This guy is speaking true Tanzania wako juu kimziki
@djdirash254
6 ай бұрын
Young man deal with KRG The DON Heshimu jamii ya Wasomali , Dis peleka kwa Music industry
@thisisawesome7793
6 ай бұрын
😝😝😝😝
@AliceZawadi-c3b
6 ай бұрын
True
@justusmochoge6577
6 ай бұрын
Wa tz msijipatie presha ya kuongea kizungu tunapenda Kiswahili chenyu 👍👍🇰🇪🇰🇪
@danielwambuamweni6179
6 ай бұрын
ati kuwadisi,kiswahili gani..anyway its a ret and liku boy..BIG UP YOUNG LUNYAAAA💯
@godwinkileo7702
6 ай бұрын
Kwani lugha ya taifa kenya ni ipi
@eliariro5514
6 ай бұрын
Kizungu na elimu mlionayo vinawasidia nini ikiwa bado ukabila upo ubinafsi upo mwenye cheo na pesa Yuko juu ya Sheria 😄
@Ishmael191
6 ай бұрын
@@eliariro5514 Hio ni ukweli sana kaka
@PeterMgonja-u1m
6 ай бұрын
Kiswahili (chenyu) kweli Kenya mnavyoongea 😂😂😂
@jamiljamal5067
19 күн бұрын
Fido katoka kongo mkali wakujipodoa ...fido kimziki hana lolote...khaligraph ni best rapa wao
@godsson5954
6 ай бұрын
aliesema hiphop imeanzia arusha wanaikosea heshim hiphop halisi ilipoanzia kwa kina sugu saigon kwanza unit na radio stations za mmda ule ma dj wa mmda ule ila arusha ilikuja tu ghafla kujiona wao wako juu zaid ya hiphop baada ya kuona hiphop halis inalegea
@Wamoyothenumberone
6 ай бұрын
Kama umesema neno
@JovinPeter
6 ай бұрын
Wandishi wa arusha bado saba bado mpo dey kea
@josephmaina-vm1lc
6 ай бұрын
Na pretender class😂😂
@dennohwafula8191
4 ай бұрын
Chokara kizungu choo tazania
@tonys7278
6 ай бұрын
Huyu PRESENTER SNITCH Mbaya...ana umbea. Wivu yake kwa otile iko Juu
@Allyhujjat
10 күн бұрын
Mm acha nisiseme kitu maana kukaa kimya nayo ni jibu
@billionsbusymusic1229
5 ай бұрын
hii music industry inategemea wasanii wote,sasa hawa kina fid na kina krg,wanaharibu game bana.og alifanya kuchangamsha game lakini imegeuka kua issue ya upuzi.
@twalibulomy-cd4zd
3 ай бұрын
acha wivu boya ww. Fanya kaz. Afu ubabe WA kizamani ni ushamba. Kizungu kubwa kubwa hata huwzi ongea. We mrangi ongea kswahl
@raftasxidy5113
5 ай бұрын
Really Hawa sasa wanasema nini..
@godsblackkid1046
6 ай бұрын
Level up fast
@jbsilulatv4513
6 ай бұрын
Huyu jamaa nampa vyeti 😅😅😅
@shabanbajhanun90
4 ай бұрын
Labda anunue malaya😂🙌
@shendrackmuoka4583
6 ай бұрын
We call him bughàa hamuwezi kitu
@joshuakirimi5227
6 ай бұрын
HAWA WAFUNZWE KUOGA KWANZA
@eliariro5514
6 ай бұрын
Hakuna Kenya bila Tanzania 🇹🇿🇹🇿
@billjames1216
6 ай бұрын
Ww kichwa mhaya 😂😂😂 boresheni uchumi mjifunze kuongea alafu mtoke nje ya nchi muache ushamba
@ZuhuraAbdulrehman
6 ай бұрын
Mbona hamna bandari kubwa wapuuzi nyinyi
@ZuhuraAbdulrehman
6 ай бұрын
Kwanza wa Tanzania mna roho mbaya
@eliariro5514
6 ай бұрын
Sisi na roho mbaya zetu na ushamba wetu tunaishi kwa Amani hatuna ukabila wala ubinafsi, karibuni Tanzania nyinyi ni ndugu zetu 😂🇹🇿🇹🇿
@billjames1216
6 ай бұрын
@@eliariro5514 Hamna ukabila Hamna ubinafsi lakini pia Hamna maendeleo yeyote .Ata Kenya ikichomeka Leo ni wakenya Wachac he sana watakimbilia Tanzania .Nani alikuwa Kenya hakuna amani ????Alafu mubadilishe chama ya uongozi at least mukuwe na democracy
@Omarivlogs1
6 ай бұрын
Guy knows what he’s talking about 👀
