Waislamu nawasihi.Do your things as though doing to teach others.Let every action done by Muslims more so muslim Religious leaders be seen as something that has positive mpact to others specially those who are non-Muslims.may Allah increase our imans
@sheikhabuusakakin3243
3 жыл бұрын
Nice
@ahmedsalim9002
3 жыл бұрын
Jaman mashekh muache kua na tamaaa za peeesaaaa
@sheikhabuusakakin3243
3 жыл бұрын
Mm najiuliza sana kuwa hawa watu Kwann wa na acha kutumia Qurani ..
@madrasatulmujtabahschool7621
3 жыл бұрын
Tatizo mahesabu pesa mnagawana na hamtaki kukutana na upande wa waumini
@wacm92salim37
3 жыл бұрын
Msikiti unakatiba
@charlesmwisera7175
3 жыл бұрын
Katiba ya msikiti ni quran bac
@sheikhabuusakakin3243
3 жыл бұрын
Naam
@sheikhabuusakakin3243
3 жыл бұрын
Pia hizi ibada zinazo fanzika sio kwajili ya Allah pia ndio mana viongozi wote ni wachawi kwasababu wa meacha utaratibu wakitabu na sunnah
@charlesmwisera7175
3 жыл бұрын
Nyie ni makafari tuu wenye majina ya kiislamu.
@jumakumala1337
3 жыл бұрын
Wacha kutusi waislamu ww
@allybokasa1298
3 жыл бұрын
Subhaaallaah ndg yng unajua uzito wa kuwaita waislm wenzio makafiri lete toba ww
@khamisseif9870
3 жыл бұрын
Tatizo nini
@khamisseif9870
3 жыл бұрын
Nyinyi mmechaguliwa nani
@ramadhanimbulu6716
3 жыл бұрын
BAKWATA NDIYO KITU GANI? nisaidieni jamani..!! na kazi yao kubwa ni nini?
@abuushuraim397
3 жыл бұрын
Katiba ni Quran na sunnah si vinginevyo nyie mpo kimasrahi
@makenakendi9014
3 жыл бұрын
Msikiti hauna katiba sio nyumba yako nyumba ya ALLAH wacheni unafiik.
@sheikhabuusakakin3243
3 жыл бұрын
Wana kwenda kinyume nataratubu za dini
@omarymsham2305
3 жыл бұрын
Mawahabi ni makafiri
@abuushuraim397
3 жыл бұрын
Acha kukufurisha waislam una jua mtu mpaka umwite kafir sheria inavosema ama unakurupuka tu dini sio siasa unaongea ovyo dini ni ya allah unaongea kwa mujibu wa Quran na sunnah acha kuropoka ovyo
@omarymsham2305
3 жыл бұрын
@@abuushuraim397 wapi Allah kawaambia mteke misiki si mjenge yenu.ndio ukafiri wenu ulipo
@omarymsham2305
3 жыл бұрын
@@abuushuraim397 au kuteka misikiti ni Sunna?
@abuushuraim397
3 жыл бұрын
@@omarymsham2305 hapo wap umesikia msikiti umetekwa au unakurupuka tu afu kwani kukwambia ivo mi ndio wa hab?au ndio umekosa hoja acha kukurupuka ndio sio ushabik wa kisiasa au mpira mche allah ipo cku utaulizwa kwa kila unachozungumza na sio wew tu hata za mim ntaulizwa so tuchunge ndimi zetu
@omarymsham2305
3 жыл бұрын
@@abuushuraim397 video imejieleza waliokuwa viongoz wamefanya udanganyifu ili wateke misikiti.na wamekuja kwa kivuli cha Baraza kuu na taasisi za kiislam.
Пікірлер: 29