I loved how referee jumped in to save the opponent, boxing is a high risk game. Someone can die in the ring. Well done Madam referee.
@furahambughi4977
2 жыл бұрын
Ibra umetupeperusha vema. Hongera. Refa Pendo Njau ni wa kimataifa. Best Woman Referee I ever seen.
@mickdadybakari6052
2 жыл бұрын
Ibrah classic ngumi za kiwango san
@omarizuberi2300
2 жыл бұрын
Exalent refareee anafanya kazi nzuri mungu akuzidishie keep up on good work
@raphaelmshana4087
2 жыл бұрын
Pendo Njau ,kazi safi unastahili pongezi.
@husseinrashidi5828
2 жыл бұрын
Pendo yupo makini sana kabisa
@swalehesaad1143
2 жыл бұрын
Hawa watangazaji wanatakiwa wapewe elimu namna gani ya kutangaza huu mchezo wanaweka unazi Sana yaani utanzania na ushabiki wanauweka mbele kiasi mpaka inakuwa kero kwa tunaoangalia pambano hawatendi haki kwa wageni yaani ni Kama muda wote wanankuwa wanasubiria tukio la mtanzania afanye Jambo walitangaze hio sio profesional ya utangazaji.
@ambokileasheengai1140
2 жыл бұрын
We unajua hao wageni huko kwao inakuwaje?kila nchi inambeba wake huo ndio uzalendo....ukiishi nje ndio utajua ata akijamba mwenyeji utaambiwa we mgeni ndio uliejamba,,,shauri yako
@barakastephano8996
2 жыл бұрын
@@ambokileasheengai1140 Ni kweli ndugu
@mahembaelias1722
2 жыл бұрын
Uko sahihi coz mtangazaji hapaswi kuonyesha mapenzi yake waziwazi
@mahembaelias1722
2 жыл бұрын
Uko sahihi coz mtangazaji hapaswi kuonyesha mapenzi yake waziwazi
@HD_mark
2 жыл бұрын
Bongo ushamba mwingi
@lama6310
2 жыл бұрын
Class Muuaji
@djkombo3752
2 жыл бұрын
Kwa hiyo mmexico katoka kwao china Kuja kugombania bajaji 🧐🧐
@husseinchai1133
2 жыл бұрын
Pendo Njau umetisha pia
@francisbuya8357
2 жыл бұрын
Hongera sana mwamba Ibrs
@midiiddi7701
Жыл бұрын
Mungu akubariki dada Pendo , Ongeza umakini, Tenda haki hivyo hivyo utafika mbali
@eddykatamba1008
Жыл бұрын
Bondia ibra Ni bondia mzuri Sana jamani MPENi gari
@piusdidier371
2 жыл бұрын
The real champion
@suleimanmuhammed1347
2 жыл бұрын
Hi michezo ni mibaya sana watu washerekea mwenziwe hayupo kabisa
@abuuda4754
2 жыл бұрын
Upendo bonge la refa, aliiona left hook ya madhara kabla right hook yakumzimisha... Hongera madam
@youngweezy3846
2 жыл бұрын
Uyu dada pendo njau 🙌🙌
@jiwekichwa2857
Жыл бұрын
Safi saaaana.....
@charlesolomi9514
2 жыл бұрын
Refa 🔥🔥🔥
@TALLUBOY
2 жыл бұрын
wewe referee upo vzl sana pendo njau sana international referee east Africa
@frankmwanzenga9098
Жыл бұрын
Ibraa is number one
@leonardkapati3125
2 жыл бұрын
Kwa style hii ndo Mana mwakinyo aliamua kujivunja mguu ebu fikiria mtu anazimia hvyo
@patrickmohele3458
2 жыл бұрын
Mnachelewa kuweka video mnaboa kinyama
@Yangadamu
2 жыл бұрын
Yaani haya jamaa wameza mzoea na kazi
@patrickmohele3458
2 жыл бұрын
@@Yangadamu unajua kuna vitu vya kuweka mazoea ila sio kazi ngoja tuone mwisho wao
@daudpaulo2867
2 жыл бұрын
Nimegundua jama chupi ilimbana Sana ndo mana alishindwa kupumua
@samsonmamba4609
2 жыл бұрын
Kazi nzuri hongera sana @
@DurahRich
2 жыл бұрын
Mmechelewa ku upload the main game admin bwana
@darviswantana7669
2 жыл бұрын
Mnatangaza au mnamchambua Ibrah???? Tangazeni kwa haki.. Pendo umetishaaa sanaaa
@justinburreta9585
2 жыл бұрын
We refarii dada siwezi kkupinga
@jastinmollel9592
2 жыл бұрын
Dah Yani huyu refarii pendo njau Yuko makini na Kaz yke MUNGU azidi kumngarisha azidi kuanda viwango hadi kimataifa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@victorjames3730
2 жыл бұрын
Sema naye huyo Mexican men ni mgumu sana
@mathewmapunda9240
2 жыл бұрын
Pambano zuri KASORO ilikuwa kwenye JUKWAA.Jukwaa lilikuwa linateleza sana hivyo WAANDAAJI INABIDI Watafakari juu ya Kuandaa JUKWAA..
