Kaka sana nakupenda mondi kweli ndio baba lao wasafi chama lao NAMI napenda sana kuimba tupambane mpak kufika wcb msaada wako mm Jr music kutoka kigoma kasulu Mungu akubaliki
@brendaulomi6482
4 жыл бұрын
Tusioo na pesa tunaona kama watunzajii wanachezeaa hela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemajohn1719
4 жыл бұрын
Kiki nazo zipo iyo nayo niaina yake
@goodlucktemu3149
3 жыл бұрын
Umeyataka😂
@annielboffi4625
4 жыл бұрын
Congrats platnum ila daaah rayvanny umetxha bana ndoman nakupendag😘😘
@mamugonas607
4 жыл бұрын
Rayvany huishi vi2ko aisee
@eliudeliabu8378
4 жыл бұрын
Uyumpumbavu kama kongea ujinga lakin kaongea point
@mariamndayishimiye2834
4 жыл бұрын
Is very nc
@momscute4550
4 жыл бұрын
Vanny yo a comedian 4 sure
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Kwahiyo aunt zilepesa ulizotunzwa kwenye birthday ndiounazirudisha au !!!!! … yaani huu mchezo wao wapesa hadi nashindwa kushangaa.
@frankmwapinga4730
4 жыл бұрын
Cha bure mjini ni salam tu
@annastaziamashimi4236
4 жыл бұрын
Manara wewe mungu anakuona
@salimkhamis3638
4 жыл бұрын
Watu wanafanya kufru ya pesa wakati sisi tuna njaa nazo!
@Seif1559
4 жыл бұрын
Pia wwe tafta rafiki ambae ataweza kukupa ivyo au zisake. Sio kulalamika
@jamilajunior5651
4 жыл бұрын
Kwakeli
@josephbalayata4506
4 жыл бұрын
Pambana na Ali yako
@lamekisimoni2809
4 жыл бұрын
Kwakweli usiseme tunakufa na njaa sema nakufa njaa
@fadebashilu5628
4 жыл бұрын
Unakufa na njaa wakati una ela ya kueka MB acha kutuektia
@miriammuthoka8721
4 жыл бұрын
Furaha tu👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@johnodhiambo674
4 жыл бұрын
Mbona furaha
@miriammuthoka8721
4 жыл бұрын
@@johnodhiambo674 wana furaha i meant that
@leaherasto929
4 жыл бұрын
Manara kanikosha Kama umemuangalia Manara zaidi ya mara moja naomba like
@abdulykalimu8112
4 жыл бұрын
Wakopw sana vanyboynamond
@rachaelkiarie3451
4 жыл бұрын
Nampenda Rayvanny
@denisleon3920
4 жыл бұрын
Ongera sana simbaaaaaah😜
@shukuruvitus9168
3 жыл бұрын
na
@josephlotto996
4 жыл бұрын
Mbao walet zao hazisomi alafu wanayaona mahela ayo tujuane
@mkwabaconscious1216
4 жыл бұрын
Nani kasikia MC anaimba UNO
@rajabusamata1613
4 жыл бұрын
maulid mkwaba mm
@fidelislumetta3865
4 жыл бұрын
Mhh qwli mwenye nacho anaongezew🤣
@FREENETNAME
4 жыл бұрын
Upuuzi gani huu m’ngu awaongoze in Shaa Allah
@nassorsalehsalum8852
3 жыл бұрын
Lijingawewe
@giddynyab4776
4 жыл бұрын
from kenya mbosso your are funny
@swalehissa675
4 жыл бұрын
Jmn jmn rait kwamb wangeungan na hiz hela wanazotoa duh watot yatima wasinge pat tabu na kuzunguk mitaan
@monifrank347
4 жыл бұрын
Tabu azitaisha mzee usikalili
@ifahbae4782
4 жыл бұрын
Jmn wapeni nafac wavute pumzi misaada yote io wanayotoa km wnyw watakua hawaztumii izo pesa itakua co poa kbxaaa
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
Pangenoga zaidi hapo wangekuwepo watoto wamitaani wenye shida ma mayatima wangepata chakula kwa pamoja ❤pangezidi kupendeza sanaaa.... 😭
@mohammedabdallah6390
4 жыл бұрын
Point
