Pole sanaaa mtanzania tunapaswa kumwomba Mungu hii sio kawaida
@salomemahenge7935
6 күн бұрын
Inaumiza sana
@BullahSambiga
5 күн бұрын
Poleni sana kwakwel mnayoyapitia mngu anayaona kiukweli ni maumivu
@fridahjohn1219
Ай бұрын
Mungu awape macho ya rohoni polis na Mungu awape hofu yake moyoni na Mungu awasaidi kukumbuka kuwa mna watoto mnawazazi mnafamilia Mungu awasaidie sana
@SaliminSwalehe
Ай бұрын
Kweli kabisa pole sana
@ShedrackLuvanda-m2q
15 күн бұрын
Mungu awatie nguv kwakweri amani haipo huondo ukweli
@dominickndomba4474
Ай бұрын
Raia wengi wanawaza kazi ,pesa , na mpira hawana huruma na wazembe babu ushawishi wenu ulishaisha kitambo sasa hivi tunaona ni ujinga tu hamna jipya
@jimmydizonga1335
Ай бұрын
Pole sn, kama hichi ulicho kiandika ndo uwezo wa uelewa wko
@evansdecaprio8196
Ай бұрын
Labda kwa inzi was kijani lakini kwa watanganyika sahau
@popawiz5481
Ай бұрын
Mpira unakusaidia nn ww kweny maisha yako
@wisdomfolks
Ай бұрын
Raia gani wengi unaongelea ?
@gilbertshirima2684
Ай бұрын
Kuna wakati unawaza unaona hapana hii nchi Kuna watu akili hamna
Jamanii Kaka yangu sugu watamuuwa Mara ya polenii Sana chedema mnachangamoto
@RoseMwakatundu
4 күн бұрын
Poleni sana mungu yupo pamoja nanyi
@MAJALIWADANIEL-t3i
Ай бұрын
ni rahis kuchukulia poa kam hujawah kuonewa na polis lakn kiukwel n hatar polis kunamda wanazidi sana sheria itangulie kuliko mabavu
@omaryjudasymwanga7172
29 күн бұрын
Kuna watu wanakua kama wana ubongo wa ngurue nimeona senge moja limecoment upuuzi kabisa yani kuna wakati kuongoza nchi inahitaji busara sana nchi sio genge la wauza bangi
@BorySaronge
Ай бұрын
Mbona hatuoni majeraha katika miili yenu wala hatuoni ni hosptali mliopelekwa au majeraha yenu ni ya ndani kwa ndani mtu aliypigwa ni sugu lakini nyinyi wengine ni wasanii mnatudanganya.
@RomanMwinyi
Ай бұрын
We unaongea nii mlevii au we ujui kama walikamata adi waandishi jitambue ww
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
Hiyo ni comedy shows 😢😢😢😢
@MAALIMU
29 күн бұрын
Hivi uongozi wa kuiongoza nchi unakuja kwa USANII kwa staili hiyo. Mumedai Mnyika kaumizwa sana. HUKO ndo kuumizwa. Ukiwa umeumizwa vibaya lakini umeshuhudia hayo yote.USANII ULIOKAMILIKA HUO.
@evansthobias6460
6 күн бұрын
Bongo bwana unataka uone jeraha Kuna watu wanakupiga na huonekani kama umeumia
@FatumaTwaha-c2y
3 күн бұрын
Naaumia sana ee Mungu shuka kwa haya
@ushiwamarandu7433
Ай бұрын
kwa matukio haya eheee... sijui hili taifa linakwenda wap...!
@ManuuNgingo-cs3hx
28 күн бұрын
Inaumiza sana ipo siku mungu atawalipa machozi yenu hayataenda bure ipo siku mioyo yawalio Fanya hayo itanyamaza kimya mungu atalipiza kizazi Hadi kizazi
@rithaurassa
Ай бұрын
Pole sana makamanda . KWANI police wanaunyama kias gan.MUNGU PIGANA NAO MAANA HII NCHI IMESHAKUWA YA WATU WACHACHE WALIOMWUWEKA MUNGU PEMBEN.ILA MUNGU ATAFANYA JAMBO JUU YENU.
