Asante shekh Mohamed said kwa kutueleza historia yetu tumejielewa sasa
@lodilofa9485
9 жыл бұрын
Mzee Mohamed Said Nakukubali sana kwa Hekma zako na Darsa zako. MUNGU Akuongeze Nguvu na Afya. Amiin
@HabibaHabiba-mi1ez
7 жыл бұрын
Nashukur kwa histori nzuri yenye mafunzo Allah akuzidisie kila la kheri Allah akulipe janaat firidaus Amiin
@muharamkigogo2955
5 жыл бұрын
Inshaallah allah akupe kila la kheri na hii ndio radio ya kislam inayo takiwa kwenye mtandao kwa diaba yetu wachangiaji
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Kweli Allah anawalaani Bakwata tunawadharau na tumewajua Alhamdulilah.
@chriskatoto2322
3 жыл бұрын
Sheikh Muhamed Said: shukran kwa kutuelemisha. Tumedanganywa mengi mda mrefu. Nyerere katuminya sana
@kaishazabengesi2971
5 жыл бұрын
I love this great man for what he is and what he stands for. May HE WHO HE IS enlighten him to see what he as mortal cannot see.
@yusufige7030
2 жыл бұрын
Maashaala Mohamed said tuliabiwa na sheikh wetu Mohammed Ahmed mcomoro maneno haya nilikuwa mdogo lakini nakumbuka Allah akufariji sheikh
@Noahhersi
7 жыл бұрын
bakwata maana yake ni baraza la kuumaliza waislam tanzania
@talhiyahafidhi9484
8 жыл бұрын
inshaallah Allah akupe hekma
@saidakarim1043
7 жыл бұрын
Allah akulinde sheikh wetu
@amaniabasi1818
8 жыл бұрын
shekh nakutakia maisha malefu na afya njema ktk darsa zako
@amirithabit5802
9 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@shariffburuhani2690
9 жыл бұрын
Allah akulipe kwa historia nzuri ba sahihi, je redio zetu kama sauti ya Quruani mbona hamwiti?
@mwanamisipofu3212
7 жыл бұрын
Mwenyezimungu akulinde mahadui inshaAllah
@allykindendenga4717
7 жыл бұрын
kweli sisi tumepotea sana allah atufanyie wepesi
@msakuzikondo536
2 жыл бұрын
Uhuru wa Watanganyika umepiganiwa na makabila pamoja na dini zote.Hakuna njema dhidi ya Waislamu.
@chriskatoto2322
3 жыл бұрын
Assalaam alaykoum wa rahmatullahi wa barakatuhu. Idadi ya Waislam ni ipi Tanzania ? Ahsante
@kassimtanzania5901
9 жыл бұрын
Mashallah
@abdullkilawi5504
8 жыл бұрын
Shukrani kwa ujumbe
@kayunifuraha6246
7 жыл бұрын
Mume wangu Bahatibukuku
@renaldakamugishazeramulake940
7 жыл бұрын
nguruwe baba yako na mams yako walio kuzaa misijakuza nawala sinamkuki mbwa mkubwaAbdull Kilawi
@ahmedadan4720
5 жыл бұрын
Mm huwa namkubali sana shekhe mohamed said hajuwa mambo mengie sana najuwa waislam wa bakwata hawa mkubalie Mohamed said lkn hiko siku mmoja watakuja kumjuwa
tuuungane tuswali tumshtakie allah kuhusu bakwata naserikali inavyotufanya tuombe nadua yaumoja
@yassinhamza1969
5 ай бұрын
Bakwata sijawahi waona kwenye shida za waislamu bali kwenye makongamano ya ccm
@issasuleiman9198
7 жыл бұрын
Nyinyi wakiristo hamuipendi haki
@dullybang7246
3 жыл бұрын
Huyu sheikh si walimtupia Bomu nyumbani kwake da mungu amuweke..ila bakwata hamna kitu..
@mwanahistoriamohamedsaid4388
10 жыл бұрын
@Noahhersi
7 жыл бұрын
Mwanahistoria MohamedSaid manshalah
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Kila ninapo sikia habari za Bakwata huwa naumia. Najikuta nabeba dhambi kwa kumchukia Nyerere na wengine wote hususani viongozi wa kiislam wa Bakwata.
