WAKIMSEMA ZUCHU KAMA MZAZI NAUMI, TULISHASINGIZIWA HADI TUMEUA NDO DUNIA HII.
kuelekea usiku wa pwani ndani ya jiji la mwanza, staa wa muziki wa taarabu khadija kopa, mamam mzazi wa mwanamziki kutokea WCB, Zuchu amefunguka kuwa kama mzazi huwa anaumia sana pale ambapo watu wanakuwa wanamsema mwanae japokuwa kuna muda anapuuzia kwani ndiyo dunia jinsi ilivyo.
ambapo amesema maneno hayajaanza leo wala jana kwani hata miaka ya nyuma walikuwa wanasemwa hivyohivyo, na ameshawai kusingiziwa kuwa ameua mtu, hivyo anachukulia kawaida kama mzazi japo mengine yanamuuma.
kuhusiana na muziki wake malkia wa mipasho khadija kopa amesema muziki wa taarabu kwasasa ni biashara japo kwa upande wake alishaanza kufanya muziki huo kama biashara tangu miaka ya zamani.
#zuchu #khadijakopa #taarabu
Негізгі бет WAKIMSEMA ZUCHU KAMA MZAZI NAUMI, TULISHASINGIZIWA HADI TUMEUA NDO DUNIA HII.
Пікірлер: 14