Eti hela za mchicha, je kama asingetoa hii timu ingeendeshwa vipi? Hapo sasa mmeonesha wazi kuwa mpo kinyume na Mo. Lakini ni wazi unakiri kuwa ametoa hela na kiadi sawa na mtaji. Nyie ni wezi na ndo mnarudisha nyuma maendeleo ya Simba. Achieni timu wapuuzi nyie.
@faustinombilinyi9809
3 ай бұрын
Fuatilia vizuri MO ALIPEWA SIMBA KM MFADHILI ALIKUWA ANAJITOLEA LKN ANABADILIKA AKADANGANYA NA BANGO LAKE KUWA KAWEKA 20B UHUNI MTUPU
@machumujuma6399
3 ай бұрын
Kwani kabla yake team ilikua inajiendeshaje?
@jareengeorge5478
3 ай бұрын
Simba isafishwe.bodi yote isafishwe.tuanze upyaaaaaaaaa
@jumakalinga2812
3 ай бұрын
Nyie wachumia tumbo kwendeni zenu yaani Simba sasahivi Kuna watu wanatumika kutuvuruga mangungu na genge lake wanaitafuna simba
@THADEOCHUNDU-eu3ez
3 ай бұрын
Kweli tuna kazi, yaani huyo mjinga eti anamjadili Mo.
@nassmapande8674
3 ай бұрын
Tema cheche mzee 😂😂😂
@rukiamkwayo6302
3 ай бұрын
Ngoja akohoe oho oho yaoyao
@neversonkunoga6692
3 ай бұрын
Hapana maana toka mo alipoichukua simba ndipo ilipo aza kufanya vizuri lakin toka ameamua kukaa pendeni na kuwamini nyie ndipo simba ikaaza kufanya vibaya, nyie ni wahuni na kama mtaaza kufanya haya amini simba inakwenda kushuka dalaja, niko pale
@simonmalegesi414
3 ай бұрын
Simba iko mfukoni kwa moo mtake msitake Tombanyoko zenu😂😂😂😂
@saidaal1679
3 ай бұрын
mtasema tu kila kitu hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho
@idanysedrc1200
3 ай бұрын
Kimgwangala mlimtukana sana Leo ndio mmejua kuwa jamaa alikuwa mkweli
@luckygmdegela8477
3 ай бұрын
Hatutaki kuelewa hilo , watoke wote hao hatuwataki
@bartholomewasorael6616
3 ай бұрын
Club ya Simba wasipokuwa making hasa wanachama msipo kuwa seriously na club Simba itakuja kubaki stori tu kuwa kulikuwa na timu Fulani Tz
@FredyNgenzi-xp7zd
3 ай бұрын
Nyinyi viongoz waking xn njaa hzo na bd hamjaxem
@mbukumagiubukumagu406
3 ай бұрын
Simba wameyiuza Simba bila yakujuwa
@robertzamani5612
3 ай бұрын
Simba bado haipata viongozi wa mpira na waelewa
@robertadolf562
3 ай бұрын
yanga imewabutua butua mpaka sasa mnachimbuana. ingekuwa mnaendelea vizur kama miaka minne haya madhaifu yote yasingesemekana vile sasa timu limeshapata kutu makabur yanafufuka
@hanifamziray277
3 ай бұрын
Toka lini muhindi akajua mpra tembea nchi zote utapata jibu😅
@KisagasiLuyangi
3 ай бұрын
Kuamini Sana hapana, tutayasikia mengi zaidi
@Tifalito
3 ай бұрын
Kindly mtafuteni Jabir Juma we need his insight on this issue
@kishimbaboy5403
3 ай бұрын
Mbona hamkulisema mapema,na uyu mo akauze juice uko hatumtak anaaribu team
@georgesteven5185
3 ай бұрын
Uchaguzi wenyewe mmeshinda kwa uongo uongo ndomaana hamtaki kuwajibika mpo kwaajili ya kuiba siyo kufanya kazi
@driss4957
3 ай бұрын
Wahindi pesa wana kazi nazo!!!!!..Hapana hela ya bure..
