She is so cute lol❤️❤️ with a lot of confidence. You deserve the best sister Happy😍
@jennyjohn4376
3 жыл бұрын
Yaaan milad ayo uko vzr sana so wengine wanaandika ki2 kingine mazungumzo mengine
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
Mtani wangu muyao wewe ni mzur sana. Akuna mwanamke mbaya kwa muonekano ni changamoto za kimaisha tu.
@nicewangombe-nm3xt
Жыл бұрын
Dear God cabin crew my passion😢😢
@getitdoneright1938
5 жыл бұрын
Great interview. Thanks for your service.
@hadijapazia684
4 жыл бұрын
Mbona mrembo 2 Jaman uyu dada.
@hawahussein3751
6 жыл бұрын
very smart asante kwa elimu nimempenda bure ........hizi ndo interview bhana
@Ambagaye
Жыл бұрын
Inachofurahisha sana ni jinsi watanzania walivyochanganyika kikabila. Nyerere alitujenga vizuri sana, huyu binti mama ni mpare, baba myao. Kuna watu wengi sana Tanzania ambao leo hii hawajitambulishi kwa kabila moja tu; jambo zuri sana hilo. Utanzania unatakiwa uwe mbele sana.
@getitdoneright1938
4 жыл бұрын
Urembo siyo kigezo cha kufanya kazi ila uwezo. Tuwaheshimu dada na kaka zetu wanao jitahidi kufufua shirika letu la ATCL. Kama mnatamani kuona watu warefu basi angalieni NBA.
@petermollel1471
6 жыл бұрын
Safi sana Happy. indeep experience yako uliyotaja ya miaka kumi kwa kweli matches with mwonekano wako na unachoongea. big up happy
@josephguerino7416
2 жыл бұрын
Picha ilipigwa vibaya, mdada ni mzuri sana!
@amabilis-mariesangu9500
5 жыл бұрын
Is this the same person in the picture. Shes pretty and confident...hongera sana dada
@jessyjacob2433
4 жыл бұрын
Mbona mzuri uyu dada uyu kaka eti ana mwambia sio mzuri kaaah
@aika9116
6 жыл бұрын
Beauty with Brain😘😘
@maulidhamisi4649
6 жыл бұрын
Upo vizur Dada..big up 2u
@mmlove9127
6 жыл бұрын
Akili ndio muhimu sio uzuri
@mwanakwetu6472
6 жыл бұрын
Pretty Lady!!
@MrBeerlahairoi
6 жыл бұрын
Ukabila wa nini sasa
@Mwika12
2 жыл бұрын
She is very beautiful. Ila mtu ukiwa kwenye safari unakua umechoka. Pia the kind of the phone used to take the picture. As seen live she is beautiful
@FaridaMkindi
9 ай бұрын
Hi my name is fatuma Ibrahim I completed grade 7 in 2023 at Carmel primary school I really like 2 be a flight attendant just like you please help me I love you
@Perfect-migomigo
8 ай бұрын
Kazi yangu pendwa🎉
@stellafernandez8990
Жыл бұрын
Naomba namba yke tafadhali
@goodluckkayoka4352
4 жыл бұрын
Safi Sana Happy
@khadijahans8632
6 жыл бұрын
Kichwani yuko pouwa sana!!!!Hongera sana mdada
@alexprosper7267
4 жыл бұрын
Asante Vido kwa interview nzuri
@munajafu3080
4 жыл бұрын
Even me I want to do that job
@NeemaJu60
9 ай бұрын
Boyz wanakuwepogo
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
Happy nakupenda sana
@plannazteknix
6 жыл бұрын
She has brain 👍🏾.she knows well about aviation and cabin attendance
@khadijasaleh2731
6 жыл бұрын
Sinko 255 she hasn’t explained her self well😏
@plannazteknix
6 жыл бұрын
Khadija Saleh 🤣 c’mon..she gave the best hints..she can not give in everything from IATA procedures or any airline document in full details coz that will take more than a day..am sure she knows more than what she gave here
@jumasix2430
4 жыл бұрын
Safi sana umeongea vizuri sana
@princegabytv7251
6 жыл бұрын
She is beauty
@lovegodwine7868
5 жыл бұрын
Wow dada u a amaizing
@edrickmbilig9349
6 жыл бұрын
weee mzur sana
@ericamwakyokile1889
4 жыл бұрын
WEWE NI MZURI SANA BINTI YANGU.KWANZA UNASIFA KUU MOJA UMETUNZA RANGI YAKO ASILIA.HONGERA.
