Familia nakuona mbali sana BWANGA..KAZA KAKA AMINI ILO NATAKA YULE MTOTO WA KIZULU UMKALISHE AMINI FAMILIA
@pesaspy_tv
3 ай бұрын
Huyu bwanga ndy wa madafu au mkola
@abduryjumbe7447
3 ай бұрын
Champions ni mmoja tuuu Bwanga Mbagala finest na dada Yao sada Mkola tushamlamba
@mohamedabdalla5302
3 ай бұрын
Said Bwanga Nimependa Boxing Yake Huyu Dogo Ni Full Package 🔥🔥
@SaLuChampeZ
3 ай бұрын
Sawa Bwanga kashinda lakini refaree kazingua ili mtu ahesabiwe bas lazima aliemueka chini mwenzio arud kweny kona ndo refaree aanze ku count lakini Bwanga bado yuko hapo hapo araf refaree anahesabu hii sio Sawa kabisa
@Ram_1893
3 ай бұрын
Vijana wameonyesha ubora mkubwa sana Aliyepata matokeo chanya amestahili 🥊
@greysonmandai132
3 ай бұрын
mshindi kapatikana kihalali toka mwanzo huu dogo alikuwa makini sana ,ila ni mabondia wazuri sana waendelee kukaza buti
@MadiniMadinariBorntofight
3 ай бұрын
Big up sana Mkola punch ziko na unarusha mawe
@MrishoMakamba
3 ай бұрын
Bondia wangu sku zote ni bwanga mpeni sana shavu ana kitu 🔥 🙌🙌
@Hemed-b2v
3 ай бұрын
Bwanga kashinda kihalali kaza dogo utafika mbali unajuwa kajanja
@Rolemodel_wa_taifa
3 ай бұрын
Punguzeni Mahaba
@Rolemodel_wa_taifa
3 ай бұрын
Bwanga kabebwa
@directorimmah_vfx3043
3 ай бұрын
Said bwanga yuko anjua kam davis tank
@liaonaoliver18
2 ай бұрын
tank unamjua vzr kaka
@abdulkheri7322
3 ай бұрын
Bwanga na mkola wote mabondia wazur
@abdallahkambangwa7215
3 ай бұрын
kweli hii ilikuwa derby maana sio mchezo
@JosephevansLyimoo
3 ай бұрын
Bwanga mtu mbadi
@AbilahSalumu-qx1cb
3 ай бұрын
Side Bwanga 💪
@paulmwangoka
3 ай бұрын
bwanga ni chanpioni
@FatimaFati-pu4lb
3 ай бұрын
Bwanga🎉🎉🎉❤❤ mkola bado Sana ww kanyonye
@Rolemodel_wa_taifa
3 ай бұрын
Nyie mnao ongea mna mapenzi na Bwanga ila kachapika tu
@athumanimakange9346
3 ай бұрын
Wewe hizo body panchi ndio kachapika, bwanga yeye alikua anascore kichwani tu
@MmafiaMmoja
3 ай бұрын
Kuna watu wengine hawajui ngumi wasikusubue bro@@athumanimakange9346
@donmafarasi2443
2 ай бұрын
Ujui ngumi wewe akijifunze acha majungu
@donmafarasi2443
2 ай бұрын
@@MmafiaMmojani kweli kabisa ana anachokijua uyo
@KambiAsso
3 ай бұрын
Kushindwa sio rahisi na kutoa droo marufuku
@paulmwangoka
3 ай бұрын
bwanga unatisha Sana nakupa BG up
@AliJustine-t9w
3 ай бұрын
Acha taarab ww kigugumiz
@SalumkifuLukwe-wk7sp
3 ай бұрын
Bwaaaaaaaaaanga
@SaidiMkome-qq7hy
3 ай бұрын
Mbagala boy wajna bwanga
@RegnaldZamberi
3 ай бұрын
Ize
@edunyedetembaa5322
2 ай бұрын
Nice
@DatzKay-dz9wv
3 ай бұрын
Ila azam max mnazingua sisi tulioko nje ya nchi tunapata tabu sana
@ndarnationsoundtz
3 ай бұрын
Uyo mtot ndo anamhitaji ibra class ataxia uwanjani
@wazirisaid8326
3 ай бұрын
Saidi Mkola amedhulumiwa Kwani ameshinda round nyingi zaidi, round aliyoipoteza Ni hiyo aliyopata knock down basi Sasa iweje mshindi awe Saidi Bwanga? Mbona Kiduku alipigwa knock down na Dullah Mbabe round ya kwanza Kisha akashinda round zilizofuata na akapewa ushindi wake? Majaji Mungu anaeaona watu wanamwaga jasho hapo ulingoni mjue!!!
@athanasmgungusi9996
3 ай бұрын
Washamba wamemdhurumu , hawa was waswahili ni shida sana . Mkola ameshinda very clean . Amescore kuanzia raundi ya 1 hadi ya 7
@rogertuga007
3 ай бұрын
@@athanasmgungusi9996 mliangalia pambano tofauti na hili labda
@yunusmbonde8890
2 ай бұрын
Watazamaji wengi hamjui shiria ya ngumi hamuoni penat nyie mnaangalia bod mkola Bodo Hana nidham ya 32:59 mchezo yeye mwewe kadondoka mala mobili hasemi ajipange tena
@YasreArafat-kk9en
3 ай бұрын
Watangazaji wasenge
@SaidiMkome-qq7hy
2 ай бұрын
Umepigwa
@abubakarjumakhamisi370
3 ай бұрын
Mechi drooo
@FatumaPepeyu
3 ай бұрын
Bwangaaaaaaaaaaaaa
@RegnaldZamberi
3 ай бұрын
19:05
@mtengwadj9390
3 ай бұрын
CHAMPION
@salumabdallah852
3 ай бұрын
Bwanga AK 47
@wazirisaid8326
3 ай бұрын
Safi Bwanga aliangushwa Ila refa hahumuhesabia ola Saidi Bwanga ali po muangusha Saidi Mkola kabla hata hajarudi kwenye Kona yake refa ameanza kumhesabia!!. Hii ni dhuluma, tunataka pambano hili na like la Nasib vs Choki yarudiwe. Semunyu....Semunyu...Semunyu .....turudishie haya mapambano mawili tafadhali.
@rogertuga007
3 ай бұрын
😂😂😂kama hutaki dhulma ulitakiwa uongelee na raundi ya 3 Mkola alivyopelekwa chini nae hakuhesabiwa.
@abduryjumbe7447
3 ай бұрын
Jibizaneni mukumaliza tulieni sisi kazi tushamaliza
@donmafarasi2443
2 ай бұрын
@@rogertuga007nikweli kabisa ata mkora akuhesabia haki bin hami😂😂
Пікірлер: 51