@JosephEmmanuel-eb7gj
3 ай бұрын
Sio za bure huoni jezi zilivyojaa mo energy😂😂😂 Mpk kondom ipo kwny jezi😅😅
@faresinzei
3 ай бұрын
Weziwakubwa hatuwataki 😂
@Fatuma-z9u
3 ай бұрын
Ila hata kama hauna D mbili jaman hauoni kwa jinsi anavyoongea2 kwamba hamna chamaaana alichokuwa anafanya huko katika kamati
@UswegeMwaigomole
3 ай бұрын
Mm kama mm hawa viongozi wahuni tuu mulikuwa wapi muda wote kusema hayo ? .mtupishe kwenye simba yetu watu wanakufa hlf nyie haoni haya
@MakereNyamgunama
3 ай бұрын
Unaongea ujinga miaka mitatu Simba imepata nn sisi wanacha hatuwataki sasa unasemaje, hapo hamtoki, hawataki tokeni ondokeni
@chicharito4201
3 ай бұрын
SIKU ZOTE MASKINI HANA MAARIFA ,HAWA WOTE MASKINI
@زيتونتنزانيا
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂Mö 29 unamauwa yako huku unadai mpaka hela ya chupi😂😂💚💚💚💚💚💚💚💚💚🤣🤣🤣
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
3 ай бұрын
Watu wanauliza mda wote walikua wapi hilo sio swali mbona yeye hakusema na yeye huyo mo .mo ni tapeli
@AbdallahMnyiwe-he2zu
3 ай бұрын
Kumbe nyinyi ni wavurugaji
@BarakaMwaikenda-ty1bt
3 ай бұрын
Mo msomi nae mana mchakato wanachelewesha ndio mana anadai,mana anatoa hamuoni pengo,na apo ndio mtafanya haraka
@nextonetv.7672
3 ай бұрын
Wezi wakitumia nguvu kutetea ugali wao
@LabaniAkyoo
3 ай бұрын
Mo kama hawezi atoke, asitusumbue
@givensikali959
3 ай бұрын
Hv anaitwa nani huyu
@ManirakizaHashim
3 ай бұрын
Ukimya wenu mrefu ulikuwa una waponza
@iddikibwana9185
3 ай бұрын
Mkataba wa kilaghai
@SimonJeshi-nq1hs
3 ай бұрын
Kimeumana
@NoelKiwike-wc8wh
3 ай бұрын
Ndo sasa
@shabanimbega40
3 ай бұрын
Hakuna hela aliyotoa Dewji huyo mwizi
@johnshayo9635
3 ай бұрын
Sasa mngataka atoe pesa za kuendesha timu bila kuzidai jamani Wabongo mna mambo ya ajabu sana
@HemediHussein-og7yj
3 ай бұрын
Mfukuzeni atufai cyo tajiri
@hafidhnzota2142
3 ай бұрын
Wewe ni Bwege sana mbona HAMJATOKA MBELE KUYASEMA HAYO? BROO WEWE NAWENZIO MNGEKUWA MASHUJAA MNGEJIUZURU MAPEMA TWOYEARS AGO LEO TUNGEKUAMINI? MPUUZI WEWE NA WENZIO NENDA YANGA MLIKOKUWA MNALIPWA
@AshaShariff-lr6ry
3 ай бұрын
Sasa upande wa wanachama asilimia yao 51 iko wapi? Au zinatakiwa za 49 asilimia tu
@josephchuwa1206
3 ай бұрын
Hapa kimeumana wajameni😂😂
@cettyamandus2929
3 ай бұрын
Wajumbe wasimba ni waovyooo Sanaa amufiki mbali
@venancemashimba9511
3 ай бұрын
Mpira ni pesa wewe acha kuweka msimamo wakati huo hauna pesa mwenyekiti unategemea Maokoto kwa mo.