@kadunawewe7248
3 жыл бұрын
Ada shimngapi na chuo chenyewe kipo sehemu gani
@justusmukurasi4383
4 жыл бұрын
No , the other in picture is different...and long serving lady with ATCL
@kadunawewe7248
3 жыл бұрын
Mi nataka kuwa muhudumu wa ndege
@sihaclausy6502
6 жыл бұрын
hhahahah...........mtangazaji unavisa, she is pretty bhana..
@sylvestercameo6263
2 жыл бұрын
Akili ya mtangazaji inegubikwa na anachodai ni uzuri (urembo), eti wahudumu wa mashirika ya ndege ya nje ni warembo, lakini wa hapa....! Nafikiri mhojiwa ameonesha ukomavu wa kiakili kujibu kiungwana, pasipp kuonesha hali ya kutaharuki.
@godfreykanelela1257
6 жыл бұрын
Milad huyu dogo anaweza sana kutangaza
@elizabethgasper2909
6 жыл бұрын
Godfrey Kanelela mbona wengine sura sio kabisa hasa hao wa air tz?
@lawagustino1887
6 жыл бұрын
Godfrey Kanelela sana sana..yupo vizuri
@papaaclements6439
4 жыл бұрын
safj sana Happy
@mohamedsasma879
6 жыл бұрын
Well done mdada.
@barakakimaro5135
6 жыл бұрын
Dada love you so much
@Salumchiwili2023
2 жыл бұрын
Napata ukakasi sana nikiangalia video za KZitem za chanel za hapa nyumbani nyingi zinakua na sauti ya chini sijui kwanini ukiangalia za nje zikovizuri tunakwama wapi sisi
@mwaget0815
4 жыл бұрын
Huyu kaka mzuri alafu ana maswali yake mazuri.
@godfreyally7787
5 жыл бұрын
Safi mzee baba yule m.bunge atakua nae ameelewa
@brunomramba4970
2 жыл бұрын
No
@danielfaustine6124
6 жыл бұрын
Hii ndege mpya ilivyokuja basi mnqjifanya kuwauliza Siku zote mlikuwa wapi?
@UmmyAzizi-uj9du
8 ай бұрын
Natakakuwa kufanyakaz kweny ndege
@jumakatema6348
4 жыл бұрын
pamoja na usomi pia mvuto uwenao
@lucianodeo4103
5 жыл бұрын
Body mass index BMI
@angelmassawe2061
2 жыл бұрын
Sorry naomb unisaidie namba ya uyo dada anielekeze vizur na mm nautaji
@papayatnzania1005
5 жыл бұрын
Dada uko poa sema unahojiwa na funza wa chooni pole sana mdada nimekupenda buleeee
@happykipeya8516
5 жыл бұрын
Jaman
@khadijamaryam2274
4 жыл бұрын
Papaya Tnzania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@eddahhawa7471
4 жыл бұрын
Asante sana
@edwardmkwelele
4 жыл бұрын
Sifa nyingi za huko ni za kizamani za kikoloni huku mbona kuna wafupi wazee wapo na siyo wazuri acheni kukumbatia mambo ya kikoloni ambayo hata wenyewe hawaysfuati
@carolinamushi5555
6 жыл бұрын
Wabongo wa nahudumia kwenye ndege wanajiona wababe hawaongee kwa ukarimu ila kwa kujidai, lkn wazungu wanakuonyesha upendo na ukarimu hata kucheka.
