Mchungaji soma Sana ..... Bado hujaongoka hata kidogo....Kama wwe Ni shetani basi endelea nasi tunakusikiliza lkn hatutokuelewa kamwe
@bikoolaizer2737
4 ай бұрын
Ni shetani huyu pamoja na hii channel ni ya mashetani
@salahsadi3908
Жыл бұрын
Una pepo kwa jina la YESU upone ACHA kupotosha
@DionsFMwalongo-ds4lo
Жыл бұрын
Wewe ndiye unayejua kutafsiri
@rizikivincent5255
Жыл бұрын
Mzee hamechoka kutoa maubiri kamilifu hiiiiiiiiii ikiwa maandiko yalisema henendeni ulimwengu ili mkaijaze dunia na hutupe maandiko yasemayo henendeni ulimwenguni mkaipunguze dunia we baba hummoja ya hao wadanganyaji pesa zako unazozipata si zakutumika kazi kwa mikono yako bali ni yakuwapotosha wanadamu kuwaingiza katika njia ya uibilisi
@jompoultryfarm7012
Жыл бұрын
Anaebisha maneno ya huyu kristo.hajui maandiko.kama unqjiamini unabiaha kwauelewa njoo tujadiliane usikurupuke anachokiongea ndio ukweli.
@COGT2
Жыл бұрын
unaakili kweli
@barakakawogo7214
Жыл бұрын
Basi waandike biblia yao au wasiitumie hiyo maana kwao hiyo so kitu .Wapinga biblia ,Wapinga neno Wapinga Kristo
@wiliiammkenda5174
Жыл бұрын
Sijamuelewa bwana sijui point yake nini,,,,,,,,,,ni ushoga uendelee au? Mbona sijayaelewa haka kazee
@wiliiammkenda5174
Жыл бұрын
Nimeona alama ya jicho,,,wale wale kueni makin ndg zangu
Hakika yesu yupo karibu kurudi mambo makubwa mengi tutaona
@oscarulotu9878
Жыл бұрын
Sijui kikabila cha wspi
@charlesemily205
Жыл бұрын
huu niushetani wakiwango chajuu sana
@juliethnyagawa4102
Жыл бұрын
Baba yenu ni ibilisi
@isackmgonde6336
Жыл бұрын
Acheni kupotosha watu na Kwa nini mnapingana na biblia endeleeni kufuata ya kwenu endeleeni na nyaraka zenu Kwa nini mnamuudhi MUNGU aliye hai
@jompoultryfarm7012
Жыл бұрын
Mungu yupi ameudhiwa hapo.?
@victaeliud948
Жыл бұрын
Mh!! Dunia imechoka....HIVI viboko VYA uzeeni vipo? Kuna baadhi ya watu vinawahusu.....
@kimomi3911
4 ай бұрын
Ili tusiogope basi fanya ushoga na mwanao
@nadiahussein5079
Жыл бұрын
Tuonyeshe na waumini wenu uone mashetani Ni wangapi au mnajiubiria wenyeweeee tu
@sadikimwalongo7871
Жыл бұрын
Injili yao ni ngumu sana.lakini ndio ukweli wenyewe..umeambiwa kuna kuna wewe na mwili wako.umeambiwa kinacho kufa ni mwili wako sio wewe...inahitajika akili kubwa hapo umeambiwa hakuna mwisho wa dunia hii ipo sw tunapotoshwa tu.wewe unapo ondoka duniani ndio mwisho wako hakunaga mwisho wa dunia..
@nadiahussein5079
Жыл бұрын
@@sadikimwalongo7871 pole Sana sadiki bado upo gizani Allah akuongoze inshaallah 🙏🙏🙏
@domycossan1395
Жыл бұрын
@@sadikimwalongo7871 kwahyo unataka kusema dhambi haipo?? Hapo tufundishe
Ndugu yangu huyu mchungaji sijui ni apostle ni mbinafsi na mwenye majivuno ndo maana anapotosha katika mafundisho yake. Anatumia akili katika kufundisha na sio mafunuo ya Roho mtakatifu. Anafundisha vitu usipokuwa makini unapotea na kuharibika kabisa.