@MezdDimoso
3 ай бұрын
Kama hayo ni ya kweli basi timu ya simba haina muwekezaji 😮
@FilbertFissoo-pe2xm
3 ай бұрын
Tungewasikiliza kama hayo yote mngesema kabla ya mo kuwalazimisha wajumbe wa upande wake kujiuzulu inaweza kuwa mmepangwa , pili kama ni kweli alitoa hela nje ya mfumo lakini hela nizakweli kwanini msiruhusu ziingie kwenye mfumo rasmi .mo amefanya makubwa ndani ya simba kaeni chini muyajenge siyo mnataka kutuharibia timu sahivi
@herotz7935
3 ай бұрын
Nyie niwa chumia tumbo achen unafik
@AdhamAlliy-mg5py
3 ай бұрын
Mmmmh kumbe ndo yànayo endelea mo aiche timu tu
@LinusKyando
3 ай бұрын
MO DEWJI KWANI LAZIMA UDHAMINI SIMBA TU?
@daudimusoma3337
3 ай бұрын
Kimewaka Simba kwani tayali hapo
@stewartmdebe4314
3 ай бұрын
Siko zote mlikuwa wapi leo ndio mnasema hapo kuna jambo
@MalikiKavindi
3 ай бұрын
Tulisema huyo nae ni mmoja wao wa wale wanao ifelisha simba maneno yakaanza akitoka mo simba nani atawekeza? Atoke aone mapemaaaa!!! Watu washawekeza hapo azam anaitaka silent ocean anaitaka na wengine wengiiii akishindwa atoke tu hatumtegemei yeye,
@asbornkaduga6001
3 ай бұрын
Dangote pia
@mwanangusana
3 ай бұрын
@@asbornkaduga6001chibu Simba la masimba ..... 😂😂😂😂 Endeleni kujidanganyaa
@frankmwinuka3413
3 ай бұрын
Azam anaitaka lakini tamu yake haijawahi ingia hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Afrika, mara ya mwisho kuchukua ubingwa ligi kuu ni miaka mingi sana. Simba si tu kila mwaka inaingia hatua ya makundi klabu bingwa barani Afrika bali robo fainali. Akichakua tusahau ubingwa ligi kuu, kwenye michezo ya kimataifa tutakuwa tunaishia round ya kwanza au ya pili.
@jafaryrashid7078
3 ай бұрын
Msilalamike Hayo alitoa tahari hamisi kigwangwala mkaishia kumtukana Nyie wote wanafiki tu.
@AntonKawambwa
3 ай бұрын
Wewe ulikuwa wapi siku zote kuyasema hayo mpaka mwajibishwe ndo unaropoka kaa pembeni.
@Mumewangu
3 ай бұрын
Hawa jamaa wanahaha wapigaji wameidhoofisha simba pesa wanakula wachezaji wabovu wanaletwa. Ondokrni waje wengine
@athanackihongole4887
3 ай бұрын
ivi mo ana asilimia 49,%na simba sports 51% lakini mzigo mkubwa bado unamwangukia Mo ebu tafakarin
@KamaraJoseline
3 ай бұрын
Kaka mpira ni pesa Yani yeye atafute pesa nyinyi mje mshibe bila jasho leteni pesa za na asset za asilimia 51 mezani tumalize mchakato acheni siasa Kama hamuwezi mtoke waje viongozi wenye weredi ili wakamilishe mchakato mmekaa Kama madalali kutafuta chajuu tu hapo.
