Wananchi katika sehemu mbalimbali za nchi wametoa hisia mseto kuhusiana na watu kumi na mmoja walioteuliwa kwenye baraza la mawaziri na Rais William Ruto. Hizi hapa ni baadhi ya maoni ya wananchi kuhusu walioteuliwa.
Негізгі бет Wakenya watoa hisia mbalimbali kuhusu uteuzi uliofanywa leo
Пікірлер: 114