Wafanyabiashara na mawakala wa mabasi wanaotumia kituo cha mabasi cha Kilole wilaya ya Korogwe mkoani Tanga,wamesema watasusia stendi hiyo na Skurudi ile ya zamani kutokana na baraza la madiwani kupitisha uwepo wa stendi mbili.
Wakizungumza kituoni hapo Mei 29 wamesema biashara katika kituo hicho hakuna na sababu kubwa ni uwepo wa stendi mbili wakati, Rais John Maguli wakati akifungua aliagiza stendi iwe moja.
Негізгі бет WAFANYABIASHARA KOROGWE KUSUSIA STENDI MPYA
Пікірлер: 2