@godfreyabraham7385
3 ай бұрын
Kwani simba isingekuwepo pesa angepeleka wapi
@emanuelmkama1325
3 ай бұрын
@@godfreyabraham7385wew uwez jiita unamilk 51% alaf ata kumi utoi huo ni ujnga mkubwa
@@godfreyabraham7385 kwenye biashara zake wewe kiande
@kashiririrkaasongwisye9487
3 ай бұрын
Hapo kweli ziliiingiaje maana ile billion 20 hata bango halijapoa
@JosephMalale
3 ай бұрын
Masoud nimekuelewa na umeeleweka sana,lakini kwanini hamjayasema haya kabla,mpaka mambo yalipoharibika ndo mnatueleza,actually we need another serious investor for the simba sc progression
@DENISTMwangomo
3 ай бұрын
Kama kiongozi kukiwa na tatizo huwezi muda huo huo ukawa unaanza kuweka wazi. inakubidi utafute njia ya kutatua hadi itakaposhindikana ndio unapasuka. Kiukweli kutokana na matokeo ya mwaka natamani bodi yote iondoke ila mwamed nae ni kirusi pale
@FadhiliKavindi
3 ай бұрын
Mlikuwa wap siku zote kwa hamukusema mapema
@RichardMwelefu
3 ай бұрын
Kuna watu wanamlaumu mo ukiangalia kama ni kweli alitoa b 20 je walizipeleka wapi? ni haki kudai ela zake
@nyamisimbaonlinetv9757
3 ай бұрын
Una sikiliza au una angalia tuu mo haja weka b 20 ila amesha toa pesa nyingi zaidi ya hiyo b20
@RichardMwelefu
3 ай бұрын
@@nyamisimbaonlinetv9757 asa wamefanyia nini cha maana mkuu ata ungekuwa wewe ingekuuma labda kama alikuwa anatoa laki kwa week ad ikafika ivo lkn kama alikuwa anatoa m100 na kuendelea ni maumivu mkuu
@BenjaminMetanyau
3 ай бұрын
Hawa wajumbewakija taifa piga viboko walikuwa wapi siku zote wameambiwa waachie ngazi😢 wameanza kuleta siasa
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
HILO NALO NENO
@salimmalaka256
3 ай бұрын
TAKUKURU KAMATA HUYO AKAELEZEE VIZURI MAFISADI WOTE WAKANYEE DEBE 😂😂😂 KWA NINI ALIKAA KIMYA NA YEYE NI FISADI PIYA
@asbornkaduga6001
3 ай бұрын
Siku zote mlikua Wapi kuyasema hayo? Na nyinyi ni virus kweli kweli kwanini msiitishe mkutano wa wanachama?
@officialfadhilomar5249
3 ай бұрын
Amesema kunaprotocol na taratib ,.ili aongee lzm aje na vivid
@michaelthobias9967
3 ай бұрын
Walitulia na kutafuta suluhu now jamaa haelewi nawo wamesema live
@salimmalaka256
3 ай бұрын
PROTOCOL MKUNDU WOTE MAFISADI TU
@LinusKyando
3 ай бұрын
Hisa zipo 100,Mo Dewji anamilikije HISA 49000?NDIO MAANA MTU MMOJA ALISEMA SIMBA NI MBUMBUMBU
@vuzotv22
3 ай бұрын
Share capital ni laki moja, eleww
@HassaniNdundu
3 ай бұрын
Mulikuwa wap acheni timu
@BarakaKusalula
3 ай бұрын
Mim nilishasemaga siku zote Mo aachie Simba yetu, Timu tumpe tu Bakhresa jamani,
@frankmwinuka3413
3 ай бұрын
Simba kila mwaka inaingia robo fainali klabu bingwa Afrika, timu ya Azam haijawahi ingia hatua ya makundi toka ianzishwe. Sasa unamkabidhi timu ili iweje? Tuwe tunaishia round ya kwanza au ya pili kama ilivyokuwa zamani wakati Simba inafadhiliwa na wafadhili wengine?
@antonyndinga8890
3 ай бұрын
Hatukutaki
@emanuelmkama1325
3 ай бұрын
Tukupe wew
@rashidissa5887
3 ай бұрын
Bora mturudishie simba yetu ya miaka ya 60s, 70s. Hassan Hajis, Kimwagas hawapo lakini watatokea kama wao. Mimi nipo,Taylar Kigamboni upo!
@josephatjordan2150
3 ай бұрын
Mimi ni mwanayanga ninaimani simba itarudi tu kwenye mfumo wake !!waswahili husema ukiona giza limetanda sana ujue kunakaribia kukucha,,Mgogoro utiasha tu!! Ila Mo ni Mshamba sijawahi ona Tajiri mswahili hivyo
@sarahsaimon4095
3 ай бұрын
Ww ni kolo tu huna jipya ww😂😂
@josephatjordan2150
3 ай бұрын
@@sarahsaimon4095 😂
@benedictojanuary4930
3 ай бұрын
Yaani Pamoja na Tajiri kufanya hayo Bado hata Akina Mangungu na Ninyi wanafki mnajiosha Mnashida kubwa
@hassanntankwa4156
3 ай бұрын
Mlikua wapiiii miaka tote hii mitatuh mmeona mda umefikaa mjiumjiuzuluu
@antonyndinga8890
3 ай бұрын
Mlikuwa wapi kusema, tokeni
@antonyndinga8890
3 ай бұрын
Mnang'ang'ania nini?
