Sheikh wetu Allah akubariki kwa kazi ya Allah unayoifanya, tunakuombea sana Allah akuhifadhi wewe ni tunu ya uislamu, Alhamdulillah
@AkhyFarqanah
Ай бұрын
Usa 🇺🇸 tupo tunakufatilia sheikh wetu ❤
@adanabdulahi8219
Ай бұрын
MashAllah . What a noble work you are doing Sheikh Ramadan. May Allah protect you and all other brothers who are spreading the message of Islam.
@AbdirashidmohamedNoor
Ай бұрын
Sheikh Rudhwan Mungu akubariki sana❤❤❤❤❤ . Hii si kazi rahisi . Mungu akurahisishe
@MohamedMatata-iu9mm
Ай бұрын
ALHDULILAH KWAA Allah kunijalia KUWA MUISLAM.YANI MCHUNGAJI ANAPITA KWENYE FIKIRA ZAKE KAMA NDACHA INAONEKANA BISHOP NI MWANAFUNZI WANDACHA .SHEKHE INA BIDI USOME KIBRANIA HUMO KWENYE KIBRANIA WAYAHUDI HUWA NIWAONGO SANA
@isamacharia7937
Ай бұрын
Sheikh wetu pole pole tu na mwishowe atasilimu huyu Bishop Mwangi inshallah
@salimtiemery8071
29 күн бұрын
Mungu awajalie maisha marefu wanastraight path
@Adm9464
Ай бұрын
Bishop’s Pressure is definitely over the roof .
@hajiabdulrahmani9204
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅 umetsiha sana😅😅😅
@habibasalim3092
Ай бұрын
Allaah akubariki kila siku Sheikh wetu ramadhan kaguo Aamin
@JihaadIsmail
Ай бұрын
Masha Allah endelea kutangaza dini yetu
@hythamhashiem4458
Ай бұрын
Maashaallah mungu amuhifadhi sheikh wetu Ramadhan
@habibasalim3092
Ай бұрын
Subhaanalllaah huyu mzee ,nimempenda japo tu ni vile bado haamini mtume wa mwisho mtume Muhammad salallahu alayhi wasallam,
@yabdul1782
Ай бұрын
I like it when a Christian proves himself evasive n wrong while he agrees the truth from the verses n makes his own interpretation.
@mohamednurmohamed8812
Ай бұрын
Nafurahi na darsa yenu lakini munapoteza sana mda jaribuni u go straight to question ili tupate faida shukran my brother Ramadan ALLAH Barik insh ALLAH amiin ❤️
@djhassim_254
Ай бұрын
assalam aleykhkum mwalimu Kuria ......mimi naomba Quran ya kiswahili
@FadhiliMagana
Ай бұрын
Wallah sheikh ramadhani mm nakupenda Sana Sana tena Sana Allah akupe nguvu na uweza Zaid Sisi wengine pia wallah unafanya bidii Sana na mm nakuombea Mungu uzid na Moyo huo huo wavute uwaingize wakikuyu na wengineo katika Dini ya hak
@MohamedMohamed-u3t1n
Ай бұрын
Ile shukran ya kusema Alhamdulillah alaa neema tul islam wakafaa bihaa bin neema ! Maana yake Namshukuru Mwenyezi mungu juu ya neema ya Uislamu na inatosha kuwa neema! nailiewa zaidi sasa nikisikikiza mijadala hii kupitia maandiko hakika Uislamu ndio haki kutoka kwa Mwenyezi mungu muumbaji wa kila kitu
@gechtv580
Ай бұрын
Mungu hana ndini...anapenezwa na kutia amri zake zote(Sheria na injili)
@josemu870
Ай бұрын
To be a Muslim is a massive from Allah barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah
@habibasalim3092
Ай бұрын
Afathali huyu baba hapa anashukuru Elohim, (Allaah)
@jimjam-xg7rv
Ай бұрын
MASHA ALLAH 💚
@habibasalim3092
Ай бұрын
Baba wa whenye amesimama na original old testament anamsingi, anakataa kuhusu hao walio edit Enjeel, na ndio kukorigeka ,baba anasema mungu ni mmoja Ellah, yes
@jasminmohamed6145
Ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
unafanya kazi nzuri.....lakini mimi naamini katika Utatu Mtakatifu
@Fumokale
Ай бұрын
😮😮😮AMECHANGANYIKAWA...huyu ishop vp...