@nuhumangula2168
2 жыл бұрын
Tamu saana
@leilatmussa6533
2 жыл бұрын
Mashaallah 🌹
@ziadasalimu1730
2 жыл бұрын
Dada pendo nakupenda sn unajua
@mussamajisu9781
2 жыл бұрын
Good broo
@ZaveliaLongo-hy3ke
Жыл бұрын
Ibra kakaaa
@leonardkapati3125
2 жыл бұрын
Mabondia wetu wakiend nje wakipigwa hvyo tunasema wameuza mechi kumbe huwa wanakutana na mabondia wenye uwezo kuliko wetu
@fatmalyego7918
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@lugomemtamayaye9508
2 жыл бұрын
Kwa hiyo hili pigano mshindi anaishia kupewa bajaji pekee au na kitu kingine?
@shabanibobe4320
2 жыл бұрын
Pongez Kwa refa
@goodluckstephanmasige3450
2 жыл бұрын
Aisee Alan Pina amekomaa ila hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
@mcopsbsm3682
2 жыл бұрын
Unym san
@kwilasajunior5367
Жыл бұрын
Ngum sio POA wengine wanashangilia wengine wanatibiwa
@ramamabinda5063
2 жыл бұрын
Sina hakika na uwezo wa akili ya mtu au watu wanao shughulika na kupost matukio ktk Chanel ya Azam ya KZitem. Nadhani akili au uwezo wa kufkiria ni mdogo sana au hajui kwann yupo au wapo hapo katika kazi hiyo.
@hamadintogwa5418
2 жыл бұрын
Kwanini unasema hivyo mkuu🤔🤔🤔🤔
@carlosmpareemsoffe2841
2 жыл бұрын
Ibrahim class anaweza ila isije akaomba bambano na kiduku.
Kwakweli yaani wanatoka kwao wanakuja Tz kupigwa kwaajili ya kugombania bajaji kweli 😂
@adaboychibu1659
2 жыл бұрын
@@djkombo3752 unajuwa bei ya bajaj lakini ebu ibadilishe hiyo bajaj kuwa pesa ndo utajuwa wamepigana kwa sh.ngap
@chembejohn9605
2 жыл бұрын
Mutu inakufa nyie mnashangilia kwel w jmn....au ndo aina y vifoo vimetofautian
@mwinyikombo9571
2 жыл бұрын
😂😂😂
@gracerichard8145
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rashidhemed5331
2 жыл бұрын
Kama linarudiwa kwao ibra anapigwa jamaa si mbaya ila hongera kwa ibra
@ShaqueeBlackrapper
2 жыл бұрын
mexico au mekiko???
@musaissa7463
2 жыл бұрын
mnatuabisha bwana kutamka mekiko badala ya mexico!
@emmanuelmchomvu2676
2 жыл бұрын
hahaha Wala hawajakosea
@furahambughi4977
2 жыл бұрын
Ndivyo wenyewe wa Mexico wanajiita.
@onejohnmk4753
2 жыл бұрын
Hahahaha kkkkk mmekiko ai
@dominicrobert266
Жыл бұрын
Huyo pina wala sio mmexico, ni goa tu huyo. Mmexico gani mwepesi hivyo.
