Mi binafsi ndo namuona kwenye hili sakata huyu wakazi eti nae super star,huyu wakazi ni bora ya hamorapa nilimjua kuliko huyu pumbavu wakazi
@kelvimhenga3167
2 жыл бұрын
ivi nae ni mwimbaji aje ajb hapa
@saidkanji9882
2 жыл бұрын
Weuna jifanya mjuani sana
@jackmabirangacharles9398
2 жыл бұрын
Shirikisho Hilo Lina mambo ya Ajabu kabisa kama ndio linaendeshwa hivyo
@nickodemsimchimba594
2 жыл бұрын
Huyu wakazi ana misifa Sana, kiukwel nilikua simjui ila kichwani kweupe sana
@mwitajohn1484
2 жыл бұрын
Huyu wakazi nimisifa inamsumbua
@kassimualli1600
2 жыл бұрын
Eti wa kazi,wew sio mwanamuziki muache Steve achape kazi
@erickmichaelmugele2107
2 жыл бұрын
Kuna chama au shirikisho litabaki linaning'inia soon
@loner_wolf
2 жыл бұрын
Hii nchi nikupigana vikumbo kuwahi umaarufu tu .....
@mwitajohn1484
2 жыл бұрын
Wewe wakazi aunamchango wowote kwenye industry
@darposttv2647
2 жыл бұрын
Wakazi genious
@hellenngwilla550
2 жыл бұрын
Tatizo kilamtu anataka kuongoza
@ernestkatyega5781
2 жыл бұрын
Wakazi ngoma kali huna huna hit song pesa za baba huna lolote acha dharau kimbelela t
@nicholausjeremiah.5229
2 жыл бұрын
Shida ni kutaka uongoz ,,ndio shida ,,kila mtu anataka ,,yeyeee ,,duuhh
@miksinmikidadi8804
2 жыл бұрын
kwani huyu jamaa wakazi anajikuta nani haswa ebu mtueleweshe ni mwanamuzik au comedy
@mtaakwamtaa4425
2 жыл бұрын
Anayeijua ngoma hata moja ya wakazi aniambie ili nicomfirm ni msanii wa kizazi kipya au anakaa kwenye angle ipi awe na haki ya kuzungumza kindaki ndaki
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Anaitwa wakazi mzee wa fitna 😂.
@ernestkatyega5781
2 жыл бұрын
Kama una mambo mengi si usingekuja kaka umelazimishwa kwani
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@bravofundikila965
2 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya km kujickia Mjuaji wakaz acha kujua sana hakuna FAIDA yoyote uliyoileta kwny Sanaa zaidi ya ukibaraka
Пікірлер: 46