Viongozi wa kidini pamoja na wazee wametoa wito wa kushughulikia kwa busara matakwa yalioibuliwa na waandamanaji waliomiminika barabarani kupinga mswada wa fedha wa mwaka-2024. Viongozi hao pia wametoa wito kwa maafisa wa polisi kukoma kutumia nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji na kukariri haja ya serikali kushauriana na vijana na kushughulikia maslahi yao wakati wa maandamano. Tume ya haki za binadamu inashinikkiza kukamatwa mara moja na kushtakiwa kwa maafisa wa polisi waliohusika katika kuwaua waandamanji kadhaa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Негізгі бет Viongozi wa kidini wataka rais kuwaskiza Wakenya
Пікірлер