Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana mutumishi wa Mungu
@shukranialmanus
2 ай бұрын
Ameni, kila roho za kichawi juu ya familia yangu zikashindwe kwa jina la Yesu
@janengaga2928
3 ай бұрын
Yesu wa MUNGU muumbaji tusaidie ktk vita hivi vya kiroho. utukufu na heshima una wewe daima.Ameen
@stellahokworo3947
3 ай бұрын
Hallelujah ❤wachawi wote wapiwe na upofu
@CarolyneSimiyu-xq7qk
Ай бұрын
Aminaaaaa ❤❤
@abigaelmwadena2262
3 ай бұрын
Ameen somo hili linanibarik sana kila wachawi wanonifuatilia maisha yangu waibike wote
@user-wm2kc5ki8i
3 ай бұрын
Asante kwa somo mchungaji, anaye nisumbua ni sengi yuva, n'a kisya, kasyenene
@samwelikisigila4818
3 ай бұрын
KILA MAADUI ZANGU WAPIGWEEEEE NA KUANGAMIA
@deborajackson7073
3 ай бұрын
Wapofushweeeeeeeeeee
@isackboniphace9934
2 ай бұрын
Huu ni ufunuo mkubwa sana, Haya mambo eti namwachia Bwana staki kabisa. Naanza nao rohoni namalizana nao mwilini, yaah
@frankstarstz470
3 ай бұрын
Naiwe nuru katka jina la yesu kristo...wachawi wote naadui zangu wafie mbali...
@studio..07
3 ай бұрын
Nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui
@estherboneka1341
3 ай бұрын
Amen Kila uchawi uachie maisha yangu sasa
@KleverAriel
3 ай бұрын
Tack my master for the teaching
@nicholausmalila2181
3 ай бұрын
Bwana uesu kristo.natuma utiisho kwenye maosha yao wakakuone uweza wako
@harrietnatakwa9814
3 ай бұрын
Wachawi wanao nitumia nyoka kwa ndoto wakufe katika jina LA yesu
@shukurusyriack3504
2 ай бұрын
Mtumishi,natamani sana kuongea na wewe, lakn sikupati kabisaa.naomba unisaidie tafadhali mwenye no ya huyu mtumishi
@vailetjeff5199
Ай бұрын
Kanisani makongo karibu na chuo cha aridhi utampata
@aidanongole9341
3 ай бұрын
AMEN
@leticiamachibya1851
3 ай бұрын
God of Major one
@williamtv2260
3 ай бұрын
Ee Mungu yanipate mazuri haya.......
@godwinmakomba2714
3 ай бұрын
Huyu Mtumishi ananibarikigi sana
@veronicajohn7645
3 ай бұрын
Toka nimemwaga maji nyumbani mwangu, nimejawa na mate mengi mdomoni. Naamini nimefunguliwa
@user-ps7yw1vy9v
3 ай бұрын
Wachawi wote moto wa roho mtakatifu uwachome.
@Wilsonduwee
3 ай бұрын
Halleluya
@josephineuriyo8666
3 ай бұрын
Apostle adui yangu anaitwa Sechelela ambaye kaiba mume wangu wa ndoa. Apewe adhabu
@elibarikilukasimakala5534
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@janengaga2928
3 ай бұрын
Duh ha haaa
@RwidhiaRichard
2 ай бұрын
Mwana mke mwenye hekima hujenga nyumba yake kwa mikono yake bali mpumbavu hubomoa kwamikono yake mwenyewe 😅😅😅 hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mwenye busara
@samwelikisigila4818
3 ай бұрын
KILA MAADUI ZANGU WAPIGWEEEEE NA KUANGAMIA
@harrietnatakwa9814
3 ай бұрын
Wachawi wanao nitumia nyoka kwa ndoto wakufe katika jina LA yesu
@harrietnatakwa9814
3 ай бұрын
Wachawi wanao nitumia nyoka kwa ndoto wakufe katika jina LA yesu
Пікірлер: 33