@merrynancesimon1562
3 күн бұрын
Duuuh😢😢😢😢😢😢duuhu hatari sana😢😢😢😢😢😢
@omaryjudasymwanga7172
29 күн бұрын
Wengi wanaopinga nahisi ni swala la elimu tuu wazazi tusomeshe watoto wasiwe na ubongo wa ngurue kiasi hichi yani watanzania wengi wanatembea lakini wana mtindio wa ubongo hivi police ni mahakama wanapata wapi nguvu ya kuadhibu mtu kwa kipigo akifa nani alaumiwe....kuna wakati mpaka nazama JWTZ ni jeshi la wananchi ila utii wao na kusema hawajapewa amri inalipeleka taifa kukosa haki kitengo flani kama kinakosea na badala ya uongozi kikawa cha ukoloni kuna haja ya kutoa maonyo police tumeshudia wanaua watu kwa sababu wanazojua wao na hakuna cha kuuliza kwanini uhuru ni wamagazeti na sio uhuru kamili?, mnataka taifa la wajinga mpaka lini nchi yangu naionea huruma sana huko police mlipo kuna watu wanamatukio ya kutisha ila kwakua ni ccm mmenyamaza na mnapishana nao tendeni haki kuna maisha baada ya kazi ya uma hakuna damu iwe ya mnyama au binadamu inayoshuka chini ya mdomo wa ardhi ambayo haitakua na hesabu jiulize kwanini nilazima kuomba kabla ya kuchinja mnyama unayemla lazima pale na sababu msijione mmemaliza dunia kwenye haki za watu hakuna ambacho hakitakua na fidia
@MagrethCassim
5 күн бұрын
Poleni sana,inaumiza sana
@machintangachibwena5922
28 күн бұрын
Yaani mmepigwa hata majereha hamtuonyeshi japo kidogo tuuu 😂😂😂😂😂😂
@SurprisedFullMoon-gg9vu
23 күн бұрын
Wew akil zako ziko matakon"hili suala nila kucheka kwel??
@HamidaAhmad-jd5zi
Ай бұрын
Msitake huruma nyie pambaneni n yenu sisi tushazoea yetu. Kilamtu apambanena hali yake mimikiukwel simwamin mtu sikuhizi wote n walewale
@AziziMapunda-vt4nv
2 күн бұрын
Polesana
@RaphaelKonga-v9j
23 күн бұрын
IPO cku mungu ataingilia kat polen sana
@ahamadimbaraka7140
Ай бұрын
Bado hamjasema Mpaka mseme
@JamesMwandoje
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 CCM Juuu....Samia miaka mitano teena chadema PGA teke kule🎉🎉🎉❤❤❤
@RomanMwinyi
Ай бұрын
Utaona kama ita tokea ivyoo mume zoea kuiba ela mwakaauu kina wakaaa
@bcozhenry2698
Ай бұрын
Kushabikia maumivu ya wengine ni upumbavu unaofanywa na wapumbavu ambao kimsingi ni wezi wa haki za wengine
@masalakulwa7601
Ай бұрын
uchi wa mamako
@evangelistfrank1911
Ай бұрын
Ipo sku moja utajua hii nchi haina haki kabla hujafa
@magrethmbangama1199
Ай бұрын
Hiki unacho kifurahia maumivu ya wengine kitakupat na wewe uone utakuwa ktk hali gani,usifurahie maumivu ya wengine Mungu akurudishie hayo maumivu na wewe.
@user-wh9zj7kf7h
Ай бұрын
Wananchi tuko macho
@EvodiusJohn-f9p
Ай бұрын
Bado hamjasema😂, tatizo lenu n kupinga Kila kitu
@MariamuAdamu-r6r
Ай бұрын
Ww ukiambiwa chutuma unachutama??
@gkanyanda1173
Күн бұрын
Duuuh...
