Mkuu kazi zako ziko fiti...kongole sana mkuu wetu❤❤❤
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Shukran sana
@hamisuuhamadi1663
8 ай бұрын
Pole wajina wangu hamisuu jamn kumbe kina hamisuu tupo wengi ❤❤❤
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Hatarii sana
@aishaallyaishaally3220
7 ай бұрын
Mashaallah hii kali ila mmmh ukewenza shikamooo😂😂😂😂
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Hatarii
@EmilyRehema-p1e
8 ай бұрын
Atanase wacha kubebwa akili hospital ni nyingi sio mojaa 😂😂😂😂
@greatvisiontz
8 ай бұрын
😭😭
@RaimamomedSaidi-wz1yu
8 ай бұрын
Ktk wanaume nisio wapenda kuowa wake wengi kisha kuchukua mawazo ya mke mmoja,kwenye mke mwenzake,ndio yanatokea majanga mengi km hayo,nilisusiwa na mapacha wangu kisa mke mkubwa jaman ulimi unadhambi kubwa tuweni makini tukisema.
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Pole sana
@Edith-rq3mm
7 ай бұрын
Mim kiujumla mme mwenye mke zaid ya mmoja mim hpn
@YoungsHilary-xd2ml
7 ай бұрын
Kazi Nene kiongozi
@elizabethmark2912
7 ай бұрын
Ujawahi kosea uko💯❣️ hongera sanah
@greatvisiontz
7 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ggfwtgg1652
8 ай бұрын
Wake wenza bwana munavurugu vurugu ❤❤❤
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Hatarii sana
@KhadijaBawazir-c3g
24 күн бұрын
Jamani muwe mnamalizia hzi movie msiwe mnatuachia katikati
@greatvisiontz
23 күн бұрын
IPO mpk mwsho final mbona ANGALIA kwenye all video
@saumbliz8983
8 ай бұрын
Wanawake hatupendani daaah yani uende siptali ukahonge doctor kisa kuharibu ndoa ya mwenzio
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Hatariii
@hamisuuhamadi1663
8 ай бұрын
Pole wajina wangu hamisuu 😢😢
@greatvisiontz
8 ай бұрын
🔥
@Goldstarfilm-z5z
8 ай бұрын
Namimi nataka like nione maajabu ya like😂😂😂😂😂
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Chukua hii
@OmarAli-vj9kg
7 ай бұрын
Jeneza umekatisha
@MwanapiliAthumani
7 ай бұрын
Uke wenza ni sumu
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Hatariii sana
@marthaelias3422
7 ай бұрын
Yaan mwanaume akioa wake wawili hatakiwi kabisa kuwa. Hiv wala kuonyesha kasoro Za mke mmoja mbele ya mwenzake. Make wake. Wenza kutoelewana shida inaanzia kwa mume akikosa msimamo
@greatvisiontz
7 ай бұрын
😭😭😭
@EmilyRehema-p1e
8 ай бұрын
Bibi Mkubwa awache roho mbaya na wapenda sana kutoka Saudi
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Hatarii sana
@BabyeSaumu
7 ай бұрын
Ile zawadi ya jeneza kwani iliisha..
@saumbliz8983
8 ай бұрын
Sasa jama hubebeshi mimba wake wa wili wa nini jamani😂😂😂
@greatvisiontz
7 ай бұрын
😭😄😄😭
@amosiyohanatz8734
8 ай бұрын
jamani msiwe na ubaguz kutoa likee nchi zote zipeni like usibague hata kama hajaweka nchi likee t
@greatvisiontz
8 ай бұрын
Shukran sana
@amosiyohanatz8734
8 ай бұрын
pamja
@joycesamwely7896
7 ай бұрын
Jeneza imeishia njian umeanz ingne?
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Kuna muzetu amefarikii kwahy inatupa ugumu kuendelea ila inshallah baada ya hii nawapete Kaz Bora zaidi
@Nkomezansabaj.chrisostom-vp5qq
8 ай бұрын
Wakwanza Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@amosiyohanatz8734
8 ай бұрын
toa like ww
@greatvisiontz
8 ай бұрын
🔥
@HassanLastman-hh9sw
7 ай бұрын
Kali saaana
@greatvisiontz
7 ай бұрын
🔥🔥🔥
@AmenaMm-r5t
7 ай бұрын
Daas ukewenza mm siutak jaman
@greatvisiontz
7 ай бұрын
🔥🔥🔥
@danimmafamily254
7 ай бұрын
kwani atanus janeza imeisha na part 2 ama
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Inawajia Kuna changamoto ya msiba wa muzetu kati ya washiriki amefarikii
@cynthiaNitanga-c6r
7 ай бұрын
Inaman ile kam jeneza la kafara imesha isha au munijulish jamani
@ummubukharothmn2183
7 ай бұрын
Nzurii
@greatvisiontz
7 ай бұрын
📥🔥🔥
@munadifyonza809
28 күн бұрын
Mke mdogo watoto wa 2000
@greatvisiontz
28 күн бұрын
🌄🌄🔥🔥
@greatvisiontz
28 күн бұрын
🌄🌄🔥🔥
@saumbliz8983
8 ай бұрын
Uke wenza nyue
@greatvisiontz
7 ай бұрын
Hatarii
@amosiyohanatz8734
8 ай бұрын
wakwanza leo like zangu
@greatvisiontz
8 ай бұрын
🔥🔥
@amosiyohanatz8734
8 ай бұрын
tunamba ujitaidi hata kwawiki unatupa hata vipand 3
@حليمهالبلوشي-ز5ث
7 ай бұрын
❤❤❤❤😢😢😢
@greatvisiontz
7 ай бұрын
💕
@fashyahmed4135
2 ай бұрын
Movie huwa hata haziish
@greatvisiontz
2 ай бұрын
@@fashyahmed4135 nenda part zote zipo
@fashyahmed4135
2 ай бұрын
@@greatvisiontz mm nimeona wake wenza ya kwnz na puli tu sijaona muendelezo
@greatvisiontz
2 ай бұрын
@@fashyahmed4135 ingia kwenye account au njoo whtsap nikupe link 0714491412
Пікірлер: 65