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Umelewa komoni au ulanzi
@olaislukumay2208
6 ай бұрын
Mafundisho potofu utapigwa na Mungu
@loner_wolf
6 ай бұрын
He is against . angekuwa ndugu yangu asingehubir hapo , angeshajifia kitambo kwa sumu ya panya
@gervasexavery2977
Жыл бұрын
SAA inakuja Wala haiko mbali
@denismugisha2
Жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza namuona shetani live, dah
@eliabumakunzo8856
6 ай бұрын
😅😅😅
@eliacharles5729
6 ай бұрын
Dunia imeisha muonapo hata tambueni mwisho umekaribia
@janviersobhane6492
Жыл бұрын
Kwanza dhehebu hili ukisha ingia lazima ubadilishwe Jima na mchungaji wa kanisa la mahali,huyu anaye hubiri alipewe jina lingine tofauti na lililopo kwenye kadi yake ya kuzaliwa eti anaitwa "kristo chumvi ya ulimwengu"...yaani hawa neema juu ya neema ni upumbavu mtupu.
@rev.harunichaula6509
Жыл бұрын
Ni Mungu yupi huyo mungu wa bahari au niyupi huyo ,unalaana ya kurikufuru neno la Mungu jaribu kujihurumia ,unaishi
@prosperthomas8864
Жыл бұрын
hii ni kampuni ya shetani kutoka kuzimu mwisho wao ni kutupwa katika ziwa la moto ule usio zimika
@stephenemganga3604
Жыл бұрын
Na maskio ya kenyewe kama popo
@jompoultryfarm7012
Жыл бұрын
Unakosea nduguyangu.anazungumza ukweli mambo yote yaliishia msalabani.plz usiangamie kwa kukosa maarifa
@godfreydavid6996
Жыл бұрын
Na ni kweli,ni mpumbavu mkubwa.
@stephenemganga3604
Жыл бұрын
@@jompoultryfarm7012 kama hutajar nipe namba yako nkufundishe neno la si hivyo utapotea
@peterntandu1919
Жыл бұрын
Huyu ni mwana wa ibilisi mwenyewe😂
@eliabumakunzo8856
6 ай бұрын
😅😅😅
@sundayburton-cl4nu
Жыл бұрын
DAWA UNATAKIWA UPEWE WEWE ,NA BADO HASIRA YA MUNGU INAKUJA JUU YAKO WEWE ULIYESHIBA HELA ZA BIASHARA YA MAFUTA YA GRACE ZOA ZOA. MNAONGEA MANENO TU BILA NGUVU YA MUNGU,TUONDOKEENI NA HADITHI ZA KIZEE.
@murekatetekayinamura9425
Жыл бұрын
Jameni ww. Mesheki. Uma skini huo , unakusababishiya ku msaliti christo Pole , unako kwenda kubaya
@rashidmwakatoga7051
Жыл бұрын
Ole wako wewe mhubiri ambae shetani amekujaza maarifa ya kupotosha watu, hukumu inakungoja tena wala haikawii
@jonathanhamadi
Жыл бұрын
Yan Jamaa ameishangaza aswaaa dah nimmchangsnyo
@peterdaimon-ug6fd
Жыл бұрын
Tumbo ni hatari Sana huyu amechizika shida nja anapenda vya pole ila Sasa unagombana na mungu Kila Jambo Lina wakati wake
@domycossan1395
Жыл бұрын
Halafu mnafanya Press kukataa maneno ambayo mmeongea wenyewe halafu mnasema watu wamekatakata Clips ili kupotosha. Hili kanisa linamafundisho yanatakiwa yakataliwe na kupigwa marufuku. Mchanganyiko wa ukweli na upotoshaji. Kama huyu jamaa ndo mkaushi kabisa. Anaikataa Biblia na huku anaitumia anakubaliana na ushoga eti unaweza kuwa shoga na ukawa mtumishi wa Mungu. Halafu anajiita Kristo.
