Acheni ushoga.joho alifanya nini alipokua gavana.mshahara ndio mwasaliti ukweli.
@digitalmastaz
2 ай бұрын
mombasa kwisha kabisa sasa
@marksebesto6750
2 ай бұрын
Mafala tu wanachezewa
@salmaali7080
2 ай бұрын
Alipokuwa governor hana alilolifanya joho ,stadium mpaka leo hakuna lilofanywa
@digitalmastaz
2 ай бұрын
wamekuja kupokea elfu moja kila mtu, its just optics. people are desperate and they will sell their soul for a buck
@emmymutama2394
2 ай бұрын
@@digitalmastaz Eti elfu Moja? Hizo ni nyingi sana. Hawa wajinga hupewa biriyani kule king'orani wa share sinia Moja, maji ya sharubeta, muguka ya 50bob na pk. They are done wanashangilia. If you pick one of them you ask sababu ya kushangilia will tell you hajui. Yeye amepata tu wengine wakishsngilia na akawajoin😄😄😆
@abdulkadirmikdad3807
2 ай бұрын
Huyu yuazungmza nn ngoja hapo upewe elfu yako uondoke
@saba-gv3mj
2 ай бұрын
Husongei wadidimia stape by stape
@kenyamoja179
2 ай бұрын
nyinyi wote watu wakuletwa na mca s wenu muwe wengi na mumepawa elfu moja kila mtu hi siasa ya kuchezewa itaisha lini miaka kumi nini amefanya la muhimu
@hawaaathman-rs8oy
2 ай бұрын
Ruto amejichanganya. Hakuchanganyikiwa. Sioni Cha kufurahia hapa , ruto must go
@sarahmuhammed6872
2 ай бұрын
Angechagua mama zamzam.ingekua sawa,bt amefanya kusudi kumchagua joho coz hayuko tayari mombasa kua na mabadiliko
@emmymutama2394
2 ай бұрын
Hawa ni wagonjwa wa akili wanafurahia drugs. Bora wape biriani kule kingorani hao wako sawa. Bure kabisa hao ni maembe
@sarahmuhammed6872
2 ай бұрын
Ndohapo sasa hafai kabisa joho
@Zainab-f9w5x
2 ай бұрын
Mtabakia hivyo hivyo Dio mombasa nzima ninyinyi tuu
@salmaali7080
2 ай бұрын
Wacha tuwaone sasa kina raila tumuone joho atafanya nini, wafunge midomo sasa
@snizo1894
2 ай бұрын
This is rubbish hyu joho alikua 10gud yrs madarakani nn kubwa alifanya labda kuharibù pesa za wananchi na kupitisha miraa bila ushuru ili watt wazidi kuharibika mukimrudisha hyu munamaliza nchi
@sarahmuhammed6872
2 ай бұрын
Ndo hapo ,sasa afadhali hata angechaguliwa mama zamzam
@snizo1894
2 ай бұрын
@@sarahmuhammed6872 wallah this is why hatusogi mbele maisha yoye tunakua kama tope
Пікірлер: 19