JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@africanuskimario1409
10 ай бұрын
Hongerababa
@godsson5954
10 ай бұрын
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
@ManaseJubilate-kk2gz
2 ай бұрын
Hiki kichwa ni shida,alie nao mpaka alipwe stahiki zake,Vijana someni mpaka ukutane na kibao kinachosomeka no School ahead 🙌
@SalmanFarhad-j2h
Ай бұрын
😂😂😂😂
@_don777
10 ай бұрын
Kama umeona Genius Gonga like
@enockmbise
4 ай бұрын
Kweli wangu.
@starjay3052
2 ай бұрын
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwanangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
@jacobpatrick7936
10 ай бұрын
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
@salumjumaruhaga2513
10 ай бұрын
Uyo bangi zinamzumbua
@fatmakiponda8170
9 ай бұрын
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
@musanzowa8988
10 ай бұрын
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
@Kawamala91
Ай бұрын
Luka 3:14 [14]Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.
@GiftMwangaRobert
Ай бұрын
Polisi hakuna ajira ila unafanya kazi kwa kujitolea
@gasperswai6963
10 ай бұрын
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
@marianmartin7483
10 ай бұрын
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
@thomasgogomoka6404
10 ай бұрын
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
@GibsonNtamamilo
2 ай бұрын
Hiki kichwa ni muhimu sana kuingia Bungeni kikitokea Jimbo lolote. Wanaokubali hili wekeni like hapa.
@MwajSibonja-t5o
27 күн бұрын
kweli kabisaa
@emilianchibinda82
10 ай бұрын
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
@starjay3052
2 ай бұрын
😁😁 nimewapiga chini
@DoganJagard-dn2sk
10 ай бұрын
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
@majidukalokola7253
10 ай бұрын
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
@manilabonalumanula9210
10 ай бұрын
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
@mmewaswida
10 ай бұрын
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
@LuganoPondo-km8ub
10 ай бұрын
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
@Asajile490
9 ай бұрын
Tatizo wananchi Na ccm yao
@makongoronyerere1564
2 ай бұрын
Hata mm nakuamin
@msajihumphrey809
2 ай бұрын
Maneno ya Donald Trump?! walikuwa kwny siasa ni mbumbumbu lkn wenywe uelewa hawataki siasa yani
@princetumaini
21 күн бұрын
Ungekuwa RPC sasa hv kumble ulikuwa una cheo kikubwa polisi
@Paulinawilliam-n8f
2 ай бұрын
Nami nimekupenda hii daah had raha ,, Mungu aendelee kukufunika wasikuone wewe ila wakutane na malaika wa zamu
@omaryjudasymwanga7172
10 ай бұрын
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
@ashachitemo7816
10 ай бұрын
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
@venancemwarabu7168
10 ай бұрын
Upo sahihi
@michaelboniphace3685
2 ай бұрын
Hana ujasusi wowote
@omaryngurangwa8241
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha waende kichwakichwa tu😅
@mashannapapaaa9582
10 ай бұрын
Hongela Sana
@OmbeniLuka
Ай бұрын
Kweli kuna watu nchi hii waiojua wanachofanya kuna wajinga waliopewa nafasi hongera Madeleka
@AzizNassor-r8j
Ай бұрын
Kiongozi madelek we nikichwa awakuwezi akili nyingi mtetezi wa wanyonge mungu akulinde mkuu
@thomaskiponda6079
10 ай бұрын
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
@SaruniKutandawa
Ай бұрын
Kulakiyapo haikufanyi usibadili mazingira kaka
@LeonardSwai-o9d
Ай бұрын
Adv.kama wewe niwachache mno wanaopenda kutendea haki watu bila kuangalia wadhifa wake
@NeemaLieda-qz3kd
10 ай бұрын
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
@FridayMwassa
10 ай бұрын
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
@JaphetJeremiah-w7o
10 ай бұрын
siyo kila kitu lazima ucoment bro
@michaelmwalimu6057
10 ай бұрын
Wana sheria bwana
@josephatemmanuel458
2 ай бұрын
Kwani kazi ya kuajiliwa huwa nilazima? Kama kaamua kuacha kazi ni uamuzi wake?Tatizo liko wapi? Sheria ziko wazi,kwa nini mnapoteza muda?majukumu ya kujenga taifa yako mengi
@SmilingCityMap-xb9md
Ай бұрын
Haki inatafsiliwa kwa vitendo wala sio kwa kuwa na dini ya haki hangela sana kwa kuitafsli haki kwa vitendo mungu akulimde na ugaidi mambo leo waliojipanga kuikanyagiza haki chini
@kiazikitamu3985
10 ай бұрын
Tukiesema hiyo serikali ni pumbavu inafanya mambo ya kijinga sana tutakuwa tumekosea 😂😂
@leonardkinanda3284
10 ай бұрын
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
@salumntulo1589
10 ай бұрын
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
@Hellen-i2y
2 ай бұрын
Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.