@isackmgonde6336
Жыл бұрын
Neema haikufunuliwa ili tutende dhambi
@rizikivincent5255
Жыл бұрын
Sasa walioteuwa ushoga ndo kanisa?kwa nini sheria iliwekwa?ikiwa hakuna wakuukumu mwenzie?na kwanini umesimama jukwaani kupingana na maneno ya wenzako ikiwa wewe ni mkamilifu?au haujuwi maana ya neno hukumu?pia nawe hivo unahukumuu kwakuwa nawe umesimama kuyapinga yawenzako
@rev.harunichaula6509
Жыл бұрын
Wewe chumvi bado tu umesimama kuliharibu neno la Mungu wewe unashida ,ila utavuna hiki unachopanda.
@simonibonifasi3131
Жыл бұрын
Nyie nikundi lashetani mtawapata wasiojielewa maana mwenye macho haambiwi tazama
@PeterMloha
Жыл бұрын
Anajiita kristo? 😢😢
@VoH-Official
Жыл бұрын
Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
@fredymbilinyi6323
Жыл бұрын
🤔🤔
@jovinekahwa9628
Жыл бұрын
Namkataa shetani na mambo yake yote””” nadhani huku hakuna wokovu wala ubatizo... Yesu aliwatuma wanafunzi wake wakawahubirie watu waache dhambi alafu hawa wanahubiri dhambi...Na hata Kristo Yesu alivyowaponya wakoma aliwaambia nimewaponya na nendeni usitende dhambi tena
@drdd774
Жыл бұрын
Kiangalie masikio yake
@elishapaul1706
Жыл бұрын
Kama ni tz ndio maana mvua ya shida.............Kwa mafundisho hyo heri kukas nyumbn
@prosperpaschal7203
Жыл бұрын
watu kama hawa sio wa kufumbiwa macho
@SuzanaOlonde
Жыл бұрын
Wamemchagua mwovu na wameamua kupotea.....ndilo chaguo lao
@mussabuhe8881
5 ай бұрын
kasauti kake kamavile..,....
@emmanuelmwandu.3126
11 ай бұрын
Bangi mmea hatari sana ikitumiwa na mtu ambaye anaenda kulala😂
@salmaabdul6154
Жыл бұрын
😰😥
@wilikornel8518
Жыл бұрын
Hili kanisa sionagi waumini sijui wanadanganyana wenyewe
@princeemanuel4820
Жыл бұрын
Pumbavu zako
@rizikivincent5255
Жыл бұрын
Huyu baba Alitalia na shoga au mwanamke?aiza amezaliwa kabla yesu hajatokea?ndo yesu akaja kumuweka huru? hiiiipu ibilisi anatumia njia nyingi kabisa mnamakusudi yakupotosha binaadamu ndo maana mlichangia kumuua magufuli kwa kauli hili
@MaigaAmos
Жыл бұрын
Az
@bobwhite9252
Жыл бұрын
huyu jamaa anaongea nin....kila mtu angefanya anavyotaka hii dunia ingekwisha.
@theresiachacha3068
Жыл бұрын
Halafu Kuna watu wanapiga makofi
@alistidiahenerico
Жыл бұрын
Neema ya Mungu inatufundisha kukataa ubaya..wewe acha ujinga....tito2:1....sio uhuru wa kutenda dhambi
@oswaldtemba2770
Жыл бұрын
Completely this church should be burned. Hapo clip zimekatwa wapi? Lafudhi la kisukuma kila kila kuona afu unaomba Msamaha.funga kanisa hilo. Wote ni mashoga na wasagaji.katafuteni kaxi nyingine. Kumbe grace vipodozi? Ni mpuuzi kiasi hiki?watanzania msusieni bidhaa zake.naona pesa imemkufurisha.
Пікірлер: 87