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@mohammedabdallah6390 shughuli kubwa ma nzuri pia Ila wangefanya hivyo wallah ingezidi kupanda thamani maana 40 ya kiislam haifanyikagi hivi. Ila haya kila mtu na makuaji take aliyolelewa
@Ndiminijunior
4 жыл бұрын
Ni kweli na hajala na yatima Mara moja mbona
@aidanhamza4656
4 жыл бұрын
Hata wangekuwepo hao ulio sema angetokezea mwingine angesema kile??kwa hiyo hiyo huwez fanya kitu ukalidhisha wote
@zaibonge7867
4 жыл бұрын
@@aidanhamza4656 hatujaongelea kuwa furahisha watu hapa koment tu unachojisikia... Na kuhusu kulidhisha binaadamu hilo linajulikana Kama haliwezekani so tuliza mshono 😙
@welcometoeat165
4 жыл бұрын
Dida weweee🤣🤣🤣🤣nmekupenda mama
@peninasafi1664
4 жыл бұрын
Congratulations
@partnersah8802
4 жыл бұрын
Kwa hali hii. Ukipokea mualiko unaweza kukataa aseee
@asmaally8353
4 жыл бұрын
Ukiwa huna hela,ukiona wenzio wakitunzana hivyo unaona kma wanachezea tu
@eddahmgellah304
4 жыл бұрын
Hahahaaaa yan ni kweli
@khadijaomary1147
4 жыл бұрын
Watu tunashida nazo jaman 😢😢
@salhatmore6723
4 жыл бұрын
😅😅😅😅
@Ms.mulambe
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hadijaangura6572
4 жыл бұрын
Bwanawe
@nduwimanavovobi8433
4 жыл бұрын
Wasafi munajuwa kunipa raha jamaniiiii nawapenda sana 😂😂😂😂😂😂😗😗😘😘😘
@beethkapiesh3457
4 жыл бұрын
Aunty Ezekiel ana makasiriko😂😂
@jacklinesamwel2457
4 жыл бұрын
Jaman me naombeni elf kumi mnitumie M-pessa jamaan
@mrsjj8804
4 жыл бұрын
Ahaahahahahaayyyu
@sharoneric8017
4 жыл бұрын
Kwa kweli Ray cartoon asiyempenda ana tabu
@ramamanyama2944
4 жыл бұрын
Angekuwa Hana Hela Asingetunzwa Hzo Hela Zote Apo Kwel jala inaenda kwnye jala gonga like kama unakubaliana nami
@dicksoniomondi2119
4 жыл бұрын
Naomba kuuliza iv kiungo cha manara sio dili
@ritamrembo3351
4 жыл бұрын
Hizi pesa mnazirudia badae ama ni kweli ninacho kiona wajameni!!!!!
@Noah-se3ni
4 жыл бұрын
Rayvanny you are very funny🤣😂😂🤣
@husseininteligence6234
4 жыл бұрын
Hana kitu
@julietyronald5288
4 жыл бұрын
Rayvanny ametisha sana
@dalphineyulewadommy9248
4 жыл бұрын
@@husseininteligence6234 kamuangia mtoto kila kitu ndio maanke
@dalphineyulewadommy9248
4 жыл бұрын
@@julietyronald5288 tena sana 😍
@ashuramatata595
4 жыл бұрын
Kwakwl sherehe ilinoga hongera xna plutnum
@denislyaruu2928
4 жыл бұрын
Mc kidogo aimbe uno
@sniperislam4547
4 жыл бұрын
Hyu aunt mh kama anatengeneza hela yy
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Yaani
@husnauthman7609
4 жыл бұрын
Hahaha
@sniperislam4547
4 жыл бұрын
Htr sana yani
@enaena41
4 жыл бұрын
🤣
@deborahkapinga6304
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@marrymarry7574
4 жыл бұрын
Vanny kaongea point 😂😂😂😂kwa mond
@evaeve8388
4 жыл бұрын
hehehehehe kweli
@djjum3622
4 жыл бұрын
Aunty Ezekiel jameni katoa hela😎😎😎😋😋😋
@marcelinammasa3114
4 жыл бұрын
Ray weeeeh😂😂
@ashuramatata595
4 жыл бұрын
Waooh mbosso ww una mbwembwe 😂😂😂
@rachelmbogon2035
4 жыл бұрын
Anarudisha hapo na yeye alipewa siku ya happy birthday yake
@dorischuwa9707
4 жыл бұрын
Ashura Matata hy
@ashuramatata595
4 жыл бұрын
@@rachelmbogon2035 😂😂😂
@neemadaniel1119
4 жыл бұрын
Machari wachuga.?
