Jamani yote tisa kumi tujue kuna Mungu pia ambaye anaona kila mipango hata ya gizani. Ni mungu mwenye nguvu kubwa anaweza hata kubadili mchana kuwa usiku. Huyo ndiye wa kuogopa na kusililizwa na siyo binadamu. Tusikilize pia roho zetu sababu lazima zinatulalamikia tunapofanya ndivyo sivyo. Maisha kuna leo na kesho jamani. Watoto wetu watakutana mitaani. Kesho ni ya vizazi vyetu lazima vitalipia laana zetu
@ThomasMamasita
4 күн бұрын
Hiyo inajulikana police wanatetea tu ccm lakin mungu yupo kila kitu kinamusho
@deogratiusyudatadei5658
3 күн бұрын
Hawa police wanajisahaulisha kwamba baada yakazi wanarudi makwao na wanalala usingizi Sasa ipo siku police atalala ajikute kaamkia kwa MUNGU
@mkondomkondo4721
4 күн бұрын
Hili mmelichunguza kwa wakati,vip soka na wenzake?
Maajqbu makubwa sana,polisi wanatoa maelezo kinzani kabisa na huyo kijana wa ccm,hii inamanisha nini?uandikishaji tu shida,kura je?
@johnkaliwanje434
Күн бұрын
anayeuliza maswali kwanza ajitambulishe jina lake, na anafanya kaz chombo kip, mm sielew naona ujinga.
@kingkendrickk
4 күн бұрын
Kwenye kuwakata chadema mko vizuri, ila watu wanapotea na kuuwawa kimya
@joojombi2341
4 күн бұрын
Sheria na utaratibu upo why wao wajichukulie uamuzi wao wanavyo taka ni vitu vya kutumia akili tu. Wapuuzi sana hao
@mage5371
4 күн бұрын
Wamezidi jamn kwa Nini hivi? Uhuni kazini Ili iweje Kuna vurugu nyingi maeneo mengi
@DorothyFrancis-j5z
3 күн бұрын
Mbona kijana kasema yeye ni kijana wa chamade cha CCm?
@MonicaMushi-z8s
Күн бұрын
Polisi anabadilisha startmenti ya mtuhumiwa. Hao waliyompiga mchungaji tofali mbona polisi hamulitolei taarifa? Teteeni tuu Mungu atasimama kwenye kweli na nyie waongo mjiandaee kupokea adhabu ya Mungu.
@bonifacegasper9508
3 күн бұрын
Ccm,hawanaga kosa,ila habari yachadema,mkomacho hamlali,kazi kweli,.
@user13375
3 күн бұрын
Kishawageukia 😮😮😮😮 duuuu😅😅😅😅
@ashahamad-mq3iz
3 күн бұрын
Jamani jamani ugopeni Allah na mukumbuke na kifo na Madaraka yana mwisho
@marieconnect6389
Күн бұрын
Kweli kabisa
@migerajacob581
7 сағат бұрын
Sioni uchaguzi wa haki,tz ni kuharibu resources za nchi TU,,
@BossiLaizer
4 күн бұрын
Kama ni kweli angechinjwa TU , Tz mbele vyama nyuma.
@Ajijji12
21 сағат бұрын
Chadema ni kikundi cha wahuni
@godlistengodlisten7552
3 күн бұрын
Kwa Sisi Tuliosoma Quba Tunajua Police Unachokiongea Ni Kuwatetea Ccm Ili Uongezewe Cheo.
@marieconnect6389
Күн бұрын
Hivi hayo maneno wameyarekodi au ameyasema mwenyewe huyo kijana? Kitendawili
@hilarymaulid1903
3 күн бұрын
Duh! Mwenyezi Mungu anawaona
@GideonLenard
3 күн бұрын
Mbona mtuhumiwa kakubali kwamba kafanya makosa ccm
@jumakisailo8496
3 күн бұрын
Propaganda
@ponsianomnyaru9140
3 күн бұрын
Lazimishen tu madarakan wakat hatuwataki nyie ila mungu atajibu
@saltechnologiesco.ltd.2377
4 күн бұрын
Waongezwe wapiga kura kwa kadri inavyowezekana kwa manufaa wanaoona yanawafaa waongezaji ila waiogope adhabu ya wanaodhulumu. kikubwa madaraka yoyote kwa njia isiyo na haki hayafai ni laana na upotofu na mwisho wa siku itatugharimu sana kama Taifa Allah atunusuru
@stephenwakunyala4004
3 күн бұрын
shida ipo kubwa sana kwa Nchi hii, maana Police upande wa chama cha CCM
@CristinLyanga
3 күн бұрын
Kuna sababu gani ya wananchi kutusumbua tukajiandikishe, kama ni hivi,subclinical siku mjitangazie uongozi,mnaoutaka,sio kutuambia tujiandikish anglia wengine wanakusanya marina chocho kwa chocho, hii nchi bwana Mungu aingilie kati.