@onejohnmk4753
2 жыл бұрын
Huyu ni mmekiko kuna nchi mekiko au sielewi mm
@faustochaula
2 жыл бұрын
Nchi inaitwa Mexico iko bara Amerika ya kaskazini
@highvoltages4169
2 жыл бұрын
Mexico wanaifupishaga wenyewe kwa kuita Mecko (mekiko) ni kama Dodoma uite DOM
@ephraimemmanuel1802
2 жыл бұрын
iiik
@selemanimchana3598
2 жыл бұрын
Kugombania bajaj? Duhhh bongo myoso
@bizbiz5023
2 жыл бұрын
Hivi 10 m kasaro unauchukulia poa ?? Hata ingekuwa laki 2 hapo jamaa kasha jiongezea credit usiangalie pesa tu mafanikio ni hali maendeleo ni vitu
@yusuphfesto7677
2 жыл бұрын
Nn
@noahmpangala3486
2 жыл бұрын
Mnaosimamia mchezo wa boxing huyu refa mmuangalia kwa jicho la pili ikiwezekana apandishwe daraja la juu kabisa
@stevenhinjo9664
2 жыл бұрын
Hayupo la chini ndio maana anapewa mapambano kama hayo
@lawrencemathiaslawrence2317
Жыл бұрын
xg começara bvtyy6 yurou yurou o b
@mussamajisu9781
2 жыл бұрын
Good broo
@jidaryndimbo6792
2 жыл бұрын
Nampongeza Ibra Classic kwa ushindi alioupata ila kakosa utambuzi wa kufahamu michezo ni fair play na ni friendship, mara baada ya kumzimisha mpinzani wake, kushangilia kwake kwa muda mrefu bila ya kuhitaji kujua hatma ya mpinzani wake haikukaa kiubinadamu. Furaha ya ushindi haikosekani ila iendane na hali halisi iliyojitokeza
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Mngekuwa mnapiga hivyo hata mkiwa ugenini mngefika mbali.
@hassanparamana2215
2 жыл бұрын
Natumaini azam and mo boxing mmeona jinsi uwanja unavyo teleza pale kati ktk zile stika yale maandishi nafikiri material yake ya rangi yapo makubwa ndio maana yanateleza mkiweka (soft copy printing) itakuwa powa zaid lifanyieni kazi hilo please...IBRA mo 🔥💪🇹🇿🇦🇪
@mohamedally8379
2 жыл бұрын
Huu ndo ushindi sasa so kubanwa na viatu
@bukavusongs6012
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@hawajohn749
2 жыл бұрын
Hahaha
@amansumary5041
2 жыл бұрын
Uyu refa ree mungu amlinde aendeleee kuwa na umakin
@yunamisilavwe3633
2 жыл бұрын
Hiki ndishokilichomfanya bondia mwakinyo ajisalimishe mapema. Aliogopa kifo
@alibushiri4725
2 жыл бұрын
Amestaafu kupigana
@josephzitto4857
2 жыл бұрын
Nimempenda pendo njau
@noahmpangala3486
2 жыл бұрын
Kwa mchezo huu niliouona sasa nitaanza kwenda kuangalia ngumi. Asante sana kwa Mo asante kwa refa aliechezesha mchezo asante kwa wapiganaji mmeonyesha mchezo mzuri asante kwa security mpo vizur na mnaijua kazi yenu kwa ujumla kila kitu kilikuwa kipo sawa huo ndio mchezo tunaotaka kuona kwa kiwango hicho.
@peter_paulofficialy
2 жыл бұрын
I'm proud kwa referee, yupo viziri...apewe tuzo walah.......@Azamtv#Azamtv muangalie hilo
@lewiskombole2917
2 жыл бұрын
Wanyalukolo sie hatunaga masihara
@mshello4231
2 жыл бұрын
Tanzania yangu💋💋💋
@happykimaya6631
2 жыл бұрын
BAJAJ!!!!!
@winfordmwangonda5375
2 жыл бұрын
Yaani sio sawa
@isaachayes9783
2 жыл бұрын
Watangazaji sio balanced, ethics za utangazaji mmeshindwa kuzizingatia, shame on,! Hata kama Ibra alikua anafanya vizuri lkn muwe wazi pale anapozidiwa, refa nae mzembe kidogo kaonyesha upendeleo kidogo na kutokuwa mwepesi kuingilia na kumsimamisha Ibra mara baada ya upper cut ya kwanza ilipomuumiza mpinzani wake, hiyo ya pili haikustahili ilipashwa kuwa ameingilia kumuokoa, kwa uzembe huu wa marefa mtakuja poteza mabondia ulingoni hapa nyumbani
@morganrobinson3542
2 жыл бұрын
Sheria ni kwamba hadi alambe sakafu. Ngumi ya pili ilikua sawa kabisa.
@alexyohansonn6619
Жыл бұрын
Uyo refa n mkal jamaa alikuwa anapiga ngumi za kichogo ambazo sio nzur
@dicksonkisanga7380
2 жыл бұрын
MOO BOXING MMEANZA VIZURI ILA NAOMBA MAIN FIGHTING IANZE SAA 3:30 usingizi unapunguza utamu. Ngumi hazifanyiki USA kwanini tuangalie usiku wa manane.
