na polisi story itakuwa kijana wa kipagani ashambuliwa na polisi? Na kijana wa kizungu akishambuliwa na polisi story itakuwa kijana wa kikristo ashambuliwa na polisi? Ukisikia udini ndio kama huo kwenye title ya story hii.
@AdhmirSalum
Ай бұрын
Uwelewa wako ni mdogo sana
@josephjohn2114
Ай бұрын
@@AdhmirSalum sawa ila wenye akili wanasoma comment wanaona kama mimi na na wewe nani ana uelewa mdogo au mkubwa.
@KhamisiHilali
21 күн бұрын
@@josephjohn2114Sasa wew ulofahamu twambie nin kimepelekea kupigwa ukiacha huo uwarabu usemao
Пікірлер: 301