@Smart_package
4 жыл бұрын
Manara ana mbwembwe
@awadhijumaa939
4 жыл бұрын
Km unamkubal vanny boy km mm gonga like
@djkibu_official1559
4 жыл бұрын
Unooo Siungemalizia Ahhhhhhhhhh Unooo Kimyaaa
@maiselichales2462
3 жыл бұрын
🤣🤣
@hancykigoda7981
4 жыл бұрын
Nakubali sana Team wasafi VannyBoy show sana
@switbird24love57
4 жыл бұрын
The party was Lit🙌😘
@mariamjereman2674
4 жыл бұрын
nakupenda bure vany boy
@avianboy592
2 жыл бұрын
Kazi Safi bro ila vanny boy your my role model namini ipo siku yangu
@mgpdocmary5752
4 жыл бұрын
Always ray we n admire wang no matter wat the circumstances
@willyjuliobernardo1374
2 жыл бұрын
OK qér
@willyjuliobernardo1374
2 жыл бұрын
Boa bita qr numer meviar
@princesedgr9068
4 жыл бұрын
Mmmmh jamn kwan nni hiki mbn m sielew
@kelemeswanga9874
4 жыл бұрын
Manara oyeee
@mubofuthegreat4955
4 жыл бұрын
Nani kashtukia kuwa mc amesema unoo af akajishtukia😁😂😂😂akazuga uno jamani 11:54
@mercurygalaton607
4 жыл бұрын
Hhhhhhhhaaaa mm hapa
@princessshannia4215
4 жыл бұрын
😂😂😂uko makini
@teenstalkwithclassicventur2545
4 жыл бұрын
Mbosso muhindi anakuja na maua dah kijana wa mapenzi
@africanews7302
3 жыл бұрын
11:54 Dida alitaka kuimba uno ya Harmonize! Jamani😂😂😂
@halimahamid9081
4 жыл бұрын
😂Ila manara anajikuta kijana
@sarahhamisi2070
4 жыл бұрын
mke wa iyobo/ umetisha
@swahibamussa2347
4 жыл бұрын
Mke wa iyobo kaziludisha maan kwenye happy birthday yake alipewa era nyingi na mondi
@jackdoz3635
4 жыл бұрын
Saan
@chirrakibona4962
4 жыл бұрын
Me anenifukaisha rayvanny tu nimecheka 😁😁😁kweliii
@berthajacob5810
3 жыл бұрын
Jamani Mimi kupata elfu kumi shida buku tu Kaz dah
@hadijaally5961
4 жыл бұрын
Gonga like kama umeona rayvanny katunza elf40
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Tunoumia sie tunoamka alfajiri oman 😂😂😂kutafut hizop
@lilym704
4 жыл бұрын
Shukuru mungu wewe una amka asubuhi una pata Riziki wako kuna wangine wa natamani hiyo fasi omani nahawapati mjinga
Asante kwa kutukana ndo mtu mjinga ukiambiwa ukweli una jibu kwa ufidhuli huto endeleya utakuwa ivo ivo ulivo 👹
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
@@lilym704 kama Riziki atowa babaako basi nitakuwa hivi...nanilivonavo atavichukuwa..ila kma sio basi umefeli fala weee....unanitaje mjinga wakati just maongezi tuu...au ndoujulikane unajuwa sana..kwenda zakooo
@tatukachingwe2290
4 жыл бұрын
Kwanielaaaaaa izi ninazotafuta mm au 🤔🤔🤔🤔au vipeperushi
@lykamlaki7120
4 жыл бұрын
😂
@anysambosa2494
4 жыл бұрын
Ni shida mama
@feisalmohamed8619
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Hzo hzo aseee
@mwanaidhussen1325
4 жыл бұрын
😂😂
@husnauthman7609
4 жыл бұрын
Hahaha
@neemakilomoni4258
4 жыл бұрын
Wema sija muona jamani 🙈😅
@raxhidymono9258
4 жыл бұрын
Watu napesa zao mjini
@zabibukivyele7407
4 жыл бұрын
Mrs Iyobo umetisha sana
@ukhutfatumah1154
4 жыл бұрын
Man shall ah wcb
@mokotvonline6456
4 жыл бұрын
Jaman kwan like zinauzwa duka gan
@richzoo
3 жыл бұрын
Safi sana kiongozi 🙏🙏🙏🙏💕😍
@kondmetishasanaboy7182
2 жыл бұрын
umetishasana
@sweetmelody9927
4 жыл бұрын
Mbosso 😂😂😂😂ako wapi yule dada yetu Alie kuja kukutafuta huko
@youngj.d559
4 жыл бұрын
Hii party kanoga kweli
@harunasaidmussa1543
4 жыл бұрын
Yani apo ukiendekeza sifa sifa usiku hauli pesa unaacha mond
@MingoTrivia1
4 жыл бұрын
it's so funny at all
@wizzyfernando8655
4 жыл бұрын
Wasenge nyie kwa sifa ty marhaba
@villykavindi105
4 жыл бұрын
Hiyo ndo WCB family
@amandaantonio5893
4 жыл бұрын
I LOVE IT ITS FANNY,😁😁😁
@birungihalima8996
4 жыл бұрын
You are very funny u guys am very happy walai
@mariamjereman2674
4 жыл бұрын
point ya mbosso iko wapy jamani
@emmypc8362
4 жыл бұрын
Hii ndo Tz ye2 wenye nazo wanaongezewa tusonazo tunanyan'anywa kabisa daaah mungu tuone nasi
@namnyackyshamburi6615
4 жыл бұрын
Aniiiiiiiiiiiii aki vile ni kweliiiii
@thomasedward9582
4 жыл бұрын
Good rayvan namkbl kwa ucheshi
@sindanikalala472
2 жыл бұрын
Muishi raha mungu amewapa
@nabyabraham335
4 жыл бұрын
Hela unachagua pakwendaa😢😢
@methodleopord4069
4 жыл бұрын
Nzuriiiiiii
@berylmilando4570
4 жыл бұрын
Mtu ywatoa prado watu waimba hela😱
@willyjuliobernardo1374
2 жыл бұрын
Love diamond
@almasmaige3981
4 жыл бұрын
Mwenye nacho atazidi kuongezewa asienacho hivho hicho kidgo kinachukuliwaaa
Пікірлер: 821