@danielsamwel3628
2 жыл бұрын
Mi nazani leo ndo nimeona ngumi nzuri
@Gtunewaves
2 жыл бұрын
Uyu bi dada naona anapatia kuchezesha game nyingi sana yani yuko proffessional sana ndo mana game nyingi kubwa huwa anakabidhiwa marefa wengine wajifunze kupitia yeye yuko proffesional sana Njau
@rozina2161
Жыл бұрын
Nimejikuta nacheka kwa sauti pigwa ngumi hadi azimie😂😂😂😂wabongo tuko vizuri💪💪my mother land
@Karromiatz
2 жыл бұрын
Sifa za wahaya zimezidi et malikia Elizabeth II ni muhaya og 👉👉kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w. kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w
@ismailmasoud6001
2 жыл бұрын
Wamexico wagumu wasenge Hawa, yaani ukipigana na jitu la mexico linakuja tu' kama CHINO, ... .Mzuka sana Ibra Classic, nimeona hiyo left hook alikua anakuelekeza sana Master KINYOGOLI ulipokua mazoezini, yaani unatoka kidogo na mguu wa kushoto kama unadesh vile, halafu unatia left hook, Yaani HISABATI zilezile zimekupa matokeo...BIG UP..!
@naimabdul1231
Жыл бұрын
Hata uwe mgumu vipi kwa ibra utakaa tu, dogo anajua sana kuadhibu jamaa anajifanya kichwa ngumu utakuja kufa uwanjani bure😂
@mlungumasaba1786
2 жыл бұрын
Kazi kazi kulakwa jasho🙌
@moseswiliam9028
2 жыл бұрын
Mm ndo sijaelewa au yaan ngumi zote hizo anapigania bajaji au
@TALLUBOY
2 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿boxing leynow🔥
@youngweezy3846
2 жыл бұрын
Mwenyew sielew
@Karromiatz
2 жыл бұрын
Love EP 10 👉kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w
@maryemanuel6122
Жыл бұрын
michezo migumu Class amewahi kucheza ni huu🙌🙌🙌
@mosaidi2633
Жыл бұрын
Watangazaji nchi inaitwa Mexico rekebisheni midomo yenu
@eschdondefix2102
Жыл бұрын
Inasomeka mekiko
@husseinchai1133
2 жыл бұрын
Ibrahim class
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Pendo refaree anajua sana
@yujinxhing3766
2 жыл бұрын
Mchezo wa kuuana huu
@onejohnmk4753
2 жыл бұрын
Huyu ni mmekiko kuna nchi mekiko au sielewi mm
@frankrwegoshora4705
6 ай бұрын
Mohammad Ali asingeshangilia hv. Angeenda kumsaidia baada ya kudondoka. Legends will always remain legends
@gracerichard8145
2 жыл бұрын
Mh! Unakuja et du!
@Karromiatz
2 жыл бұрын
Usiku wa vitasa KAGERA kuzindua lasimi 👇kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w kzitem.info/news/bejne/yIVm04iYsH90i5w
@nicksontety455
2 жыл бұрын
Mtakuja kuleta watoto wawatu wauliwe na wataftaji
@eddykatamba1008
2 жыл бұрын
Umetisha refa yaani upo vizuri Sana inatakiwa upewe tuzo
@chiefnumborecords4819
2 жыл бұрын
Huyo mdada ni refarii mzuri sana sijahi kuona pia hongere sana Ibraa mabonfia kama wewe duniani ni wachache sana Mimi nakufananisha na devonter Davis wa marekani bondia wa mayweather
@mohamediabdirashidi1099
2 жыл бұрын
Tz mabondia ni watatu tu clasc ,kiduku,kidunda
@hijazhija316
2 жыл бұрын
Relax
@gracerichard8145
2 жыл бұрын
Mandonga 🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤣usinitukane lkn ni maon yangu tyu🤣🤣
@eddykatamba1008
2 жыл бұрын
Umemsahau mwakyembe
@zubeiramlanzi2480
Жыл бұрын
Mtu kadanja watu wanashangilia duuh noumer kinoumer yani
@manuelcyril4454
2 жыл бұрын
Hii ndo tafsiri ya kula kwa jasho duuuh 🙌🙌🙌🙌
@bentv6769
2 жыл бұрын
Naombeni kujua Jina la ngoma ilitumbuiza siku ya hili pambanoo🙏🙏
@daudysanga8492
2 жыл бұрын
Kenge hawa wote
@shaabanramadhan6770
2 жыл бұрын
Hyu pina mgumu san sijawahi ona
@josephlorri431
2 жыл бұрын
Mandonga ajiangalie... unaweza kufia ulingoni
@ramadhanisaguti2090
2 жыл бұрын
Umetisha
@ibraabuemu9231
Жыл бұрын
UKO VZR
@eddykatamba1008
Жыл бұрын
Jamani wazamini maboss MPENi gari pendo njau kazi yake mzuri sana
Пікірлер: 149