@SimonMwita-k8s
2 ай бұрын
Huyu anasitahili kua kiongozi wa bunge atete wanainchi
@amswhlnd
Ай бұрын
Madeleka Respect kwako kaka uko vzr sana
@RajabJuma-pe9ml
10 ай бұрын
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
@simontamba2189
10 ай бұрын
Pole mzee
@benardmapuga4737
2 ай бұрын
Mshitakie mungu nimekwambia kikubwa
@mwasoprince3459
Ай бұрын
Hahaha 😂😂😂
@EleziaNzowa-el7gi
10 ай бұрын
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
@HadijaJoseph-d1g
Ай бұрын
Kweli jeshi la police sikuhizi yani nikama jehanamu safi sana kaka hiyo sio kazi lana
@bonifasimichael1320
10 ай бұрын
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
@abelclement8983
Ай бұрын
Bro naona umahili wako, endelea hvyohvyo
@RehemaKiangi-nz9gt
17 күн бұрын
Hongera sana wakili msoni P MADELEKE
@josephinarobert3325
10 ай бұрын
Siyomtoro wanataka kumsumbua
@LiberiusKajoki
28 күн бұрын
Jamaa ana akili sana awamuwezi mpeni chake muondokane naye tofauti na hapo mtampandisha vyeo sana ikionekana mnamgangania•
@TerevaelPeter
6 күн бұрын
Binadamu wamekuaje jamani,mtu mzima unamtafutia mwenzio kesi iweje,
@SPORTSCHEMBATV
25 күн бұрын
Pamoja na watoto wao kuwasomesha nnje lakini hawajawahi kuwa na kichwa kama hiki 😂😂😂
@HadijaJoseph-d1g
Ай бұрын
Bola umeepukana na lana za kazi hiyo. Yani siipendi hata kidogo jeshi la police ni lana
@alluedward9259
2 ай бұрын
Makonda piga kaz achana na wapuuz hao wewe ni rais 30-40
@josekinyamagoa-sv4jh
3 күн бұрын
Br ungekua unawapa namba watu ili wakionewa mahakamani kuwatetea. Ila kama awajakosea.
@DogratiusMwangoka
10 ай бұрын
Madereka hoyeee
@subetizaid6515
10 ай бұрын
Huyu jamaa kweli msomi
@HamisSaid-uc5jm
10 ай бұрын
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
@LilyMwalugaja
29 күн бұрын
Wewe ni mwambaaa. Unafaa kuwa kiongozi.
@rahmakimario4640
25 күн бұрын
Ukilishitaki jeshi lako ni uhaini wa moja kwa moja
@deogratiuswambura7597
10 ай бұрын
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
@ShabaniNjenge-y7r
Ай бұрын
Naomba mawasiliano ya wakili huyo Matata
@NobertEvarist
3 күн бұрын
Ukisoma na ukaelewa Hadi laha jana ni msomi kwel kwel
@odoieriasmonga6591
10 ай бұрын
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
@HernyMonyo
Ай бұрын
Toa.namba.tukuleteee.kazi
@JuliusMtunguja
10 ай бұрын
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
@kiazikitamu3985
10 ай бұрын
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
@hassanjalikazi6754
Күн бұрын
Kaka mungu akulinde sana utakua mtumkubwa sana kaka
@saidiyusuph230
2 ай бұрын
simchezo kweli wewe kichwa jiwe
@felixsamford4168
10 ай бұрын
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
@kwasmokweka9598
10 ай бұрын
Madeleka oyeeee
@jamesukombozi5216
10 ай бұрын
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
@fazanaftaly8107
Ай бұрын
niko pale nakunywa soda
@ZidaneAbasi
Ай бұрын
Uyu kweli wakili msomi
@fundimadishiarusha4828
2 ай бұрын
Azam tv Arusha burundi kwa wote
@wanatangawaja6397
10 ай бұрын
Mwenyezimungu akuzidishie
@salumjumaruhaga2513
10 ай бұрын
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
@alexurassa
10 ай бұрын
Nimekuelewa sana madeleka
@SmilingCityMap-xb9md
Ай бұрын
Giza na nulu havipatani
@SMKF4
Күн бұрын
Huyu si kofia mbili huyu
@cosmaslunyembeleka251
23 сағат бұрын
Yani uyu mtu anafaa kuishi nayo
@MelisaMerdad
14 күн бұрын
Mungu akutanguliye
@michaelabrshamsaidimu367
10 ай бұрын
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
@josephgitagano4533
10 ай бұрын
Excellent Advocate.
@JovenaryNduka
2 ай бұрын
Madeleka uko sawa kabisa ulipwe hali zako zote
@EmmanuelElias-b4b
Ай бұрын
Asante sana kaka angu kwakusema ukweli na BIBULIA itakusimamia maana Haki zako zimeifaziwa na ao wasamee bule awajui walitendalo kazi Yao nikwenda kinyume na kazi zao Asante kaka kwa kuwapa ukweli na Mungu akubaliki.
@michaelmabula7444
10 ай бұрын
Yupo na kazi maalumu
@elinazijonasi2957
10 ай бұрын
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
@gregorybakuza5796
Ай бұрын
Tuwasomeshe watoto wetu wajitambue na wasiwe wanyonge mbele ya watawala.
@neemamasimba2981
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa
@MALELEMBARIMO
29 күн бұрын
Jamaa linajua😂
@ShekiyaoHussein-ki4ty
10 ай бұрын
Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele
@doreenkweka3869
3 күн бұрын
Nitasema -Ney
@starjay3052
2 ай бұрын
😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee
@dickymbishi5985
Ай бұрын
Mtu alikua kitengo cha magaidi alafu uache upolisi kizembe sio kweli waliamua tuu kumtuliza kama yeye wakili kweli awashitaki kwa kumuweka ndani kimakosa
@stewartmlanga1263
Ай бұрын
Hakuwekwa ndani kwa sababu ya kuacha KAZI bali walimshutumu kujitengenezea Visa. Kesi ambayo aliishinda.
@charlesboniphace2249
2 ай бұрын
Hii ndiyo Africa Wanaojua wanasakamwa
@HarunaRashid-c5i
10 ай бұрын
Uko vizur sana hongera
@ThomasKajiru
10 ай бұрын
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
@godsonkilua7738
10 ай бұрын
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
@zablonnyanda6095
6 ай бұрын
Numekupenda bure. Babu yangu marehemu sasa. Alimkataza babayangu kuwa Police, labda alizingatia hicho kifungu cha biblia nn?😂!
Пікірлер: 390