@jamalalnadhir4058
Ай бұрын
Sheikh wetu Allah akuhifadhi
@AliHassanAli-jd9ru
Ай бұрын
bishop wallai nampendea vile akiona haki hapindishi maandiko yuakubali ila moyo tu ndo mgumu inshallah Mwenyez mungu amfungulie kifua chake
@trikayoh3684
Ай бұрын
Studio inangaa MaashaAllah ❤️ kazi nzuri sasa baado Gerison na Ndacha
@shabamuhidin634
Ай бұрын
mashaAllah Sheikh Kazi nzuri sana,nimejifunza mengi mno kupitia midahalo hii Alhamdulillah jazakaAllah khairan
@AishaTabi-e2z
Ай бұрын
😂😂😂leo ni leo ❤
@badmanno.1650
Ай бұрын
Moto sana😂
@alphonseziragora5151
Ай бұрын
Sheikh anaeongonza hii Chanal ni mjanja kwelikweli. Anaweza silimisha Ibilisi tena.
@adrisshagi1255
Ай бұрын
ASALAMU ALEYKUM. Üstadı RAMADAN . TAFADALI. KAKA WEANGU. ISFOKU. UME ULIZE JAMO AMBALO VIDEO TIME KU TUMIYA FROM CANADA KANISA HILO. KAMA (ISSA ALEYHİ SALAM). ATA INGIA KANISA İLE AMA MISKITI AKI RUDI??
@GeraldMswazi-bp2kw
Ай бұрын
Mchungaji asiyejua maandiko Ni Sawa Na mbwa walio bubu hawawezi kubweka.kulingana Na kitabu cha isaya.
@saumbliz8983
Ай бұрын
Mmmmmh 😂😂😂
@Nangaikalumekenge
22 күн бұрын
Andiko lipi?
@habibasalim3092
Ай бұрын
Yesu alilala kwenye boat ,wakivuka mto, akienjoy usingizi kabisa😅😅
@alyaqdhan5206
Ай бұрын
جزاك الله خيرا
@MussaNgoz
Ай бұрын
B shop usibadili bibilia acha kuweka lakini soma neno
Masha Allah, camera ziko clear kabisa. Allah awaepushie kila shari na ajaalie kila kheir hapa duniani na kesho akhera wale wote walio jitolea kununua camera Amiin Ya Rabina Alamiin
@Zafarmohamedy
9 күн бұрын
Aaanh sana 😂
@habibasalim3092
Ай бұрын
Mungu ni mmoja ila sio yesu,hilo pia ulijue Bishop, maana confusion inakuja hapa wanasema mungu ni mmoja na akiomba namuomba yesu hapa ndo nashirikisha
@issackSalah-xh1bg
Ай бұрын
Good work ❤❤❤❤
@chapchap-oz1ou
Ай бұрын
Mwalimu Geishon akisema Masihi hakufundisha Baba na Mwana na Roho Mtakatifu....atuelimishe kuhusu Matt 28:19
@samxx411
Ай бұрын
Nimegundua Bishop mara zote akikutana na wakristo wenziwe anakuwa anapingwa...mara ile na yule pastor pilot kuhusu ndoa bishop amepingwa na leo kuhusu miungu watatu pia amepingwa na hata akikutana na Ndacha atapingwa mana Ndacha ndo mtupu kichwani, sheikh Ramadhan ongeza mic kila mtu awe na yake ni ushauri tu.
