Safi Sana nimependa muhindi wa Simba ulivyoeleza Kwa hisia kali😢
@ElizabethLukosya-lv2vf
3 ай бұрын
True
@godfrey3926
3 ай бұрын
Shabiki wa kweli lazima akubali kushinda na kufungwa, tunalazimisha sana haya mambo..Ndio, viongozi kuna mahali walikosea hii misimu 2 au 3 kwenye usajili..Mimi nafikiri kuna viongozi waliokula pesa za usajili kwasababu wachezaji walioletwa tangia Barbara Gonzalez ( Our former COO) aondoke sio usajili mzuri.Mimi nafikiri kuna watu walikuwa na nia ya kumuondoa Barbara ili wale maana alikuwa anawazibia..Tatizo ni watu labda 2 au 3, lakini ni lazima tuendelee kuipenda timu yetu as it's the only team tuliyo nayo..Viongozi wawajibike, hata kama kumrudisha mtu kama Barbara maana wezi ni wengi..💯💯
@EvodiusMhanuz-qz3hf
3 ай бұрын
Kweli
@abelyjoseph3440
3 ай бұрын
Amini kiongozi we2
@AwadiHouseni
3 ай бұрын
wajiuziru tu wapishe wengine , Kaz imewashinda kama wanatuficha baadhi ya mambo hao co viongoz wazur na wawajibikaji
@zakayomosha13
3 ай бұрын
SIMBA TUMPE MAKONDA AWE MWENYEKITI WETU ATAONDOA UFISADI WA WAPIGAJI
@rashidissa5887
3 ай бұрын
Wacheni kuleta uCCM ndani ya klabu yetu.
@gladstonluvanda2427
3 ай бұрын
@@rashidissa5887Sio uccm bro ila kaka ajakosema apo makonda n mtu wq makavu live na anapendi longolongo na upigaji
@bahatimshali2731
3 ай бұрын
Kwani ni shabiki wa Simba
@MaulidIddi
3 ай бұрын
😊😊😊😊😅 😅😅you can 😮😮😊b😊😊😊the 😊 😊😊😊😊😊😊😊 😊😊😊😊your b😊😊😊😊😊😊b😅😊😊😊@@rashidissa5887
@FarajiSengo-nl9qu
3 ай бұрын
Hahahhahajahha😮😮😮😮😮
@frankmwinuka6298
3 ай бұрын
Uongozi wa hovyoooo sana huu haijawahi tokea tangu simba ianzishwe
@zakayomosha13
3 ай бұрын
Viongozi wa Simba acheni ubabaishaji achieni ngazi mara moja
@mbulichriss5454
3 ай бұрын
Good opinion
@ernestsinje9700
3 ай бұрын
Simba shida ni safi ya uongozi
@hssanrubota3891
3 ай бұрын
Tunaka Amedai Ali awe ndoo mwenyekiti krab ya simba sababu yeye ndo anajitoa mhanga kutembea nasimba s hawa wengine wapuuzi
@abelyjoseph3440
3 ай бұрын
Mashabiki waskilizwe maan sisi ndo2naumiy mpk viwanjani hakufai
@abdallahshariff6555
3 ай бұрын
Dakika za mwisho Ahmed Ali anakuja kuwapamba walio sajiliwa,atakufa mtu nane,nani Jobe?ujanja ujanja mwingi,shida ipo Simba
@SubiragaKabango
3 ай бұрын
Hongera sana Mhindi wangu hata uitwe mwaraabu SAWA tu! Binadamu wote ni SAWA! Kwanza Ninyi wahindi na waraabu ndo wahisani wetu wakubwa! Lazima tuvalie njuga SsC yetu! Hawa Viongozi wetu tusiwalaumu sana kuna jambo limepita hapo! Hata kwenye CCM mako shida tupu!
@SamsonIsack
3 ай бұрын
Mhindi unaongea kweli komaaa kipindi hiki kizuri
@joharially2950
3 ай бұрын
Huyu jamaa anaongea point sana
@chng1990
3 ай бұрын
Mimi yanga ila umeongea kwa uchungu hadi nimeumia Mzee wangu
@huseinbusaba5064
3 ай бұрын
Kwani umeulizwa wewe ni nan?
@NyasanaTv-ol4ix
3 ай бұрын
Mzee unaongee kweli viongozi wajiuzulu wastufanye tukawatukana matusi mabaya nguon simba mashabiki tumekosa fulaha kwa ajili ya watu wachache walio tumwa na juma mwiko kuihalibu simba yetu kama hawataki kutoka kwa hiali yao wasubili kutoka kwa makofi
@FarajiSengo-nl9qu
3 ай бұрын
Simba nguvu moja
@bukharyally
3 ай бұрын
Safi sana muhindi
@user-mp6zd2ui7r
3 ай бұрын
Hongera jilani 😁😁😁
@ZarunaSinda
3 ай бұрын
Umeongea vzr sana upo sahihi kabisa huna baya Mhindi pasuaaa ❤🎉🎉
@futtanzafootballreview153
3 ай бұрын
huyo dada anaeohoji hizo miguno yake ya mmmh anaboa kishenzi
Wewe mhindi uko vizuri kwanini hamna anayezungumzia matatizo ya simba? Wote Mo na vibaraka wake ni wahuni tu.