@saidmaulid7668
4 жыл бұрын
Tatizo waislamu hatuna umoja tunapenda dunia kuliko ahera laiti tungekuwa wamoja makafiri wangetulia tu
@Emedroadtocanada
7 жыл бұрын
Ipo siku yote haya yatakwisha tuzidisheni duaa na kufanya ibada kwa wingi
@alisalimo2861
Жыл бұрын
Huyo lanatullwal aliyekua akijafanya hatokufa yuko wapi mungu mkubwa zulma aliotufanyia molla atakulipa na kichapo akipata huko
@goodluckmhagama4236
3 жыл бұрын
Tunaona viongoz was dini wanavyo shindana kujibizana kwenyemitandao
@salumshomary7360
4 жыл бұрын
Tumewasafishia njia wenzetu wanateleza tu
@AbdulRahman-wx6iv
5 жыл бұрын
Umeingea ukweli sheikh naenda viongozi wote wa kikatoliki watembelee Rome wajionee wenyewe wanavoabudu masanamu ya yesu na Maria.watembee ulaya wajionee wenyewe ..
@AbdulRahman-wx6iv
5 жыл бұрын
Kuhusu bakwata Kuna kitu kiko ulimwengu mzima ,SS hv tunaongozwa na ulimwengu wa Freemason na Illuminati.....
@hamidubakary
Жыл бұрын
k h bakwata inalindwa kuhakikisha waislam wasifulukute to 12255
@issasuleiman9198
7 жыл бұрын
Faustin Luambano ww unajua nini nyinyi kazi yenu nikupiga makelele tu makanisani nakudanganywa na wachungaji Huyo yesu wenyewe hamumjui yeye nimuisilamu safi nailikua hatoki misikitini huko Yerusalem hakuna hata aya moja inayo thubutu kusema kua yesu aliingia kanisani
@hashimchaoga9566
Жыл бұрын
Waislam na Bakwata yetu tunashindwa kuwatumia wafadhili matajiri Wa mafuta waislam wenzetu kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu mashule bora yanayopasisha na vitega uchumi kama vile hatuna wasomi
@yassinhamza1969
5 ай бұрын
Huyo tajir akitoa hizo pesa atafilisiwa kwa kodi
@xinyingmiao4996
3 жыл бұрын
Mi ninge kua rais we mzee ninge kusweka ndani mana unaleta udini hufai ww
@yassinhamza1969
5 ай бұрын
Ukweli umekuuma
@AbubakariMussa
8 күн бұрын
Mpumbavu HUYO. Dhulma zote hizo zinazoelezwa Bado unaona Giza tu. SUBUHANA LLAH .
@ambrosiamlinga8402
4 жыл бұрын
Nimemsikiliza kwa makini huyu shehe yeye analia kwa kusema watoto wa kiislam wanaonewa kwenye elimu na anasisitiza sana mambo ya shule hivi kwenye uislam elimu ni haramu? Mnaita elimu dunia, si watoto wa kiislam wanatakiwa wasome Quran tuu Hembu nielimisheni kwa hilo
@faustinluambano9942
7 жыл бұрын
Hii siyo sahihi anamsemea nani huyu mchochezi mbona hakamatwi? Polisi mko wapi? Hivi mtu hawezi kuwa muislamu Hadi Uwe punguani unayehisi ukristo ndiyo adui. Unakuwa muislamu ili ushindane na wakristo au umuabudu mola wako?.
@suleimanizahor4284
6 жыл бұрын
mh
@salminwamu2297
3 жыл бұрын
Mbona umepanic ,tulia dawa ikuingie
@Zainabnoor0087-ze
Жыл бұрын
Hujuma za wakatoliki,dhidi ya waislam Tanzania kupitia Nyerere, na upotoshaji wa historia
@akwiliniswai5203
4 жыл бұрын
Yaliyopita sindwele shehe tugange yajayo kamwe mfumo mzima wa dunia ulivyo hauwezi kumridhisha kila mtu hata tungekuwa watoto wa familia moja tusingeweza kulia sahan moja kila siku mfano mzuri ni watoto wa adam wao kwa wao tu walishindwa kuelewana naikumbukwe kwamba kuran imesema watu wakaribu sana na uislam ni manasara je mkigombana nao mtawageukia mayahudi na washirikina ? meza ya duara yatosha
@jacquelinemabula2519
7 жыл бұрын
kuna mashekhe wapumbavu sijawahi ona duniani
@suleimanizahor4284
6 жыл бұрын
mbwa
@jumaomar8065
5 жыл бұрын
Mpumbavu niwewe na ndugu zako na vioongozi wako wa diniyako
@phaselinkafricacompany3402
5 жыл бұрын
Masha allah
@barbaigsinyau9385
4 жыл бұрын
Njaa na tamaa zinawaponza mashekhee
@shamiryporoto8732
4 жыл бұрын
mpumbavu mwenyewe unaetembea nanajisi kila siku kafiri mkubwa
Пікірлер: 64