@DaudJilala-b6b
3 күн бұрын
Nyie kenge toka lini ukawa upande wa chadema haijawahi mufurahishine tu mama yenu
@DaudJilala-b6b
3 күн бұрын
Ndio maana watu hawajitokezi kwenda kujiandikisha kwa ajili ya ujinga kama huo
@ndimimaskati3641
3 күн бұрын
Sasa polisi wanakamata watu ambao wamemkamata mtu akiandikisha watu kinyume na Sheria?
@JuliusPaul-j8c
3 күн бұрын
Huyo mtu amejieleza vizuri alichokuwa anakifanya si kitu cha kiungwana. Haki huinua taifa Ccm itende haki! Tuigeuze hii tufanye ni kijana wa Cdm ametenda hivyo. Je. Ccm wangemfanyaje?
@ndimimaskati3641
3 күн бұрын
Mamlaka ni ya Wananchi , wana HAKI ya kuchaguwa viongozi wanaowataka waongoze serikali.
@RamadhaniKitala-gx6wc
3 күн бұрын
Kumbe police nao ni ccm eerh mbona kijana kakubari mwenyewe clips hapo
@tedlema8105
3 күн бұрын
Maajabu polisi wanatoa maelezo tofauti kabisa na huyo kijana wa chamade anachozungumzia,hii ni kulinda tu upande mmoja
@jitulakaleboymastr6477
4 күн бұрын
Nyie polic tuna wajia acheni izoo chadema uwa wanafanya vitu kiumakini sema pccm mnatutesa san jaman
@efrahimphilipo4337
3 күн бұрын
Walishawahi sema wa2 african leaders only think of wining next election after they took power so hapa ndo sheria hua zinatumika vizuri ukiwaletea mchezomchezo 😂
@IssaMsalama-k6x
3 күн бұрын
Askari wetu nyie mwenyewe anasemaje,kwa hiyo saa tano ndio uwandikishwaji unahanza,acheni mambo yenu kwa vile ni ccm,hii nnchi nyie polisi ndio mnahihalibu
@ponsianomnyaru9140
3 күн бұрын
Ww ni kenge na wale mnaowateka inaruhusiwa au
@charlesmakuri792
3 күн бұрын
Hawa watu wa namna hii ni hatari hakukuwa na sababu ya kushambulia na inawezeka kuuwa watu na kuleta tahaluki kwa nchi
@fredrickjohnson2692
3 күн бұрын
Na kwakuwa ni vijana wa chadema basi watawapeleka mahakamani.
@SundaySteven-bz4yq
3 күн бұрын
Tutawapiga kweli sisi hatuwezi kupoteza muda na kuhujumiwa
@rajabumtuga7372
3 күн бұрын
Amesema amepeleka majina 7 na sehem nyingine 10. Kwann polisi anasema tofaut
@deogratiusyudatadei5658
3 күн бұрын
Uzuri video ipo waacha wahangaike tuu kita walamba
@Castory-k4j
3 күн бұрын
Tumuogopeni mungu kugeuza maneno
@Pelegrinoemanuel
2 күн бұрын
Rpc hili jambo dogo hukupaswa kujitokeza
@AlouiseNgenDanDumwe
4 күн бұрын
Wezi wakubwa ccm tegemeeni nguvu zauma
@StanleyMhagama-t3w
3 күн бұрын
Tutajua kila kitu Jeshi la polis limegeuka kuwa ccm
@MahmoudJaffar-mt1qr
3 күн бұрын
Ila watu wabaya sana hawa jamaa siyo wa chadema wametengenezwa na kupandikizwa hivi ili kukichafua chama cha chadema
@nelsonnyamle
3 күн бұрын
Mtuhumiwa anakubali kosa alilofanya kwa kuvunja sheria za uandikishaji.Lakini afande hajataka kutumia ushahidi huo ila kasema waliomshika ndiyo wanashikiliwa.LKama wamedhikwa kwa kosa lingine sijui
@exaverysimon1064
3 күн бұрын
CHAMA CHA KIPUUZ SANA CHADEMA
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
3 күн бұрын
Wasaidizi na walinzi WA NCHi police officer Wana SHERIA ya kukamata wahalifu na CHADEMA NI wahalifu
@RobertMwalutondwa
3 күн бұрын
Mmekua waongo sana jamani mtuhumiwa kakili nyie mnakanusha jamani zambi nyingine mnazitaka tuu wananchi tutawaamini vip kwa hali hii d uu
@najimsuleiman3690
3 күн бұрын
Itakuwaje hata ewe Police unakiri ni Kada wa CCM kisha ndo Amewekwa na TUME ATENDE HAKH kwa vyama Vingine??????? KESI YAKISHAMBA HII HATA BILA WAKILI UNASHINDA😀😀😀
@DaudJilala-b6b
3 күн бұрын
FUTENI TU VYAMA VINGI ILI MBAKI NYIE WENYEWE CCM NA POLICE WENU POLICE WENYEWE MAISHA MAGUMU2
@PatrceKimario-ws6nl
3 күн бұрын
Kamanda wa ajabu sana hanasifa za kuwa kamanda kijana kasema ukweli ,kamanda anasema uongo?sijui ww unamwongoza nani?