@ManaseNicholaus-y9c
3 ай бұрын
Kama hakuna kupitiswe michango tutachanga ili tusiumie
@mansooralaisri5200
3 ай бұрын
Makonda aondowe mafisadi simba
@MachirySalim
3 ай бұрын
Kazi nzr sana mpambanaji JB 64
@VenanceNtakabile
3 ай бұрын
Kweli mangungu na wenzake waachie ngazi kwa heshima yao wasingojea kufehedheheshwa
@hassanntankwa4156
3 ай бұрын
Ndo maanaaaaa jone na Fred walitangazwaa usikuuu
@GodfreyMwamaso
3 ай бұрын
Tatizo kubwa la simba ni Mo fullstop mnahangaika bure si viongozi uwekezaji wake ni wa ubabaishaji janjajanja
@SadockJoeph
3 ай бұрын
Kabisa kabsa Maisha magumusana pakatumewachagia
@roberttagaya9098
3 ай бұрын
Marehemu Hanspope alipokuwa akifanya usajili hakuwa akifanya wa ten pasent kama wanavyo fanya hawa wengine. Yeye alikuwa ana msajili mchezaji na kumpa hela yake yote ya usajili. Na ndio mana alikuwa na jeuri ya kumfokea mchezaji yeyote yule anaeleta ujinga ktk timu. Sio kama hawa wengine wao wamekaa kiupigaji tu. Na ndio mana hawa nguvu ya kuwafokea wachezaji wanaoi fanya vibaya. Kwani wanaogopa wakiwa fokea basi wachezaji watatoa siri ya kile wanacho kifanya kwenye usajili.
@NasibuAlban
3 ай бұрын
Usiseme wahindi wa simba hayo ni maneno ya kibaguzi
@cosmasluwanja7394
3 ай бұрын
Ivi hao viongozi wenu au wametolewa masikio mbona hawawasikilizi
@maikomatayo2794
3 ай бұрын
Mhindi nakukubali sana huna baya kaka 🎉🎉🎉
@hassanmussa6129
3 ай бұрын
Muhindi mo na bodi yake waswahili sana wana ujanja wa kizamani
@vumiliamgendi148
3 ай бұрын
Ndugu yangu mama mwenyewe yanga unafikili atafanya nini
@ElizabethLukosya-lv2vf
3 ай бұрын
Pamoja sana mhindi wetu upo sahihi,kazi kwao viongozi
Mo mwenyewe muhuni to kwanin kama yeye hana matatizo asitokee hadharani na kusema anakwamishwa na nani katika team yetu anakaa kimya ya nini kama kweli yeye ni salama
Mwenyekiti hawezi kuzungumza lolote, maaana kalewa na kitita cha bahati na sibu, M beti, ndio uwekezaji sio kwenye mpira, mwenye macho haambiwi tazama!! Acha swaga, timu imehauzwa, sio ufadhili huo bali ni ukoloni mambo leo, kama hamjui,
@Sherrymwinyi
3 ай бұрын
wajiuzulu tu tumewachoka kiukweli waende tu wawapishe simba damu
@DeodatusNtenegele
3 ай бұрын
Tatizo la timu ya simba, ni biashara ya kubeti si ugonjwa mwingine, furaha yenu ni fedha ya kubeti, na wanyabiashara wa kubetisha wafukuzwe ndani ya simba, lakini kama bado wamo humo, itabaki story, transformission ni swaga tu, amewekeza kwenye bahati na sibu, hela anazotoa ni rushwa, wachezaji wetu wanauwezo mkubwa shida wanatii sauti ya mdhamini, ili tu wasimchanie mkeka, shida sio usajili jamani, ninalia na kubetisha ndanni ya timu, la sivyo, ugomvi hautaisha, hii ni kutuzuga mashabiki!!!
@GabrielAmma-jp1oo
3 ай бұрын
Umeongea point sana muhindi umesema sana ukweli tusemeeni huko tatzo la simba lipo kwa uongozi wanawafanya makocha mbuzi wa kafara
@silvanuskisinza4303
3 ай бұрын
Huyo Moooo alishaikimbia timu ndo maana hazungumzii simba tena. Hao mangungu na huyo again ndo wameachiwa timu. Wanyang'anyeni timu irudi kwa wanachama, vinginevyo timu hapo haina mwenyewe. Wote wamekaa kimya. Hapo hamna viongozi.
