Hii channel imenipa growth kubwa sana katika iman yangu ya kislamu..Allah awaongezee zaidi na zaidi inshallah
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Karibu sana my sister tunakupenda kwa ajili ya Allah
@mangeraalbert7982
8 ай бұрын
❤ Wallahi nehema kubwa, mimi nimekua jasiri kwa kujua kweli, katika uislam.
@HajiAbubakar-nb2ue
8 ай бұрын
Hata mm nawakubali sana
@Hi_20206
8 ай бұрын
@@HajiAbubakar-nb2ue kabisa kabisaa
@Hi_20206
8 ай бұрын
@@mangeraalbert7982 nakubaliana na wewe kabisaaa
@HusseinLimbe
8 ай бұрын
Shekh Salim Unajua sana Mashallah 😊 ulivyoelezea jihad huko mwishoni nimependa sana Allah atupe barka nyingi kuutetea uislam Amin
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@user-rc7oi2hp8l
8 ай бұрын
Ma sha Allah kheir fil Dunia wal akhera wote waislam
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
8 ай бұрын
Mashaa llah tunapenda kuwaona
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Tunakupenda kwa ajili ya Allah
@Sal.0
8 ай бұрын
Salaams WaIslamu. Mwisho wa Mwezi ume fika. Please suppirt this Dawah Team and the Mskiti, if you can, please. JazakAllah Kheir.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
May Almighty Allah bless everyone who supports the work of daawah to reach unreach
@Sal.0
8 ай бұрын
@@salimdaawah123 Ameeeeen!
@zakiaanwar677
8 ай бұрын
Wa kwanza leo alhamdullilah Asalam aleikum warahmatulah wabarakatuh Allah awalinde nawapenda kwa ajili ya Allah
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Masha Allah tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@mansooralaisri5200
8 ай бұрын
😮
@mansooralaisri5200
8 ай бұрын
😮5y
@sophiajuma6798
8 ай бұрын
MASHA ALLAH ❤❤❤
@alijuma8543
8 ай бұрын
Allah awajaalie afya tele kazi hii iendelee,,nawafatatilia nkiwa Mombasa
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@Noorein-ws8wk
8 ай бұрын
Alhamdulillah ❤
@zohramariga6678
8 ай бұрын
Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kaziya mwenye zimungu
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@b.funditv4781
7 ай бұрын
Mashaallah Mashekh wangu nawapenda sana kwa ajili ya Allah kiukweli mnatufundisha sana Allah awalipe inshaallah
@zakiaanwar677
8 ай бұрын
Allah awalipe mema hapa duniani na kesho akhera.sisi sote ummati mohammad s.a.w
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Sote?
@ALIOSKIITV
8 ай бұрын
Mashallah shk slm may Allah to protect . guide and increase your knowledge abundantly❤❤
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@mohadyma2386
3 ай бұрын
Proud to be a Muslim and alhamdulillah for and every Muslim brother and sisters
@user-rc7oi2hp8l
8 ай бұрын
Bblia inamakosa mengi sana someni mtaona
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Tena sana
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Utakapo soma Quran soma Kwa makini usiimbe hutaelewa makosa yenye yako
@user-rc7oi2hp8l
8 ай бұрын
Quran Haina makosa ata nukta
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
@@user-rc7oi2hp8l nikuonyeshe? Aya yakunyonyesha barubaru was revealed according to Aisha,where is it in your Qur'an?
@NathanielNathan-m4o
6 ай бұрын
@@user-rc7oi2hp8l nikuonyeshe makosa?
@mamawamoya3344
8 ай бұрын
Ma sha Allah
@user-cu8ki9cn8e
8 ай бұрын
IN SHAA ALLAH, ALLAH AWALINDE ,
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@user-gw4vm5fx9m
8 ай бұрын
Good for you
@Marim-qp8gs
2 ай бұрын
Chukran mwalimu salim na kundi lako Allah awabariki
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Alhamdulillah
@TabuOdhiamboOmiya
8 ай бұрын
Allah Akbar
@JustinKitsao
8 ай бұрын
Alhamdulilah mwenyez mungu awaweke
@Hi_20206
8 ай бұрын
Huyu jamaa wa jacket ya yellow is like'evidence iko kwa hii kalatassss'😂😂😂😂
@jamilaomari2444
8 ай бұрын
MashaAllah,, mafunzo bora.
@user-du2fy5sd5u
8 ай бұрын
Assallam Allaikum warahmatuAllahi wabarakatuhu in shaa Allah awape afya muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah Muhammad RasuluAllah
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@rahmaali6662
8 ай бұрын
Huyu kikoti cha yellow kaja na kikaratasi chake hataki kupitwa 😅 dah MMungu awape Nnur ya Uislamu
@mangeraalbert7982
8 ай бұрын
20mins ameenda mitini 😂😂😂
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Kawaida yao hawa wakristo
@sheemaryam
8 ай бұрын
Àsalam aleikum warahmaturullahi wabarakatuh nimechelewa leo hamjambo 😅
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh hatujambo tunakupenda kwa ajili ya Allah
@Hi_20206
8 ай бұрын
Nimekutafuta sana rafiki..ulikuwa umepotea wapi comment section😂😂😂..i missed u
@sheemaryam
8 ай бұрын
@@Hi_20206 nope ww ndio umepotea navile nmekuulizia
@Hi_20206
8 ай бұрын
@@sheemaryam 🤣🤣last week nmeshinda nikikutafuta kwa comments..yuko wapiii huyu..bas leo nikakupata alhamdulillah
@sheemaryam
8 ай бұрын
@@Hi_20206 pole I must watch sema comment section ndio hukuwa unanipata but nmekutumia number yangu kwa comment yako hapo chini
@mohamedwako468
5 ай бұрын
May Allah be kind with you❤and guide you
@abdirahmanadan654
4 ай бұрын
Quran: chapter 5 verse 116
@fatimahrashid2356
8 ай бұрын
ALLAHU AKBAR maandiko Yako wazi sijui hawa watu hawafati kwann
@chiefmkalikibz1503
8 ай бұрын
MASWALI YA PROPAGANDA BILA KUTUMIA AKILI😅😅😅 Itakuaje iwe umeruhusiwa kuuwa Kisha utubu.... KWANINI TUTUBU WAKATI TUMERIHUSIWA??