@ZakiyaAnwar-w1r
Ай бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
@ChadCommaz
Ай бұрын
This bishop man is very funny the challenge he has is that he never accepts to be defeated
@njurno
Ай бұрын
Allahumma Amin
@murtalla2826
Ай бұрын
Bishop pressure decreases or increases 😂😂😂
@Zafarmohamedy
9 күн бұрын
😂😂😂 hasheem no case
@francisjoseph1074
Ай бұрын
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; 6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; 7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; 8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. 9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; 10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; 11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
@samuelondieki9164
Ай бұрын
Asante Kwa andiko Hilo Na ufundize kila siku
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
WalykmMsalamWarahamatulah.wabarakatu.Alhamdulilsh
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
busu jiwe jeusi....utaenda jehanamu na mtume aliyemnajisi mtoto wa miaka sita tu yeye akiwa 53
@aishaarusha894
Ай бұрын
@@noahwamalwa4385sasa wewe unataka tumbusu mama yako sasa wewe kina kuuma nini mtume kuowa binti mdogo ulitaka aolewe mdogoako acha makasiriko wewe mwenyewe mama yako kakpata wewe anamiaka tisa habithi
@shukrialisaya1578
Ай бұрын
Those clergy men Ilove them coz they are very sober sio kama ndacha.
@martingachanja8145
Ай бұрын
Bishop kelele mingi 😊
@habibasalim3092
Ай бұрын
Hii ndo Allaah alisema wangelijua biniowapa vitabu wangeisoma na lugha yake original, Siku zote nikiwaambia hii kuita tawrat kumbukumbu la tawrat ni kwamba waisahau ,sasa tangu Lini maneno ya Allaah yazeeke,
@salamalsawaqi1206
Ай бұрын
Huyu pwaguzi na mwenzake pwaguzi🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@faridbashuu
Ай бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Ramadhan Kuria... Bishop Nampenda sanaa... Straight pathiology iko sawa 😂😂🤣🤣 Bishop anafurahisha sanaa Barakallahu Feek.
@Zafarmohamedy
9 күн бұрын
😂😂
@faridbashuu
9 күн бұрын
@@Zafarmohamedy Na eti ndio ametoka Chuo kusoma 🤣🤣 Je wale hawaja ende shule watakuwaje ?!!🥴
@Zafarmohamedy
9 күн бұрын
@@faridbashuu huyu jamaa bado sana Allah amjalie akuje kwa dini ya haki isiyokuwa na utatu
@adrisshagi1255
Ай бұрын
Both are educated lakini . ( quluban qulfan) na ombeya mungu awa ongoze yeye indho ana uwezo .
@adrisshagi1255
Ай бұрын
Nime poteza nambari ya iskofu kaka and mr Iskofu NAKU salamiya
@ZayyanaBamuni
Ай бұрын
😂 maskin bishop siku zote nimtu wakuelemewa tu
@nurki001
Ай бұрын
Bishop umepigwa na butwaa 🙆🙆🙆🤦🤦
@hanifahkhamiss8485
Ай бұрын
Bishop ana vituko vya peke yke😂😂😂😂😂
@nabiljumaothman5912
Ай бұрын
Bishop hoja zake dhaifu mnoo yaani ata hajui nini anatetea
@mutomubaya
Ай бұрын
Nadhani Bishop anadhani Yesu ni mungu lakini hajui Yesu ni jina lililotungwa enzi ya kufasiri Biblia kwa Kiswahili na hakuna cha ziada katika hilo jina ila kusifiwa kwa sifa mara za Mtume, Isa bin Mariam na mara sifa fulani za kudai kwamba ni mungu.
@AbdirashidmohamedNoor
Ай бұрын
Gricho maneno mengi bila maandiko. Hivyo ndivyo wanaogea sana kanisanai bila maandiko alafu watu wanaamini
@salamalsawaqi1206
Ай бұрын
Yani pwagu na pwaguziiiiiiiii
@VeronikaJoho
Ай бұрын
Dokta najua wajua ukweli silim
@chiefmkalikibz1503
Ай бұрын
Ndacha #AbuJahal HAWEZI kukubali hata dakika kukumbambana na Doctor coz ndacha ni tapeli tu
@banyankirubusamarc1727
Ай бұрын
Binikagu, Leo umebanwa na uongo wako wakupoza watu.
@banyankirubusamarc1727
Ай бұрын
Usiongee kusema koroani imesema, cakwanza unataka kujua, koroani si maneno ya Mungu, kwanza ujue hio.