@Ruganuza_Tv1993
3 ай бұрын
simba ili isonge viongozi wote hasa mangungu na try again wajiuzulu kwenye nafasi zao au waondolewe kabisa. hao ndo wanaihujumu simba,,,, Yaan natamani hata wapate ajali wafe tu, maana maumivu wanazidi kusababishia ni makubwa mno hadi sasa nimekutwa na tatzo la Depression + anxiety. lengo lao ni ktuua tu plz Mhe. majaliwa k. majaliwa tusaidie kuingilia kati wewew kama mwana simba mwenzetu
@SadockJoeph
3 ай бұрын
Kabsa
@mustafakara1361
3 ай бұрын
Sasa kwanza unasema hutaki kuongea habari za yanga halafu unaiongelea kwamba tujifunze kwa yanga
@hamisimsosi6237
3 ай бұрын
Huyu muhindi anaongea vitu vya maana Sana na hiyo trans. M ni kweli mama tunakuomba utusaidie. Kabla hatujaingia bara barani kwa Simba kushika nafasi ya 3itafanya Simba inyooke😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@NassorSergio
3 ай бұрын
Kweli psg wanasajili kila mtu ila bado wabahangaika uongozi mbovu
@wilbard-vv9nx
3 ай бұрын
❤❤❤❤
@reveliusmuchruza7952
3 ай бұрын
Hichi kikombe kila mtu akinywee Yanga kakipata kaumia na Simba aone wakati tuliopitia inaumaaa mzee
@user-yq7dm4gw6j
3 ай бұрын
Waondokee watuachie team yetu tumechokaa sisi
@RuandaDimoso
3 ай бұрын
Kilabu inakatiba na muongozo wake mama afanye nini? Kikubwa vio gozi waachie uongozi
@PhilipoFabian
3 ай бұрын
Ngoja niwambie ndugu zangu mashabiki wenzangu viongozi wote kuanzia mo na wengne wanashindwa kujitokeza kwa sababu kila mmoja anashinwa kusema tatzo lamwingne wote majipu. Tuchangen jaman.
@VictorMwakipesile-ko3ce
3 ай бұрын
Nafurahi sana kuwasikiliza makolo kipindi hiki
@ElizabethLukosya-lv2vf
3 ай бұрын
Miaka 4 ilopita mfululizo uliumia kama leo sisi,so uwe huru tu kufulahi!ila usisahau kuimba kupokezana 🧏
@charlesmashindike4874
3 ай бұрын
Huyu mhindi anaongea madini tupu
@edwardmizambwa237
3 ай бұрын
Mangungu pale Simba Sc ni TOI au SANAMU tu. Kashindwa kabisa ku link kati ya anaowawakilisha ambao ni wanachama na mwenendo wote wa Timu yao. Anawakilisha 51% ya hisa za wanasimba lakini kwenye kikao cha Board yeye anakua kama mhudumu wa kikao. Ajiuzuru!!
Huyoo dada mtangazaji ana guna kisenge anaguna kama anatobwa nyokoo
@emanuelkibiritiofficial
3 ай бұрын
Hivi kweli watu zaidi ya milioni 3 wanashindwa kuwatoa watu 3? Kweli hii ndio tz,yaan pamoja na viongozi wakubwa mashabiki wa simba wanashindwa kuwatoa hao kina mangungu kweli jmn? Mbona kama kuna utani unafanyika hapo maan hata waziri mkuu ni simba damu na anayasikia ila wote kimya?
@cyprianboniphace-oz5lw
3 ай бұрын
Neno lililotumika hapo wahindi wa Simba sio zuri hao ni watanzania kama watanzania wengine.
@curtainpalace7369
3 ай бұрын
Katumwa huyu kuhusu transformation mabumbumbu
@user-pb3ub3gl4q
3 ай бұрын
Team la wahindi hilo
@jamesfransis8053
3 ай бұрын
Mo hatoi hela ni mpigaji kama wapigaji wengine kama kweli anatoa hela kwanini hahoji usajili unaofanywa kwa hii misimu 3 na kwanini analinda sana hao vibaraka wake wanaokataliwa na mashabiki walio wengi huyo mo asituletee burabra za kishamba sisi sio watoto wa kudanganywa ovyo ovyo shida ya kwanza ipo kwa mo kama vipi yeye pia asepe matajili wapo wengi sana wanaoipenda Simba yetu
@HusseniMmoto
3 ай бұрын
Ww mangungu mwizi foka
@lewismpangala927
3 ай бұрын
Hakuna hiyo huzuni all day all the way
@dahelahmad6331
3 ай бұрын
Kwa Mpira wa miguu itachukua muda Kwa Simba kuwa Ktk mstari. Mvumilie. Malizeni dose Kwanza
@patrickfupe
3 ай бұрын
😂😂🤣🤣ctaki kusikiza hbr za utopolo😅😅
@MUSSAALI-sy9xk
3 ай бұрын
Kwani hivi kungangania madaraka inakuwaje, Yani hupendwi na huleti maendeleo yoyote ya timu, achiani na wenzenu waongoze hapo tutawajuwa kuwa mnapenda timu ya simba na maendeleo yake
@malugukushaha6764
3 ай бұрын
Panga lianze na viongozi maana sijawahi ona viongozi wa hovyo kama hawa wa simba.