@willsonkamau2849
6 ай бұрын
Huyu Jamaa anakula unga 😤Sana na kutumia carolighti😂😂
@WinneAwour
6 ай бұрын
Bongo flavor hawezi enda billa kenya,, we are main supporters and promoters of Tanzania music
@albertpike5893
5 ай бұрын
Jamaa Anadai Kiswahili kitukuzwe lakini yeye mwenyewe anapiga Kiswanglish 😂😂😂😂
@LucyMakoa
2 ай бұрын
Kwasababu atataka mums mumsome. Mana ninyi si hamna lugha sasa mtamsoma vepe akionge swahili tu wakati nyinyi ni wakwavi
@blessedknjugush1983
6 ай бұрын
rip krg
@unclej950
6 ай бұрын
Msanii na magari mzee Kenya oll the best tuko juu kila kitu 😂😂😂
@faizG254
6 ай бұрын
Mko juu wapi? Kwa njaa na ukabila. MBWA NYINYI
@lunjeramadhani1295
5 ай бұрын
Fido vato nakukubilisana
@alexkibe4179
6 ай бұрын
Kinaya ni kufanya interview ya kujibu mbele ya prado (kabati) 😅😅
@ianlukejr.4926
6 ай бұрын
Ati Khaligraph alirudi kwenye game kuwadiss wabongo! Shurrup bwana! Bila Kenya majirani hawana market kabisa!
@SmithJacob-f2r
6 ай бұрын
Stupid go to he'll
@NjoroKawairimu
6 ай бұрын
Wa tz kujeni mchukue haka kah mtu kanaitwa krg kaache mdomo
@pkenbkeezy1687
6 ай бұрын
We are not competition with money 😂 hii ni kizungu ya wapi walai haha😂
@hansinhotz4698
5 ай бұрын
We msandawe lakini siumeelewa kasema NN,au nawewe unaleta ujuaji wakishamba
@martolee
6 ай бұрын
NYOTE HAMNISHINDI HELA BABA
@DoubleD-DmD
Ай бұрын
Mvuta bangi wa TZ huyo
@wycliffmarando6258
6 ай бұрын
Nyinyi ni shida inawasumbua tu mnakaa watu wa madawa tu, English is Englishing 😂🤣🤣🤣🤣🤣
@umarmulei8220
6 ай бұрын
Khaligraph Apology to u msidhani ni kuogopa....Never confuse kindnss for weaknss. Sisi wakenya sionagi tukitishika kwenda popote.Tz tutakam and nothing u can do.
@badvinofficia928
20 күн бұрын
Unaongea nini na uko na 32k sub
@danielkangethe8989
6 ай бұрын
Huyo fala sasa ana bonga nn???..wewe kwanza toa ata heat song moja tukujue...wewe hangaikia tu hiyo kijiji unaita arusha...
@Aphan-h7h
6 ай бұрын
Hiyo kizungu yako anaeza kukupeleka shule ukuwe sharpened
@AlvinKhim-lc1jo
6 ай бұрын
Iko wazi tz tuko busy sana na mambo yetu we talk language dhat we understand sio lazima mtuelewe
@narkisomalit1187
5 ай бұрын
😂😅🤣🇰🇪💪
@vybzraj5314
6 ай бұрын
@krgthedon
@KibunjaOliver
6 ай бұрын
Just speak shwahili English huwezi mzee
@Sparksgessoh56
6 ай бұрын
Ebu imagine uyu ni msanii mzima anasema ati tunachase clout na tz na akona 30k subscribers😂😂😂😂😂😂
@shabanJuma-fe6wf
6 ай бұрын
Jibu 😅😅😅😅
@raphturner6986
6 ай бұрын
Tz akuna siku mtajicompare na KE .. adi mziki yenyu mnojigamba nao, bila waKenya hakunaa
@DennisMurithi-x3j
6 ай бұрын
Aki mnachofanya ni chema peeni wasanii wetu kiki kabisa alafu tuje tupite nanyi bure kabisa😂
@rudelbrian
6 ай бұрын
TZ😂😂😂😂mko chini....you think everyone in Africa speaks Swahili😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu msee ni falaa😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ISSAMOLLEL-c9c
6 ай бұрын
Fido is the real man
@raggedocci254
6 ай бұрын
Vido what you are nothing with those your 60 k views you are not good in music
@yuxufsaid7994
6 ай бұрын
Mwanahabari anaforce waongelee kenya vibaya😅😅
@rhumbakid_music.