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
AnasemaAtaponaKwajinaLaYesu.subhanaAllah.nyieKituko. yaarabb. Tunusuru.DamuImejaaSumuKumuitaMtu. mungu
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
busu jiwe jeusi....utaenda jehanamu na mtume aliyemnajisi mtoto wa miaka sita tu yeye akiwa 53
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Na vile kwanza alikunywa dawa ya Eno hapo
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
@@StraightPathDawah unafanya kazi nzuri,.....naona utatu ni ukweli
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Tatizo lako Syo muelewa wamasai wanaoaHataMimba kabla mtoto hajazaliwaAkizaliwa Binti Mkewe akizaliwa Dume AtakuwaRafiki yake akimaanishaAtamchukuwaHuyo bintiAtakapokuwaTayari yahn barekh TumiaAkili syo kuropoka@@noahwamalwa4385
@hashim.22kamal27
Ай бұрын
Hakuna.kuenda.mbiguni.wakhristo.mpo.dr.amesema.
@VeronikaJoho
Ай бұрын
Stivin acha ubishi silim
@MohamedMatata-iu9mm
Ай бұрын
Bishop anapambana na maneno yake MWENYEWE anayapinga MWENYEWE .na kajasahau HATA YYE ALIKITA MUNGU.SASA NA YYE NIMUNGU YUPI?
@badmanno.1650
Ай бұрын
Kama kawaida yake bwana Gichuhi ni story nyingi bila maandiko.😅😅
@AbdirashidmohamedNoor
Ай бұрын
Eeee anahepa hepa tu . 😂😂
@jahbless4063
Ай бұрын
bishop akiletewa myahudi kwa mjadala sura yake hua nyengine.
@AthumaniBakari-o6r
11 күн бұрын
BISHOP HAJIELEWI BORA HUYU MZEE AFADHALI BISHOP KELELE TU MWEUPE KAMA SANDA
@zeharaz4116
Ай бұрын
Anasema mbio mbio hata hatufahamu nini anasema
@shuwehaharuna6309
Ай бұрын
Bishop anatetea KAZI yake muda wote anaangalia camera kwa huruma
@adrisshagi1255
Ай бұрын
Kuna Loyer. 🇮🇱 Jew walahi nime uliza kuna wa Africa kule kuwetu wana Sema muweli na. Moyo tafauti moyoni ni. Jew ame Cheka .
@habibasalim3092
Ай бұрын
Huyu Bishop ni wale wale tu confused people,
@habibasalim3092
Ай бұрын
Na hii kugeuza majina yote kuyaita kizubgu pia sio vyama, Suleiman acha abaki Suleiman na kama ni musa abakie musa sio Solomon na Moses
@mush337
Ай бұрын
Hoja sio kubatiza watoto ama wakubwa hoja ni kuamini,huezi batizwa eti ju wewe ni mzee, kwa hivyo atuonyeshe kifungu kwamba watoto hawafai kubatizwa,na watoto kwa mjibu wa Sheria ya Kenya ni wasiozidi umri wa miaka 18
@habibasalim3092
Ай бұрын
Sasa hio maandishi si ni yale yale tu yaliyoandikwa na watu kui translate enjeel tu
@habibasalim3092
Ай бұрын
Elohim arameic,Allaah arabic,,thats the truth,
@ChrisMakokha-cy2cu
Ай бұрын
Huyu gerishon ako tiktok?
@aburaasmedia3682
Ай бұрын
punguza kelele bishop...unataharibia masikio
@mimahmimah1595
Ай бұрын
Mm napenda kuskiliza lakin huyu bishop anafanya nishindwe kuskikiza kwa kelele lake sheikh ramadhan uwe unamwambia aongee taratibu anatuumiza vichwa 😢
@Adm9464
Ай бұрын
It’s very disgraceful that Bishop is not listening to what this Christian pastor is saying .
@thechurchoftheedgeministry4325
Ай бұрын
Allah ako na utatu my friend sisi utatu watu uko sahihi
@seifserenge3340
Ай бұрын
Kinachonishangaza kwa hawa wakristo wanapoeleza kuhusu Yesu au Mungu hawanyooshi maneno huwa wanajizonga tu. Wanaleta maandiko tele ya kuunga unga. Hii nikuonyesha kushindwa kwao na biblia yao kuwa ni ya kupangwa pangwa tu
@aliseif2691
Ай бұрын
Dankan jeshi la mtu mmoja.