@sulaimanmallecha6134
3 күн бұрын
Wewe liana ikutafune maisha yako yote
@JohnMtundu-f4z
4 күн бұрын
Price amewaona watanzanzania hawatambua ukweri na uongo was kutengenezwa.na price was ccm
@RobertMwalutondwa
3 күн бұрын
Jamani mtu amekili kua alipeleka majina ivi tumwamini nani polisi au mtuhumiwa? Jamani polisi muwe wawazi polisi
@HamisLeo
3 күн бұрын
Wananchi wap walihisi ametekwa na kupelekwa mstuni? Watekaji wapge smu kwa mtendaji? Watekaji warecord? Pumbafu jeshi la polis
@WhiteMgeni
4 күн бұрын
Kuwasaka chadema mnajitahidi jamani nyie maaskali MUNGU anawaona
@shanjemanumba6325
3 күн бұрын
Mmeshindwa kukamata watu wanaoandikisha watoto chini ya umri wa miaka 18 mnakamata watu wanaobaini ujinga wa ccm,jeshi letu mmekosa weledi
@AmissiAssan
3 күн бұрын
Unakaa kwenye wapi 😂😂😂
@MahmoudJaffar-mt1qr
3 күн бұрын
Kwamha kusiwe na nguvu ya kuwatafuta au kufuatilia waliopotea na ila huyu kijana ametengenezwa ni wakwao ni kutoka kikundi cha scout
@EliaHiluka
3 күн бұрын
Mbona mnabadilisha maelezo polisi acheni kutetea watu waovu anaethibitisha acheni ubaguzi wa kiitikadi
@humoudalexy2866
4 күн бұрын
wenge mkata kinyanya mshenzi
@Gaynor1234
3 күн бұрын
Watakaosababisha CCM kuanguka ni JESHI LA POLISI. Mh. Rais ajue hilo. Kwa jinsi Polisi wanavyoendelea kuwatesa wananchi, ndivyo jinsi wanavyoendelea kuleta chuki kwa wapiga kura.
@marieconnect6389
Күн бұрын
Kweli kabisa
@CristinLyanga
3 күн бұрын
Kwa nini mnaweka mawakala wa chama kuandikisha watu ila watanzania mnazidi kutunyima haki.
@challemartin
3 күн бұрын
Vijana wengi hawaendi kujiandikisha wako bize na kaz tena kura hata haziibwi hamjiamin nyie
@charlessentiyongo8484
4 күн бұрын
Mbona hamueleweki polic? Watu wanatekwa hamuatafuti eti mnafanya uchunguzi, Yaani Mungu atawaumbua
@MwanneSudi
Күн бұрын
Hakuna ufafanuz hapa
@LameckMbele
3 күн бұрын
kz ipo nchi hii sijui tatizo nn labda Elimu ya nchi yetu sio nzr sbb vitus vinavyo fanyika aibu
@JeradiMaulidi
3 күн бұрын
Polis pigenikazi mbakawatazania waamue mimipolisi nawapendasana
Police nyie niwez tena ni majambaz kwann WA chadema tuu mbona wachadema wengi wanashambuliwa wahalifu hamuwachukuli hatua
@FellaMbogela
3 күн бұрын
KWANINI WATU WANAISHI KWA TAHARUKI? NA KWANINI WANAUMIZANA? BAADA YA UCHAGUZI KUNA MAISHA MENGINE
@MiriamAziz-z5t
3 күн бұрын
HUYO KAMANDA WA POLISI ANATUMIKA NA CCM NA AMEKUBALI KUTUMIKA....MAELEZO YAKE YANATAKA KUTUAMINISHA ETI WALE WANA CHADEMA NI 'WATEKAJI'.