@saidkaoneka2648
6 жыл бұрын
Carolina Mushi nikweli jamani wazungu nimewapenda hata mm
@fatmaone1152
6 жыл бұрын
Carolina Mushi kweli kabisa wallah
@babayakeanna8595
5 жыл бұрын
Asante happy
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
Basi ni hizo tu za kitanzania lakini ndege za huku nje Hawa tabia za kushikashika wahudumu
@elinahdaudi8195
4 жыл бұрын
Unajua Tanzania hata wahudum wa Bar hawaheshimiwi kama wa huko nje yaani mimi nashangaaga wahudum wa Bar Tz hawaheshimiwi kabisa
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
@@elinahdaudi8195 ni vile utavyoamua ukicheka n'ai cn huwa km hivyo
@StephaniaAlphonce-m7r
8 ай бұрын
Sorry ada inajulikan ni 3M kwa pesa iyo usoma mapak kumaliza aama kuna peaa nyingine itatoka make kun field boss
@salmadalaquimane5303
6 жыл бұрын
Cute
@mamadickson2308
6 жыл бұрын
huyo dada mbona ni mzuri tu naona camera ilizingua
@matthewglory2877
4 жыл бұрын
Elim inahitajika kiwango gani?
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Kuanzia four mwenye D nne
@franciccyprian1111
6 жыл бұрын
Nice
@tatujuma6977
5 жыл бұрын
Vyuo hivo vya kusomea mambo ya ndege vipo sehem gan jaman
@sophiedanny6853
4 жыл бұрын
We mtangazaji umeona wanene ndo wabaya? Maana umekazania wanene wanene!!
@azizacleny8677
5 жыл бұрын
Na jeee kwa upande waelim wanatakiwa wafikie kiwngo gani pls milad naomba jib
@happyrichards319
5 жыл бұрын
From 4 na kuendelea
@azizacleny8677
5 жыл бұрын
Happy Richards na masomo sio
@na0m1fes51
4 жыл бұрын
Hahaahaha
@hawaamohammed6687
5 жыл бұрын
Nduguuuu yanguuu mwiyao
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Wewe kuna mtu mbaya duniani? Futa kauli yako
@Idafa
6 жыл бұрын
Na kutokana na hii interview utaelewa alivyo na akili. Anaongea kwa busara na ufahamu mzuri wa kazi yake sana.
@jacklinekyaruzi7490
5 жыл бұрын
Umependz
@LucyKapinga-fg4dk
10 ай бұрын
Haswaa
@queenmaa7892
6 жыл бұрын
She's pretty I say....mayb camera ndio ilizingua
@emmymasoud6385
6 жыл бұрын
Je km Mimi nahitaji nichukue hatua gan?
@josephguerino7416
2 жыл бұрын
We dogo vidox mambo ya makabula yanakuhusu nini!? Kuwa bhana. Unakuwa na maswali yasiyo na tija kabisa. Na uache kurembua macho!
@jayjay4313
5 жыл бұрын
Mbona mdada mzuri tu, wewe unamwambia wafanyakazi wa ndege zetu sio wazuri. Unabahati mfanyakazi wa ndege, kasomea upole🤭 angekuwa wa bar lazima angekukula kibao kidogo ama chupa ya bia.😬
@josephguerino7416
2 жыл бұрын
Huyu dogo anauliza maswali bila heshima, anafaa anaswe kibao! Hakufaa kusema wadada wa kwetu sio wazuri, ni akili tu ndogo na ustaarabu amekosa
@salumkhamis7818
5 жыл бұрын
Eti sijaolewa lakini nina patina ,Uzinifu ni sifa mpaka kwenye media unajitangaza?
@AlphonceTIBA
5 жыл бұрын
Nadhani kuwa mkweli ni muhimu, km hajaolewa afanyeejee.
@salumkhamis7818
5 жыл бұрын
@@AlphonceTIBA kama hajaolewa ajibu hajaolewa sio anajibu kuwa anamchepuko maadili mabovu kabisa
@AlphonceTIBA
5 жыл бұрын
Hapana, kuwa na mwenza ni sahihi. Kwa dining fulani Haifai, kuna concubine, inatambulika duniani kote.
@salumkhamis7818
5 жыл бұрын
@@AlphonceTIBA unajua vitu ambavyo havitakiwi kuonekana/kusikika kimaadili,na ukisema hats dunia inajua nakuuliza wanaotetea haki za ushoga na akina nani?
Пікірлер: 108