@habibasalim3092
Ай бұрын
Not kumbukumbu,ndio wameikataa original book of Yeshua
@Ally-qi7xo
Ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🙏🏾🇧🇮🇿🇦🇿🇦🙏🏾
@mahdiyusuf3431
Ай бұрын
We invite both of them to believe Jesus Christ is son of Mary messenger to the children of Israel. Welcome to Islam ☪️
@SwahibuAthuman-yv2mn
Ай бұрын
Apo hakuna parsta
@habibasalim3092
Ай бұрын
Hii trinity ilikuja na hao baada ya yesu kuondoka,kwahio waliitengeneza wenyewe, na ndio maana sisi waislamu tunasoma original arabic qur'an how it was revealed,
@salumkagame509
Ай бұрын
huo jama kihebrania kinacukuwa mda awage anaongea kiswahili bila kupoza mda
@habibasalim3092
Ай бұрын
Jesus didn't claim divinity
@sanaf8367
Ай бұрын
Sio kweli kwa mujib wa quran mkristu anaweza kwenda mbinguni ikiwa wataamini Mungu 1 na wa katenda mema na kuamini siku ya mwisho hio ni quran sio maneno yangu by the way mie pia ni muislam.
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Mkristo lazima ASILIMU na atakuwa sio mkristo tena Bali Muislamu. Kama kuna Pepo ya Wakristo basi hatuna kazi
@wakeshojana
Ай бұрын
@@StraightPathDawah KUSILIMU NI UKAFIRI >>>> Kumkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.- Yuda 1:4
@sanaf8367
Ай бұрын
@@StraightPathDawah2:62 "Hakika Waumini, na Mayahudi, na Wakristo, na Masabii, 1. wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wakatenda mema, watapata ujira wao kwa Mola wao Mlezi. Wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika." Ustadh usiongeze maneno yako kuwa lazma wasilimu na hapo ukija na hoja kuwa hio aya wamekusudiwa waliopita kabla ya Mtume Muhammad nitakupa andiko jengine linalothibitisha hoja yangu. Wala sikusema kuna pepo ya wakristo ila kuna exception kwa watakaokuwa na vigezo ktk hio aya na wapo na wataendelea uwepo japokuwa ni wachache mno.
@Bahati47
Ай бұрын
Umeambiwa mpaka uamini aliyokuja nayo Muhammad swali ni mkristo gani anemuamini Muhammad?
@Bahati47
Ай бұрын
@@wakeshojanahivi wanaotumia jina mola kwenye vitabu vyao na maongezi yao ni kina nani? Na kina nani wanaamini MUNGU ni mmoja?😂
@wakeshojana
Ай бұрын
Ati kauli ya wachungaji?? ramadhani kuria unachekesha sana 😂😂😂😂😂😂 Tutawasikiliza wachungaji au Mungu? Hebu tuangalie Mungu anasema nini?...marko 9:7 : "Huyu ni Mwanangu, msikieni yeye"!! Tumsikie Mwana anasema nini? ,,,, Yohana 14:6 Yesu akawaambia "Mimi ndiye Njia NA kweli NA Uzima...mtu haendi kwa Baba pasipo kupitia kwangu" MUNGU ANATUAMBIA WAKATI WOTE TUMSIKIE MWANA....SIO MITUME WENGINE WOWOTE WALE AU MARYAM AU WACHUNGAJI GHUSHI.....KAMA VILE YESU ANAVYOSISITIZA KWA YOHANA 17:3 SASA WACHUNGAJI NA MUNGU NA MWANAWE NI WAPI NA WAPI??///
@chapchap-oz1ou
Ай бұрын
Ati WACHUNGAJI WAPASUA MBARIKA? ni kama hajui maana yake na pia kasoro ya elimu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Wamesema wao sijamsemea Mungu
@wakeshojana
Ай бұрын
@@StraightPathDawah Sawa ndugu hata kama wamesema wao mbona unawashabikia???.... Tutawaamini wachungaji. au tuamini ushabiki wako au tuamini Mwenyezi Mungu na Yesu walivosema??? ushauri wa bure....ng'oa pazia kwenye akli na macho yako bro!!