@EliaHiluka
3 күн бұрын
Sio kwa tuhuma kwamba ndio ukweli si kijana anajibu hivyo
@ThomasAlute
3 күн бұрын
Kamanda wa polisi msenge mkubwa usiokuwa na akili wewe tena mpumbavu sana chadema ndio mnawaona wahalifu lakini nyie mnaoua watu na kuteka bado mpo mnakula kodi zetu
@ngotosilasi2099
4 күн бұрын
Bangi nimbaya sana huyo jamaa alikili mwenyewe nyie polis nyie tutawagongesha tukiwakuta na majina hewa
@HenriquesRichadeSelemane
4 күн бұрын
Wapigwe sanatu chadema
@eliaschipanda2006
3 күн бұрын
Amekaa kichama
@RahimMallya-fh9zc
3 күн бұрын
Ivyo wewe polisi unaona wananchi awajielewi kbs, ndio maana tunasema atuna imani na jeshi la polisi wote ccm
@CopperBelt
4 күн бұрын
Kilicho zungumzwa katika mikutano ya siri ya chadema ni vijana wajiandikishe hata mara hamsini kila sehem ikiezekana hata kusafiri kwenda mikoa mingine 😂😂😂😂😂 chadema bana
@muujizakasiwa4534
4 күн бұрын
Mbona yeye kasema kijana wa ccm?
@johnjulius3092
4 күн бұрын
Kutaja kabila La mtu Lina maan gani au ukabila unarudi
@sebastianmwantuge5597
3 күн бұрын
Nchi hii tuna watu wapuuzi sana
@ahmadifataha6677
3 күн бұрын
Yani maelezo yako afande ni uongo tuu wakuongeza
@michaelmwambije3603
4 күн бұрын
Vip wangekuwa wa ccm mungewakamataa au kwakua ni WA chadema
@EliaHiluka
3 күн бұрын
Polisi njombe msijiingize kwenye siasa
@EliaHiluka
3 күн бұрын
Mbona hatuoni mkawakamata wafuasi wa ccm? Polisi mtasababisha nchi hii iingie kwenye machafuko
@batashqiraa9936
3 күн бұрын
Mara nyingi sana na coment zangu nyingi kuwa polisi no tawi la ccm, polisi wanaisaidia ccm kuiba na kuvuruga uchaguzi
@johngerald4677
4 күн бұрын
Ivi hawa polisi hawaonagi aibu
@stevenmrema237
3 күн бұрын
Mbona Hawa askari ni watu wa ajabu Sana? Ukimsikiliza mtuhumiwa anakiri ni wa ccn na alikuwa akiongeza majina kwenye daftari Ila huyu kamanda anatoa maoni yake binafsi bila ya kujua mtuhumiwa kasema nini? Au askari wetu hawana cm kubwa? Kwa sababu ni aibu kamanda anachosema namhusika kamili anachokisema
@JumaJuma-i2g
4 күн бұрын
mbona sura haionekanwi?
@musa-v3f
3 күн бұрын
katibu wa chadema jimbo la Tabata jacob roman amejeruiwa na wakala wa CCM hatukuwaona polisi wakitoa taarifa..
@kageclemence7096
3 күн бұрын
Sasa kuna umuhimu gan wa kusumbua wakati mnajichagua wenyewe na mnanjia zenu za kushinda. Ambazo sio halali. Hivo basa andika watu ata ambao awapo kama uyo ukoloni mambo leo waachiwe awana kosa hao
@MmohamediSaidi
4 күн бұрын
Wakati mwenyewe kakubali
@IsraelUrasa
3 күн бұрын
Hatari sana
@billgussy6099
4 күн бұрын
Polisi huyo mwizi hawamkamati wana kamata wanao mkamata mwizi kwakuwa ni wanachadema hovyo kabisa
@DiwaniMwafongo
3 күн бұрын
Piga wengine wataogopa!!
@ObadiaChengula
3 күн бұрын
Mbona mwenyewe alikubali?
@SylvesterKameo
3 күн бұрын
0:05 Polisi msiwe chanzo cha uchochezi, huyu mnamwitaje afisa mwandikishaji wakati yeye anakiri ni kada wa CCM? Mbona sheria ziko wazi!
@hildandumbalo5827
4 күн бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu vijana wa chadema kina soka wako wapi ? Sad 😔 CCM ndo Binadamu chadema wanyama polisi ni CCM du hatari sana Mungu simama na Tanganyika
Пікірлер: 200