6 ай бұрын
Atakuwa na mental problem
@kingkaka2358
6 ай бұрын
TZ wako juu sana kimziki🇹🇿🔥🔥🔥
@chikadepassword6463
5 ай бұрын
#King kaka BG UP 2 u bro coz ure talking the truth.
@naibei_Tv
6 ай бұрын
Tanzania nayo hatuwezi bishana nanyinyi 😅 We are your music market , Though krg ametuangusha sana ametuaibisha
@simonmuthoni7814
6 ай бұрын
Eti lito papetiii😂😂😂😂kizungu noma...
@eduardobabou3022
6 ай бұрын
😂😂😂 little papetiii
@POV_Africa
6 ай бұрын
Lito 🤣
@simonmuthoni7814
6 ай бұрын
@@POV_Africa walai
@eugenekimutai8786
6 ай бұрын
Even diamond is singing like Nigerian and South African sioni point yenyu hapo ....enda Spotify utafute song number one sahzi n ya wakenya
@mathewdyzymaleyafrica9128
6 ай бұрын
Music is business Nigerians also sing mapiano which song from Kenya in Spotify is number one Kenyans na artist wenu just do what you do to get notice stop the hating we Tanzanians look elsewhere Nigerians,south African that's why we are trying to do better alafu kiswahili hamjui ndio maana mziki mnafeli
@chrispymediatv309
6 ай бұрын
I need you to talk if one Kenya artiste who is failing my friend we are the trend setters in the music industry
@mathewdyzymaleyafrica9128
6 ай бұрын
@@chrispymediatv309 hahahahhaha man ur funny
@mathewdyzymaleyafrica9128
6 ай бұрын
@@chrispymediatv309 aahhh I swear Tz does not choose if your the best we will follow you and sometimes we are going to take some of what is good from you so as we also get successful jirani sisi tuko vyema kabisa, your video are crap, song that you only under stand even Uganda's most of their artists skip Kenyans to work with Tz artist Nigerians don't know your artist south African as well come on
@Sparksgessoh56
6 ай бұрын
@@mathewdyzymaleyafrica9128 ata nyimbo za Kenya hakuna doba mnaeza skiza hazina misemo enda Spotify inaitwa mwaki na Wacha Hawa mnaskizanga Kuna wengine kama Nikita kering but najua hamumjui ju doba mnaskizanga ni za misemo
@elandaboyz
6 ай бұрын
Wewe budah bonga kiswahili English achana nayo unabonga vitu hakuna ,, menii ndo nini😅 ! Which country is this 😏
@frankrobert9706
6 ай бұрын
Kenya mmechoka yaani kuanzia football, music yaani mmechoka yaani hamjulikani hata kazi kuandamana mkidai unga kenge kabisa Tz ina move hatari mno hamna cha kushindana na Tz
@AlvinKhim-lc1jo
6 ай бұрын
Mwambie uyo kwanza tz tunawazidi Kila kitu wanabaki kusema English English for fuckin mnshindwa kununua unga mnasema English 😂
@wanzakleruu
6 ай бұрын
Vijana wa kenya wasenge wasenge sana. Wana dharau haf hakuna kitu waimba mamaku hao
@thisisawesome7793
6 ай бұрын
Apart from this, its just that most kenyan music you guys don't relate!!
@killersspikeupraisingmusic8815
6 ай бұрын
Kumamako sana...respect kenya
@sultanmswahilitv4864
6 ай бұрын
Msenge ni mamako😅
@collinsotieno5251
6 ай бұрын
😂😂😂there is nothing in tz bro ..
@krey_krey_muziq
6 ай бұрын
We peleka uko......sema ivo na kizungu.... kwanza........