@samxx411
Ай бұрын
Sheikh Ramadhani mimi nna imani kwamba huyo Dr. Garithon ni kwamba anatumia biblia iliyotafsiriwa kwa israeli tu lakini sio injil ya asili ya Nabii Issa (Yesu) ya kiebrania, kwasababu injili ya asili ya Nabii Issa, Torati ya Nabii Mussa na Zaburi ya Nabii Daudi, Allah (SW) ameziondoa baada ya kutiwa mikono na watu (waandishi) baada ya kuondoka manabii husika...Baada ya miaka kupita watu waliacha mafundisho na wengine kufuata maandiko yaliyochafuliwa ndipo Allah akaleta qurani kuja kurekebisha, kuelimisha na kuonya watu.......sasa muombe bwana Garithon atupatie taurati ya asili ya Nabii Mussa kama ni mkweli.
@NathanielNathan-m4o
Ай бұрын
Kwani Quran illiposema ilikuja kuthibitisha maandiko yaliyokuweko kabla ya Quran hukusoma ukaelewa? Someni Quran muelewe before uongee
@samxx411
Ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o wewe qurani unaijuwa au unaijuwa tafsiri ya Quran na ndio mnajuwa biblia ya waandishi lakini injil alliyoshushiwa yesu huijui...
@kennodhiambo
Ай бұрын
Here you go again 4:171... God is saying "do not say three" when it implies that Christians believe in "three" gods? God cannot be speaking in the Quran. You better study to understand who is speaking in it.
@mobutu3884
Ай бұрын
Ramadhani acha kutafsiri Biblia unavyotaka wewe sio kila kitu unahoji wakati hata quran ipo hivyo hivyo mfano limetumika neno UTAOKOKA wrwe umekazania ni wakati ujao kisa neno "UTA" ila unasahau kuwa katika quran 39:30 mohamad anaambia "Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa" So unataka kuniambia mohamad bado hajafa sababu ilitumika neno UTAKUFA? Au baada ya Mohamad kufa hilo neno utakufa kwwnye quran halitumiki tena? Kubali kujifunza Biblia endapo huijui ili uweze kutafsiri maneno kiusahihi, vitabu vitakatifu havitafsiriwi kama unavyotaka. Jifunze maandiko kwanza na hayo ndio yanayowafanya muwe wagumu kuelewa sababu mmekaririshwa na sio kueleweshwa.
@samxx411
Ай бұрын
Kinachosemwa na qurani ni sawa, mfano uliotoa Muhammad alikuwa bado hajafa ndio akaambiwa "UTAKUFA" na hata hata Yesu na yeye imetumika future kwasababu hajafa bado ila kufa ni lazima arudi na atakufa hilo halina ubishi.
@mobutu3884
Ай бұрын
@@samxx411 kwa hiyo hilo andiko katika quran kwa sasa halitakiwi kusomwa utakufa kwa sababu mohamad alishakufa?
@samxx411
Ай бұрын
@@mobutu3884 qurani haibadiliki na andiko linabaki vilevile kuwa lilimuelezea Muhammad katika uhai wake na kwa upande wa yesu bado andiko lipo hivyo na linabaki kuwa hivyo kuwa atakufa no doubt...saivi sote waislamu na wakristo tunamsubiri yeye arudi ikisha ili qurani itimie neno lake.
@wakeshojana
Ай бұрын
Ramadhani amezibwa akili na macho na mungu wa dunia hii.....kazi ya mpinga kristo!! 2 Wakorintho 4:4 "Kwa upande wao,(makafiri) mungu wa dunia hii ametia giza akili za wasioamini, ili wasione mwanga wa Injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ana sura ya Mungu".
