Ee Mungu wangu naomba uniepushe na na maneno mabaya yasemwayo juu yangu yakawe baraka mbele zako 🙏🙏👍🙏🙏🙏
@Sali-dr3xx
Күн бұрын
Acha mungu aitwe mungu mm nko mbali saudia n memuona mungu kupitia mathabahu haya n mepokea uponyaji kwa titi langu limepona katika jina la yesu sitaacha kukufatilia poster
@nancykerubo5242
7 күн бұрын
Maneno yoyote yalitamkwa mambaya🔥🔥🔥🔥 naomba nikuwe wa baraka 🙏🙏🙏
@evcarine8314
6 күн бұрын
Amen amen Asante yesu wangu🙏
@evcarine8314
6 күн бұрын
Mungu Nisaidiye niweze kusimama katika mapenzi yako🙏🙏
@DebabaKalonda
12 күн бұрын
Mungu wangu nikingiye vita ya ki roho 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏 la situation et mon❤❤❤
@yalalaambobe9528
12 күн бұрын
Mungu wangu unikingiye vita vya kiroho,
@LydiaNasimiyu-h1n
3 күн бұрын
❤❤❤❤ aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
@HermineUwimana
5 күн бұрын
Asante mungu kwakunifungua uzindi kunikumbuk 🙏 nakunip ten roho yakumu kubal mpeziwang chance natak wew mungu ujizihirish kwail
@jesusismyeverything1630
11 күн бұрын
Asante Yesu
@busimemariefanuel3293
11 күн бұрын
MUNGU naomba univushe Kwa kiwango Kingine kwenye ulimwengu wa roho,SEMA na roho yangu, AMEN
@rumariletimba7585
11 күн бұрын
Amen,nimebarikiwa sana nikiwa kenya, God bless you Man of God
@nancykerubo5242
7 күн бұрын
Thank you Lord 🙏🙏🙏🙏
@chelaakimaru1000
7 күн бұрын
Very powerful
@DebabaKalonda
12 күн бұрын
Mungu wangu nipiganiye vita ya ki roho 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🙏🙏🙏
@millicentrabera
12 күн бұрын
MUNGU npiganie vita vya ki roho pekee sitaweza bila wewe BWANA YESU
@nancykerubo5242
7 күн бұрын
Amen Amen and Ameeeeen 🙌🙏🙏
@chelaakimaru1000
7 күн бұрын
So blessed
@yohanamollel1565
4 күн бұрын
Amen
@stephanosospeter1709
6 сағат бұрын
Ameen
@mariamidd113
10 күн бұрын
Mtumishi wa bwana natamani siku Moja utufikie Huku mara
@RachelEphrele
9 күн бұрын
E Mungu niepushe namagijwa
@jesusismyeverything1630
11 күн бұрын
Ili KANISA liko Arusha wapi
@HENAGENHONDIA
7 күн бұрын
Kisongo waya karibu saans@jesusismyeverything
@jesusismyeverything1630
7 күн бұрын
@@HENAGENHONDIA Asante hivi nikitoka Dar basi la Arusha linanishisha Kisongo Mtumishi
@HENAGENHONDIA
5 күн бұрын
@@jesusismyeverything1630utashukia mjini ila chukua boda toka stand ya mabasi ikulete stand ya vihaice vya Monduli utapanda waambie wakushushe waya
@michaelmattepet2575
12 сағат бұрын
@jesusismyeverything1630 Ibada ni siku ya Jumapili kuanzia saa mbili asubuhi na kuendelea na siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana. Karibu Sana.
Пікірлер: 30