@Allyhujjat
10 күн бұрын
Kumbe uyu krg ni mtoto wa kidosi ok ndio maana basi wadosi wana pesa bana acha atambe kwenye imaya yake
@ybnllary
6 ай бұрын
Nowadays media is out thirsty for clicks... Nothing more😂😂😂... Interviewer already in his feelings... That lightskin guy talkin' bout being a proud swahili lakini anajaribu ku flow na english chepe chepe😂😂😂... Fahm u just out here for clicks
@Sethadams_maramba
6 ай бұрын
Ati little papeti😂😂😂 kasomea wapi huyu
@scholbwoyclassic
5 ай бұрын
Ushatembea kenya wewe au ni mdomo TU unayo tembea kenya Wacha mamboo mengi sawa 😂😂😂Tanzania hamna kitu nyinyiiii
@YED-B
6 ай бұрын
Krg na Fido wote watoto wakihindi tu
@muriungijustin2238
6 ай бұрын
😂😅
@ismailalongha-zw5te
6 ай бұрын
Man English was brought by white man that's what why you have tribalism in Kenya wacha Ruto awanyoroshe vizuri wapindulu
@billjames1216
6 ай бұрын
Sasa huyu ni nani???Kenya hatumjui ata kidogo 😂😂😂 KRG alikuwa huko my friend si ungemkuta we mbovu
@sultanmswahilitv4864
6 ай бұрын
😅😅😅imagine
@BrianMunanga
6 ай бұрын
Nyimbo za FIdo vato saa nikama gani
@mudeez44
6 ай бұрын
Hamna lolote ujana tu ndio ina wa sumbua..mta tulia tu pole pole..😂😂😂
@NoelChambo
6 ай бұрын
Kwa kenya mimi labda Nyanshisk, Prezzo the Buggz'way back,
@thisisawesome7793
6 ай бұрын
HerI WEWE🏁
@E_smail
6 ай бұрын
SAFARI HII HATUWAJIBU. kiki mtaipata kwa pikipiki...waandishi wa tz kausheni.
@abubakarishariff8489
6 ай бұрын
Kwani mbona watu mnapenda kufatana fatana kila mtu si abaki na nchi yake
@albertpike5893
5 ай бұрын
Vato watanzania mnaimba kama Wasauzi na Wanaija hapo huna point
@dopesquad9
6 ай бұрын
Sa uyu mse anadai kizungu ni ya walami na anaibonga
@sheindlinmbugua3357
6 ай бұрын
Krg the doonn +254 alwz on top😅😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@badvinofficia928
20 күн бұрын
Wacha ushamba kamsaidie mamako 🇰🇪💪
@shaqmatic530
6 ай бұрын
Kalgrafu ni nani? 😅😅😅.. Washamba nyinyi. Tunataka lughaa ya Africa na huku ana struggle na English. Huyu Kenya tunamwachia Queen Rose. Ata Stivo afiki.
@capitalshymes
6 ай бұрын
respect kalighaph bro kali is og
@LucyMakoa
2 ай бұрын
Wewe acha kujifanya mjanja, lugha ya Africa ni ipi hapo kati ya zote hizo ambazo mnaongea huko kwenu kenya embu niambie?? English si ya Africa au kenya Kiswahili ni cha tz, akaa!! Henbu angeeni Lunga yenu basi acheni songo mbingo, kawachanganyieni ili mumsome mana ninyi si hamna lugha yenu wenyew mnatamba na Kiswahili chetu na English yawenyewe kazi konyo konyo koooonyo, mbafu sana
@LinusMuriuki-b8o
6 ай бұрын
Tanzania ni bull shit miaka kumi nyuma ya Kenya...
@AmiriNkungu-po7dy
6 ай бұрын
Kaka mafido umetisha Sana mkubwa
@gmlikaka
6 ай бұрын
Rhe interviewer himself is useless journalist 😊
@kingnyamafutv8646
4 ай бұрын
TZ juu sana
@WaziriRamadhan-f5o
20 күн бұрын
Kenya weng watoto wa mama
@mansnotndutch9249
6 ай бұрын
Tanzanians trying to speak English 😂😂
@JumaJuma-k4i
6 ай бұрын
KRG umama wacha sobo unapesa ila wamruka mtoto wako fala sana 😂😂😂
@supercarsG1
6 ай бұрын
TZ wako juu kimziki, Stadiums wako nazo lkn game hakuna?
@sylvestermatinde1005
6 ай бұрын
Game ya Aina gani
@godwinkileo7702
6 ай бұрын
Hana historia miaka ya nyuma mkenya mmoja alisema serikali ya tanzania ipo mkononi mwake, Nyerere alicho mfanya mpaka leo hajaongea, sasa tunakusubiri huku labda usiingie huku, tutakunyoro mbuzi wewe KRG
@TimelyInspiration-qp7yi
6 ай бұрын
Ati Khaligraph ilibidi atusi waTZ ndio ajulikane... When in real sense alikua anawaamsha kutokoa singizini. Mnanini nyie apart from kuamba nyimbo za kubembeleza malaya kwa bar? Mmeona collabo ya Kaligraph na Dax ama Sakodie, mko na rapper atafika hio level? Na collabo na Rosse inakuja ndio mjue hamjui... Hawana wasani wenu, kina diamond na harmonize wanatamba kwasababu ya kukubaliwa Kenya... Hakuna nchi nyengine iko na wakati na nyimbo za kiswahili.