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Kama Kuna watu wanapinga christo ni nyinyi juu ata hamfati yenye alifundisha@@wakeshojana
@mobutu3884
Ай бұрын
Nafurahi sana ninapoona umefungua hii studio kwa ajili ya kuleta wakristo wafunzane pale wanapo tofautiana, ila umewatenga waislamu kabisa kwa kuwaaminisha kuwa hawana tofauti ila ukumbuke wanatofautiana saaaana ingawa unawaficha ulitakiwa uwe unawaleta sunni, shia, hamadia n.k ili waelezee tofauti zao pia usiwatenge bwana waislamu 😂 au unadhani hatuwaoni mitandaoni wakijibizana au wakitofautiana? Tunaishi na waislam mtaani ambao pia mnawachanganya katika imani zenu Walete waislamu hapo wanaotofautiana wajielezee hapo ili watu wajue ukweli ni upi Hongera kwa kuendelea kumtukuza kristo kupitia hii studio watu wanamjua kristo kiundani zaidi.
@softymoha5484
Ай бұрын
waislam hawatofautiani...ibada yetu ni moja...maana Quran ni moja dunia kote. wakiristo...mnatofautiana sababu ibada zenu sio moja...kila kanisa iko na utaratibu zake...ili hali mnasoma bibilia moja....kwa nini? sababu msabato....hawezi ingia katoliki,,,mkatoliki...hawezi ingia hizi kanisa za mangoma.....wengine hawaweki msalaba kama Sabato....wala hawasherehekei christmass....na kanisa zingine zinafanya hayo yote. waislam ibada ni moja,,,dunia kote...lugha moja ya kuabudu....hiyo utafouti unasema...ni kwa vitabu za hadithi za mtume....bt Quran no
@mobutu3884
Ай бұрын
@@softymoha5484 Kwa hiyo hizo sio tofauti au? 😂 fanya utafiti wa kutosha utajua tofauti zenu katika dini ya uislamu sio lazima tuanze kuelezea hapa tukajaza page,. Achana na mambo ya sisi tunatofautiana hili ila lile hatutofautiani, 😀 huko ni kujitetea tu tofauti zipo katika dini zote ikishakuwepo madhehebu. Hivi unadhan hatuoni wanatofautiana hata katika quran zao? Au hujui kama kuna wengine wanaamini Yesu alikufa na kufufuka. Fanya research acha ushabiki
@wakeshojana
Ай бұрын
@@softymoha5484 Unaonekana hujielewi.....kuna madhehebu zaidi ya 70 ya kiislamu....na hayo yote hutokana na kutofautiana. Kwa mafano kuna wale wanaosherekea maulid na wengine hapana... watu sio wajinga buanaa
@samxx411
Ай бұрын
@@softymoha5484 Yeah umemjibu vizuri...ameona wapi waislamu wakatafautiana katika qurani ambao ndio muongozo? au wakatafautiana katika mtume wetu au Mungu wetu...wakati wapo wakristo wanaamini yesu ni Mungu, wengine ni mwana wa Mungu, wengine ni Mungu na Mwana wa Mungu, wengine ni nabii, aidha wakristo hata biblia wametofautiana kuna biblia nyingi na zimetofautiana. Hivi tuangalie mfano mmoja, qurani ipo katika asili yake ya kiarabu na inahifadhiwa kifuani yote na mamilioni ya watu.....duniani kuna vitabu vingi sana vilivyoandikwa je kipo kitabu ambacho kimehifadhiwa kifuani mwa mtu chote ...jibu hakuna ni wazi qurani ni maneno ya Mungu ametuwezesha yeye mwenyewe kukihifadhi katika vifua vyetu..
@francisjoseph1074
Ай бұрын
We shehe acha kutafuta watu wasiojua Maandiko njoo tanzania kwa bishop ngonyani akufundishe sio kila siku kutafuta watu wasiokua na akili kama huyo alievaa lubega ni zero brain ila anajifanya mjuaji njoo tanzania ukutane na wanjirist wenye weredi .
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Imechanganyikiwa hao wenu wanaojiita miungu wengine ni mitume ndio unaogelea, ume brainwashed na Clorox Hadi hakuna kitu unajua, njoo wewe tukuone
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Fungua studio na wewe uwaite au waite waislam waje wawa hoji nikama unaumia kuwaona apo
Пікірлер: 157