@salimmalaka256
3 ай бұрын
MO AKIJULIKANA KUWA NI FISADI MALI ZAKE ZITAIFISHWE TU NA HATUTAKI UCHAFU CHAFU WAKE KATIKA JEZI ZETU😂😂😂😂 MIMI UZA CHOROKO UZA DENGU.
@EmmanuelMahenge-t3z
3 ай бұрын
You can fool some people for some time not all people all the time mo anahisi ye Zaid nakuelewa mno cpa masoud ndo raha ya kuwa na wasomi kwenye taasii
@abdangembe4339
3 ай бұрын
Hyo ndio tajiri muhindi. Mlijua anaisadia club kwa mapenzi kumbe mwenzenu anahesabia kama mtaji wa kununua hisa zake za asilimia 49 😅
@petertemu6431
3 ай бұрын
CPA MASOUD unasema Madai hayakuja RASMI leo unalizungumzia kwenye press unalitamka RASMI hayo sio maadili ya Kiuongozi
@saidkhamismasai1204
3 ай бұрын
YAALE YA KIGWANGWALA YAMETOMIA KUMBE ALIKUWA SAHIHI ALIONA MBAL SANA. YAAN SIMBA ILISHANUNULIWA BILA KUJUA
Mo ni Tapeli Mzee Kilomoni na Dr.Kigwqngala waliwaambia
@monifrank347
3 ай бұрын
Utapeli wake nn kabla ya hao munao wasifia simba ilikuwa wapi acha usenge we
@SaidiAthumani-hj6kq
3 ай бұрын
Ilaa mo kigeu geu.hatuna muekezaji ss.
@Mumewangu
3 ай бұрын
Unajuwa hawa ni wapigaji ndugu. Manake msimo wote yanga wamechukuwa ubingwa hawajama na mangungu wamechangia
@jamesmbata8542
3 ай бұрын
pale hakuna muwekezaji pale tumepigwa😁
@isackyohana2707
3 ай бұрын
Kisugu hapo anasemaje ,,atawaambia nyie waongo..
@monifrank347
3 ай бұрын
Acheni usenge nyie hawa ndy wamealibu simba mo alivokuwepo simba ilikuwa nzuri
@anithawidambe7543
3 ай бұрын
Kuongea hayo yote mlikuwa wapi? Mmekuta mmefukuzwa ndy leo mnaongea. ZAMANI MLIKUWA WAPI?KM NYIE NI VIONGOZI KWANN MYASEME LEO?
@anithawidambe7543
3 ай бұрын
Kuongea hayo yote mlikuwa wapi? Mmekuta mmefukuzwa ndy leo mnaongea. ZAMANI MLIKUWA WAPI?KM NYIE NI VIONGOZI KWANN MYASEME LEO?
@anithawidambe7543
3 ай бұрын
Kuongea hayo yote mlikuwa wapi? Mmekuta mmefukuzwa ndy leo mnaongea. ZAMANI MLIKUWA WAPI?KM NYIE NI VIONGOZI KWANN MYASEME LEO?
@AllyBachu-k3p
3 ай бұрын
Hamna lolote nyie wajumbe mo amewadhibití upigaji mnaropoko hovyo
@silvanuskisinza4303
3 ай бұрын
Wewe bwabwaja tu hatima yake unapaswa kujiuzulu mnafiki mkubwa hiyo cpa sijui uliipataje. Muda wote mumepiga hela leo ndo unaibuka. Mwehu!!!