@saidmakame8262
3 ай бұрын
Pengine wewe hujafahamu Kutubu nikitu chengine Na kuuwa ni kitu chengine Nakufahamisha kama ulifanya zambi ya kuuwa au nyengine zozote zambi kwa kusudi Msamaha hakuna.Na wale wenye kupitisha sheria mungu anawalipa kheri. Mungu kasema kulipiza kisasi ni sheria ila ukisamehe mungu anakusamehe zaid Kaka umefahamu
@user-gw4vm5fx9m
8 ай бұрын
Saalim anatetea dini yetu namna ilivyotaka
@alisaidabdallah1480
7 ай бұрын
Aandiko yako wazi kama hutaki kuelewa ni ww tuu
@shabamuhidin634
8 ай бұрын
ukitaka kukosana na wachungaji mtolee andiko sadaka inapewa maskini na mafukara,hapo hamtaelewana kakbsaa😂
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Hawapendi hili ila lazima tuwafikishie
@NathanielNathan-m4o
6 ай бұрын
Ni sawa na kuambia muislam shetani alislimishwa na mohamed,hiyo hawakubali hata ukiwapa maandiko
@AlhajiSaidi-uo8zl
6 ай бұрын
Allhu akibal
@MoinaminaAmina-qh1jb
8 ай бұрын
Watangazadji wanasema et ni révolution ndio lakini ni révolution ya shetani kama alivo ahidi mungu yakua atawababaisha atawasaliti kufanya mayovu ili yasiende pekeake motoni inakua je mongozi wa dini anaruhusu ndola yajinsia ??? Hâta kwenye biblia haipo yesu. hajaruhusu mtume luth agaipiga Hao mambo mpaka akaomba mungu awapige viboko mpaka ardhi mungu akayiondowa
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Kiongozi wa wakristo ndiye anaye tangaza
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
@@salimdaawah123Wewe meongozo wetu ni Bible na Yesu Yuko hai Bado huyo ndio kiongozi
@ShaliphZbel-it8id
8 ай бұрын
❤❤❤
@ilyasadhan3914
8 ай бұрын
Asc
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@kassimabdilatif1802
8 ай бұрын
Mungemaliza kusoma hiyo aya Quran 2:256 umkamilishie ujumbe. Wa mwenyezimungu.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Inn shaa Allah
@hanifahkhamiss8485
8 ай бұрын
Aliondoka kumbe alienda kutafta ipi ni dini😂😂😂half cha ajabu karud hilo jibu hajapata......Allah awaongoe inshaallah 😢😢😢
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin jibu hajapata hali si hali kaandikiwa karatasi kumbe hakuna jibu
@kennedymanyonge6170
7 ай бұрын
Huyu kijana ya jacket ya Yellow amekosa ufahamu na upungufu wa elimu ,,,,Takbir 💪
@reinhajonte8198
8 ай бұрын
Kwa nini pope aliruhusiwa kuingia mecca ilhali mecca ukiingia lazma uwee muislamu..
@dulividuli5237
8 ай бұрын
Kuingia Makka sio lazma uwe Muislamu msidanganyane wapo wakristo tele wanaoishi ndani ya mji wa Makka
@swafaamohamed5707
8 ай бұрын
Pope hajaingia mecca bali aliingia msikiti uturuky na akasali kuelekea mecca
@swafaamohamed5707
8 ай бұрын
Huingii mecca mpaka uwe muislamu
@reinhajonte8198
8 ай бұрын
Swali yangu kma isa alikua muislamu kwa nini wafuasi wake wakaitwa wakristo ndani y quran badala ya kuitwa waislamu
@faudhiasaidi3669
8 ай бұрын
۞ فَلَمَّا أَحَسَّ عِيسَىٰ مِنْهُمُ الْكُفْرَ قَالَ مَنْ أَنصَارِي إِلَى اللَّهِ ۖ قَالَ الْحَوَارِيُّونَ نَحْنُ أَنصَارُ اللَّهِ آمَنَّا بِاللَّهِ وَاشْهَدْ بِأَنَّا مُسْلِمُونَ [ AL I'MRAN - 52 ] Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Wafuasi wa ISSA ni waisilamu sio wakristo
@dulividuli5237
8 ай бұрын
Ni andiko gani wafuasi wa issa waliitwa Wakristo?
@MuhammedAliOmar-c9u
3 ай бұрын
Wakiristo ni wafuasi wa Paulo na Constantine . Wafuasi wa Issa hawakuwa wakiristo. Wala Issa hajafundisha ukiristo
@MuhammedAliOmar-c9u
3 ай бұрын
Wakiristo ni wafuasi wa Paulo na Constantine . Wafuasi wa Issa hawakuwa wakiristo. Wala Issa hajafundisha ukiristo
Пікірлер: 95