@TomasiklistophaMwinuka
26 күн бұрын
Poleni sana ukombozi wanchi hii ipokaz haswa
@devothaignatius5256
3 күн бұрын
Jmn mbn Rais wetu anajifanya mkarimu kumbe niatali ???? Najiuliza maswali ata cpati majibu mbn watu nimaktili hivi????😭😭😭😭😭 Mungu fanya jambo hawa maaskali wakutwe jambo gumu nafamilia zao ili nao watoe machozi
@katunzikamara7989
2 күн бұрын
kweli kabisa devotha Mungu akawafanyie ivyo nao waonje aise Wana umiza watu Sana lkn dam yamtu haitamwagika bure itanena juu yao na famiria zao Asante Mungu kwakutujibu maombi yetu
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Sisi tunaimai na jeshi letu ,,msitukosanishe,,,
@thamani5842
Ай бұрын
Kabisa
@josephinesulle1478
4 күн бұрын
Mpuuzi mkubwa
@damiansanga232
4 күн бұрын
What is this kind of democracy
@MaryLee-sh4nd
4 күн бұрын
Mimi ninahofu ya MUNGU kwakweli naumia . naachana nachama kinachotesa watu nakumwaga damu zawatu. nisijeletea kizazi changu laana nimetoka ukotokea leo.
@kalungamabrucki61
Ай бұрын
Acheni uchoko nyie mnatengeneza mattukio ili mpate kiki hamna jipya
@robertphilip385
Ай бұрын
Wenyamazatu bana bakitu na uchawa wako mwenyewe
@RomanMwinyi
Ай бұрын
We kuma jitambue kumawewe bandali Zina uzwa uko nenda bandalini kama we tz uone unavyooo kimbizwa kumaweeee
@robertphilip385
Ай бұрын
@@RomanMwinyi mweleweshetu matusi yanini? Sasa
@BoniphasLukas-c3c
Ай бұрын
Wenikuma kwel kumalamaako watu wamefanyiwa tukio kwel nadunia umeona ww ninani Ambae unatuaminisha Kuma wako kama huna koment kaa Kimya
@BoniphasLukas-c3c
Ай бұрын
@@robertphilip385wenaw tulia Kuma ww kwan yeye hujaona kama katukana choko ndio nn we unaijua maana yake
@JansanMokiwa
Ай бұрын
Ukombozi unagharama kubwa
@HASSANWAZIRIGAO
2 күн бұрын
HIYO NDIO KAZI YA POLIS
@PharesMax-co6mk
15 күн бұрын
Msimamo wenu ni upi????
@abasiramashoo5026
Ай бұрын
Acheni uwongo
@RomanMwinyi
Ай бұрын
Jitambue ww au ndio wezii wenyewwee nyinyiii
@Mumewangu
Ай бұрын
@@RomanMwinyi walifirwa hawasemi tu
@abasiramashoo5026
Ай бұрын
Uwongo wa hali ya juu
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
Maigizo ndio kampeni kwao 😢😢😢😢
@gladnessterry8430
29 күн бұрын
Mm ninaumia mno viongoz wa chadema mnavyooneawa jamn mpaka machozi yanitoka polen sana
@HamisShaweji
26 күн бұрын
Mnachohangaikia ninini sasa kwa mfano?hebu jiepusheni na Matatizo yasiyoyalazima.
@NaomiMwampondele
5 күн бұрын
Duu pole nchi hii mbona nihatarii
@HamisShaweji
26 күн бұрын
Jiepusheni na Matatizo yasiyoyalazima
@basilisamsaka8469
3 күн бұрын
Ila jmn police waa tz wabaya sana
@HASSANWAZIRIGAO
2 күн бұрын
SASA MBONA HAMJAONYESHA MAKAMANDA WENU
@AnjelicaBayyone
5 күн бұрын
Inauma kweli hivi tz kuna mapolisi inchi hii so sada
@kassimhamis-rs8lq
Ай бұрын
Tushawazoea nyie hatuwapi nchi
@AnjelicaBayyone
5 күн бұрын
Poleni sana watetesi wetu kiukweli mnateswa sana bila sababu
@MsuyaSereckys
Ай бұрын
Acheni uchochezi mnataka pakutokea je matokeo yote hayo Kuna ushaidi ya CCTV camera au maneno tu
@samsonanney
5 күн бұрын
Kitendo hicho inatofauti gani na utekaji mbona watekaji wanafamika tyu
@IsayaRobert-c5l
5 күн бұрын
Jamani poleni xana Mungu yupo
@AsiaDismas
Ай бұрын
Ni uonevu sana naunyanyasaji mkubwa
@elbaricktv1632
Ай бұрын
Bila kujua ccm inampiga teke chura inamuongezea mwendo safi sana yan baada ya hili tukio chadema imepaa viwango zaidi
@ameirzapy1318
Ай бұрын
Hili pele limepata wakunajiii ,, shoti za umemeee😂!? Sura inatoka saluni hiyo😅
@barrynzeyimana6270
Ай бұрын
Kwakua siasa ni gulsa, unaweza kupigwa short ya umeme usiwe na jeraha hata 1?