@jonamnyone8014
3 ай бұрын
Tunataka timu isajili wanachama. Mimi nataka niwe mwanachama nataka nichangie furaha yangu. Simba ni furaha kwangu tunaposhinda. Nikiwa mwanachama nitachangia timu yangu.
@deniccgabriel6153
3 ай бұрын
Minaona viongozi wajuu wang'atukeee😮
@shababirashidi3571
3 ай бұрын
kwani MO ni muwekezaji au mmiliki wa team?
@RashidKaoneka-bj8mm
3 ай бұрын
Acha hasila mhindi
@mrsultanzimbwe6746
3 ай бұрын
Yani hii ndp ligi kuu twamaliza nayo hakuna lengine
@mansooralaisri5200
3 ай бұрын
Jamani kufiwa sikia kwa mwanzako tuu.
@macheramuhabe5503
3 ай бұрын
Wanachama wa simba na mashabiki wote tuungane hao jamaa watoke uongozini hao ni wapiga madili wanatuumiza tu
@rashidissa5887
3 ай бұрын
Mnavyowataja watu wa siasa kuja kutatua mambo yetu mnanikera. Kama hakuna namba 6 , Auther Mwambeta yuko wapi? Aje aiokoe Simba," gold is beautiful"
@mrsultanzimbwe6746
3 ай бұрын
Huyu Ahmed n chawa tena pumbavu aondoke lazi yke n kuzarau openent zetu na kutuaminisha kuficha ujinga wa waume zake kina Magungu ..kuimba imba ujinga tu na kispka
@AlbertNshunju
3 ай бұрын
Makolooooo
@MohammedyMussa-im7xk
3 ай бұрын
Hakuna timu inayoendeshwa kitaperi Tanzania kama simba
@user-wk2bg8zf3l
3 ай бұрын
MUMNGU IBARIKI SIMBA 😢😢😢😢😢😢
@danielelikana2615
3 ай бұрын
Wa kulaumiwa ni wanachama wa Simba waliompigia kura Mangungu...walidanganywa kwa kuletewa Manzoki kwenye uchaguzi nao wakaingia kichwakichwa...puuz kabisa!!
@loishiyesamwel1374
3 ай бұрын
Waondoke hao Viongozi pumba, tumuulize hata Ahmed Ally msemaji wetu vipi mbona anawasifiaga wachezaji hao wanaoletwa kwa mbwembwe nyiiingi kumbe wamechoka.
@Jumanne-ni5sl
3 ай бұрын
Ina umizaa sana yahn dah😢
@patrickfupe
3 ай бұрын
🤣🤣😂😂 jobe kumtaja mpka inasikitisha
@jamesfransis8053
3 ай бұрын
Ukda wa kwanza unaanzia kwa mo huyo ndie anaihujumu club yetu ya Simba
@BTAZANZIBAR
3 ай бұрын
Tusiache kuitetea timu yetu lazima tuipambanie kila kitu kieleweke
@jumaali9243
3 ай бұрын
Sasa viongozi mjitathimini unasikia washabiki hao wanaumia sababu nyinyi
@hssanrubota3891
3 ай бұрын
Mangunga kimya Moo kimya Trai gani kimya hivi ni nn kinaendelea kama Mo nae ameshindwa apishe wawekezaji wengine kama anatoa hela aitishe mkutano wa wana simba aongee mbele ya mkutano ili tuone panapo vuja
@JuhudiJotham
3 ай бұрын
Tatueni matatizo hayo ,serikali haihusiki na migogoro ya club,
@ramamohamed492
3 ай бұрын
Et wazeee ni bei rahis🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@prosperidinya5864
3 ай бұрын
Hata wasipokuja uwanjani, sisi tunataka usajiri Bora na si bola usajiri.
@chemstry409
3 ай бұрын
MPENI TIMU MAKONDA....
@silvanuskisinza4303
3 ай бұрын
Hao ni wahuni sio watu wa mpira
@AyubuSaid-d5z
3 ай бұрын
Mangungu try acheni shimbayetu hamjui mpira hiyo siyo mari yako
Пікірлер: 144