@emmanuelgreyson7721
3 ай бұрын
Mlikua wapi mda wote leo ndio mnaanza kuropoka
@MakereNyamgunama
3 ай бұрын
Mlikua wap mpaka tunacheza shilikisho acheni ujinga mnang'ang'ania nn hapo sisi Wana Simba tunataka muondoke kingeleza Cha nn mlikaa kimya mda mlefu Simba imefeli tunacheza shilikisho unatuambia nn, acha ujinga
@ExpeditusMpulu
3 ай бұрын
Kwann hamkurudi kwa wanachama kuwapa taarifa ya tatizo. Miaka 3 mko mkimya.😳 Mnakubali pesa zilitoka, ila alitaka zichukuliwe kama mtaji. Mnana sasa mkajaza migarasa? Mpk wanachama wamekuja juu ndo mnajitokeza kujiosha. Hamtoshi hapo. Mmewaangusha wanasimba. Too late. It wont help nothing. You have to step aside guys.
@abubakarsaid7303
3 ай бұрын
Usicheze na muhindi kwenye pesa mjanja sanaaaa
@Fatuma-z9u
3 ай бұрын
Yaaan mmeona tushafikia pabaya mnaanza kutuonyesha huo ujinga,muda wote mlikuwa wapi!???
@rehemaabdalah1863
3 ай бұрын
Tutawaachia tim yenu mtakuwa mnaenda uwanjani nyie unatueleza nini sasa wapigaji wakubwa nyie mnatufanyia usajiri mbovu mpeni bakheresa tim muone
@PaschalMaganga-e5j
3 ай бұрын
Colombia watu kama nyinyi husigekuwepo acha ujinga asubuhi yote murikuwa wapi eti umefika jion Dio munapayuka mwili hii Dio mwisho wenu
@emanuelmkama1325
3 ай бұрын
Mm nnacho amin, Hawa jamaa ndo wapgaji simba inamilka 51% na Mo 49% nyie wenye hisa kubwa mmeweka bilion ngp? Na mda wote toka 2018 nan aliekuw anahudumia team kuanzia sajili,usafir,mishahara na chakula? Mkiweza kujbu hayo nitawaamin ila nje na apo ni uchawa tuu wakna mangungu
@waziriwafedha
3 ай бұрын
Bodi yenyewe ya matapeli tu. Wanataka kumtapeli MO. Na akili timamu unaona mtu anaeza toa 20bn tzs/ 1bn ksh/ dola 7 za marekani na ikawa za Bure. Hizo pesa ni za hisa.
@Lusekelomwasambene
3 ай бұрын
huyu mjumbe wanachama tumwangalie sana jicho.lingine hiyo ni propaganda katumwa ila na watu fulani huyu alituambia mo katoa hela 20bilion je leo anaongea hivyo
@venancemashimba9511
3 ай бұрын
Ichukue timu uiendeshe mwenyewe mwenyekiti unahangaika na kiingereza 2 utaweza kumlipa hata kobe wewe?
@makamelila
3 ай бұрын
Kwahii hali hakuna muaminifu hapo biongozi wote nasema wote waondoke tuanze upya mana hata hao wanaosema Hadi limebuma ndio wanajitokeza hadharani wote wanafiki tu waondoke wote tuanze upya kama simba
@binbadru8408
3 ай бұрын
Ninavyoamini mm muhindi pesa anaijua klk cc watu weusi cc kazi yetu wizi tu, tukibanwa tuanaanza majungu,mwenye pesa yyte km Ana akili huabhataki kuibiwa
@LinusKyando
3 ай бұрын
CLUB YENU YA SIMBA NDIO INAONGOZWA KIHUNI NA KISELA,JEMEDARI UPO???
@jawahiriaelmy
3 ай бұрын
Kiukweli moh hana mapenzi na simba asitudanganye achie timu wacha tukae hivi atakuja mwekezaji meingine
@THADEOCHUNDU-eu3ez
3 ай бұрын
Hao ndio virus wa simba sasa. Kajileta mwenyewe. Kazi kwenu wenye mapenzi ya kweli na simba.
@neversonkunoga6692
3 ай бұрын
Hapo ninamashaka mmetumwa na mangungu kutuvuluga, maana kama alituletea mazoki uwanjani ili achaguliwe atasjindwa nn kuwaset ili mtuvuluge, nyie mmetumwa semeni ukweli
Пікірлер: 370