@JosephKessy-qb4pu
Ай бұрын
Yani kuna watu watu wanaandika Coment kisenge tu acheni kushabikia ujinga kwahyo mnaona polisi wanafanya sawa hii nnchi ni yao
Mwamba vp anasema sikupata ucngiz adi chai unaomba mshukuru mungu aki ipo mbinguni acha ujinga
@DevinusMabiba
28 күн бұрын
Awana akili wenye rungo hao
@ShedrackLuvanda-m2q
15 күн бұрын
Iposiku alie chini atakuwajuu na wajuu atashushwa chin auhamjui kuwababa huzeeka mtotowake humlea maanayake iposiku musa atamuua goliati mwenye nguv
@glorysungura3180
Ай бұрын
Yana mwisho hayo, ipo cku yatafika mwisho. Alikuwepo goliati, lakini leo yupo wapi. Kijana mdogo Daud alimshinda kwa kombeo. Nguvu haitawali dunia hata siku moja. Maongezi na makubaliano ni kitu cha muhimu sana, na ndio kinacholeta amani. Walikuwepo watawala wenye mabavu kama Idd Amin leo wapo wapi? Ipo ck dunia itasema.
@storytownTv
Ай бұрын
Asee..😢
@DevinusMabiba
28 күн бұрын
Niwapumbavu sana jesh la polc
@HASSANWAZIRIGAO
2 күн бұрын
Muongo Hakuna Shot
@roudhamahmoud763
Ай бұрын
Hahahaa chumvi na sukari kuengezwa siasa hizi yani hatari
@josengumbi4029
6 күн бұрын
Hii nchi ngumu naukishajua hayo ucjalibu kukaza shingo utavunjika bure,😂😂 heshim mamlaka zilizopo .utaishi kwa amani
@IssaMwakifwamba
22 күн бұрын
Wasikupandishe wenani
@adamamin8148
21 күн бұрын
Shida awa jamaa ni waonngo Sana tena wazushi wakilegezewa tuu nchi itakuwa mbaya maandamano ayafai Wala akuna mnachitetea nyie wapinzani
@neemaisrael688
Ай бұрын
Poleni ila mlikatazwa mkalazimisha mtoto akililia wembe mpe mlikuwa mnatafuta Kiki .
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
hampo juu ya sheria lazima mtii sheria bila shuruti,mmeona hamsikiki tena,matafuta upenyo ili mjulikane mpo!!
@kulwastima3993
Ай бұрын
Wakamata wezi ndo wezi wanajifanya walinzi wa amani kumbe wezi wa simu😂😂😂😂
@zuenahamoud1532
Ай бұрын
RIP legend JPM porojo tu Haw matapeli hatuwaelewi
@abdallaahabdallaahibrahim6719
Ай бұрын
Wewe!