@kevinchege6323
5 ай бұрын
Kwenda uko,kenya kuna Microsoft, Google, Facebook, UN, wacheni ujinga Kenya iko juu na tuna pesa
@MohammedGayoye
6 ай бұрын
Huyu mshamba wa tanzania anayejiita "Fido" huku kenya hatumfahamu kimziki wala kipesa Lakini KRG the DON kule tanzania wanamfahamu kipepsa zaidi hata diamond hamfikii Krg kipesa sababu networth ya diamond ni 11.5 billions TSH krg ni 128 billions TSH.....
@wijomatypain199
6 ай бұрын
Bro huyo msanii Tz hatumjui hana umaarufu huo anatafutia umaarufu Tz
@lakasid3860
6 ай бұрын
Krg hatumjui Tz anaimba nini kwanza washamba nyie
@victaboy7273
6 ай бұрын
Mimi namfahamu Nameless , Amani, prezzo bas
@jayymusic341
6 ай бұрын
Views za kubumba sio za kweli hizo kila k2 kinacho husband Views hivyote ni vi2 za proper gander 2
@anatii_podcast254
6 ай бұрын
The interviewier was in his feelings already
@gmlikaka
6 ай бұрын
Very true😅
@InnocentPeter-o6z
6 ай бұрын
Wakenya wa msaidie John viget
@MAJIK_FINGAZ
6 ай бұрын
Elito boy and elito puppet 😂😂😅
@Esamali_Kenya
6 ай бұрын
Rip English 😂😂😂😂😢😢😢
@Shawnmbole69
6 ай бұрын
Watazania nataka kuwauzia kiigereza changu billion tatu
@peterk2714
6 ай бұрын
Utapewa 300 bob ukivuka border back to kenya
@derrickmacharia7969
6 ай бұрын
Ati kaligrafu 😂😂😂
@nurdinmajanga279
5 ай бұрын
Kenya hakuna msanii
@JeremyJangz
6 ай бұрын
KRG anatafuta publicity tu and it has started to work as he wanted. Alitaka ajibiwe na mmefanya hivo. If you ignored him his comments could have remained irrelevant as they are
@Staymotivatedtodayandenjoylife
6 ай бұрын
Tanzanians have very good music because they embrace their Swahili culture in their songs. That's why artists like Diamond are very famous and rich. #Truefacts🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AliceZawadi-c3b
6 ай бұрын
Jiulize reason wanangangana kuimba kizungu ni gani kama si waskilizwe International acha ushamba
@Staymotivatedtodayandenjoylife
6 ай бұрын
@@AliceZawadi-c3b It's not a must you sing in English to be recognized internationally. I guess you didn't get my point. Diamond songs are embraced everywhere because he uses his original language, which is Swahili.
@AliceZawadi-c3b
6 ай бұрын
@@Staymotivatedtodayandenjoylife everywhere wapi si afanye izo show burna boy na davido wanafanya kama ni ivo
@JimsonMwakatundu
6 ай бұрын
Fido 🎉 thats incredible man and smart fully technical
@SilasChitui-xk2sw
6 ай бұрын
fido hapa ni chokoraa hapa Kenya. Wewe hauna pesa na bado unaishi ghetto hizo nyumba zenyu Za kurithi, don't mention Khali and krg in your, diamond is a brand, he has no money. Tanzania mko Chini itawachukua miaka Mia moja kufikia Kenya.
@SpillTheTeaKE
6 ай бұрын
Huyu Fido ni star wa kijijini kwao yaani kule chuga lakini sio Tz nzima...😂😂
@elijahlemparas4938
6 ай бұрын
Bure kabisa
@ibrahimsalim3702
6 ай бұрын
Usilinganishe uwezo wa TZ na views cos Kenya ina shida na indusry na gover
@mudeez44
6 ай бұрын
Oya usitaje Eastleigh...sisi ndio wenyeji huko kuwa mpole.
@princecharlesochieng5811
6 ай бұрын
Next time uwache ujinga kati ya otile brown na alikiba nani amerudisha mwingine kwenye game
@ybnllary
6 ай бұрын
Brooohh.... Watu waongee facts Khaligraph aliomba msamaha wapi? Lini??
@DennisMurithi-x3j
6 ай бұрын
Haka kamwili kake kadogo ndiko kalimpa kiburi ati anaitisha khaligraph battle wew unaeza kaangwa vibaya sana
@mathewdyzymaleyafrica9128
6 ай бұрын
Huyo khaligraph Kawa important baada ya kuja Tz mama hata huko kwenu ni nusu nusu Babu hata video zanu mbaya na uwezo mnaojitamba
Пікірлер: 346