Mungu awabariki sana Wachungaji...Mchungaji Erasto Kyando.....kweli nimeona bidii yako...kweli umelelewa na nimekuona ukikua hadi leo...Barikiwa sana...uende mbali mno!!
@agnessmgowole2107
Жыл бұрын
Poleni sana Mungu awatie nguvu wanachuo wote na family yote kwa ujumla na kanisa nzima la Tanzania TAG
@flomenadaniel2363
Жыл бұрын
Hakika tukaze mwendo kwa bidii kuifikia Ile mede, Rev. Mch Moses Magembe na Mch. Erasto Kyando na wachungaji wa kweli wote msikate tamaa utumishi wenu hakika mtalipwa na Bwana Yesu.
Пікірлер: 4