@machintangachibwena5922
28 күн бұрын
Kweli porojo
@AsiaDismas
Ай бұрын
Kuna watu wanaonekana nchi hii ni Yao wengine wakimbizi si kweli jaman
@esterdoriye8377
Ай бұрын
Tupo na nyie mpaka mvunjwe hizo shingo zinazobeba vichwa mizigo 😅😅😅😅
@Mumewangu
Ай бұрын
Mpaka wafirwe
@stephenmsanzu9850
Ай бұрын
Hapo kweli kabisa mpaka kaburini
@matipukaAthumani
Ай бұрын
Hahahaha umenifurahisha sana
@esterdoriye8377
Ай бұрын
@@Mumewangu labda watatulia kila siku hekaheka hawana cha maana
@mwitamalwa2773
Ай бұрын
Hii inchi vita lazima iwepo tu
@Ibrahim-ne3in
Ай бұрын
@@mwitamalwa2773 subir watoto wako wakikua utawapeleka vitan
@IssaMwakifwamba
22 күн бұрын
Wasikupandishe wenani 5:08 5:09
@stevensteven4513
Ай бұрын
Kilicho baki nikuwakodi tu GEZ maana CHACHAMA Wamezidi 😂😂😂
@josephmkinga9509
Ай бұрын
ccm kwwisha wamebakiza polisi kuwabeba
@user-bs2nr7gz5p
Ай бұрын
Hawa watu ni waongo wanataka wawafukuzishe mapolisi kazi
@jkomedikaduli
Ай бұрын
😂😂😂😂 chadema bwana Baki njia kuuu
@yolandachuwa5554
Ай бұрын
😂😂😂😂😂nacheka kama mazuri ,,,poleni
@rithaurassa
Ай бұрын
Mnao tafuta majeraha ni chakula au ni unafiki wabaadhi waonaohujumu hii nchi.Iko ck kitawatokea puan hakuna kisichokuwa na mwisho kifo kipo palepaleee!!!!
@DennisFandi
Ай бұрын
Kaka hujapigwa acha kutupanga, unajua kipigo ww! Au umeguswa kiheshimiwa uliza watu hata mtaani kwako wakueleze kipigo kipo vp?
@nathanmmasi3890
26 күн бұрын
Iko siku Mungu atalipa kila chozi maana wapumbavu wamekuwa wengi sasa ila tu umiya nao ukumtaani polis kwanini wanajichukuliya shiriya mkononi mwishoni ihi laana inakuja kusumbuwa familiya zaho
@LameckZakaria-u9y
27 күн бұрын
Simlimsema mjomba magu ngoja dawa iwaiingie
@FranckDaniel-cc5rg
Ай бұрын
Chadema acheni siasa za kipumbavu sisi sio wajinga hakuna anaeweza kuelewa bongo wenu tena mkome hata kama ccm ya sasa inazngua lakn kwa hili hapana tena mgepigwa kipigo kikali,ili mkashtaki vzuri kwa mabwana zenu marekani
@hemedisalim5522
Ай бұрын
Wewe bwana wako Nani Anayekufira
@RomanMwinyi
Ай бұрын
Nyie ndio makuma weziii tuna tamani ata kuwafila wasenge kama nyinyiiiiii
@chusseboywcb2808
Ай бұрын
😂😂😂😂Mimi Sina chama ila risu hamna kitu
@RomanMwinyi
Ай бұрын
@@chusseboywcb2808 we ujitambui na sijui kama sio shoga sasa Amna ki2 ame wai kuongoza wap bandali zime uzwa Bado mashoga kama nyinyiii
Kwahyo unatoa ushuhuda sio😅😅😅mpk leo sijaona faida ya upinzani mnazurura tu hovyo
@evansdecaprio8196
Ай бұрын
Ila faida ya ccm umeiona
@thabit5775
Ай бұрын
Anazurura nani weee
@monicamassawe3435
27 күн бұрын
Km Bamako alivyozurura akakupat co mkundu wew
@remidusmwanandenje-yy5gs
Ай бұрын
Polic wanatumia nguvu xana mambo yakuwalinda wafanye kongamano lao na kila m2 aondoke kwa amani mbona polic wanatumia nguvu zaajabu kwa raia wasio kua na hatia duuuuu😢
@DevinusMabiba
28 күн бұрын
Ni uloo Hadi simu
@TitoRufizi-xb2ub
Ай бұрын
Nyie viongozi wa chadema mumezidi upole na mutaendelea kudundwa wanajua wanawaweza
@SeciliaKasian
Ай бұрын
Nimeona wengihumu wanambedha nivile hawawajuipolisi au ni mihemko subiri yaje yawakute ndio mtajua polisi ni watu waainagani
@joshualazaro1641
Ай бұрын
Kwahiyo ndugu Mnyika unataka kutuambia kwenye harakati mnataka nguvu ya wananchi, kikinuka "wanachama wa kawaida" ndio waingie kwenye karandinga wewe upewe gari nyingine ya polisi!!?? Any way, nimeelewa.
@williammashine3405
25 күн бұрын
we bora mama ako angezaa kifaranga saiv tungekua tunakula mayai
Пікірлер: 303