Mshambuliaji mpya wa timu ya Simba SC, Steven Dese Mukwala amezungumzia upendo na umoja uliopo katika timu hiyo baada ya wenzake kumfanyia “surprise” wakati wa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa juzi Julai 15, 2024
#SimbaSC #KambiYaSimba
Негізгі бет Wachezaji Simba wamshangaza mshambuliaji wao mpya Steven Mukwala
No video
Пікірлер: 17